ANGALIA HII KABLA YA KUANZA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MITI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 мар 2021
  • Kilimo cha miti ni fursa nzuri sana ya kuwekeza hapa nchini kwetu. Kuna bidhaa nyingi ambazo zinategemea kilimo cha miti hivyo upatikanaji wa soko sio changamto kubwa. Ni vyema kwa kila mtu ambaye angependa kujikita kwenye biashara hii kupata elimu ya kutosha juu yake ili kujiandaa na changamoto mbali mbali ambazo zinaweza kutokea.
    Video hii inakupa tu maelezo ya awali na experience yangu katika biashara hii. Ni vyema ukaendelea kupata elimu zaidi kupitia taasisi kama Tanzania Forestry Society, Wizara ya Maliasili na Utalii nk.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 42

  • @antonysimba
    @antonysimba 11 месяцев назад +4

    Aki umesema vitu mob poa. Amongst them, "lazima mistakes; usipo make mistakes you'll never learn" !
    Asante kwa advice zote.

  • @francismlelwa5766
    @francismlelwa5766 2 года назад +2

    Ahsante kwa Maarifa unayotoa.Be blessed.

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 3 года назад +1

    Ahsante brother

  • @peteralexis7351
    @peteralexis7351 2 года назад +2

    Hongera kaka uxhindile napafam sana pamoja na kitete,ugala na mgororo kwenye mashamba ya miti

  • @ramadhanikiiza4820
    @ramadhanikiiza4820 2 года назад

    Safi sana kk umetupa madini

  • @eliakanyika8440
    @eliakanyika8440 3 года назад +2

    Semin ipo vizuri Kaka Edmund

  • @billyrique
    @billyrique 3 года назад +3

    Hongera kwa somo zuri sanaa. HApa hujapanda kama mitiki yenye bei kubwa sana. Ni hatari sana.

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  3 года назад

      Kabisa. Wewe umepanda Mitiki?

    • @emanuermbata8745
      @emanuermbata8745 3 года назад

      Asante sana kwa somo zuri ila naomba nisaidie namba ambayo ninaweza kupata miche midogo ili niweze kupanda

    • @emanuermbata8745
      @emanuermbata8745 3 года назад

      0686 361 757

    • @wilsonmpollo1613
      @wilsonmpollo1613 2 года назад

      Mitiki Ina pesa Sana naomba nijibu

    • @enocknaftar2202
      @enocknaftar2202 2 года назад

      @@EdmundMunyagi kazi nzuri naomba namba yako

  • @petronillajosephat91
    @petronillajosephat91 Год назад

    Asante Kwa somo zuri.kwa upande wa mtwara miti gan inafaa kupandwa Kwa ukanda huu

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 3 года назад +1

    Congratulations Edmund

  • @asmanisaid8271
    @asmanisaid8271 3 года назад +1

    👌🤝🤝

  • @mohamedameir9016
    @mohamedameir9016 3 года назад +1

    Super

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 Год назад +1

    Naomba namba ya simu nahitaji kupanda MITI kwenye shamba langu

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn9453 2 года назад

    Edmund, kwenye bond unapataje pato zaidi ya mwisho inapoiva

  • @maveaimee3111
    @maveaimee3111 3 года назад +1

    💪💪💪💪💪

  • @lovenessmushendwa1230
    @lovenessmushendwa1230 2 года назад +1

    Nilazma huko??
    Mm nina shamba bagamoyo

  • @bigchancesmallchance1958
    @bigchancesmallchance1958 2 года назад +4

    Habari yako mkuu?
    naomba namba yako nina maongezi private?

  • @lynalyna3968
    @lynalyna3968 2 года назад +1

    Mimi Nina shamba la miti kaka Ed,Sehemu moja inaitwa igeleke

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад +1

      Ohhh okay. Basi tuwasiliane zaidi. 0755518289

    • @lynalyna3968
      @lynalyna3968 2 года назад

      @@EdmundMunyagi poa kaka nachukua no yko nakuchk whatsp

  • @josephmoses2469
    @josephmoses2469 Год назад

    BROO MM NIPO KWENYE KUPANDA MITI NIMEPENDA HIYO PROJECT NATAKA NIJUE UMBALI WA KUPANDA NI MITA NGAP NZULI KWA UPANDAJI PAINI NA KALATUSI

  • @beatricemrisho8431
    @beatricemrisho8431 Год назад

    Kaka naomba phone number yako nina mpango wa kufanya hiyo business nahitaji ushauri tu.. Thanks

  • @mahijamikael3652
    @mahijamikael3652 Год назад

    Nashamba la mtiki natafuta mununuz

  • @georginahokororo847
    @georginahokororo847 2 года назад +1

    Samahani naomba kupata mawasiliano ya hao uliosema kuwa wana vitalu vyenye miche mizuri

  • @JamalASaid
    @JamalASaid 3 года назад +1

    Mie ningependa kujua kama una group lolote la social media....

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  3 года назад +1

      Kwa sasa group lililopo limejaa but tutaendelea kujuzana.

    • @alihassansorikushey1414
      @alihassansorikushey1414 2 года назад +1

      Mm ningependa hio investment ila nipo kenya ingewezeka hata kuvuka border nipo tayari nimependa somo lako Shukran sanaaaa kaka kuna namba yoyote ya mawasiliano please?

  • @GraceTinda
    @GraceTinda Год назад +1

    Kaka naomba mawasiliano...