CAMERA ZA SIRI ZILIVYONASA WIZI WA MAMILIONI / WAZIRI BASHE AWA MKALI, "INATOSHA".
HTML-код
- Опубликовано: 5 май 2024
- CAMERA ZA SIRI ZILIVYONASA WIZI WA MAMILIONI / WAZIRI BASHE AWA MKALI, "INATOSHA". #breakingnews #trending
GADI TV ndiyo
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.
Mh. Bashe kwa kuwa upo kwenye kusema ukweli kutetea haki zipatikane kwa wanaostahiki kutetea wanyonge Allah akusimamie akuhifadhi akujaalie elimu busara hekma na ujasiri
Aamiiiin.
Waziri Bashe na waziri Silaa nawakubali sana. Allah awahifadhi na walinde na kila shari.
Mwenyezi Mungu akulinde Mh BASHE . Iendelee kuwapigania Wakulima wa TZ.
Bashe you are the outstanding Minister and you deserve more
Una sifa zote za Uwaziri brother
Zaidi ya uwaziri 🤲
Safi kabisa kijana piga kazi
Kwakweli wewe Bashe,slaa Allah awalinde kwa hassada zao wanao taka kuwachafua mnaweza na mtaweza zaid hakuna kurudi nyuma mpaka kieleweke inshaAllah
Wanatupiga sana mkuu ata kwenye mbaazi..
mungu akusimamie kwa kazi nzuri waziri bashe uwazi ndio maendeleo ya taifa
Huyu Mh Bashe is hard worker jamani abarikiwe sana hes intelligent wise and genuinely PAN AFRICANiST...Africa we badly need these heros i believe he can be even be a President !!!
I appreciate him very well....he is presidential material too
Nakuelewa ktk kupambana na haki mungu akuongoze ktk kusimama na Tanzania
Hongera Mr Bashe wafungwe jela maisha hao hawafai
Bashe Ubarikiwe sana wewe Kijana Mungu akutunze.
BASHE MUNGU BABA AKUPE UHAIIIII MREFUUUUI
NAKUPENDAGA SAAANA 💕
Mh, Bashe mimi siku zote nasema Ushirika ndiyo chanzo cha umasikini katika Nchi hii
Brilliant minister 👏
kila siku CAG anasema wizi hakuna kinachofanyika.
Ila nimefikiria sana nikagundua kumbe tanzania watu wenye uwezo wa kuwa maraisi wapo wengi sana shida ni kuangaliana usoni tu
Wapo wengi,ila hawatakiwi, kwa kuwa wanazuia kula za watu.
Bravo
Surely you are a patriot...congrats👏👏👏
Hongera sana sana sana Mhe Bashe wewe Simba kabisa you know how to Handle Tapelis so keep it up Help the Poor Hardworking Farmers. Hongera sana kwako na RC songwe. God bless you Always..
Huyu nikweli msaidizi mzuri wa mh Rais hongera sana mh Rais
Mungu akuepushe. Na mahasidi. Wasiotaka maendeleo ya watanzania
Mama ukimaliza mdawako mungu akijalia muangalie huyu bashe mpigie hatadebe awe raisi wetu,
makonda naye y uko vizuri sanaa
Acha hizo
@@adeltuszakumuha9618asilimia kubwa ya wanaocomment humu wanajaji mtu kwa kazi moja tu nzuri waliyoiona.
JAMANI UCHAGUZI WA 20/25 TUUANGALIE UPYA. YUSIMCHAGUE MTU KWA KUMUONEA HAYO. TUWE WAKWELI JAMAANI..HASA SISI TUNAOTESEKA KIMAISHA TUANGALIE SANAA .
Hapa tunaongelea bashe na sio makonda Wala madereva
Ufisadi tu,mko kuleana, nchi ni shamba la Bibi kweli,mama anakula nao mafisadi wenzake, RIP JPM
Hata kwenye mahindi tozo ninyingi mheshimiwa wapunguze
Very excellent, Mwenyezi Mungu akulinde
Watu wanaosimama kusema umweli vita yao huwa ni kubwa sana nakuombea sana Mungu akulinde na kila visasi juu yako kwa haya uliyosema wakisikia lazima watapanga vita na ww ndio maana nasema Mungu akulinde sana mh waziri bashe nchi hii Inamuhitaji sana Mungu watu hawana huruma kbs wamekuwa walafi kupindukia utadhani wataishi milele hapa
Mungu ni mwema kazi nzuri waziri bashe siku zote msema kweli hapendwi
Musimusahau ally happy wapo watatu tu bashe silaa nahuyu jamaa wapo vzuri sana munguawalinde
Safi kbx bashe!!tunahtaji viongoz kama wew!!
❤❤❤❤duuu amakweli sisi tu ndio tunakula ugali dagaa hii nchi inapigwa tungefanana na Dubai
Waziri bashe mtuu wamaana kabisaa asante sana na mungu akubariki na ambariki raisi kwa kukuteua kututetea wakulimaa mtu wamaana kabisa
Safi sana mh waziri unjua na mungu akubariki endelea
❤Mashaa allaah Mashaa Allah wallah nakupenda sn kwaajili ya aallah uko sawa n unaumakin sn ktk wizara yko allah akuongoze n akunusuru n hasad inshaallaah
Ongera sana mh.
God bless u Bashe
Hii nchi tutafika kweli??
TUWAONE HAWA WATU LUPANGO
Mh. Bashe Allah akusimamie katika shughuli za kuleta maendeleo na kuinua kipato kutokana na kilimo nchini Tanzania.
Mungu wangu, Bashe ni JPM mtupu, mungu amlinde baada ya samia tunahitaji kiongozi wa namna hii
Saf sana mkuu wa kilimo umetishaa mkuu
Sasa brother Husen Bashe kwanini tusikuombee kwa Mungu maisha yako iwe njema! Trust me Mungu kasha sikia hiisauti yangu kitoka ndani ya moyo wangu naye Babayangu wa mbinguni atakubariki sawa sawa na impendezavyo. Amen
Naomba mungu uje kupewa Uraisi nchi hii
Kweli hii wizara inakufaa,nakukubali sana mr.Bashe.
MashaAllah, Allah akusimanie kwakweli wakulima tunaumia mm nimeanza kilimo mh bashe kaza hivyo hivyo wacha wapige miruzi hawalijui wafanyalo nikweli wanataka kukuchafua Allah atakuengua kwa hassada zao hawata kupaka matope hao waongo pambana Bashe msaidie mama samia huna baya wache na laana zao pambana Allah atakunusuru kwa kila mabaya yao wataadhirika hao.
Mungu akulinde jamani
Mwenyezi mungu akupe uzima na afya uendelee kuwatetea wakulima
Saf sana bashe huwa nakukubali endelea kutetea wanyonge ilitakiwa wafikishwe mahakamani ila ndoivo tena
Watanzania tumlinde❤
Sihangaiki na udhaifu wako
Nazingatia tu ubora wako Mungu akulinde mheshimiwa
Hongera Bashe ila siasa safi sana alie tufunga ndiye alie tufungua sisi ni asante
Asante wazili Mungu akulinde unatutetea wwanyonge tunaibiwa sana
Nakukubali sana
Huyu BASHE is very important minister in our country
Mawaziri ni wawili tu, Mh bashe na Mh Jerry slaaa
Waziri Bashe Yesu wangu akulinde dhidi ya wasiopnda kuambiwa ukweli.Hakika wewe ni shujaa usiogope Mungu atakuwa upande wako atakulinda utokapo na uongiapo na ulalapo.
Ah mie napita tu sina uwezo wa kutafuta wakili anisimamie kesi. Ikiwa makofi kidogo waniite tu nije niyaongeze kw tukio lilofanyika🚴🚴🚴
You always smart. Big up
Mama nnaomba PM akistaf naomba BASHE awe pm.
Mtanishukuru baadae
Uko Sawa Tanzania Tunakupenda sana
Wale vijana waliopelekwa kwenye Mashamba kulima, maendelelo vipi?
Mungu akulinde ila hao ina bidi wauliwe maana wezi wanakufa ntafulai wakiukumiwa kifo
safi sana muheshimiwa bashe upo vzr
Oooh allah nakuomba mola wangu simamia haki itendeke kwa uwezo na utukufu wako
Bashed, slaa, doto bila kumsahau makonda ingawa so waziri watanzania tunawaelewa sana
tatizo viongozi wa Tanzania wanaujua ukweli lakini hawapo tayari kushuhulika na wezi wezi wanyongwe kama wachina wanavyonyonga wahujumu uchumi
mh. kaka bashe asnte kwkusema ukweli unao waumiza wakulima ktik nchi hii mungu akulinde usk na mchana
Great minister mheshimiwa Rais you have good section of the Kilimo minister
Mungu akubaliki Kwa kusema ukweli ao Wacha Fu Wana sthaik kufukuzwa kazi mara1
Huwa nakuelewa vzr Sana Broo
Wewe ni mtoto wa mkulima kitengo umekiweza mh.waziri ✓
Hili ni jembe haswa,Mungu akulinde Baba.Tunataka viongozi km wewe.
Nakupenda sana kiongozi Acha Tumuombe Mola ajaalie uje kuwa Rai's Kwa Nchi yetu hii
Mungu ni mwema❤kaka bashee Mungu akutunze sana ulinzi mkubwa ni Mungu tu
safi sana mh mbashe nakuelew sana bro
Upo vizuri mhe.
masha Allah
thanks so much
Hawa ndio aina ya mawaziri tunaowataka kwenye nchi hii. Hongera Mhe. Bashe but take care kwani wapo wataochukia
Good job 👏 my cousin we love you 🥰 🇺🇸🇺🇸
Hizi ndio kazi za intelligence inatakiwa ifanye . Sio mambo ya kukimbizana na chadema
Stabilization fund very good approach. to agricultural development program for our farmers.
Mheshimiwa anafanya kazi nzuri Sana
Ila asimamie pia uonevu unaufanya serikali kwa wafanyakazi wa uma kwenye kikokotoo
Stay blessed Mkuu
Ukiwa bungeni ni hv sasa big up sana bashe sio kama wengine kazi yao kunyoosha tu tai na kupiga makofi hawachangii maendeleo apana
Fanya kazi mh. Ndiyo maana watoto wa maskini hawapati haki
Mungu akubariki baba.
Slaa wazili wa ardhi na mpina ndio nawakubali
Ndg zangu watu kama Bashe wapo ingawa ni wachache,tatizo ni kwaba juhudi zao haziugwi mkono na mfumo utakuta wote walio usika ktk wizi huu wataendelea kupeta tu! Mwisho wasiku Bashe atapigwa chini atawekwe mwana siasa fulani kama Nape tutarudi kulekule.
You deserve to be president of this country
Sasa hiyo ni wizara ya kilimo, je wizara zingine kuna usalama?
Mmh!
Ndugu yangu tunapigwa nchi hii
Karibu Sana mtwara
Kija yeyote wa JPM nikichwa Sana jmn
Mh bashe ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💯
Sasa kama yametokea hayo na mnawajua jee! mnawachukulia hatua gani?maana tushayasikia sana hayo ila hatua za kisheria hatusikii kuchukuliwa zaidi watahamishwa wapelekwe sehemu nyengine.
Tuna kukubali kaka.unaichapa kazi.Usisahau zao la miti hakuna bei wala aoko rasmi boss wangu.Nakuombea uzima kaka Bashe.
Shida siyo hao watu kuchukua hela, shida baada ya kugundua wamechukuliwa hatua gani?
Sasa tumesikia kazi nzuri saana Waziri ongera sasa wezi mnawajua je mnachukua hatua gani kwa hao walio chukua Mabillion ili hayo yanarudishwaje
Du tanzania niabu kwa wizi huu.
Wanani tena jamani je mnawafanya nni wapiga hela? Kelele za chura hizimnyimi Ng'ombe kunywa maji
Mungu atakulipa bashe! Wewe ni mtu na nusu
Mungu wangu simama na mtoto wako Bashe