Yona kumezwa na Samaki- (Book of Jonah 1-4)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 май 2024
  • Yona kumezwa na Samaki
    Yona alikuwa nabii, ina maana aliwapelekea watu ujumbe kutoka kwa mungu. "Siku moja, mungu mwamuru Yona na kumwambia “ Nenda Ninawi, ukawaambie watu huko waache kuwa wabaya’. Lakini yona hakutaka kwenda ninawi. Yona aliamua kukimbia maagizo ya mungu.
  • КиноКино

Комментарии •