YAni sasa ni bongo fleva back to back kwenye injili sio poa kbs dadayangu yani wewe hata wiki humalizi unalilizi neksi songi duh! Injili bongo fleva ni noma sana sista haya mungu awabariki sana muwe na maisha mema kwenye pilika zena mie niko zangu 🇲🇿
Every word here confirms my very own testimony..i relate fully with this song..Kibali kimenifanya nifike umbali..najua hawaelewi lakini Mungu ashasema neno la mwisho juu langu..loving it from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amina Mungu akuongezee Neema Minister Martha.Na ni ombi langu kibali cha Mungu juu ya Maisha yangu na hata yako mtumishi kizidi kuangaza na kufanya kazi kwa ajili ya utukufu wa Jina La MUNGU
wapi likes za wakenya kwa kibali cha Mungu
Tuko
Martha anajua sana kiukweli. Yani anajua mnooooooo. Yeye mwenyewe mzr,anakipaji kikubwa,tungo nzr zinazogusa hatari. Mengine tumwachie Mungu tu
Kibali hakik TANZANIA tumebariikiwa kuwa na Marth mwaipaja🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤
Kama hujawahi kucoment kabisa leo unajisikia kufanya hivo kwenye kibali gonga like yako hapa
Nipo apa kibali kimenibeba🖐🏻
Kazi nzuri dada yangu ubarikiwe sana
Kazi nzuri sana dada God bless you alot
❤❤❤❤ another chance to thank God for life 🥰 representing my country 🇰🇪 ❤❤ni kweli mm ni mtu tu ila mwenye kibali❤❤
Just came from Tiktok direct....really uplifting 0:58
🙏🙏🙏💚💯
Amen be blessed 🙌
Mungu akuzidishe ma'an nafarijika Kila nicikiapo nyimbo zako
God bless you mama❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kibali kimenitengenezea njia, Amen ❤🇰🇪
Another chance to represent my country and also to tell you that you are blessed🥰🥰🥰
Ameeeeeeeeeeeeeeen ❤❤❤ kibali 🎻🎻🎻🎷🎷,,, God bless you sister,,,Go go.....
Mimi Winnie Carrol kutoka Kenya kweli Mungu akikupea kibali hakuna wakupinga
Kubwaaa sana🙏
Sisi wote tumepewa kibali na Mungu wetu. Mungu Ni wetu sisi wote.
❤baraka siku zote mama...
Amen mtumishi keep it up 🇰🇪
such a blessing song yearning to meet you mam
Ujumbe mzuri, ni kweli Mimi ni mtu tu ila Mwenye Kibali🙏🙏🙏
❤❤❤ love from Uganda 🇺🇬 more anointing in Jesus's might name
We dada unajua kuiba unasauti zuri umejaliwa dada na nakupenda mno
Mungu akubariki Martha,kila mara nyimbo zako zina ni gusa sana.
Martha martha martha marthaaaa..nimekuita mara ngapi.huu wimbo ni kiboko❤❤❤❤😢 wewe siwakawaida kabisaa nimeamini🎉
Aminaaa,Mimi ni mwenye kibali Hakikaaa🙏🔥🔥
kibali cha mungu hakina mashindano
naomba kibali cha kazi 🙏🙏🙏
uko vizuri dada Ang Martha mngu akupe miaka mingi usidi to kutuburudisha kwel mngu ndo amekutipka juu🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹
😊😊😊dadangu huyo kazi Safi neema ya mungu iwe nawe
Barikiwa sana dada yangu
YAni sasa ni bongo fleva back to back kwenye injili sio poa kbs dadayangu yani wewe hata wiki humalizi unalilizi neksi songi duh! Injili bongo fleva ni noma sana sista haya mungu awabariki sana muwe na maisha mema kwenye pilika zena mie niko zangu 🇲🇿
Hongera dadangu ,watubariki sana
Am listening 🎧🎧 from zambia 🇿🇲🇿🇲 God bless you Martha
Amen amen
Mungu akulinde my friend
naakuongezee myaaka ya kuishi
Wale tunabarikiwa tukiwa Kenya ❤❤❤🇰🇪 likes zetu hapa...ni kibali kimetubeba
Madam magesa nyimbo zako Huwa zinafanya niweze ku overcome, naiona kesho iliobeba majibu yangu❤❤
Nakupendaa @martha❤❤❤❤❤ jamanii nisaidienii kufikishaa ujumbe Kwa huyu dadaaa nampendaaa mmm❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amem,, gosto muito das tuas músicas, mama martha deus te abençoe, sou de Moçambique
Wimbo mtamu sana ubarikiwe Martha
Be blessed ❤❤umeamua kutubariki once and for all,Kwa neema,kushinda sasa kibali,❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Every word here confirms my very own testimony..i relate fully with this song..Kibali kimenifanya nifike umbali..najua hawaelewi lakini Mungu ashasema neno la mwisho juu langu..loving it from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sisiwote tunakibali
mungu ni kimbwa barikiwa sana dada yang
Mungu akuinuwe sababu umenibariki sana asante maman marth🙌🙌🙌🙏❤️
Amina Mungu akuongezee Neema Minister Martha.Na ni ombi langu kibali cha Mungu juu ya Maisha yangu na hata yako mtumishi kizidi kuangaza na kufanya kazi kwa ajili ya utukufu wa Jina La MUNGU
❤❤❤❤kibali ni Mungu mwenyewe kwa kweli, Amen
Nakupenda sana dada Martha, unatubariki sana, Mungu azidi kukupa kibali
Mimi ni mwenye Kigali! Gud job mysisy Martha! Mungu akutunze
Hakika kibali cha Mungu kinatambulisha
Ubarikiwe sana mtumishi kweli unakibali
Mungu akubariki dada mwaipaja kibali ya Mungu
Hongera martha kwa wimbo mzuri wa kutia nguvu. Mungu azidi kukupa neema na kibali utangaze injili kupitia uimbaji🙏🙏
kweli mimi kibali kwa mungu
Courage, nyimbo zako nazipenda sana, Que Dieu te protège du jour au jour,
Powerful song Mum more Grace ❤️
Be blessed much, live to glorify God, Martha my likes❤
Umeweza mamangu , hongera . Barikiwa milele . Amen
Martha , keep it up,a nice song.A true message
Martha unanibariki sana kwanyimbo zako!nikweli Mimi nimtu mwenye kibali mbele zaMUNGU
@martha mwaipaja Leo umeamua kutuosha Leo na songs tatu Kwa week .😂😂😂love you
Martha anakuwaga na design yake ya kuimba ❤❤
Mimi ni MTU tu ila mwenye kibali big up sana madam
Thank you Martha for this sweet sounding praise song once again. God bless you abundantly mama. 🥰🥰🥰🥰 waiting for the video😇🤩
Kibali lazima kitengeze njia❤
Love your songs to much may God lift you up with blessed songs
Yeye pekee ni kibali changu popote pale niendapo hakuna wakunipinga 2:31 Amn.........
Hongera Dada kwa huduma Mpya.
Mimi ni mwenye kibali ,,,,,GOD
Mimi ni mtu tu ila mwenye kibali,barikiwa sana mtumishi🙏
Encouraging song ❤it Martha may God bless and continue using you .
Eeh Mungu kibali chako nahitaji
Amina.kibali cha Maulana ni kweli hakina mashindano.be blessed
Nazipenda kazi zake
Thanks, and may God increase you in His grace and abundance...kibali kimenikubali shalom. 2:08
Ubarikiwe na mungu dada na kupenda sna dadangu
Ameeeeeeee love from Zambia
Nimekibaliwa kutawala kutekote 😊😊😊 amina
Congrats. Keep the spirit to the end.
ala naipenda hii sasa❤
We call it God's favour be blessed Martha 😇🙏
Wow Mimi ni mwenye kibali
Kibali kimenitengeneza amen 💖
Amen Amen Amen Amen Amen......
Mwaipaja go go go Dear.... I love mbaya.... Unanibariki❤❤❤
Nanyakua kibali kutoka kwa mungu❤
Amen
Neema ya mungu yatosha..dada❤
Asante dada mwaipaja martha
Hongera sana Dada Martha Ubarikiweee
Kibali kibali be blessed martha from kenya❤❤❤❤
Mimi ni mtu tu mwenye kibali kbx mungu akuongezeye nguvu aku bless❤❤ 🇧🇮🇲🇿
Wimbo umenibariki sana MUNGU akutunze dada Martha
Dada Martha unanibariki sana kila Wimbo ni baraka tuu
Amina mpendwa wimbo umenibarik Sana
Kaz nzuri
❤matha sina swali hakika Kibali cha mungu hakina mpinzani.amen,amen❤
Amina
Naenda mbele kwasababu ya kibali Asante YESU
May the favour of the Lord be upon me IJN
Kibali Ni Mungu mwenyewe....tamu ..Mungu ahimidiwe❤
Hallelujah hallelujah 🙌 🙏 👏 mimi ni mtu tu ila mwenye kibali❤❤❤
Good job
This is a masterpiece
Hapa naskia Mungu mwenyewe akinena .. Wewe ni chombo tu❤
Hakika kibali Cha mungu hakina mashindono🧎🧎🧎🧎❤️❤️❤️
Amen....Amen hakika ni kibali
Kwel kibali kimenifungulia njia
More grace my. Sister Amen