Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Asante dada kwa kunifundisha nami ntaanza kutengeza kwa ajiri ya biashara.mungu akubariki
Vizuri sana waoooooooo!!!!!!❤❤❤❤❤Dada
Asante sana nimefurahi kwa mafundisho mazuri
Thanks for the lesson very important.
Asante nimeipenda hiyoo❤
Unafundisha vizuri sana yaani mwanafunzi anaelewa kwakweli. Barikiwa mno, nawapenda sana Mziwanda jamani hamna uchoyo na ujuzi wenu
Napenda kujua zaidi
Wewe ni mwalimu uko vizuri .
Ahsante kwa somo zuri naweza kukupataje kwa msomo zaidi
0768859358
Asante nimeelewa
Asante Dada unaelekeza vizur sanaaa
Hongera mwanadada kzi nzuri nashukuru kwa kuyafanyia kazi maombi yetu
Asantee dada kwa somo zuri
Nilikuwa sijui kabisa jinsi ya kupika ila mtengenezaji wa chips umenisadia🎉🎉
Asantee kwa somo zurii
Asante sana❤
asante kwa somo
Nimevutiwa sana na video yako,
Hakika unafundisha vizuri Sana na inaeleweka! Ahsante Sana mpendwa! Nitajaribu naamini nutaweza
Mashallah asante kwadaras nzul
Nmependa jmn unafundisha vizuri sana
Ahsante karibu
Asante Sana kwa kutufundisha
Asantee kipenzi natamani niipate video ya tambi za dengu....unafundisha vizuri mno jamani barikiwa dada
😊
Asantee mamy
Mashaallah da mungu abariki kazi yko
Noma sister's.tufundishe na kupika 🎂🎂🎂🎂🎂🎂🎂🎂🎂🎂
Mungu akubaliki na awabalij wote mnaofundish way
Nimempenda sana
Assnte sana barikiwa
Amiin
Asante kwa ujuzi
Asante dada nitafanyia Kaz na ntakupa mrexho wangu nmekupenda bureee....
Shukrani kwa somo zuri
Nimependa somo enkyùuu
Nimeipenda inavutia
Karibu
Shukraan Jazilaan kwa Darsa Muruwa.
Mungu akubariki
I like this program mumy❤💙❤
Lovely....Asante sana kwa hii kazi nzuri
Asante kwa somo zuri mamy ...nilikua nauliza crips kilo kwa bei ya jumla niuze bei gani mana kuna wateja wanataka
Panga bei kulingana na gharama ya vifaa na muda wako kisha weka faida hapo utapata bei yakuuza
Asante dada kwa somo mimi pia huwa naziosha sana baada ya kuzikatakata ili kuondoa ule ungawaviaz huwa ukipika hazishikani
Ooh nzuri sana
Ongera madam kwa maelezo mazuri mie nikipika zinakuwa ngumu asante kwa Maelezo mazuri
Asante,nahitaji iyo machine ya mtumba nipo dar
Napenda kujuazaidi
nice mi ulinisaidia sana kweny keki now cake zangu zote zinaiva vizur kabisaa....
Shukran sana
Somo nzuri sana naomba kujua vp chumvi unaweka wakati gani
Unaweka mwishoni ukizitoa jikoni
Nzur kwakwel
Asantee mom umen fumbua kitu
Asante kwa somo. Naomba nifundishe namna ya kutengeneza Karanga za kutoa maganda
Ndo karanga zipi hizi mwaya
Aina gani ya kiazi Mziwanda?
Nimefika,thanks
Thank you so much
Asante sana nimeongeza ujuzi
Thanks alot nimesoma
Nashukuru kwako somo
I like it
wooow santee mamy kwa kujibu ombi langu...barikiwa mnoo
😘😘😘🙏
Asante kwa somo zuru
Asante kwa somo zur
Nakupenda Dada karibu Bukoba rule crips
Dada nakupenda sana unaelekeza vizuri sana na tunaelewa asante
😘😘
❤️ asant
Oh nimependa elimu yako hongera sana,rangi unaiweka wakati gani?
Thanks,, ulinifundidha kukaanga mihogo saiv nxhakuwa fundi kla cku ni chai mihogo
Hahaha hakuna kubadili? 😂😂
@@mziwandabakers8297 Wala!
Nimejifunza
Asante
Shukuran
Somo zuri sana... plz tusaidie jins ya kupika za ndiz mzuzu tamu tamu kama zina sukar
Sawa love nitafanya
Thanks dada kwa masomo na maelezo yako.
Sante Dada nimejifunza
Safi sana sio kirahisi kma wengine wanavyotuonyesha
Nikweli dear
Tunashukuru kwa somo, ubarikiwe Sana dada
Asante sana KwA somo lako zur
Asante dear, naomba kuona package zako my ili nijue nafunga kiasi gani
Upo binzur
Naomba kupata hicho kifaa Cha mtumba
❤
Barikiwa sana mziwanda,
Iyo mashine napataje
Naomba kujua kuna vingine vina kuwa na rangi sana huwa vinaongezewa rangi
Mashaalah
Unawekaje chumvi
Dada unajitahidi na kinachonivuatia zaidi katka masomo yako unatowa vipimo ahsante nnauhitaji wa kujifunza unapatikana wapi
Ahsante kwa maelezo yako mazuri,ngoja nami nianze kazi,tutawasiliana,
Chuvi sijaona
Asante kwa mapsh
Viazi kilo moja hutoa crips glam ngap? Naomba kujua
Hello nmeipenda naomba namba yako my cster
Asalaam aleykum naomba utuweke video ya jinsi ya kupika tambi
Napenda ubunifu wako na natmani nijfnze kutoka kwko lakini sjui Kama itawezekana Mngu akubaiki na kukuzidishia vingiiii
Mungu akubariki dada,,😂😂😂nikaskia li iphone linaita hapo,,nilifurah sana kukuona kwa Ika Malle
😂😂😂😂😂weweee
Hahahahhaha hatariiiii yaani nilicheka sana,,,,so ofic ipo tabora au marangu sorry sijaelewa
@@monicafrank6618 ipo Tabora, swali lako sikuelewa naona
Upo Tabora sehem gani??
Chumvi hauweki au umesahau
😢naomba namba yako mpendwa
Bei ya mashine
than u
Jmn naomba kuliza viaz vya krips Ni vya aina gani?
Dada huwa wanawek rang gan ni orange red au ip
Hiyo grater ni sh ngapi??
Asi. Mbona zng mmefanya yapo malain na mkauacha zaidi Zinakaza bt nyeusi. Au ni aina gani za mbatata unatumia
Mm nataka icho kibat ntakipaje
Nielekeze jinsi ya kutengeneza viaz mviringo
Mifuko ya kufungia inauzwa wapi dada
Samahani mpenzi rangi naiweka wakati ganii
Hbr madam icho. Cha kukattia kinapatikana wapi
Mie nauza we unapatikana wapii
Kama unakifaa je inakuwaje
Mbona vyangu vinakuwa vya brown na baadae vikipowa vinaregea
Asante dada kwa kunifundisha nami ntaanza kutengeza kwa ajiri ya biashara.mungu akubariki
Vizuri sana waoooooooo!!!!!!❤❤❤❤❤
Dada
Asante sana nimefurahi kwa mafundisho mazuri
Thanks for the lesson very important.
Asante nimeipenda hiyoo❤
Unafundisha vizuri sana yaani mwanafunzi anaelewa kwakweli. Barikiwa mno, nawapenda sana Mziwanda jamani hamna uchoyo na ujuzi wenu
Napenda kujua zaidi
Wewe ni mwalimu uko vizuri .
Ahsante kwa somo zuri naweza kukupataje kwa msomo zaidi
0768859358
Asante nimeelewa
Asante Dada unaelekeza vizur sanaaa
Hongera mwanadada kzi nzuri nashukuru kwa kuyafanyia kazi maombi yetu
Asantee dada kwa somo zuri
Nilikuwa sijui kabisa jinsi ya kupika ila mtengenezaji wa chips umenisadia🎉🎉
Asantee kwa somo zurii
Asante sana❤
asante kwa somo
Nimevutiwa sana na video yako,
Hakika unafundisha vizuri Sana na inaeleweka! Ahsante Sana mpendwa! Nitajaribu naamini nutaweza
Mashallah asante kwadaras nzul
Nmependa jmn unafundisha vizuri sana
Ahsante karibu
Asante Sana kwa kutufundisha
Asantee kipenzi natamani niipate video ya tambi za dengu....unafundisha vizuri mno jamani barikiwa dada
😊
Asantee mamy
Mashaallah da mungu abariki kazi yko
Noma sister's.tufundishe na kupika 🎂🎂🎂🎂🎂🎂🎂🎂🎂🎂
Mungu akubaliki na awabalij wote mnaofundish way
Nimempenda sana
Assnte sana barikiwa
Amiin
Asante kwa ujuzi
Asante dada nitafanyia Kaz na ntakupa mrexho wangu nmekupenda bureee....
Shukrani kwa somo zuri
Nimependa somo enkyùuu
Nimeipenda inavutia
Karibu
Shukraan Jazilaan kwa Darsa Muruwa.
Amiin
Mungu akubariki
I like this program mumy❤💙❤
Lovely....Asante sana kwa hii kazi nzuri
Asante kwa somo zuri mamy ...nilikua nauliza crips kilo kwa bei ya jumla niuze bei gani mana kuna wateja wanataka
Panga bei kulingana na gharama ya vifaa na muda wako kisha weka faida hapo utapata bei yakuuza
Asante dada kwa somo mimi pia huwa naziosha sana baada ya kuzikatakata ili kuondoa ule ungawaviaz huwa ukipika hazishikani
Ooh nzuri sana
Ongera madam kwa maelezo mazuri mie nikipika zinakuwa ngumu asante kwa Maelezo mazuri
Asante,nahitaji iyo machine ya mtumba nipo dar
Napenda kujuazaidi
nice mi ulinisaidia sana kweny keki now cake zangu zote zinaiva vizur kabisaa....
Shukran sana
Somo nzuri sana naomba kujua vp chumvi unaweka wakati gani
Unaweka mwishoni ukizitoa jikoni
Nzur kwakwel
Asantee mom umen fumbua kitu
Asante kwa somo. Naomba nifundishe namna ya kutengeneza Karanga za kutoa maganda
Ndo karanga zipi hizi mwaya
Aina gani ya kiazi Mziwanda?
Nimefika,thanks
Thank you so much
Asante sana nimeongeza ujuzi
Thanks alot nimesoma
Nashukuru kwako somo
I like it
wooow santee mamy kwa kujibu ombi langu...barikiwa mnoo
😘😘😘🙏
Asante kwa somo zuru
Asante kwa somo zur
Nakupenda Dada karibu Bukoba rule crips
Dada nakupenda sana unaelekeza vizuri sana na tunaelewa asante
😘😘
❤️ asant
Oh nimependa elimu yako hongera sana,rangi unaiweka wakati gani?
Thanks,, ulinifundidha kukaanga mihogo saiv nxhakuwa fundi kla cku ni chai mihogo
Hahaha hakuna kubadili? 😂😂
@@mziwandabakers8297 Wala!
Nimejifunza
Asante
Shukuran
Somo zuri sana... plz tusaidie jins ya kupika za ndiz mzuzu tamu tamu kama zina sukar
Sawa love nitafanya
Thanks dada kwa masomo na maelezo yako.
Sante Dada nimejifunza
Safi sana sio kirahisi kma wengine wanavyotuonyesha
Nikweli dear
Tunashukuru kwa somo, ubarikiwe Sana dada
Asante sana KwA somo lako zur
Asante dear, naomba kuona package zako my ili nijue nafunga kiasi gani
Upo binzur
Naomba kupata hicho kifaa Cha mtumba
❤
Barikiwa sana mziwanda,
Iyo mashine napataje
Naomba kujua kuna vingine vina kuwa na rangi sana huwa vinaongezewa rangi
Mashaalah
Unawekaje chumvi
Dada unajitahidi na kinachonivuatia zaidi katka masomo yako unatowa vipimo ahsante nnauhitaji wa kujifunza unapatikana wapi
Ahsante kwa maelezo yako mazuri,ngoja nami nianze kazi,tutawasiliana,
Chuvi sijaona
Asante kwa mapsh
Viazi kilo moja hutoa crips glam ngap? Naomba kujua
Hello nmeipenda naomba namba yako my cster
Asalaam aleykum naomba utuweke video ya jinsi ya kupika tambi
Napenda ubunifu wako na natmani nijfnze kutoka kwko lakini sjui Kama itawezekana Mngu akubaiki na kukuzidishia vingiiii
Mungu akubariki dada,,😂😂😂nikaskia li iphone linaita hapo,,nilifurah sana kukuona kwa Ika Malle
😂😂😂😂😂weweee
Hahahahhaha hatariiiii yaani nilicheka sana,,,,so ofic ipo tabora au marangu sorry sijaelewa
@@monicafrank6618 ipo Tabora, swali lako sikuelewa naona
Upo Tabora sehem gani??
Chumvi hauweki au umesahau
😢naomba namba yako mpendwa
Bei ya mashine
than u
Jmn naomba kuliza viaz vya krips Ni vya aina gani?
Dada huwa wanawek rang gan ni orange red au ip
Hiyo grater ni sh ngapi??
Asi. Mbona zng mmefanya yapo malain na mkauacha zaidi Zinakaza bt nyeusi. Au ni aina gani za mbatata unatumia
Mm nataka icho kibat ntakipaje
Nielekeze jinsi ya kutengeneza viaz mviringo
Mifuko ya kufungia inauzwa wapi dada
Samahani mpenzi rangi naiweka wakati ganii
Hbr madam icho. Cha kukattia kinapatikana wapi
Mie nauza we unapatikana wapii
Kama unakifaa je inakuwaje
Mbona vyangu vinakuwa vya brown na baadae vikipowa vinaregea