Historia Fupi ya Kisiwa cha Pate, Lamu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
    #mombasa #kenya #eastafrica #africa #lamu #bajuni #news #usa #europe #worldcupqatar #JustStambulin'

Комментарии • 282

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Год назад +27

    Mimi ni mzawa wa Unguja, Zanzibar. Nilibahatika kutembelea Lamu na Pate. Nilifurahi sana kuwaona ndugu zangu wa huko, japo kuna tofauti ndogo ndogo baadhi ya maneno lakini tulifahamiana uzuri na nilijihisi kama niko kwetu Unguja. Asante kwa maalumati haya muhimu, kuna haja kubwa ya kuifahamu historia yetu kupitia kwa wazawa. Kuna haja pia ya kuuhuisha umoja wa watu wa mwambao wa afrika ya mashariki. Insha allah ipo siku ile golden age itarejea tena na itadumu zaidi ya mara iliyopita.

    • @jambo3751
      @jambo3751 Год назад +1

      Na Mimi pia natoka Zanzibar na niliwahi kuishi katika kisiwa cha Lamu na niliwahi pia kufika hapo PATE na kuzunguka kisiwa chote hicho cha Pate na nilifikia kwa wenyeji wangu sehemu inayoitwa CHUNDWA wakati nilipotembelea hapo Pate nawashukuru sana watu wote wa Visiwa vya Lamu na Pate Kiwayuu Ndau na kote kwa ukarimu wao Allah awalipe kila la kheri.
      Watu wa mwambao wa Africa mashariki sote ni ndugu .

    • @hashimseif1194
      @hashimseif1194 10 месяцев назад +1

      Assalamu alaikum.
      Hakika ninafaidika sana na darsa za Sheikh Stambuli wa Sheikh Abdillahi Nassir.Wakati wa miaka ya 1987 nilipata bahati ya kusoma Kisauni
      nikatembelea Lamu ,Shangarubu ,Siyu, Faza,Chundwa,Pate,Shela ,na baadhi ya visiwa vyengine majina yake nimevisahau.Pia kuna wanachuoni
      walinisomesha ninao wakumbuka
      Sheikh Ali Lodi ,Sheikh Hassan Husein,S heikh Dumila wa birikau,
      pia nilikuwa nikisikiliza darsa za Sharifu khitami masjid Mendhir
      Kibokoni.Hakika mila zao na desturi zao zinafanana sana nahapa kwetu Unguja.Watu wakarimu mno na wanaupenda uislamu na elimu yake.
      Na huyu Sheikh Stambuli wa Sheikh
      Abdillahi Nassir nilikuwa niimuon mitaa ya Ingilani ,na mara moja moja nilikuwa nikimsikia akizungumza historia ya Zanzibar ,na wakati ule wanasiasa
      wa zamani hapa Unguja walikuwa
      wahai mmoja nilimuuliza kwanini
      huu mwambao wa Mombasa ukawa
      Kenya ?alinambia waingereza walitaka wende huko na kulikuwa
      na watu wakiongozwa na yule Sheikh aliekuwa akitoa darsa Bilali mission siku za Ashuraa na wenziwe
      walipinga sana lakini muengereza aliwagawa mijikenda na waswahili,
      na wakafanywa mijikenda ni wenyeji
      na waswahili ni kizazi cha waarabu.
      Akafaulu muengereza kuifanya ni
      Kenya.Nipo Unguja Zanzibar nazi
      fuatilia darsa zako Sheikh Istambul
      .Allah akutengenezee mambo yako.

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du 10 месяцев назад

      @@hashimseif1194 Aameen

  • @swalehdiesel8340
    @swalehdiesel8340 Год назад +6

    Napenda kusikia historia za mahala tumetoka...mashallah baba yetu

  • @nawazasiwazi8061
    @nawazasiwazi8061 Год назад +5

    Khalifa Bwanamaka Khalifa Very good narrator, Good job brother Allah Akuhifadhii na Akuzidishie Elimu zaidi. Amiin.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +4

    Safi sana kwa historia nzuri

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 Год назад +11

    I salute you brother for the good work of educating us of our coastal history 👏👏👏

  • @thebanadirfactor306
    @thebanadirfactor306 Год назад +7

    Well presented video

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991 Год назад +5

    Ma shaa Allah TabarakaAllah, tungepata video nzury zaidi za pate tukanufaika sanaa nako,nimefahamu mingi Alhamdlh

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  Год назад +1

      Ahsanta sana. Na, inshaa'Allah, Mwenyezi Mngu atatujaaliya tuweze kunufaishana zaidi kwa hiki kidogo cha fahamu alizotujaaliya.

  • @jkizondoswahilibites434
    @jkizondoswahilibites434 Год назад +6

    MashaAllah babangu Allah akuweke Allahuma Ameen yaa rabb ❤

  • @salimbunu8717
    @salimbunu8717 Месяц назад

    Historia Mzuri shukran,ingekuwa vizuri utaje vijiji vote vilioko kisiwa cha pate(Pate Island ) katika utangulizi ,Kwa faida ya mskilizaji,Kisha ndio ndio ufanye Tahasus ya pate Kama Kijiji kimoja Katika Pate Island .katika Pate Island,Kuna vijiji vengine Kama ,Shanga,Siyu,Rasini, Tchundwa, kizingitini, na kadhakika.

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 Год назад +3

    Kazi nzuri, lugha Safi....

  • @rashochano6949
    @rashochano6949 Год назад +3

    Kazi nzuri bwana stambuli, tuelimishe.

  • @HansChuma
    @HansChuma 4 месяца назад +1

    Mimi niwapwan dar es salaam huaga nasemaga sisi wote watu wapwan kaka moja mama moja baba moja shangazi mmoja Alhamdullillah mashallah

  • @nancywachira
    @nancywachira Год назад +7

    Good history 🔥🔥 nimenifunza mengi ... Asante sana Sheik... Kuna pia wale wasichana bikra Saba walistiriwa Na Mungu fanya hiyo Na Ile YA njia za underground zinazienda Rasini

  • @Shamso697
    @Shamso697 Год назад +3

    MashaAllah ❤

  • @abulali9264
    @abulali9264 Год назад +2

    Mashaallah barakallah Allah akuhifadhi kwa ilmu nafiya

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 6 месяцев назад

    Asante mzee wangu hua napenda sana kusikiliza stor na hasili yangu pwani na mzee asili ya kizaz changu

  • @abubakarbakedumila5006
    @abubakarbakedumila5006 Год назад +4

    Home sweet home Lamu pate island siyu 💪👌

  • @obbah3873
    @obbah3873 6 дней назад

    Keep going with the excellent work. I'm one of the very few remaining descendants of the Portuguese merchants that once lived in Pate. Patê in Portuguese means 'head' or 'chief' or 'leader' not to be confused with the sea food (salmon patê).The leader of the islands used to reside there when my ancestors sailed to those shores.

  • @aliyissa9857
    @aliyissa9857 Год назад +3

    Very informative

  • @mbarakali1873
    @mbarakali1873 Год назад +2

    Sheikh stambuli tupee vituu , MashaAllah

  • @mohammedbadi6757
    @mohammedbadi6757 Год назад +3

    Baraka ALLAHU FIIK Shukraan sana.

  • @mafiaonlinetv9833
    @mafiaonlinetv9833 Год назад +2

    Mashaallah,asli ya wazee wangu huko ukoo wa Nabahani.

  • @abdallahmasare3116
    @abdallahmasare3116 Год назад +3

    Shukran mzee wetu kwa historia hii.

  • @mohamedlalimahazi9932
    @mohamedlalimahazi9932 Год назад +3

    Kali mzuri sana asanta

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 Год назад +2

    Allah akupe afya njema na kila mtu💚

  • @baqirhemraj7639
    @baqirhemraj7639 Год назад +5

    Very informative, we need more of such youtube videos.

  • @MKuli-x6o
    @MKuli-x6o Год назад +1

    Nabhani masha alaah

  • @husseinali5535
    @husseinali5535 Год назад +1

    Shukran sana brother for let us know

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 Год назад +3

    Shukraan ❤❤❤❤❤

  • @idrismohamed2691
    @idrismohamed2691 Год назад +2

    Asc stambul mashaallah kazi kwako

  • @maragolihistory2118
    @maragolihistory2118 Год назад +2

    Best channel Ever.

  • @javedabdulrahman7080
    @javedabdulrahman7080 Год назад +1

    Makala mazuri,Masha Allah Stanbuli.

  • @simoncrompton2951
    @simoncrompton2951 Год назад +2

    Kazi nzuri

  • @salimmbwana6926
    @salimmbwana6926 Год назад +1

    Mpaka matamshi ya lugha ya kiswahili ni sawa sawa Wazanzibari na Wapate.

  • @salahabass7605
    @salahabass7605 Год назад +3

    اللهم إحفظ أهل الساحل

  • @muhammadmahsen3754
    @muhammadmahsen3754 Год назад

    Shukran kwa maelezo muhimu ya historia ya Patte

  • @Mbarak1
    @Mbarak1 Год назад +3

    Asalaam aleykum
    Tunaomba nasi watu wa tanga kutaka kujua historia ya mji wetu kwa tusiyoyajua

  • @leekulaten3676
    @leekulaten3676 Год назад +3

    Mashallah

  • @hamisikalama1286
    @hamisikalama1286 Год назад +3

    Kumbe pwani tuna wanahistoria wazuri nahuyu anakiswahili murua matamko yake namfananisha na Sheikh Stambuli,Mimi nimpenda hadithi zidi kutujuza usisite.

  • @doza1031
    @doza1031 Год назад +2

    Wallai history nzuri sana ila ni fupi sana

  • @muktaermohammed2377
    @muktaermohammed2377 Год назад +1

    We will continue fighting until Independents of oromo Land Including our port city of Lamu and the red sea Port of zalila soon back to oromo muktaer W.B.O

    • @Shamso697
      @Shamso697 Год назад

      Fool this is not Ethiopia 😂

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y Год назад +2

    Shukran

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani6423 Год назад +3

    Hawa ndugu zetu kabisa wa pemba

  • @abudyhahan7376
    @abudyhahan7376 Год назад +1

    Allaah amrehemu babu yangu hii ni true story alinielezeea WALLAHI tena .alinipa hii story

  • @innocentman5954
    @innocentman5954 Год назад +2

    Sheikh Istambul shukran jazilan kwa jitihada zako na elim ii yenye manufaa. Nina swali.. niliwah kuskia kua kuna mskiti kibla chake kimeelekea yabtul maqdas hapa pate. Je ni kwel? Ahsantum

  • @brayo001
    @brayo001 Год назад +2

    Hao watu waliokuwa wakiishi huko Pate lakini hawakustaarabika ndio wenyeji haswa...

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu 3 месяца назад

    Wallah nataman niende lamu nipo Zanzibar

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 Год назад +1

    Tungependa kuona zaidi...

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 11 месяцев назад

    Watu wa pate kiswahili chao kama cha zanzibar tofauti na watu wa mombasa

  • @ba_yu72
    @ba_yu72 Год назад +1

    Naomba ufike kisiwani Tumbatu na Paje kusoma historia ya hapo,naona hujasibu historia hiyo kwa usahihi hasa.

  • @star-husaynaveiro2852
    @star-husaynaveiro2852 Год назад

    mashaAllah, home sweet home...

  • @MuhammadRashid-jq7eq
    @MuhammadRashid-jq7eq Год назад +3

    Mzee stambuli abillahi nassir twafaidikia na historia unayoitoa ya mwambo WA pwani

  • @MKuli-x6o
    @MKuli-x6o Год назад

    Masha alah

  • @saidothman2521
    @saidothman2521 Год назад +1

    Sheikh naomba kujua historia ya kabila la Albatawy lilivyoingia katika mwambao wa Afrika mashariki

  • @adamsalim6863
    @adamsalim6863 Год назад +2

    Tupe histori ya wachangamwe

  • @maryamhamad3485
    @maryamhamad3485 Год назад

    Mashaallah, lamu ni kwetu,sante sana

  • @feisal6592
    @feisal6592 Год назад +1

    Yess

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 Год назад +1

    Anaitwa bwana maka niliwahi kusikia historia ya majina ya "Bwanamaka"😭😭😭😭😭😭

  • @faithfultoyeshua4576
    @faithfultoyeshua4576 Год назад

    Interesting

  • @MKuli-x6o
    @MKuli-x6o Год назад

    King nabhani

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 Год назад +1

    Ni mashia

  • @righttoknowwiththomas9178
    @righttoknowwiththomas9178 4 месяца назад

    Are you related to stambuli who used to be an adult education officer

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 Год назад +1

    Huyo kijana ana nasaba ya maka

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 Год назад +1

    Huyo ni Ahl Bayt Rasulillah

  • @nassimjamal1606
    @nassimjamal1606 Год назад +1

    Who are the natives whom youve described running and hidding themselves??? Who are they ?

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  Год назад +1

      Pate Island is wide and its natives vary depending on where the war was taking place. There is Pate, Rasini (Faza), Siu, Shanga, Kizingitini etc.

    • @Heegooat
      @Heegooat 7 месяцев назад +1

      Meru people I believe. They actually say they came from Manda island! They followed Tana river up to Maua and adopted farming.

  • @mkenyamzalendo4130
    @mkenyamzalendo4130 Год назад +1

    Kazi nzuri mzee

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Год назад

      Ulipotea wapi ? Ulihama Huston Texas ? Hiyo kwewe yako IPO wapi ? Mimi Ni mwanachama wa MRC na kukumbusha

    • @mkenyamzalendo4130
      @mkenyamzalendo4130 Год назад

      @@hassanalhussein3982 safi MRC ,jaribu Ruto sahii

    • @mkenyamzalendo4130
      @mkenyamzalendo4130 Год назад +1

      @@hassanalhussein3982 niko Kwale sahii na sihami

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Год назад

      @@mkenyamzalendo4130 Wewe upo Huston Texas.

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Год назад

      @@mkenyamzalendo4130 Kwani Ruto Ni nani ? Wewe mkalenjini hutishi mtu Hapa Pwani.

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y Год назад +2

    Somalia kisimaiyu tupe story

  • @2kayyo340
    @2kayyo340 Год назад +1

    Popa star this. Is great.khaleed.

  • @salma0000
    @salma0000 Год назад +2

    Mkoloni kawaida yake ni kufuta historia, mila na desturi za anaowatawala kwa hiyo msichoke kufundisha watoto wenu historia yao.

    • @Blowcurlyhead
      @Blowcurlyhead Год назад

      Kweli Kabisa

    • @dhakomodherooherokoko6037
      @dhakomodherooherokoko6037 Год назад +1

      Na mkoloni alileta dini ya uislamu na ukristo. Usikasirike 😂😂

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад +2

      @@dhakomodherooherokoko6037 hao wakoloni wa kiarabu walileta dini ya haki ndio maana mpaka leo wao wanaendelea kuifuata lakini hao waliokuletea wewe dini ya mchngo wao wenyewe hawaifuati tena sasa, wanaabudu pombe na kufirana tu

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Год назад +1

      @@dhakomodherooherokoko6037 Wazungu waliwafunza kuvaa nguo lakini muarabu hakutufunza kuvaa nguo. Walikuta wapwani wamestaarabika. Nyinyi mulikua mukitembea uchi huko kwenu Kenya.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Год назад

      @@salma0000 daah, mbona ukorofi hivi

  • @nyanjechengokarisa1540
    @nyanjechengokarisa1540 Год назад +2

    Ndio niwavamizi nyinyi sikwenu huku hii coast niyamijikenda siyawarabu

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 Год назад

      Mavigo....wamajikenda kwa upuuzi huo ndio maana wabara wamewatawala na ardhi zote kuibiwa!!!!

    • @tahiraabdul1701
      @tahiraabdul1701 Год назад +1

      Nani mvamizi?Mijikenda si wapwani halisi walikuja kutoka Shungwaya

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 Год назад

      @@tahiraabdul1701 Nao wafukuzwe ama maana yake nini ?!

    • @tahiraabdul1701
      @tahiraabdul1701 Год назад

      @@lenniefei6710 waateni

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  Год назад +1

      Kwani Mijikenda walikuja lini kwenye ufuo huu kutoka huko Singwaya/Shungwaya?!

  • @mundhirdunia
    @mundhirdunia Год назад

    MAMA uko is
    For okk0
    Is one that has the.

  • @shoobare460
    @shoobare460 Год назад

    lamu somaalia🇸🇴🇸🇴

  • @MKuli-x6o
    @MKuli-x6o Год назад

    Minge Somali nabhani

  • @JK-um6op
    @JK-um6op Год назад +2

    Kenya ni yetu wote .. Wacha kugawanya wakenya kwa kabila.. Sasa sisi tulizaliwa mpeketoni kwetu ni wapi? Hii ni kasumba ya kugawa Kenya kikabila aki.. tafadali shek hapana gawa wa Kenya.. asante sana.

    • @maryndunge78
      @maryndunge78 Год назад +6

      Ukweli wauma na utabaki kuwa kweli! history will be thire whether you like it or not ! Wengi wenyu hamtaki ukweli juu mtafichuliwa uozo wenyu kwa tamaduni za kipwani. mumebadilisha hadi mila zilizoko Pwani si mavazi si uchumi. .wacha Shek aweke mambo paruwanja

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  Год назад +7

      Kwa hakika, kila mtu ana namna anavyoelewa jambo lolote linapoelezwa na mtu mwengine, na wewe huna makosa kuelewa hivyo ulivyoelewa. Lakini, haya tunayoeleza hapa ndiyo kweli ilivyo na inavyopaswa kuelezwa! Inshaa'Allah, ukiendelea kufuata makala haya kwa makini utaelewa kuwa lengo letu hata si hivyo unavyofikiria wewe kabisa! Mwenyezi Mngu atatuongoza sote.

    • @salimmachila5736
      @salimmachila5736 Год назад +3

      Kasumba walizifanya akina uhuru... bring your point with facts sio drama

    • @JK-um6op
      @JK-um6op Год назад +1

      @@salimmachila5736 watch what you say my friend.. hii Kenya ni yetu wote..hakuna sehemu itatengwa kwa watu or kabila Fulani.. we have freedom of movement and leaving any where you wish..

    • @salimmachila5736
      @salimmachila5736 Год назад

      @@JK-um6op ukweli wauma

  • @maryndunge78
    @maryndunge78 Год назад +5

    Kazi nzuri sana angalau tupate kujua historia ya Pwani na Kenya

  • @areyoureal2723
    @areyoureal2723 Год назад +2

    Mashallah kazi nzuri sana inshallah twawaombea muzidi kuendelea inshaallah, ila kidogo kunao khitilafu katika part ya shanga ,shanga kulingana na historia zile ruins sio zao wale n watu wakuja n wasiu wakawapokea lkn kulingana na historia pale ni siu sio shanga shukraan.

  • @mwinyiramadhani2029
    @mwinyiramadhani2029 Год назад +1

    Masha Allah , makala mazuri

  • @Issa_negro
    @Issa_negro Год назад +5

    Naipenda historia kama hii Ila sio historia za kikoloni😂