UWEKEZAJI WA PAMOJA KWENYE MIFUKO YA UTT Na Daudi Mbaga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 50

  • @joycemalunda1748
    @joycemalunda1748 2 месяца назад +2

    Background music is very disturbing 😢

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Год назад +3

    background music ipunguze volume jmni

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Год назад +4

    Napenda utt japo nimechelewa kuingia huko lkn walipo utte nipo.
    Asanteni Utt.

    • @Elikiyosaki_
      @Elikiyosaki_ 2 месяца назад

      Habari, hujachelewa rafiki doors are still open for us , fursa hii sii ya kuacha

  • @veronicalemalali6361
    @veronicalemalali6361 Год назад +2

    Asante sana nimejifunza vitu vingi. Taenda kufungua yangu and my kids also. Be bless my brother

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Год назад +2

    Somo ni zuri sanaaaa!
    Thank you Daudi.
    Nahavache mno nimeelewa!

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 2 года назад +4

    The background music is so high!

  • @jerryjac4323
    @jerryjac4323 2 года назад +3

    music ina kwaza kusikiliza

  • @renicokinemo4808
    @renicokinemo4808 2 месяца назад +1

    Very powerful presentation

  • @barakayusuph5190
    @barakayusuph5190 10 месяцев назад +3

    Hongera sana mr daudi mbaga natamana sana hii elimu ifike kwa watu wengi hasa Sisi tuliopo huku pembezoni mwa nchi kama katavi,kigoma ,sumbawanga ,songea,mtwara.

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Год назад

    Aaah Dr nimekuelewa nitajilipa myself first kuanzia mwezi huu mwishoni.
    Sasa,sasa,sasa nitajilipa.kwanza nimechezea fedha kumbe.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Год назад

    hiyo ubanani sijui kasema uber 8 ST namba D ndo nini akisema it gives 150 per week 15:31 naomba jamni kuwlezewa jmni tafadhali

  • @depaalissuofficial
    @depaalissuofficial 3 месяца назад

    Dear Mr. @edmundmunyagi, naweza kupata kitabu kinachoelezea juu ya uwekezaji wa UTT AMIS hasa mifuko ya Ukwasi na Hatifungani?
    Kindly, reply me back when you find this quest message!

  • @julioineza6052
    @julioineza6052 2 месяца назад

    This sound so 👌 interesting and straightforward ,anyone here who has tried the past 3 years constantly??

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Год назад +1

    Tumuombeeni sana Mama Samia wetu na serikali yake ya uongozi then our country will grow which will impact our investments for the Glory of our God! thanks much Mbaga for your time and presentation..superb!

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Год назад

    Wsnalamba kweli yaani kazi hipo

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Год назад

    Daudi una madini ya uwekezaji, Mungu akubariki sana.

  • @nicksonjk8479
    @nicksonjk8479 Год назад

    Kudos Daud, very robust preparation 👏 🎉

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Год назад

    Nitauza nyumba 1 nilete utt.

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 11 месяцев назад

    Kweli kabisa jitambuwe

  • @RainpeterKimario
    @RainpeterKimario 5 месяцев назад

    Upo vizuri kaka

  • @mikaayo10
    @mikaayo10 Год назад +1

    Asante sana Mr Mbaga ingawa mimi ni mwekezaji UTT Kuna kitu kipya nimejifunza

  • @mlalidaycare814
    @mlalidaycare814 2 года назад

    Nice presentation Mr mbaga..by the way I got a wonderful lesson about shares investment . very satisfied to me

  • @deokarithomas1243
    @deokarithomas1243 2 года назад

    Naomba slide hizo za wekeza maisha.

  • @daudimkuki8018
    @daudimkuki8018 Год назад

    Dah i learn a lot...

  • @mkwejonathan361
    @mkwejonathan361 Год назад

    Safi sana bro, be blessed

  • @catherinekawa8078
    @catherinekawa8078 Год назад

    Mimi nahitaji kujiunga UTT lakini nawapata wapi?

    • @catherinekawa8078
      @catherinekawa8078 Год назад

      Ama nawezapata no za simu niongee nanyi ana kwa ana?

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  Год назад

      Wapo Sukari House, Dar es Salaam. Wana branches, Dodoma, Arusha nadhani na Mwanza lakini unaweza kufika kwenye Branch yoyote ya CRDB kupata huduma za UTT. Pia unaweza kutembelea tovuti yao www.uttamis.co.tz

  • @rehemaothuman3764
    @rehemaothuman3764 2 года назад

    Naitaji kujua zaid utt niwekeze nafanyaje nipo njee

    • @barakayusuph5190
      @barakayusuph5190 10 месяцев назад

      Tembelea Tawi lolote la crdb karibu yako utajua kuhusu UTT AMIS

  • @khalfantambwe5980
    @khalfantambwe5980 2 года назад

    Good job big brother

  • @lucyjosephat6316
    @lucyjosephat6316 2 года назад +1

    Nauliza mwanza huduma ya UTT inaweza kupatikana

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      Fika kwenye tawi la benki ya CRDB lililopo karibu yako.

    • @daudimbaga3204
      @daudimbaga3204 2 года назад

      nssf bldg mezanine

    • @georgenazi9325
      @georgenazi9325 2 года назад

      @edmund munyagi kwa nini watu hawaamini kuhusu utt wanaona ni kuibiwa

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      @@georgenazi9325 wakina nani hawaamini?

    • @georgenazi9325
      @georgenazi9325 2 года назад

      @@EdmundMunyagi ni watz wenzangu wananikatisha tamaa natapeliwa

  • @Devothakimei
    @Devothakimei 2 года назад +1

    Back ground ya mziki jaman

  • @rehemaothuman3764
    @rehemaothuman3764 2 года назад +1

    Tunapataje broker anausikana na utt

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  2 года назад

      Hauhitaji Broker kuwekeza UTT. Bofya *150*82# halafu fuata maelekezo. Utaweza kufungua account na hata kuanza kuweka pesa. Lakini utahitaji kujaza na fomu ya mfujo husika ambazo unaweza kuzipata kutoka kwenye website yao www.uttamis.co.tz halfu ukazirudisha ofisini kwao au ukazituma kwa email.

    • @daudimbaga3204
      @daudimbaga3204 2 года назад

      Tembelea tawi lolote la CRDB

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Год назад

    Daudi sasa kumbe nisingewekeza kwenye nyumba kwanza.Lkn nitafika Dar nipate hii hii eliminate,lkn Daudi usinywe pombe.

    • @filorammbaga5710
      @filorammbaga5710 Год назад

      Daudi wewe ni mpare Bwana ndugu yangu,proud for your tribe .Mpare ni best user wa scarce resource I proud to be mpare. We go with budget na hii ndio kauli mbiu yetu.
      Laminitis naipenda utt.

    • @hendrylema5640
      @hendrylema5640 Год назад

      ahahaha amestaafu

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 2 года назад

    👏🏽