Yani Simba tupo pamoja kwà kila hatu wachezaji wapambane tu, sisi tutaisapoti Simba na tunaipenda Simba yetu kupoteza mechi kawaida tu lakini kesho tuna mpiga mtu kigoma ❤ simba
wachezaji wa simba hovyo sana mechi hii wanacheza hii hawachezi sijui dharau au upumbavu tu,inakera hiyo hali usipime sisi wengine tukiona wameamua wasicheze tunaiacha timu mpaka watakapo amua kucheza ndio tunakuwa washabiki maana unaweza kufa kwabpresha bure! hivyo wajue tutawasubiri wanapoamua kushindana,wasipoamua na sisi tutakuwa bize na kazi zetu watakapoamua wasijali tupo wao hiyo ndio kazi yao sisi hapana.
Yani Simba tupo pamoja kwà kila hatu wachezaji wapambane tu, sisi tutaisapoti Simba na tunaipenda Simba yetu kupoteza mechi kawaida tu lakini kesho tuna mpiga mtu kigoma ❤ simba
Mungu ibariki simba
Wakiondoka viongozi wale ata nikicheza mimi nitaonekana the best pleya
Mashabiki ndivyotulivyo ikifunga tm hii tuko huko ninaiombea Simba ifunge mangoli mengi
Simba,ushindi
🎉simba nguvu moyaaa simba robo to nusu fin
Kocha awachezeshe chisambi na mikson kuweka mikimbio sahihi
Mungu ibari Simba yetu ishinde leo
Mungu ibarik simbaa
Simba nguvu moja
Simba Leo mmetufurahisha 🎉🎉🎉🎉
wachezaji wa simba hovyo sana mechi hii wanacheza hii hawachezi sijui dharau au upumbavu tu,inakera hiyo hali usipime sisi wengine tukiona wameamua wasicheze tunaiacha timu mpaka watakapo amua kucheza ndio tunakuwa washabiki maana unaweza kufa kwabpresha bure! hivyo wajue tutawasubiri wanapoamua kushindana,wasipoamua na sisi tutakuwa bize na kazi zetu watakapoamua wasijali tupo wao hiyo ndio kazi yao sisi hapana.
Tumeisubir kwaham smba etu Asante mungu kwakufanya irud kwenye fom
❤❤ naipenda timu yangu japan me na cmba damdam
Nashangaa utopolo wanaongea sana wasubiri kichapo kutoka kwa wapinzani
Simbaaa
Mungu ibariki yanga kesho ishinde mechi nipo goms dar
Nakupenda Sana tumu yangu
simba oyeeeeeeee
😍
Naitakia Simba ushindi mnono
Bila chama simba hamna kitu, hakuna mpira wa uhakika katikati
Kila la kheri Simba sports club
Man of the match ni goli keeper. Ama si hivyo tugenfungwa mengi tu.
Kwahiyo kipa Sio mchezaji
Ndio kazi yake hiyo kipa Sasa ulitakaje?
@@taseleli9181 nilitaka Mabeki mabeki wawe makini. Tumekosewa sana.
Bora mujifariji kwakweli viongozi wanawatesa mashabiki
kikubwa viongozi wajifunze kwenye usajili mwaka huuu;
Wachezaji wameshazoeshwa ujinga kupambana mpaka waahidiwe Hela
Ndio kwani wanatafuta nini hao … makombe ni ya timu namashabiki ila hela za wachezaji
Msimcheze mzee saidoo huyo babu kaishiwa
Mnajidanganya tu,Ku ndi lenyewe la wachovu,pirates papatu papatu,ma go lo yenyewe hata hayafutiii
Acha ushabiki Maandazi subiri mechi zako
Sasa ww kenge unaweza kusema hata babako na mamaako wakati wanatombana kutafuta mapenzi yao hayakunoga.
Uto wameumbuka nilimuona framingo shingo limemchomoka kama kaona samaki alijua mnyama atafungwa😂😂😂😂shingo ndeeeeefu
Ayo manno yak we labd uchez komb la mbuz ndo utaku vizul
Napend san simba
Bado sana
Wanachezaje ivyo
Huu sio uwanja wanaochezea. Huu ni uongo
Waooooo
Yarini hiyo mbona irikua kar
Siku ya kucheza saidoo tu hampati ushindi
piga goooooo
hatuboi Wala atupoi
me shabik was yaga
😂😂😅😂
Mbm sauti hamna jamani
Utawala
Mpiga picha hajatulia
Pirates putuaaaaa😂😂😂😂
Mipasi ya nguvu
😢🎉🎉
Nasom comment❤
2024
Mnhama
Wazewe FC leo mtapigwa tuuu,natunawaombea tukutane tuwapige sabaaa777777😂😂😂😂
Nikwer
Htari
Tuponaww
Oky
Okay
Wa swahili wanasema ukitaka kizuri basi ukigaramie wewe hauna pesa ya usajiri alafu unataka team iwe vile we unataka ni 0000.
Ukimuona babu yako hayupo nyumbani basi wahi mitaa ya jangwani utamkuta