Allah wewe ndio kila kitu katika maisha yetu na familia zetu wape mwisho mwema wazazi wangu na familia yangu kiujumla wewe ndio mkuu katika roho zetu na dunia tujalie mwisho mwema mimi na familia yangu ameni
Alhamdulillah❤️💯 yaani nnapoisikiliza Quran kwa lugha nnayoilewa najiskia Rahaa na natamani ningeliijua tafsir ya Juzuu thelathini zote yaa YaalLah 🤲🤲🤲
NA HUO NDIO UDHAIFU WA UISLAMU..TUNAFUNDISHWA KUHUSU MUNGU KWA LUGHA TUSIOIELEWA..WATOTO WETU WANAKARIRISHWA JUZUU THELASINI TUNAITA KUHIFADHI NA SIO KUELEWA...UKIMUULIZA PALE TAIFA KTK MASHINDANO UMEELEWA NINI ULICHOKISOMA HAWEZI JIBU ATAKWAMBIA NIMEHIFADHI...
Mashallah sheikh nawewe mwenye kuisikiliza kua mwenye kuipenda kutoka🧠🧠na uiangalie kwa👁👁mawili aliokupa mungu na uisome kwa👄👄kisha wafundishe wengine inshaallah mungu atakuongoza njia ilionyooka kama waliopita katika watu wema aamiin
Mashaallah shukurani shehe mungu azidi kukuongoza amfanyie wepes na atujalie sote tuijue kuruani napi wape mwisho mwema mashehe wetu wote ishaallah 🙏🙏 Sisi wote pia Allah subuhana huwataara ajalie mwisho mwema Amiiiiiiin 🙏🤲🤲🙏🙏🤲🤲🙏🙏 pamoja na wazazi wetu wote wapate makao mazuli kwa Allah subuhana huwataara 🤲🤲🙏🙏🤲🤲🙏🤷
Mashallah Allah atuongoze njia ilio nyooka na atuepushe na njia mbaya YaaRabii nijaalie mwisho mwema wakukutaja wewe Kiki mda kila siku Ameen Inshaallah
Hakika Ewe ulitakasika hakika tufungue nyoyo zetu tufanye.yalio mema tujalie tuwe miongoni mwao kwale ulio wachagua tupe mwisho mwema ya Allah takabali Mina ya Allah marehemu maiti wote pamoja na sisi tutakao kua miongoni mwao amini🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Allah wewe ndio kila kitu katika maisha yetu na familia zetu wape mwisho mwema wazazi wangu na familia yangu kiujumla wewe ndio mkuu katika roho zetu na dunia tujalie mwisho mwema mimi na familia yangu ameni
Ramahzani njema kwa waisramu wote wa burundi ramazani karimu ma shaallah
Mashaallah TABALAKAH ALLAH, yaarabi akupe neema katika wale miongoni mwake
Yaa rabbi ziokoe nefsi zetu na adhabu yako hakika adhabu yako nikali na utujaaliwe mwisho mwema
Ameen thumma ameen 🤲🏾
Mashallah,Yaa ALLAH tujaarie mwisho mwema 🤲🤲🤲
Alhamdulillah 🤲 Allah atupe mwisho mwema Insha Allah
Ameen Ameen
Kwa sote inshaallah
Masha Allah, Jazakallahul ❤❤❤
1
NAMI namuomba sana Allah niwe mwenye kusoma sana kitabu tukufu Cha allah
Tumuombe mwenyezi Mungu kwa mema
InshaAllah Ya Allah nipe mwisho mwema na wazee wangu na familia yangu na jamii Muslimeen
Ma sha Allah Allah Akbar ya Rabb give us good ending and have mercy on those Muslim who have left us .ya Rabb
Alhamdulillah
Alhamdulillah❤️💯 yaani nnapoisikiliza Quran kwa lugha nnayoilewa najiskia Rahaa na natamani ningeliijua tafsir ya Juzuu thelathini zote yaa
YaalLah 🤲🤲🤲
Haujachelewa anza sasa.
NA HUO NDIO UDHAIFU WA UISLAMU..TUNAFUNDISHWA KUHUSU MUNGU KWA LUGHA TUSIOIELEWA..WATOTO WETU WANAKARIRISHWA JUZUU THELASINI TUNAITA KUHIFADHI NA SIO KUELEWA...UKIMUULIZA PALE TAIFA KTK MASHINDANO UMEELEWA NINI ULICHOKISOMA HAWEZI JIBU ATAKWAMBIA NIMEHIFADHI...
@@quantumcosmos7771 usiseme udhaifu labda wewe ndio dhaifu ujui tafsiri ila sio wote wako na udhaifu
@@quantumcosmos7771 nakuunga mkono mie mkristo lakini napenda kusikiliza kwa kiswahili wangefundishwa kwa kiswahili ingekuwa poa ni wazo tu
Mashallah tabarakallah rahman.
Inshallah ipo siku na Mimi nitajua kuisoma ivyo
Jitahidi sana kujifunza InshaAllah utafanikiwa
InshaAllah
InshAllah
Alhamdu Lillah Mwenyezi Mungu ajalie tuwe miongoni mwa wanaoisoma Quran, na atupe mwisho mwema
Aamin
Amiin yallah ewe mungu tujaalie tuwe miongoni mwa wanao zishukuru neema zako ulizo tuneemesha juu yetu pamoja na wazazi wetu 💖💖💖💖💖💖💖
Amiiiin
Allahumma Aameen🤲🏻🙏🏻❤
Inshaalah Allah atuafuh kwenye njia hii ya quruani
Allah atujaalie sote tuipende Quran yetu insha Allah, na awazidishie umri mrefu wote walifanikisha kutupatia ujumbe
Aamin
Mashallah sheikh nawewe mwenye kuisikiliza kua mwenye kuipenda kutoka🧠🧠na uiangalie kwa👁👁mawili aliokupa mungu na uisome kwa👄👄kisha wafundishe wengine inshaallah mungu atakuongoza njia ilionyooka kama waliopita katika watu wema aamiin
Allahuma Amin
Yaa Rabi nidjaliye mwisho mwema na uongozi maisha yangu nikuwe mwenye kukumbuka siku zote na saha zote
Ishlar
Mashallah
Mashaallah tabarakaallah
MashaAllah
Mashallah tabarakallah thanks ❤❤❤
Mashallah alhamdulillah
Allah akbarr
Allah Akbar
Maanshallah Maanshallah
Alhamdullilah
Mash Allah tabarkallaha 😢😢Allah atujalie mwisho mwema thuma amiin 🤲😢
Ya Allah tujalie Imani na khofu'tuamini uwepo wako inshaallah
Mash Allah mashallah
Mashaall
Mashaallah shukurani shehe mungu azidi kukuongoza amfanyie wepes na atujalie sote tuijue kuruani napi wape mwisho mwema mashehe wetu wote ishaallah 🙏🙏 Sisi wote pia Allah subuhana huwataara ajalie mwisho mwema Amiiiiiiin 🙏🤲🤲🙏🙏🤲🤲🙏🙏 pamoja na wazazi wetu wote wapate makao mazuli kwa Allah subuhana huwataara 🤲🤲🙏🙏🤲🤲🙏🤷
Mashaallah
Maashallah tabarakallah.
Ameen
Subhana llah
Alhmdulillah 🤲🤲🙏
❤Masha Allah
Mashaalah!
God grant us a good end in this crazy World,We pray to Lord to grant & bestow us upon blessings.
Aamin 🤲
Zqe
@@jaysullman3697 the 0th ❤
Aameen thumma Aameen🤲🏻🙏🏻🥺
Allah
Eeeh mwenyez mungu tujalie mwisho mwem 🤲🤲🤲
Alhamdullilah, NAJIVUNIA KUA MUUMINI WA DINI YA KIISLAMU
Mashaallah❤❤
Yarabi nijalie mwisho mwema mimi pamoja na familia yako baba na mama yangu ameen 🙏🙏
Masha Allah Allah tujalie mwisho mwema na utujalie kujua kuisoma Qur'an kama hivyo maneno mazur ya suratul yaseen Masha Allah kwa msomaji
MashaAllah Alhamdulillah Allah awazidishjye elimu🙏🙏🙏🙏
Aamin thumma Aamin
Yaa Allah tu samehe madhambi zetu
Swadakallahu laaliyu laadhwim
Allah tujalie mwisho mwema inshallah 🤲
Allah akuna anaepaswa kuabudiwa ispokua ni ww alaah naomba nijalie na mwisho mwema na family yangu amini
Alhamdu lillah kwa kila hali
Alihamdula
Mashallah Allah atuongoze njia ilio nyooka na atuepushe na njia mbaya YaaRabii nijaalie mwisho mwema wakukutaja wewe Kiki mda kila siku Ameen Inshaallah
Mwenyezi Mungu atusamehe kwa yale yote tuliokosea mwenyezi Mungu tupe mwisho mwema Ishaamllh
Mashalla kwayote tunayo mkosea tumuombe mungu atupe mwisho.mwema amina🙏🙏
Aaallah atujalie mwisho mwemaa inshaallah
Allah atufanyie wepesi YaalLah Aamin
Alhamdulilah
mashallah
Mashaallah mungu atujaalie mwisho mwema waislam wote
Yaah Allah tujalie mwisho mwema
Aaamiiin yarabiii laaalaa miin🎉
Allah atujalie mwisho mwema🙏🙏
Nifunguwe moyo wangu na roho yangu niwe nakutaja kila mda yeee allah hakuna lisiloshindikana juu yako niweke katika njiaa ilio nyohoka mungu 😭😭😭💖💖
Mashaallah jazakalla khair mungu atujalie atupe maishamema mileledaima alahamdullilah
💕💕💕💕💕💕💕🌷🌷🌷🌷🌷🌷
Mashaallaah yarabby tujalie mwisho mwema pia tuipende kuisoma kuruani
🙏🙏🙏🙏🙏
Mashallaah
Mashallah , mashallah ❤️❤️❤️❤️ allah barik
Maashaallah
Mashaallah Allah atujaalue mwisho mwema
Mnsha Allah mnsha Allah Allah ♥️♥️
InshaAllah go to youtube type Surat Yaasin translation in english
Mashaahalaah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mashallah..... May Allah Grant them peace in dunya and janatul firdaus🙏🙏🙏🙏
Maashallah ❣️❣️ Allah ☝️ atuongozeni katk yaliyo meMA
جزاكم الله خيرا في الدنيا والآخرة ❤
Mashaallah tabarakaallah
Yaarabi tupe mwisho mwema
Laaila ha ila llah muhammadi rasool llah
masha allah
Mashallah mungu tusameh madhambi yetu
Yarab tujalie mwisho Hulo mwema😭
Natasha Allah
Allah bless you
Allah atusame😭😭😭kwa yote tuna yomkoseya atupe mwisho mwemaa inshaallah
امين
Amiiiiinn inshaalah
Aminiii inshaallah
😊😊
❤@@abdsalaamndalusanye2883
Amii
Hakika Ewe ulitakasika hakika tufungue nyoyo zetu tufanye.yalio mema tujalie tuwe miongoni mwao kwale ulio wachagua tupe mwisho mwema ya Allah takabali Mina ya Allah marehemu maiti wote pamoja na sisi tutakao kua miongoni mwao amini🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mashllh
Mashaallah Allahu ❤❤❤
Allah atujalie umri mrefu na atujalie mwesho mema
🙏
💟💟😭😭
Allah atusamehe kwa yote tufanyayo,,, na shukrani sana kwa kutuelimisha,,, mwenyez mungu akujali umri mrefuu zaidi❤
ماشاء الله
Rabi zidni ilma warukuna faham amiin
Allah tunakuomba tuweke miongoni mwa waja wako wema Amin
Mashaalh
Alhamdulilah 🤲🌹
Masha Allah tafsiri mzuri sana
Mungu tuongoze njia iliyonyooka Amin 🙏
Mashaallah❤❤❤❤
Yaasin
mashaa allah
Mashaalah
Mashaallhwa
Allah 5:08 mma inshallah ❤❤ 4:58