Jinsi ya kupika tambi za dengu nyumbani/upishi wa chauro/crispy besan sev recipe
HTML-код
- Опубликовано: 3 июн 2020
- #ads #mapishi #visheti2020
For more updates join my instagram page: @more_yummy more_yummy?igsh...
.mapishi ya mkate wa cheese na maziwa mazito full video click ↙️ • Jinsi ya kupika//mkate...
Keki ya unga wa suji (basbousa) full video click ↙️ • Jinsi ya kupika keki y...
Jinsi ya kutengeneza Kashata za maziwa full video click ↙️ • jinsi ya kutengeneza ...
.
.jinsi ya kutengeneza buttercream full video click ↙️ • jinsi ya kutengeneza i...
Follow instagram @more_yummy more_yummy?igsh...
.
. - Хобби
Maashallah
Asante sana sana dear
Mashaallah nzuri
Mashaallah
Nakupenda sana ety 💞
Shukran
Masha Allah Allah anijalie nataka kufanya za biashara
Asante ntajaribu
Mashallah looks delicious😁😁😁
Nimependa.
Nimeipenda sana nitajalibu
Ma shaa Allah 🥰
Asante
mashaallah
Dada nimeipenda recip yako
Nimependa
Nice
Asante kwa darasa
Good
Mashaallah nimeipenda na ntajaribu kufanya
Nimependa
Asante dada kwa mafunzo nitajalibu
Asante sana nimejifunza kitu
thenk u
Asante nitapika
Asalaaam aleykum asante sanaa kutufunza cheuro
Nic
Nimependa dear ,mashine znapatkana wapi?
5:10
❤❤❤❤❤
Kituo chako ni nzuri! Ninaona hii kila siku! Njoo uone kituo changu cha jikoni! Ninatoka Brazil na natumahi umejiunga na kituo changu na ushiriki video zangu katika nchi yako! Asante!
So simply recipe
Naitaji uwe mwalimu wangu in shaallah
Usijal kwa hilo
Nataka dalasa zaidi nawapataje
Nitafute kwenye account yangu ya instagram jina @more_yummy
🙏🏼
😋😋
Nipenda mdada,hyo unga bei ngani
Vip kuhusu kutengeneza tambi za njegele za kuuza vitu gani vinahitajika?
dekipona ainagan niwekaana zipo nying
Looks delicious
Samahani .Hayo maji ni ya baridi au ya vugu
Nmepend
Dada hongera kwa upishi nipo tanga mjin nitapataje kifaa hicho jaman
MashaAllah Sina hiko kifaa natumia chupa ya plastic niloikata. InshaAllah taijaribu recipe yako
Chupa ya plastic unaifanyej
Soko la unga wa dengu lipo wapi
mm nataka kufanya kwa kilo 1 jee unga wa mchele kilo ngapi
Kama hauna unga wa mchele je?
Kwani unga wa dengu ndo upi?
Ety dear Kuna ulazima wa kuweka unga wa mchele
Ni lazima kufanya ziwe kavu usipoweka zitakuwa kama chenga za bagia za dengu sio chauro tena
kinauzwa bei gani
Nilazima uchanganye naunga wamchele au unaweza kuchanganya na aina nyengine yaunga nakama inawezekana nitajie
🅝🅘🅒🅔 😋
Kifaa Cha kupikia kinauzwa Bei gani
Lakini kama sina unga wa mchele naweka nn
Vp majani ya mvuje watia wakati gani??? Alafu je badala ya unga wamchele kama nina unga wa ngano je naweza kuweka kama sina wa mchele???
Mashaallah pishi zuri
Je kuweka unga wa mchele n lazima?
Ni lazima unafanya chauro zako ziwe kavu km hutaweka hata kidogo chauro zitakuwa km tambi laini tu
Mwingine han kukombe kama icho anapimaje na maji kiasi gani
mbona ujaweka amira
Haiwekwi bhana
Unatumia maji Moto au baridi kuchanganyia!?
Maji ya kawaida tu sio moto wala baridi
Vp kuhusu ya pilipili
Nakama huna hicho kifaa utatumia nini kutengeneza
Binzari ya njano niipi. Nanilazima ueke?
Turmeric ndo bizari ya njano. Na sio lazima kuweka
Unga wa mchele, ni mchele wa kula au mchele wa mkate?
Ili ziwe laini napikaje
Pika hivyo nilivyofundisha kwenye video
Mafuta yasaidia Nini kwa kukandia unga wa dengu?
Kuwa sio ngumu zinakuwa soft mdomoni ukitafuna
Kama huna unaweza kuweka nn?
Kama huna unga wa mchele
Nilazima ueke baking soda
Lazima ndio
Mashine inauzwa shingap
Zinauzwa sh 25000-70000/= zinategemeana
25000 morogoro
@@maryammarjan4015 dodoma jenaweza zipata wap msaada
Nimeipenda