HATUA SABA ZA UHURU WA KIFEDHA - DR. AMINA ABDUL
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Jifunze juu ya hatua 7 Za Uhuru wa Kipato kama zilivyofundishwa na Dr. Amina Abdul kwenye Event ya Let's Talk Finance iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Kwa videos zingine kutoka kwenye events zilizopita click kwenye link hapa chini;
JATU: • Video
HISA: • TENGENEZA UTAJIRI KUPI...
HATIFUNGANI: • WEKEZA KWENYE HATI FUN...
UTT: • UWEKEZAJI WA PAMOJA - ...
UHURU WA FEDHA: • UHURU WA KIFEDHA Na Ed...
Kama umependa mafunzo haya basi tukukaribishe kwenye event yetu ijayo ambayo itafanyika tarehe 14/10/2021. Kupata taarifa kwa urahisi tufollow kwenye Instagram;
Edmund Munyagi: / ekmunyagi
Let's Talk Finance: / letstalkfinancetz
Asante sana kwa mafundisho
May you start these events mikoani
Asante Sana kwa elimu
Tafadhali ni lini seminar
Shukran
Hongereni sana kwa elimu hii
i wish iwe zaidi
Ahsant Sana my dada mungu akulipe Kila la kher kw elimu yko kwakweli umenijenga ss ntanz kujitasmini na kuchukua hatua ,,napia hongera Sana kw kuwajeng wtt kielimu
Nimekukubali dada
Maua yako mama🎉❤
Naomba mfike namikowani
Asante sana dada mafunzo ni mazuri nimejifunza kitu
I like it
Thank you👏🏾
Asante sana Dr Amina
Shukran sana
Thank you brother
Naomba hizo notes au kitabu
Am a new subscriber
Welcome Ivah
@@EdmundMunyagimikowani mfike jamani
Toeni no za cm kwa Msaada zaidi.
Hivi mnatuonyesha washiriki so what??
Mwenye anajua Ig yake plz
Nashauri vipindi hivi vihaririwe na kuwe kunaonyeshwa masuala muhimu ya presentation. Mfano wakati anauliza hii picha inafundisha nini, mhariri alipaswa kutuonyesha picha hiyo. Vivyo hivyo kwa dots muhimu za mwezeshaji.
good topic madam , but you talk alot about your personal matters ....reduce it talk about the core content pls.....focus