PEMBA YAZIDI KUIWEKEA ZANZIBAR RIKODI DUNIANI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • usisahau ku like,comment,share na ku subscribe youtube chanal yetu alfatah tv online, kwa maelezo zaidi piga simu +255 777 858490

Комментарии • 128

  • @shariffaabdalla2170
    @shariffaabdalla2170 4 года назад +2

    Home sweet home🥰🤗🤗🤗miss home chake chake tibirinz podeani mgwiye💃💃💃 kijani kibichi mmewangu alipokuja kutembea ukweni anshangaaa tu kijani kitupu na juz nimeonanna na jama wa kipakistan ananiuliz namwmambia kwetu pemba kanipongeza anataman aende tena matembez mandhar mazur na watu wakarimu hajawah kupata kuona
    ALLAH BLESS OUR PEMBA ISLAND🤲🤲🤲

  • @tecnof1232
    @tecnof1232 5 лет назад +4

    Pemba safi hata maadili ya ki zanzibari sasa yapo Pemba, Mola tuzidishiekheri na imani inayoondoka, Alwa bless Zanzibar Aamin!

  • @talibmuhsin5221
    @talibmuhsin5221 2 года назад +3

    Nalipenda sana jina Pemba namshukuru Allah kunifanya nizaliwe Pemba so Pemba is very beautiful place in east Africa

    • @habibumohamed1543
      @habibumohamed1543 2 года назад

      Pemba yetuu, hakika najivunia
      Allah atupe kheri yake na idumu daima Pemba yetu

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 4 года назад

    Allah ayihifadhi Pemba yetu isijekuingiwa na maovu kwakila wanapo ingia watalii

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 5 лет назад +3

    Nikweli nilibahatika kufika Kijiji cha MAKOMBENI Pemba,na niliwaona POPO wengi mno,tunajivunia neema hiyo alhamdulillah

  • @hajimohamed7007
    @hajimohamed7007 5 лет назад +2

    hongera sana alfatah kwa kuipasha pemba na vivutio vyake ni jambo la faraja sana mimi binafsi nilipokua mdogo nmesha.wahi kula popo wetu wapemba

  • @ashmaahmed1296
    @ashmaahmed1296 5 лет назад +1

    #فتبارک الله احسن الخالقین#Ametukuka Mwenyezimungu Mbora Wa kuumba#

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 5 лет назад +1

    Al Fatah tv online mnafanya vizuri video zenu zina viwango vzr kongole kwenu

  • @aliymaulid8941
    @aliymaulid8941 5 лет назад +9

    pemba yetu kijani kibichi ni ishara ya neema lkn cctunamkosea Allah sana ndio mana akatubadilishia tunatakiwa tuache tofauti zetu tumeejee Mola wetu

    • @aliymaulid8941
      @aliymaulid8941 5 лет назад

      tumrejee Mola wetu

    • @hajihaji4112
      @hajihaji4112 5 лет назад

      Nani tunawashinda kwa mabaya acha kutunyanyapaa wewe km sio utu wa watu wa PBA hiki kisiwa kingesha potea.Asalaam aleykum

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 5 лет назад +8

    Pemba peremba ukijanajoho utarud nakilemba wale Wamtambwe wenzang tujuane

  • @hafidhalijuma7189
    @hafidhalijuma7189 5 лет назад +6

    Najivunia Pemba yetu

  • @hemedsalim7788
    @hemedsalim7788 5 лет назад +6

    Ahsanteni sana kwa makala haya yenye kuvutia.

  • @mudyelneny1207
    @mudyelneny1207 5 лет назад +5

    Allah ailinde pemba

  • @maidasaid9449
    @maidasaid9449 5 лет назад

    alfatah hongeren chin ya uongoz wa sh.Rashid Salim...kwa kutupa elimu hii...mumeimprove sana

  • @salhakhamis4629
    @salhakhamis4629 5 лет назад +4

    Maashaallah ewe mola izidishie nuru al_ fatah

  • @احمدالكندي-و6و
    @احمدالكندي-و6و 5 лет назад +3

    الله يبارك جزيرة الخضراء و اهلها

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 5 лет назад +2

    Home sweet home; Mashallah. Al Fatah for a good article. Please give us more attractive articles to broadcast our Island.

  • @ysherahmad652
    @ysherahmad652 5 лет назад +4

    I love Pemba my homeland 💖🌺

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 5 лет назад +1

    Asanteni sana picha na mandhari yote kwenye hii video ni nzuri na ya kuvutia sana.

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 5 лет назад +3

    Dana Dana, ni kweli Pemba iko nyuma sana,lakini mimi nafikiri ni mikakati ya watawala kuwaweka katika hali hiyo ili watimize mipango yao.
    Wataalam wa Pemba wamekimbia kwao sio kwa hiyari bali mateso waliyoyapata huko nyuma.
    Juu ya hayo,iwapo mipango mizuri ya kimaendeleo yatawekwa,na wa Pemba wakaamua basi mabadiliko ya jamii hayatachukua muda yatabadilika.

    • @veronicanditeze425
      @veronicanditeze425 5 лет назад

      Serikali iwajengee nyumba? Mnapesa ila mnaikimbia pemba

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 5 лет назад +1

      @@veronicanditeze425
      Hakuna anaetarajia kujengewa nyumba bure,tunategemea miradi muhimu kama bandari,barabara,huduma bora za afya na elimu.Leo ukiumwa maradhi mazito lazima ukimbilie muhimbili.
      We Pemba hawakueka pesa mbele na ndio maana mgeni akenda kijijini,hapo kuwa wanakijiji hawana hali nzuri,lakini mgeni lazima apate angalau chai ya rangi na kipande cha muhogo wa kuchemsha.

  • @ommymaconcept6420
    @ommymaconcept6420 5 лет назад +1

    Hongera mzee Ali Hamad umemuelezea vzuri popo.hongera sana

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 5 лет назад +1

    woooow beautiful Place for me

  • @mrishorashidi4030
    @mrishorashidi4030 5 лет назад +1

    Mkoa wa tanga wilaya ya muheza katika hospitol ya augastino Teure wapo popo kamawote tena wakubwa zaid

  • @emamuharamain4552
    @emamuharamain4552 5 лет назад +2

    Unajua sana kutangaza broo...Allaah awafikishe mbali na tv yenu..isipokua mtangaze habari zenye kumpendeza allaah baasi.

  • @saidiyathrib2852
    @saidiyathrib2852 5 лет назад +5

    MashAllah home sweet home

  • @mohammedomar7280
    @mohammedomar7280 4 года назад

    nimeshakula sana hao wadudu

  • @احمدالكندي-و6و
    @احمدالكندي-و6و 5 лет назад +3

    الحمد لله

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 5 лет назад +5

    Home sweet home love you Pemba

  • @abuumo9637
    @abuumo9637 5 лет назад +1

    Naiyona pemba yetu ya kijani kibichi

  • @mr.vegass6197
    @mr.vegass6197 5 лет назад +2

    Safi sn kazi mzuri sana mashallah

    • @Amneamne-qi2du
      @Amneamne-qi2du 5 лет назад

      Masha'allah Allah izid nime penda huyu baba anajua kufahamisha uzur

  • @salehhamadi6070
    @salehhamadi6070 5 лет назад +2

    Dah ! sijui wanahisabiwa vip.

  • @صوتالعاطفة
    @صوتالعاطفة 5 лет назад

    Mashaallah neema izo
    Shukran AlFatah

  • @ashaproudofyoubabahaji8523
    @ashaproudofyoubabahaji8523 5 лет назад +1

    Popo oye pemba oyeeeee

  • @allymadunda7931
    @allymadunda7931 5 лет назад +1

    Jamani nataka mke huko Pemba

    • @danadana6450
      @danadana6450 5 лет назад

      Ally Madunda komaa ww mtu hatafuti mke kwenye mitandao kwani hukujui pemba ukaja mwenyewe

  • @mudyelneny1207
    @mudyelneny1207 5 лет назад +1

    Sweet Island

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 20 дней назад

    Huyo ni marehemu kwa sasa

  • @MyDisma
    @MyDisma 4 года назад

    Wawoo editing nzuri Sana big up

  • @hassanmchwakachangama888
    @hassanmchwakachangama888 5 лет назад

    Tutunze rasilimali zetu kwani ndio hazina yetu wana Tz na Africa kwa pamoja

  • @samirnaty8774
    @samirnaty8774 5 лет назад +1

    Love my pemba

  • @hamisihamadi8337
    @hamisihamadi8337 5 лет назад +1

    Mash Allah sweat Home sweat

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 5 лет назад

    Hongera mzee uko vizuri sana!

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 5 лет назад

    Mungu yupo nitatembelea nami huko

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 5 лет назад +1

    Nice Island....

  • @hamzamario9661
    @hamzamario9661 5 лет назад +1

    maskini Pemba imebakiwa na popo tu sasa. ndio kivutio chenyewe

  • @aminamohd604
    @aminamohd604 5 лет назад

    mambo ni fireeeeeeeeee

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 5 лет назад +3

    Home stweety home 😍

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman2436 5 лет назад

    PEMBE LILIWALO NDIO WORLD RECORD...na haitovunjwa till doom day

  • @marafundujenzi4315
    @marafundujenzi4315 5 лет назад

    Maachallah maachallah pemba nakupenda sana

  • @salmaelhinai833
    @salmaelhinai833 5 лет назад +1

    Maashallah

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman2436 5 лет назад

    sasa popo watasaidiya nini..watu wana maisha magumu..njaaa ndiyo tunaongoza duniani

  • @aliuali4690
    @aliuali4690 5 лет назад

    kisiwa cha kwetu Pemba ...wale wa konde tujuwani basi

  • @seifsaleh6655
    @seifsaleh6655 5 лет назад +1

    Naipend pemba pureeeee

  • @saidabdallah5917
    @saidabdallah5917 5 лет назад

    Tunajidaii kuipenda kumbeee munainkimbiaaaa kwann tupunguze unafk

    • @ShuraymSuleimanSaid
      @ShuraymSuleimanSaid 5 лет назад

      Ami hatuikimbii ni mfumo tu wa maisha jinsi ulivotengenezwa ni hii serekali yetu. Ila wallahi twaapa Pemba nkwetu na twaipenda.
      Mara kwa Mara twaja tukitia macho nuru

  • @danadana6450
    @danadana6450 5 лет назад

    ALLAH katujaaliya neema lakini pemba tuko nyuma kimaisha hawataki tuendelee kimaisha

    • @alimuhamed1830
      @alimuhamed1830 5 лет назад

      Ndio manayake ila allah atatunyanyua tu na ipo sku tutaushangaza ulimwengu

  • @greatiq8234
    @greatiq8234 5 лет назад +1

    Ebana! Kumbe hao jamaa wanaliwa?!

  • @stevelayda8555
    @stevelayda8555 5 лет назад

    Dola tano ni kidogo angalau mfanye dola kumi

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 5 лет назад +2

    Mashaallah..eh kumbe popo wanaliwa ?toba sikuwahi kujua

    • @faizasaid8262
      @faizasaid8262 5 лет назад +1

      Shamsa Haji nmmi ndo kwanza leo

    • @danadana6450
      @danadana6450 5 лет назад +1

      Shamsa Haji tena niwatamu kushinda kuku

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 5 лет назад

      @@danadana6450 kwa kweli najiskia siwezi kula hao lol

    • @fatmaaly9686
      @fatmaaly9686 5 лет назад

      Watam hatar karibu kisiwani

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 5 лет назад

      Waroho tu hao watu,wanatafuta Ebola bila kujuwa.

  • @rehema2018
    @rehema2018 5 лет назад +1

    Pemba Home sweet home ❤️❤️

  • @mapenzikatana9990
    @mapenzikatana9990 5 лет назад

    Mungu wamajabu

  • @ablatuny5406
    @ablatuny5406 5 лет назад +1

    Mashallah

  • @fahadfaraj1263
    @fahadfaraj1263 5 лет назад +1

    Thts ma home

  • @muumudy1967
    @muumudy1967 5 лет назад

    Na unguja pia wapo

  • @hajielmi7518
    @hajielmi7518 5 лет назад +1

    Dola tano ni kidogo angalau mungefanya 15 dola

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 лет назад

    Niko pande za huku bara, Manyara..ningependa siku moja nitembelee eneo hilo. Hahahaaaa yaan ni pazuri kwelikweli..wowwwww.

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 5 лет назад

    Huku kumejaaliwa hakuna utekaji wala mtekwaji.wala hakuna watu wasio julikana.
    Allah azidi kuwajaalia
    Tuseme Ameen inshaallah 🙏

  • @mohamedmbarouk7482
    @mohamedmbarouk7482 5 лет назад

    mi sione cha maana hapa

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 5 лет назад

    Maa shaa Allah

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 5 лет назад

    Popo mtam 😁natamani nimuonje sijawahi kumla nilikua sijui kama analiwa.😘

  • @rumesibarka5312
    @rumesibarka5312 5 лет назад

    Mtangazaji ni mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kazi yake. Mie nimepata kupanuwa maarifa yangu kuhusu hawa popo wa pekee wanaopatikana Pemba

  • @PEMBANKWETU7
    @PEMBANKWETU7 5 лет назад +1

    Muwaongo siewapemba hamujui idadi ya popo

    • @abdallahsuleimani7416
      @abdallahsuleimani7416 2 года назад

      Ndugu yangu mbona kichwa kizito unaambiwa idadi ya hao wanatunzwa

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa321 5 лет назад +3

    Nyumbaniii

  • @mussachuo3910
    @mussachuo3910 5 лет назад

    Zanzibar au Unguja

  • @mohamedkingi2041
    @mohamedkingi2041 5 лет назад

    Hao popo mbona wanafanana na wale wanaopatikana Mafia ktk kisiwa kidogo cha CHOLE.Majina yao pia yanafanana,then wapo wengi sana hata kupita hao walopo hapo.

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 5 лет назад

    Fakhariyetu ni taohidi na sio popo Wala kama wa jozani

  • @mohdnyambura6859
    @mohdnyambura6859 5 лет назад

    pemba nyumbani

  • @mohamedmnemba4986
    @mohamedmnemba4986 5 лет назад

    Pemba inamchango mkubw ktk taifa lkn imeekwa nyuma kimaendeleo ni mtazamo tu

    • @fatmaaly9686
      @fatmaaly9686 5 лет назад

      Hakika pemba kila kisiwa kila neema yake ya kuitilia fedha serekali

  • @suleimanbakar6097
    @suleimanbakar6097 5 лет назад

    Rikodi ya njaa!!au lioi jengine?

  • @alikhamis6033
    @alikhamis6033 5 лет назад

    Micheweni hio nilifika hapo hhh

  • @ibrahimrihan8683
    @ibrahimrihan8683 5 лет назад

    I miss home

  • @احمدالكندي-و6و
    @احمدالكندي-و6و 5 лет назад

    تحتي لكم اهل الجزيرة الخضراء

  • @mbaroukhmza2892
    @mbaroukhmza2892 5 лет назад +1

    Majacr wate wa pemba wanafuga majini.

    • @alimuhamed1830
      @alimuhamed1830 5 лет назад

      Acha propaganda zakijinga izo kaka badlika

    • @mbaroukhmza2892
      @mbaroukhmza2892 5 лет назад

      Wee huijui pemba. Unaitetea nini.?

    • @arafasalum2259
      @arafasalum2259 5 лет назад

      Unachuki na wapemba ww nini imekuuma pemba kusifiwa

    • @AsamSaid-o6l
      @AsamSaid-o6l 5 месяцев назад

      Yye mwenywe jin

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman2436 5 лет назад

    Are u kidding us man? piteni vijijini muangalie maisha ya watu yakoje, nendeni micheweni watu wanakata mawe utasema juju wa ma juju..mara wamezuiwa kuchimba mara hivi na haaana income alternative, xungumkeni pemba muoneshe maisha ya watu sio kuandika vichwa vya habari ukiingia kuna rikodi ya popo..what could those things help poor people....jiwe laki thananini na ukalikipiye benki utasema diamonds..

  • @RashidAli-fx6ud
    @RashidAli-fx6ud 5 лет назад

    kwani Pemba sio Zanzibar?

  • @احمدالكندي-و6و
    @احمدالكندي-و6و 5 лет назад

    هكذا سميت بمبا بالجزيرة الخضراء

  • @aliy3303
    @aliy3303 5 лет назад +1

    Mashallah

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu1200 5 лет назад

    Mashallah

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 5 лет назад

    Mashallah

    • @mwanahawa2703
      @mwanahawa2703 5 лет назад

      Tena wapemba mwende kwenu muhame unguja

  • @mudyelneny1207
    @mudyelneny1207 5 лет назад

    Mashaallah