WEKEZA KWENYE HATI FUNGANI ZA SERIKALI ZA MUDA MREFU (GOVERNMENT BONDS) Na Lawrence Mlaki

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 май 2021

Комментарии • 61

  • @imaniseba
    @imaniseba Год назад +4

    Asante sana Edmund.....Nasikitika sana kuwa watu wachache wanatazama video hizi...I am passionate about personal finance and personal development vilevile...Going through these and other videos online....learning a lot....

  • @eliascosta2479
    @eliascosta2479 15 дней назад

    Very powerful presentation

  • @mariagrayson5414
    @mariagrayson5414 Год назад +1

    Am learning a lot here . My brother told me about this and today i told my sel i want to learn i hope am not late . Thanks bro

  • @brobabuu3973
    @brobabuu3973 2 года назад +14

    Elimu kubwa sana hii...Ni watu wachache sana wanaoangali hizi video.. na hao ndo watakaofanikiwa. Keep it up bro.

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад +4

      Kabisa. Wengi wanaangalia video za wasafi.. 😂

    • @brobabuu3973
      @brobabuu3973 2 года назад +6

      @@EdmundMunyagi Very SAD.. In four weeks wanaviewers 7.4M katika masuala ya Burudani ila kwenye mambo ya msingi like Financial Education unakuta viewers ni chini ya 1K na hapo Average view duration ni less than 20%

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад +4

      @@brobabuu3973 Kabisaa na ndio maana watakaofanikiwa ni wachache. Wengi watabaki kulalamika tu.

    • @RoseKalinga
      @RoseKalinga 6 дней назад

      Elimu nzuri sana

  • @happytitus2119
    @happytitus2119 Месяц назад +1

    Bila C3 huwezi kuelewaa huu mtanange

  • @mwizalubimafwele8245
    @mwizalubimafwele8245 2 года назад +1

    Asante sana kwa hili darasa

  • @dennismongi8970
    @dennismongi8970 4 месяца назад

    Du! Hii elimu ni muhimu sana sana,jamani huu ni utajiri wa kutosha kabisa

  • @protasmtechula9705
    @protasmtechula9705 Год назад

    Thanks bro

  • @davidkimambo205
    @davidkimambo205 2 года назад +2

    Alieshika camera badala ya kuonyesha board ananionyesha Manka🤔

  • @sherianabdul1354
    @sherianabdul1354 2 года назад

    Safi saana

  • @israel1331
    @israel1331 8 дней назад

    Je naweza kopa Hela commercial bank na kuinvest kwenye Treasury bonds then nikatumia coupon kulipia mkopo wangu?

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Год назад +1

    Edmund, secondary bonds huwa zinatangazwa na benki kuu au mpaka mtu binafsi akufate akuuzie?

  • @user-kn7ul8vq9h
    @user-kn7ul8vq9h 8 месяцев назад

    Kwan lazma uwee na million 100 ungetolea mfano pesa ambazo mtu wakawaida anawezaa pata mfano kuanziaa million1

  • @davidkimambo205
    @davidkimambo205 2 года назад +1

    Ngoja nitafute 20bn niweke huko.

  • @asteriayohana3746
    @asteriayohana3746 6 месяцев назад

    Samahani brother ninawaza kununua bond ya 1m alafu nitaruhusiwa kuongezea??? Au hairuhusiwi kuongezea???

  • @abasisapi5474
    @abasisapi5474 2 года назад +2

    Elimu nzuri, ila nashangaa mimi ni mtu wa kwanza kuweka comment!

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад +1

      😂😂😂 Nadhani watu wengi wamekuwa wanaenjoy somo wanasahau kuweka comment.

    • @jonasmaginga2374
      @jonasmaginga2374 2 года назад +1

      kama 6 hv

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      @@jonasmaginga2374 sio mingi sana lakini nakuelewa unavyofeel baada ya kupata hili somo.

    • @abasisapi5474
      @abasisapi5474 2 года назад

      Nataka kuwekeza kwenye Treasury Bonds. Nafunguaje account kwenye simu?

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      @@abasisapi5474 hauwezi kufungua account kwenye simu. Unahitaji kuwasiliana na broker atakusaidia kufungua. List ya brokers inapatikana kwenye site ya bot www.bot.go.tz

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 2 года назад +3

    Sorry, naomba kujua, kwa hiyo nikinunua primary bond let say ya 20 milioni kwa miaka 5, pamoja na kupewa hizo interests on semi annually basis, mwisho wa hiyo miaka 5 narudishiwa capital yangu yote au ndio inakua mali ya bank kuu mimi nakua nimefadika na riba tu? Naomba kujibiwa kitaalamu wapendwa. No jokes.

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      Mwisho unarudishiwa pesa yako.

    • @catherinemzurikwao3265
      @catherinemzurikwao3265 2 года назад

      @@EdmundMunyagi OK. Ahsante kwa taarifa 🙏🙏

    • @jonathanhellen1
      @jonathanhellen1 Год назад +1

      ​@@EdmundMunyagi Hello Edmund. Umeongea kuhusu building portfolio. Lets say nimeinvest bond ya 25yrs amounting to 100m with an 80% loan on the bond ie from crdb now giving loan on 13% interest rate, it will take 14yrs to repay the loan. So there will be 11yrs left to collect the interest plus the capital of 100m at the end of yr 25. Then the second loan will be 80% of the (80% of 100m) ie 64m worth of loan also will take 14 yrs at 13% given they are given within the same yr meaning few months apart and interest hasnt changed. Then take another loan 80% of the 64m which is 51.2m (this one will take all 25yrs for this 51.2m) to be paid using the dividend received yearly and some additional amounting to 498,692 yearly.
      So at the end of year 25 portfolio itakua na 100m (11 yrs of interest) + 80m (11 yrs of interest) + 64m (with no interest since its paying loan ya 51.2m for 25yrs) + 51.2m (with its monthly interest)
      Capital only Amounting to (100+80+64+51.2)= 295,200,000 from 100m initial amount.
      Interest (12.56 p.a)
      1. 100m p 138,160,000
      2. 80m p 110,528,000
      3. 51.2m p 160,768,000
      QNS.
      1. Is this applicable in our banks? Kuna uhalisia katika hili?
      2. Can any bank offer these kind of loans back to back. Or for a duration of that many years? (14 to 25)

  • @user-uw9tn8uz7d
    @user-uw9tn8uz7d 11 месяцев назад +1

    asante sana Edmund.....natamani kuwekeza lakin mtaji wangu autoshi nifenyeje namimi niwekeze ?

  • @sigaladaniel653
    @sigaladaniel653 6 месяцев назад

    Je gawio la faida linalipwa kwa wakati?maana gvt muda mwingine huwa wana mambo mengi.

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy 4 месяца назад

      Kwa elimu kidogo nliyonayo, hizo Bonds zinatolewa na Bank Kuu(BoT) na ndio namna Bank Kuu(BoT) inavyotengeneza pesa mpya kwenye mzunguko.
      Hizo riba(mf: 15% kwa 100M Bonds) ndo zinakuwa pesa mpya.
      So malipo hayachelewi sababu BoT ndo wanaoruhusa/dhamana ya kutengeneza/ku-print pesa mpya.

  • @bballdunks869
    @bballdunks869 9 месяцев назад

    taarifa ni utajiri

  • @nivardhalechi6217
    @nivardhalechi6217 2 года назад

    ..ni kwa namna gan naweza kutana na brocker..?

  • @ereneusmujuni6380
    @ereneusmujuni6380 2 года назад +2

    Government bond huwa wanatangaza bei ya kuanza kubid ?

  • @gapsonrevocatus1641
    @gapsonrevocatus1641 2 года назад +1

    Natamani namna ya kujua kushiriki hio minada lakini sijui unafanyaje

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      Unatakiwa uanze kwa kumtafuta Broker ndio atafanya kila kitu kwa niaba yako.

    • @latifaeifan3573
      @latifaeifan3573 Год назад

      @@EdmundMunyagi nataka nianze kununua bonds lakini sijui nianzeje. Naomba nitumie contacts za brokers

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  Год назад

      @@latifaeifan3573 dse.co.tz/sites/default/files/dsefiles/REGISTER%20OF%20LICENSEES%20-%202022_1_1.pdf

  • @BenMtenga-iu1tg
    @BenMtenga-iu1tg 8 месяцев назад

    Nahitaji kuhudhuria hizi Seminar
    Napataje ratiba?

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  7 месяцев назад

      Tufuatilie kwenye Instagram @letstalkfinancetz semina inayofuata ipo December tarehe 9.

  • @jonasmaginga2374
    @jonasmaginga2374 2 года назад +1

    Nimetamani nistafu mapema hela zote niweke bondi

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      Hahaha.. kwani una miaka mingapi imebaki mpaka kustaafu?

    • @jonasmaginga2374
      @jonasmaginga2374 2 года назад +1

      Sana, hapa siwezi kuchukua mkopo benki tena nahawataniona daima

    • @jonasmaginga2374
      @jonasmaginga2374 2 года назад +1

      Kufungua akaunti kwenye simu sifahamu utaratibu wake. maana hii elimu nilikuwa siijui.

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      @@jonasmaginga2374 Sasa hauwezi kufungua account kwenye simu ili kununua Hatifungani. Unahitaji kuzungumza na broker ambao unaweza kupata list yao kwenye site ya BOT www.bot.go.tz

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      @@jonasmaginga2374 😂😂😂 Vizuri kama umeona kuna tija zaidi kwenye huu uwekezaji.

  • @Maisha-Halisi
    @Maisha-Halisi 2 года назад

    Hao brokers unawapataje?

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 2 года назад +1

    Kiukweli Mimi exposure ya Kuelewa Mambo ninayo kiasi chake lakini mwalimu anafundisha as if anafundisha wanauchumi wenzie au pengine Sisi wavamizi Ni maususi kwa wanauchumi tuu?

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      Kitu gani kimekufanya useme ni kwa wana uchumi?

    • @homan_nkwama
      @homan_nkwama 2 года назад +1

      @@EdmundMunyagi rejesta iliyo tawala na vocabulary nyingi Yani misamiati mingi inatuhitaji tuwe na background kiasi Fulani ILA wenye background naamini wameelewa na kuinjoy sana mfano Mimi Ni medical laboratory technician nikiwa naeleza afya ya jamii nitalazimika kuswitch niandane na jamii badala ya kusema worms spicies itabidi n niseme aina za minyoo hata Kama kiswahili akifiti sana incinerator itabidi nisema majalala ya kuchoma taka hata Kama aijitoshelezi sana ili niende na wote

    • @homan_nkwama
      @homan_nkwama 2 года назад

      Samahani kwa comment zangu nitafuta hivi punde ili zisiwape mkumbo wengine kisaikolojia mana sikuwa na access yakujua account zako insta ili niku DM

  • @richard2218188
    @richard2218188 2 года назад

    Je kwenye secondary market, mtu anaweza kununua kiasi cha bond za mtu au lazima iwe full amount? Yaani mfano mtu anabond za 10M from primary market, anaweza kuuza 5M kwenye secondary market?

    • @msellegodwin
      @msellegodwin 2 года назад

      kaka Edmund tusaidie jibu la hili