IJUE BENKI KUU YA TANZANIA - UWEKEZAJI KATIKA DHAMANA ZA SERIKALI
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- Mchambuzi wa Masuala ya Fedha kutoka Kurugenzi ya Masoko ya Fedha BoT, Bw. Ephraim Madembwe, akieleza namna mwananchi anaweza kuwekeza katika Dhamana za Serikali za Muda Mrefu (Treasury Bond) na Muda Mfupi (Treasury Bills).
Maelezo mazuri sana
Umeeleweka sana muwasilishaji.👏🏾👏🏾👏🏾
Ok nishachek, thanks
Ila katika faida atujachanganuliwa vzur!
mimi naomba kueleweshwa
katika uwekezaji wangu, labda nimewekeza kwa miaka saba, hizo asilimia nalipwa hyo asilimia ya uwekezaji wangu kila mwaka katika hiyo miaka 7
au hiyo asilimia nalipwa mara moja tu?
Unalipwa mara mbili kwa mwaka kwenye ile faida
Ok
Swali: je nikinunua bond ya miaka 25.nikaamua kusitisha katikat je ninaweza kupewa pesa zangu au ndio ukiweka umeweka hadi 25yr itimie?
Unauza
Unaweza kuiuza kwenye soko la upili, kwenye DSE
Hasanten Sana BOT but hayo matangazo ya masoko yanapatikana wap??