MAFUNZO YA UWEKEZAJI KATIKA DHAMANA ZA SERIKALI KWA KAMATI YA PIC
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Benki Kuu ya Tanzania ikiongozwa na Naibu Gavana, Dkt. Bernard Kibesse, imekutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) na kutoa elimu kwa wajumbe wa kamati hio kuhusu namna ya kuwekeza katika Dhamana na Serikali za muda mfupi na muda mrefu jijini Dodoma.
Very informative aisee
Very informative
Nice
Mim sijaelewa kuhusu faida umesema tuu 14% kwa mwaka afu inakuaje??
Ninaomba kuuliza: Ni kipi kiasi cha chini kabisa kuweza kununua dhamana katika Primary Market?
Ni laki tano kiwango cha chini