Kwa mujibu wa kumbukumbu 34:6 pia inaeleza kua Mungu mwenyewe alimzika na HAKUNA AJUAYE KABURI LAKE,neno hilo maana yake nini?maana yake kaburi lipo ila hakuna alijuaye...kama kungekua hakuna kaburi kabisa Biblia isingesema ALIZIKWA...kuzikwa ni kitendi cha kufukiwa ardhini.
Ni shetani alitaka mwili wa Musa alipokufa mungu akamuliza shetani kwakosa gani unataka mwili wa Musa shetani akajibu mungu kuwa Musa alimua mumisli moja mungu akwamwambia shetani wacha tupime wema wa Musa na ubaya walivyo Pima wema ukawa juuu ubaya ukawa kidgo kwa mungu akamzika Musa amamubadilisha mwili huu wa nyama akawa naibii wa mungu kumbuaka pale yesu alienda milimani kuomba Musa na eliya nabii wa kale walikuja kumutia nguvu
Ila kuna simulizi kua Musa alipokufa huko mlimani Bas alitoeka na hakuonekana tena hata wana wa islael walivmtafta kw mchana na usiku pasipo kumuona je inakuaje na simulizi hio🤔🤔🤔
Musa alizikwa na Mungu mwenyewe,ni kweli wana wa israel hawakuuona mwili wala kujua ni wapi alizikwa,Lakini hakupaa kama Yesu,na kitabu cha Kumbukumbu 34:6 Neno linaeleza kua MUSA ALIZIKWA na MUNGU katika nchi ya MOABU.
@@SIMULIZIBIBLIAkama amezikwa nchi ya moabu unaweza kutuambia nimoabu sehemu Gani Ili tujue eneo husika?hlo ndo tatzo letu wakristo unafiki mwingi tukibanwa jibu jepesi ni roho mtakatifu,shame on you
NENO LA MUNGU NI MZIGO MZITO KWA MTU MVUVI WA KUFIKIRIA. Sitaki kuamini kua mungu aliwapenda watu fulani saana kuliko wengine ilihali alituumba sote kwa mapenzi yake... ila kwakua kitabu fulani kimesha toka katika lugha halisi ya unabii. Kwakua killa nabii alikuja na lugha asili kuwasiliana na watu wake. Hili linanipa mwanya kuamini kidhati biblia imesheheni kalam za waandishi . ikifikia mahala mungu kuwapa watu ardhi fulani wengine wakawa hawana haki katika ardhi hio sasa waliumbwa kwa lengo lakuishi wapi? Tuliumbwa kwa makusudio. Je yapi ? Fikiri jawabu usinipe. Roho moja, mungu mmoja, imani moja. M'bora kwa mungu ni yule mwenye kutimiza agizo la mungu. Na si vingine tuache utumwa wa fikira.
Huu Musa alizikwa 😭lini mbona maandiko yanasema halikuonekana kaburi la Musa . Hapo someni tena
Story nzuri japo Kuna errors kusu kuzikwa kwa Musa Musa alizikwa na Sir God mwenyewe hakuna anaefaham alikozikwa Musa
Kazi nzuri
Ninaombi uwe unatuwekea andiko mfano kutoka 5:1-6 ndiio hadithi hii tunayosikiliza imetoka hapo kwenye biblia itawasaidia wengi ubarikiwe
Tatizo hawasomii maandiko ndomaana wanabisha kila Jambo...MZEE UPO SAWA HAWASOAGI MPAKA WASOMEWE NDOWAAMINII
Waisraeli wangeona mwili wa Musa wangeichukuwa mpaka nchi ya ahadi sababu walienda na mifupa ya Yakobo toka Misri .
Soma kitabu. Cha Petro. Musa hana kaburi ni Mungu pekee alimzika.
Kwa mujibu wa kumbukumbu 34:6 pia inaeleza kua Mungu mwenyewe alimzika na HAKUNA AJUAYE KABURI LAKE,neno hilo maana yake nini?maana yake kaburi lipo ila hakuna alijuaye...kama kungekua hakuna kaburi kabisa Biblia isingesema ALIZIKWA...kuzikwa ni kitendi cha kufukiwa ardhini.
Kaburi la Musa halikujulikana acha uongo
Hv wewe ni justin shedi?
Amen
Aminaa
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Ni nzuri sana
Asante kwa simulizi
Nice 😊
Nzr kaka
Ni shetani alitaka mwili wa Musa alipokufa mungu akamuliza shetani kwakosa gani unataka mwili wa Musa shetani akajibu mungu kuwa Musa alimua mumisli moja mungu akwamwambia shetani wacha tupime wema wa Musa na ubaya walivyo Pima wema ukawa juuu ubaya ukawa kidgo kwa mungu akamzika Musa amamubadilisha mwili huu wa nyama akawa naibii wa mungu kumbuaka pale yesu alienda milimani kuomba Musa na eliya nabii wa kale walikuja kumutia nguvu
Amen and Amen and Amen and Amen and Amen and Amen Kenya Amen Kenya Amen Kenya and Amen🕊🕊🕊⛪⛪⛪🙏🙏🙏
Barikiwa Sana
Ila kuna simulizi kua Musa alipokufa huko mlimani
Bas alitoeka na hakuonekana tena hata wana wa islael walivmtafta kw mchana na usiku pasipo kumuona je inakuaje na simulizi hio🤔🤔🤔
bigbengs official ndio
Musa alizikwa na Mungu mwenyewe,ni kweli wana wa israel hawakuuona mwili wala kujua ni wapi alizikwa,Lakini hakupaa kama Yesu,na kitabu cha Kumbukumbu 34:6 Neno linaeleza kua MUSA ALIZIKWA na MUNGU katika nchi ya MOABU.
@@SIMULIZIBIBLIA saiv nimeelewa
mm msikilizaji mzur na vijana wangu nakuomba uwe historia unaiandikia mstar wa kutoka kitabuni kwenye biblia
Musa alikua mweusi tii,sio mzungu
Siyo sahihi hiyo stori, kabur la musa halitambuliki lilipo
Halitambuliki na wana wa israel ila Mungu anajua lilipo,pia Biblia imeeleza kua Musa alizikwa katika nchi ya Moabu sehemu ambayo Mungu anaijua
@@SIMULIZIBIBLIAkama amezikwa nchi ya moabu unaweza kutuambia nimoabu sehemu Gani Ili tujue eneo husika?hlo ndo tatzo letu wakristo unafiki mwingi tukibanwa jibu jepesi ni roho mtakatifu,shame on you
Justine shed jmn
Story ya Uongo na Unafiki mtupu
Asante kwa maoni yako.
Malaika wa Mungu aligombana na shetani wakipigania mwili wa Musa shetani alitaka achukue mwili wa Musa lakini kashindwa.
Wapi nisome hii Habari
Musa hakuzikwa ,Yuda 1:9
NENO LA MUNGU NI MZIGO MZITO KWA MTU MVUVI WA KUFIKIRIA. Sitaki kuamini kua mungu aliwapenda watu fulani saana kuliko wengine ilihali alituumba sote kwa mapenzi yake... ila kwakua kitabu fulani kimesha toka katika lugha halisi ya unabii. Kwakua killa nabii alikuja na lugha asili kuwasiliana na watu wake. Hili linanipa mwanya kuamini kidhati biblia imesheheni kalam za waandishi . ikifikia mahala mungu kuwapa watu ardhi fulani wengine wakawa hawana haki katika ardhi hio sasa waliumbwa kwa lengo lakuishi wapi? Tuliumbwa kwa makusudio. Je yapi ? Fikiri jawabu usinipe. Roho moja, mungu mmoja, imani moja. M'bora kwa mungu ni yule mwenye kutimiza agizo la mungu. Na si vingine tuache utumwa wa fikira.
Fikra kwamba taifa Fulani ni Bora kuliko linguine ni upuuzi ,,taifa teule ni wale wanaoishi Kwa amri na Sheria za Mungu
Miongoni mwa Maovu na madhambi mabaya makubwa ni kuchora au kuchonga sura na picha za mitume wa Mungu Tahadharini Msijisahau na media zenu
Uongo tatizo hamjui nn maana ya mifano hiyo.
Asante kwa maoni,je Neno hilo limeandikwa sehemu gani kwenye BIBLIA?
L
Miongoni mwa Maovu na madhambi mabaya makubwa ni kuchora au kuchonga sura na picha za mitume wa Mungu Tahadharini Msijisahau na media zenu