Home sweet home🥰🤗🤗🤗miss home chake chake tibirinz podeani mgwiye💃💃💃 kijani kibichi mmewangu alipokuja kutembea ukweni anshangaaa tu kijani kitupu na juz nimeonanna na jama wa kipakistan ananiuliz namwmambia kwetu pemba kanipongeza anataman aende tena matembez mandhar mazur na watu wakarimu hajawah kupata kuona ALLAH BLESS OUR PEMBA ISLAND🤲🤲🤲
Dana Dana, ni kweli Pemba iko nyuma sana,lakini mimi nafikiri ni mikakati ya watawala kuwaweka katika hali hiyo ili watimize mipango yao. Wataalam wa Pemba wamekimbia kwao sio kwa hiyari bali mateso waliyoyapata huko nyuma. Juu ya hayo,iwapo mipango mizuri ya kimaendeleo yatawekwa,na wa Pemba wakaamua basi mabadiliko ya jamii hayatachukua muda yatabadilika.
@@veronicanditeze425 Hakuna anaetarajia kujengewa nyumba bure,tunategemea miradi muhimu kama bandari,barabara,huduma bora za afya na elimu.Leo ukiumwa maradhi mazito lazima ukimbilie muhimbili. We Pemba hawakueka pesa mbele na ndio maana mgeni akenda kijijini,hapo kuwa wanakijiji hawana hali nzuri,lakini mgeni lazima apate angalau chai ya rangi na kipande cha muhogo wa kuchemsha.
Ami hatuikimbii ni mfumo tu wa maisha jinsi ulivotengenezwa ni hii serekali yetu. Ila wallahi twaapa Pemba nkwetu na twaipenda. Mara kwa Mara twaja tukitia macho nuru
Hao popo mbona wanafanana na wale wanaopatikana Mafia ktk kisiwa kidogo cha CHOLE.Majina yao pia yanafanana,then wapo wengi sana hata kupita hao walopo hapo.
Are u kidding us man? piteni vijijini muangalie maisha ya watu yakoje, nendeni micheweni watu wanakata mawe utasema juju wa ma juju..mara wamezuiwa kuchimba mara hivi na haaana income alternative, xungumkeni pemba muoneshe maisha ya watu sio kuandika vichwa vya habari ukiingia kuna rikodi ya popo..what could those things help poor people....jiwe laki thananini na ukalikipiye benki utasema diamonds..
Home sweet home🥰🤗🤗🤗miss home chake chake tibirinz podeani mgwiye💃💃💃 kijani kibichi mmewangu alipokuja kutembea ukweni anshangaaa tu kijani kitupu na juz nimeonanna na jama wa kipakistan ananiuliz namwmambia kwetu pemba kanipongeza anataman aende tena matembez mandhar mazur na watu wakarimu hajawah kupata kuona
ALLAH BLESS OUR PEMBA ISLAND🤲🤲🤲
Pemba safi hata maadili ya ki zanzibari sasa yapo Pemba, Mola tuzidishiekheri na imani inayoondoka, Alwa bless Zanzibar Aamin!
Tecno F123 mashaalla
Nalipenda sana jina Pemba namshukuru Allah kunifanya nizaliwe Pemba so Pemba is very beautiful place in east Africa
Pemba yetuu, hakika najivunia
Allah atupe kheri yake na idumu daima Pemba yetu
Allah ayihifadhi Pemba yetu isijekuingiwa na maovu kwakila wanapo ingia watalii
Nikweli nilibahatika kufika Kijiji cha MAKOMBENI Pemba,na niliwaona POPO wengi mno,tunajivunia neema hiyo alhamdulillah
hongera sana alfatah kwa kuipasha pemba na vivutio vyake ni jambo la faraja sana mimi binafsi nilipokua mdogo nmesha.wahi kula popo wetu wapemba
#فتبارک الله احسن الخالقین#Ametukuka Mwenyezimungu Mbora Wa kuumba#
Al Fatah tv online mnafanya vizuri video zenu zina viwango vzr kongole kwenu
pemba yetu kijani kibichi ni ishara ya neema lkn cctunamkosea Allah sana ndio mana akatubadilishia tunatakiwa tuache tofauti zetu tumeejee Mola wetu
tumrejee Mola wetu
Nani tunawashinda kwa mabaya acha kutunyanyapaa wewe km sio utu wa watu wa PBA hiki kisiwa kingesha potea.Asalaam aleykum
Pemba peremba ukijanajoho utarud nakilemba wale Wamtambwe wenzang tujuane
Najivunia Pemba yetu
Ahsanteni sana kwa makala haya yenye kuvutia.
Allah ailinde pemba
Amin yaa 🙏
alfatah hongeren chin ya uongoz wa sh.Rashid Salim...kwa kutupa elimu hii...mumeimprove sana
Maashaallah ewe mola izidishie nuru al_ fatah
Ameen
Salha Khamis Amin kwa sote
الله يبارك جزيرة الخضراء و اهلها
Home sweet home; Mashallah. Al Fatah for a good article. Please give us more attractive articles to broadcast our Island.
I love Pemba my homeland 💖🌺
❤️
Asanteni sana picha na mandhari yote kwenye hii video ni nzuri na ya kuvutia sana.
Dana Dana, ni kweli Pemba iko nyuma sana,lakini mimi nafikiri ni mikakati ya watawala kuwaweka katika hali hiyo ili watimize mipango yao.
Wataalam wa Pemba wamekimbia kwao sio kwa hiyari bali mateso waliyoyapata huko nyuma.
Juu ya hayo,iwapo mipango mizuri ya kimaendeleo yatawekwa,na wa Pemba wakaamua basi mabadiliko ya jamii hayatachukua muda yatabadilika.
Serikali iwajengee nyumba? Mnapesa ila mnaikimbia pemba
@@veronicanditeze425
Hakuna anaetarajia kujengewa nyumba bure,tunategemea miradi muhimu kama bandari,barabara,huduma bora za afya na elimu.Leo ukiumwa maradhi mazito lazima ukimbilie muhimbili.
We Pemba hawakueka pesa mbele na ndio maana mgeni akenda kijijini,hapo kuwa wanakijiji hawana hali nzuri,lakini mgeni lazima apate angalau chai ya rangi na kipande cha muhogo wa kuchemsha.
Hongera mzee Ali Hamad umemuelezea vzuri popo.hongera sana
woooow beautiful Place for me
Mkoa wa tanga wilaya ya muheza katika hospitol ya augastino Teure wapo popo kamawote tena wakubwa zaid
Unajua sana kutangaza broo...Allaah awafikishe mbali na tv yenu..isipokua mtangaze habari zenye kumpendeza allaah baasi.
MashAllah home sweet home
Saidi Yathrib hao popo hadi Mafia wapo wengi tu sio pemba pekee
Pemba ndio wamezidi
nimeshakula sana hao wadudu
الحمد لله
Home sweet home love you Pemba
Gooood
Naiyona pemba yetu ya kijani kibichi
Safi sn kazi mzuri sana mashallah
Masha'allah Allah izid nime penda huyu baba anajua kufahamisha uzur
Dah ! sijui wanahisabiwa vip.
Mashaallah neema izo
Shukran AlFatah
Popo oye pemba oyeeeee
Jamani nataka mke huko Pemba
Ally Madunda komaa ww mtu hatafuti mke kwenye mitandao kwani hukujui pemba ukaja mwenyewe
Sweet Island
Huyo ni marehemu kwa sasa
Wawoo editing nzuri Sana big up
Tutunze rasilimali zetu kwani ndio hazina yetu wana Tz na Africa kwa pamoja
Love my pemba
Mash Allah sweat Home sweat
Hongera mzee uko vizuri sana!
Mungu yupo nitatembelea nami huko
Nice Island....
Pemba pereeemba ukienda utakupendaaaaaa
Really
maskini Pemba imebakiwa na popo tu sasa. ndio kivutio chenyewe
mambo ni fireeeeeeeeee
Home stweety home 😍
PEMBE LILIWALO NDIO WORLD RECORD...na haitovunjwa till doom day
Maachallah maachallah pemba nakupenda sana
Maashallah
sasa popo watasaidiya nini..watu wana maisha magumu..njaaa ndiyo tunaongoza duniani
kisiwa cha kwetu Pemba ...wale wa konde tujuwani basi
Naipend pemba pureeeee
Tunajidaii kuipenda kumbeee munainkimbiaaaa kwann tupunguze unafk
Ami hatuikimbii ni mfumo tu wa maisha jinsi ulivotengenezwa ni hii serekali yetu. Ila wallahi twaapa Pemba nkwetu na twaipenda.
Mara kwa Mara twaja tukitia macho nuru
ALLAH katujaaliya neema lakini pemba tuko nyuma kimaisha hawataki tuendelee kimaisha
Ndio manayake ila allah atatunyanyua tu na ipo sku tutaushangaza ulimwengu
Ebana! Kumbe hao jamaa wanaliwa?!
Dola tano ni kidogo angalau mfanye dola kumi
Mashaallah..eh kumbe popo wanaliwa ?toba sikuwahi kujua
Shamsa Haji nmmi ndo kwanza leo
Shamsa Haji tena niwatamu kushinda kuku
@@danadana6450 kwa kweli najiskia siwezi kula hao lol
Watam hatar karibu kisiwani
Waroho tu hao watu,wanatafuta Ebola bila kujuwa.
Pemba Home sweet home ❤️❤️
Mungu wamajabu
Mashallah
Thts ma home
Na unguja pia wapo
Dola tano ni kidogo angalau mungefanya 15 dola
Niko pande za huku bara, Manyara..ningependa siku moja nitembelee eneo hilo. Hahahaaaa yaan ni pazuri kwelikweli..wowwwww.
Welcome
@@mundhirslim5574 powaaaaaaaaa good.
Huku kumejaaliwa hakuna utekaji wala mtekwaji.wala hakuna watu wasio julikana.
Allah azidi kuwajaalia
Tuseme Ameen inshaallah 🙏
mi sione cha maana hapa
Maa shaa Allah
Popo mtam 😁natamani nimuonje sijawahi kumla nilikua sijui kama analiwa.😘
Karib pemba
Mtangazaji ni mtu mwenye uzoefu mkubwa wa kazi yake. Mie nimepata kupanuwa maarifa yangu kuhusu hawa popo wa pekee wanaopatikana Pemba
Muwaongo siewapemba hamujui idadi ya popo
Ndugu yangu mbona kichwa kizito unaambiwa idadi ya hao wanatunzwa
Nyumbaniii
Popo Unguja wapo mbona
Khamis Machano jmni sikasema nyumbani tu
Zanzibar au Unguja
Hao popo mbona wanafanana na wale wanaopatikana Mafia ktk kisiwa kidogo cha CHOLE.Majina yao pia yanafanana,then wapo wengi sana hata kupita hao walopo hapo.
Fakhariyetu ni taohidi na sio popo Wala kama wa jozani
pemba nyumbani
Pemba inamchango mkubw ktk taifa lkn imeekwa nyuma kimaendeleo ni mtazamo tu
Hakika pemba kila kisiwa kila neema yake ya kuitilia fedha serekali
Rikodi ya njaa!!au lioi jengine?
Micheweni hio nilifika hapo hhh
I miss home
تحتي لكم اهل الجزيرة الخضراء
Majacr wate wa pemba wanafuga majini.
Acha propaganda zakijinga izo kaka badlika
Wee huijui pemba. Unaitetea nini.?
Unachuki na wapemba ww nini imekuuma pemba kusifiwa
Yye mwenywe jin
Are u kidding us man? piteni vijijini muangalie maisha ya watu yakoje, nendeni micheweni watu wanakata mawe utasema juju wa ma juju..mara wamezuiwa kuchimba mara hivi na haaana income alternative, xungumkeni pemba muoneshe maisha ya watu sio kuandika vichwa vya habari ukiingia kuna rikodi ya popo..what could those things help poor people....jiwe laki thananini na ukalikipiye benki utasema diamonds..
kwani Pemba sio Zanzibar?
Sio
Jibu zur 😂
هكذا سميت بمبا بالجزيرة الخضراء
Mashallah
Mashallah
Mashallah
Tena wapemba mwende kwenu muhame unguja
Mashaallah
Mudy elneny
Mudy elneny