MBUNGE BENAYA KAPINGA AMLIPUA WAZIRI BASHE BUNGENI "ULIPOTEANA, HAWATAKI KUSIKIA, ZINAWAPA JEURI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 4

  • @daudndunguru2856
    @daudndunguru2856 8 дней назад

    Moja wapo wanaotokea jimboni kwako kaongea kauli chafu huku makonga

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 15 дней назад

    Hapo unasema uongo sisi wakulima hatutaki Ushirika ni umasikini kwa wakulima

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 15 дней назад

    Waache maafisa ushirika wawajibike wizarani. Mkurugenzi na mkuu wa wilaya wana majukumu mengi tu itaongeza urasimu. Tatizo wabunge majimboni wanataka kuwa mabosi kwa watumishi wote

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 15 дней назад

    Ukitataka kudhibitishs kuwa watu hawataki Ushirika wekeni ushindani kati ya Makapuni na ushirika ndipo mtakapo.pata majibu yenu