WENYEVITI WA MASHIRIKA KAYASIMAMIENI KIKAMILIFU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • “Kwa wenyeviti nendeni kasimamieni. Nendeni kasimamieni mashirika yetu hii ndio faida yake. Sasa nitoe wito kwa viongozi wa mashirika wote ambap bado hawajatoa mchango wake kwa serikali na yale ambayo yametoa chini ya kiwango kinachotakiwa wahakikishe wanafanya hivyo. Tumeambiwa na Msajili wa Hazina kwamba makusanyo bado yanaendelea target yetu kwa mwaka huu ni Bilioni 850. Tupo kwenye Bilioni 600, ni imani yetu mliobaki mtachanga gawio lenu ili tufikie malengo tuliyojiwekea, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.

Комментарии •