Historia Fupi ya Kisiwa cha Pate, Lamu.
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
#mombasa #kenya #eastafrica #africa #lamu #bajuni #news #usa #europe #worldcupqatar #JustStambulin'
Mimi ni mzawa wa Unguja, Zanzibar. Nilibahatika kutembelea Lamu na Pate. Nilifurahi sana kuwaona ndugu zangu wa huko, japo kuna tofauti ndogo ndogo baadhi ya maneno lakini tulifahamiana uzuri na nilijihisi kama niko kwetu Unguja. Asante kwa maalumati haya muhimu, kuna haja kubwa ya kuifahamu historia yetu kupitia kwa wazawa. Kuna haja pia ya kuuhuisha umoja wa watu wa mwambao wa afrika ya mashariki. Insha allah ipo siku ile golden age itarejea tena na itadumu zaidi ya mara iliyopita.
Na Mimi pia natoka Zanzibar na niliwahi kuishi katika kisiwa cha Lamu na niliwahi pia kufika hapo PATE na kuzunguka kisiwa chote hicho cha Pate na nilifikia kwa wenyeji wangu sehemu inayoitwa CHUNDWA wakati nilipotembelea hapo Pate nawashukuru sana watu wote wa Visiwa vya Lamu na Pate Kiwayuu Ndau na kote kwa ukarimu wao Allah awalipe kila la kheri.
Watu wa mwambao wa Africa mashariki sote ni ndugu .
Assalamu alaikum.
Hakika ninafaidika sana na darsa za Sheikh Stambuli wa Sheikh Abdillahi Nassir.Wakati wa miaka ya 1987 nilipata bahati ya kusoma Kisauni
nikatembelea Lamu ,Shangarubu ,Siyu, Faza,Chundwa,Pate,Shela ,na baadhi ya visiwa vyengine majina yake nimevisahau.Pia kuna wanachuoni
walinisomesha ninao wakumbuka
Sheikh Ali Lodi ,Sheikh Hassan Husein,S heikh Dumila wa birikau,
pia nilikuwa nikisikiliza darsa za Sharifu khitami masjid Mendhir
Kibokoni.Hakika mila zao na desturi zao zinafanana sana nahapa kwetu Unguja.Watu wakarimu mno na wanaupenda uislamu na elimu yake.
Na huyu Sheikh Stambuli wa Sheikh
Abdillahi Nassir nilikuwa niimuon mitaa ya Ingilani ,na mara moja moja nilikuwa nikimsikia akizungumza historia ya Zanzibar ,na wakati ule wanasiasa
wa zamani hapa Unguja walikuwa
wahai mmoja nilimuuliza kwanini
huu mwambao wa Mombasa ukawa
Kenya ?alinambia waingereza walitaka wende huko na kulikuwa
na watu wakiongozwa na yule Sheikh aliekuwa akitoa darsa Bilali mission siku za Ashuraa na wenziwe
walipinga sana lakini muengereza aliwagawa mijikenda na waswahili,
na wakafanywa mijikenda ni wenyeji
na waswahili ni kizazi cha waarabu.
Akafaulu muengereza kuifanya ni
Kenya.Nipo Unguja Zanzibar nazi
fuatilia darsa zako Sheikh Istambul
.Allah akutengenezee mambo yako.
@@hashimseif1194 Aameen
Napenda kusikia historia za mahala tumetoka...mashallah baba yetu
Khalifa Bwanamaka Khalifa Very good narrator, Good job brother Allah Akuhifadhii na Akuzidishie Elimu zaidi. Amiin.
Safi sana kwa historia nzuri
I salute you brother for the good work of educating us of our coastal history 👏👏👏
May the Almighty guide and bless us all abundantly. Shukran.
Well presented video
Ma shaa Allah TabarakaAllah, tungepata video nzury zaidi za pate tukanufaika sanaa nako,nimefahamu mingi Alhamdlh
Ahsanta sana. Na, inshaa'Allah, Mwenyezi Mngu atatujaaliya tuweze kunufaishana zaidi kwa hiki kidogo cha fahamu alizotujaaliya.
MashaAllah babangu Allah akuweke Allahuma Ameen yaa rabb ❤
Historia Mzuri shukran,ingekuwa vizuri utaje vijiji vote vilioko kisiwa cha pate(Pate Island ) katika utangulizi ,Kwa faida ya mskilizaji,Kisha ndio ndio ufanye Tahasus ya pate Kama Kijiji kimoja Katika Pate Island .katika Pate Island,Kuna vijiji vengine Kama ,Shanga,Siyu,Rasini, Tchundwa, kizingitini, na kadhakika.
Kazi nzuri, lugha Safi....
Kazi nzuri bwana stambuli, tuelimishe.
Mimi niwapwan dar es salaam huaga nasemaga sisi wote watu wapwan kaka moja mama moja baba moja shangazi mmoja Alhamdullillah mashallah
Nashukuru ndugu yangu kwa msimamo wako. Mwenyezi Mngu akujazi maishani.
Good history 🔥🔥 nimenifunza mengi ... Asante sana Sheik... Kuna pia wale wasichana bikra Saba walistiriwa Na Mungu fanya hiyo Na Ile YA njia za underground zinazienda Rasini
Kamum ur crazy mbna nmekuelewa na sjakuelewa
MashaAllah ❤
Shukran.
Mashaallah barakallah Allah akuhifadhi kwa ilmu nafiya
Asante mzee wangu hua napenda sana kusikiliza stor na hasili yangu pwani na mzee asili ya kizaz changu
Home sweet home Lamu pate island siyu 💪👌
Keep going with the excellent work. I'm one of the very few remaining descendants of the Portuguese merchants that once lived in Pate. Patê in Portuguese means 'head' or 'chief' or 'leader' not to be confused with the sea food (salmon patê).The leader of the islands used to reside there when my ancestors sailed to those shores.
Very informative
Sheikh stambuli tupee vituu , MashaAllah
Baraka ALLAHU FIIK Shukraan sana.
Mashaallah,asli ya wazee wangu huko ukoo wa Nabahani.
Shukran mzee wetu kwa historia hii.
Kali mzuri sana asanta
Allah akupe afya njema na kila mtu💚
Very informative, we need more of such youtube videos.
Nabhani masha alaah
Shukran sana brother for let us know
Shukraan ❤❤❤❤❤
Asc stambul mashaallah kazi kwako
Best channel Ever.
Makala mazuri,Masha Allah Stanbuli.
Kazi nzuri
Mpaka matamshi ya lugha ya kiswahili ni sawa sawa Wazanzibari na Wapate.
اللهم إحفظ أهل الساحل
Allahumma aamiin. Ahsanta.
Aamiin
Shukran kwa maelezo muhimu ya historia ya Patte
Asalaam aleykum
Tunaomba nasi watu wa tanga kutaka kujua historia ya mji wetu kwa tusiyoyajua
Inshaa'Allah, tutashughulikia hill.
@@stambuliwash.abdillahinass8123 afuan sheikh langu
Mashallah
Kumbe pwani tuna wanahistoria wazuri nahuyu anakiswahili murua matamko yake namfananisha na Sheikh Stambuli,Mimi nimpenda hadithi zidi kutujuza usisite.
Hyo ni shekh stabul hujamfananisha
Wallai history nzuri sana ila ni fupi sana
We will continue fighting until Independents of oromo Land Including our port city of Lamu and the red sea Port of zalila soon back to oromo muktaer W.B.O
Fool this is not Ethiopia 😂
Shukran
Hawa ndugu zetu kabisa wa pemba
Allaah amrehemu babu yangu hii ni true story alinielezeea WALLAHI tena .alinipa hii story
Sheikh Istambul shukran jazilan kwa jitihada zako na elim ii yenye manufaa. Nina swali.. niliwah kuskia kua kuna mskiti kibla chake kimeelekea yabtul maqdas hapa pate. Je ni kwel? Ahsantum
Hao watu waliokuwa wakiishi huko Pate lakini hawakustaarabika ndio wenyeji haswa...
Wallah nataman niende lamu nipo Zanzibar
Tungependa kuona zaidi...
Watu wa pate kiswahili chao kama cha zanzibar tofauti na watu wa mombasa
Naomba ufike kisiwani Tumbatu na Paje kusoma historia ya hapo,naona hujasibu historia hiyo kwa usahihi hasa.
mashaAllah, home sweet home...
Mzee stambuli abillahi nassir twafaidikia na historia unayoitoa ya mwambo WA pwani
Masha alah
Sheikh naomba kujua historia ya kabila la Albatawy lilivyoingia katika mwambao wa Afrika mashariki
Tupe histori ya wachangamwe
Inshaa'Allah, nitafanya hivyo ndugu yangu.
Mashaallah, lamu ni kwetu,sante sana
Yess
Anaitwa bwana maka niliwahi kusikia historia ya majina ya "Bwanamaka"😭😭😭😭😭😭
Interesting
King nabhani
Ni mashia
Are you related to stambuli who used to be an adult education officer
Huyo kijana ana nasaba ya maka
Huyo ni Ahl Bayt Rasulillah
Who are the natives whom youve described running and hidding themselves??? Who are they ?
Pate Island is wide and its natives vary depending on where the war was taking place. There is Pate, Rasini (Faza), Siu, Shanga, Kizingitini etc.
Meru people I believe. They actually say they came from Manda island! They followed Tana river up to Maua and adopted farming.
Kazi nzuri mzee
Ulipotea wapi ? Ulihama Huston Texas ? Hiyo kwewe yako IPO wapi ? Mimi Ni mwanachama wa MRC na kukumbusha
@@hassanalhussein3982 safi MRC ,jaribu Ruto sahii
@@hassanalhussein3982 niko Kwale sahii na sihami
@@mkenyamzalendo4130 Wewe upo Huston Texas.
@@mkenyamzalendo4130 Kwani Ruto Ni nani ? Wewe mkalenjini hutishi mtu Hapa Pwani.
Somalia kisimaiyu tupe story
Inshaa'Allah, coming soon!
Popa star this. Is great.khaleed.
Shukran sana Popa. Allah baarik.
@@stambuliwash.abdillahinass8123 Ameen
Mkoloni kawaida yake ni kufuta historia, mila na desturi za anaowatawala kwa hiyo msichoke kufundisha watoto wenu historia yao.
Kweli Kabisa
Na mkoloni alileta dini ya uislamu na ukristo. Usikasirike 😂😂
@@dhakomodherooherokoko6037 hao wakoloni wa kiarabu walileta dini ya haki ndio maana mpaka leo wao wanaendelea kuifuata lakini hao waliokuletea wewe dini ya mchngo wao wenyewe hawaifuati tena sasa, wanaabudu pombe na kufirana tu
@@dhakomodherooherokoko6037 Wazungu waliwafunza kuvaa nguo lakini muarabu hakutufunza kuvaa nguo. Walikuta wapwani wamestaarabika. Nyinyi mulikua mukitembea uchi huko kwenu Kenya.
@@salma0000 daah, mbona ukorofi hivi
Ndio niwavamizi nyinyi sikwenu huku hii coast niyamijikenda siyawarabu
Mavigo....wamajikenda kwa upuuzi huo ndio maana wabara wamewatawala na ardhi zote kuibiwa!!!!
Nani mvamizi?Mijikenda si wapwani halisi walikuja kutoka Shungwaya
@@tahiraabdul1701 Nao wafukuzwe ama maana yake nini ?!
@@lenniefei6710 waateni
Kwani Mijikenda walikuja lini kwenye ufuo huu kutoka huko Singwaya/Shungwaya?!
MAMA uko is
For okk0
Is one that has the.
lamu somaalia🇸🇴🇸🇴
Minge Somali nabhani
Kenya ni yetu wote .. Wacha kugawanya wakenya kwa kabila.. Sasa sisi tulizaliwa mpeketoni kwetu ni wapi? Hii ni kasumba ya kugawa Kenya kikabila aki.. tafadali shek hapana gawa wa Kenya.. asante sana.
Ukweli wauma na utabaki kuwa kweli! history will be thire whether you like it or not ! Wengi wenyu hamtaki ukweli juu mtafichuliwa uozo wenyu kwa tamaduni za kipwani. mumebadilisha hadi mila zilizoko Pwani si mavazi si uchumi. .wacha Shek aweke mambo paruwanja
Kwa hakika, kila mtu ana namna anavyoelewa jambo lolote linapoelezwa na mtu mwengine, na wewe huna makosa kuelewa hivyo ulivyoelewa. Lakini, haya tunayoeleza hapa ndiyo kweli ilivyo na inavyopaswa kuelezwa! Inshaa'Allah, ukiendelea kufuata makala haya kwa makini utaelewa kuwa lengo letu hata si hivyo unavyofikiria wewe kabisa! Mwenyezi Mngu atatuongoza sote.
Kasumba walizifanya akina uhuru... bring your point with facts sio drama
@@salimmachila5736 watch what you say my friend.. hii Kenya ni yetu wote..hakuna sehemu itatengwa kwa watu or kabila Fulani.. we have freedom of movement and leaving any where you wish..
@@JK-um6op ukweli wauma
Kazi nzuri sana angalau tupate kujua historia ya Pwani na Kenya
Mashallah kazi nzuri sana inshallah twawaombea muzidi kuendelea inshaallah, ila kidogo kunao khitilafu katika part ya shanga ,shanga kulingana na historia zile ruins sio zao wale n watu wakuja n wasiu wakawapokea lkn kulingana na historia pale ni siu sio shanga shukraan.
Masha Allah , makala mazuri
Naipenda historia kama hii Ila sio historia za kikoloni😂
😁😁