WEKEZA KWENYE HATI FUNGANI ZA SERIKALI ZA MUDA MFUPI NA ZA MUDA MREFU - BY LAWRENCE MLAKI
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- Hati Fungani za serikali ni fursa nzuri sana ya uwekezaji kwa kila Mtanzania. Ni yema kupata ujuzi wa jinsi zinavyofanya kazi ili uweze kuwekeza kwa amani zaidi. Video hii inaelezea mambo yote ya msingi juu ya uwekezaji kwenye hati fungani za muda mfupi na muda mrefu kama zilivyoelezewa na mtaalam Lawrence Mlaki.
Thanks a lot (you and the whole team behind) for sharing your knowledge with us. I hope more Tanzanians can wake up and start learning. God bless you all!
Elimu nzuri kwa watanzania wenye nia ya kujua uwekezaji. Naomba kujua tafuatayo (1) kwa hiyo hizo bonds, nikitaka kununua at primary level ( mnada ukitangazwa) siruhusiwi kwenda ku- bid personally? Ni lazima nimtumie dalali? (Broker)? (2)Halafu pia, je kama nikimtumia dalali ni lazima nilipe hizo hela ninazo bid kwake kabla ya mnada, (as premium, at par au discount rate) kwa broker au ni mimi ndio naenda nazo mikononi, au inakuaje hapo? Na huyo dalali, ananicharge kiasi gani ili anihudumie? (Kuanzia process ya kubid mpaka kufunguliwa sijui account!!? ambayo ulisema hata bank yangu wanaweza kunisaidia?
Ziko kila wakati
God bless you...Very insightful knowledge
Sasa apo unapo mfananisha UTT na BONDS haipo sawa kumbuka UTT anampokea mteja mwenye Tsh 10000
Nyie bonds ni 1M nakurndelea..kubgekuwa na option ya chini hata kama ya kufanania na treasure bills watu wangevutika. MAIN POINT WAAMBIE WATU WAJAZE MZIGO UTT WAKIWA NA MITAJI YA KUTOSHA WAJE DIRECT INTO BOND..
UTT mfuko gani
naomba kuuliza, kwa mfano nimewekeza mwaka huu million 2, mwakan naweza kuongeza tena pesa kwenye ile million 2 ya mwanzo au mpaka niBID tena kwenye mnada mwingine?
Ubarikiwe Mkuu, Elimu nzuri sana na imefafanunuliwa kitaalamu sana
Be blessed
Tunaenda ngazi nyingine saaa ❤ asante sana
Asante sana mwalimu...somo zuri sana
Je serikali ikisitisha Mambo ya bond itakuwaje?
Then utawekeza kwenye fursa zingine. Lakini sio rahisi kwa Serikali kufanya hivyo maana inahitaji hizo pesa kuendesha miradi mbali mbali kwenye nchi.
Very insightful and great session.
kweli wewe ni mchumi, nimeelewa sana leo, kumbe Tanzania tuna wasomi aisee.
Information ni kitu cha muhimu sana mkuu
Tunaomba Mawasiliano yako. 🤗
Lawrence Mlaki anapatikana kwa namba 0763600556
Mi ninayo.sasa nataka kukopa .nifanyaje?
Nafatilia video zako kuna kitu najifunza
That is the problems when it comes iterms of terminalogies
Ahsante sana kwa Elimu hii.
Huyu jamaa ni mkufunz mzur sana.
Mim nauliza ukinunua bond Kwa 101% , bid anapataje faida?
Asante sana nimehamsika Inshaallah namie nitenda kuwekeza huko❤❤❤
Ukiuza bond yako, utarudishiwa pesa yako yote?
Ndio unapata pesa yako uliyoweka. Kama una Bond ya 100m na kipindi chako kikiisha unapata pesa yako kama ilivyo.
Amekuuliza uki uza bond. May be after 3 years. Labda una hitaji hela je utapata principal amount ?
Ndyo@@imtiazvisram8800
Office zako zipo wapi
Nice
Tusaidie
Ahsante brother
Mwalimu nilikuwa na swali moja umesema kwamba unapokuwa umenunua bond kwa bei ya punguza kwa maana ya chini ya 100% na baada ya mataokeo ya huo mnada ikawa waliopata ni wale wa at per na premium peke je ile pesa yako iliyoweka itarudshwa au ndo itakuwa imepotea?
Ed naomba namba yako kaka
0755518289
@@EdmundMunyaginaomba maelezo zaidi
@@angelmsafiri3306 nitafute kwa 0755518289
Mkuu NAWEZA PATA VITABU VYAKE?
Hana vitabu kwa sasa. Lakini ni kuangalia kwenye bookshops kama kuna vitabu vya Hati Fungani.
Kwenye Bonds unaweza uka compound interest ? Usi withdraw au interest ni lazima uichukue?
So far Great content and very informative . Bingo!
Mkuu bado Sijaelewa.
Ni vyema ukauliza swali ili uelezewe zaidi.
Asante kwa elimu🙏🙏
Karibu Natalia, Usisahau ku like, comment, subscribe na kushare na wengine.
Tressury bills zina tax?
Ndio zina withholding tax.