Elia Mtishibi Ft Elizabeth Mtalitinya - Wewe Pekee (Official Live Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • 📌📌📌
    Kuna wakati kwenye maisha Tunapitia mambo ambayo yanatushawishi kufuata njia nyingine tofauti na Mungu ukizingatia ushauri wa marafiki unakuonyesha jinsi wao walivyofanikiwa nje na Mungu na unaweza kuwaza kufuata njia hizo. lakini Wako watu wachache waliosimama na wakadumu katika kusimama kumtegemea bwana na Mungu akawaonekania katika dhiki zao.. Huu ni moja ya wimbo utakaoinua imani yako sana kwa bwana nakufix macho yako kwake.
    Glory to God.

Комментарии • 55

  • @Noah_A_Misholi
    @Noah_A_Misholi 10 месяцев назад +9

    This guy writes mazee, Elia ana neema ya kuandika kaii❤❤
    The pianist nailed it ❤

    • @Pattie-io7dz
      @Pattie-io7dz 5 месяцев назад

      I totally agree....anaandika so powerful lyrics

  • @ManziThomasG
    @ManziThomasG 3 месяца назад +1

    These songs are so beautiful. Please upload them on spotify

  • @emmanuelbaraka673
    @emmanuelbaraka673 6 месяцев назад

    bado nakuamini🙏

  • @BettyGeorge-el1gb
    @BettyGeorge-el1gb 10 месяцев назад +3

    Hata kwa hilii nakuamini Yesu kwamba utatenda zaidi ya niwazavyo na zaidi niombavyo 🙌🙌

  • @AdacharityColeman
    @AdacharityColeman 10 месяцев назад +1

    amekuwa maficho yetu, sitara yetu , ngome yetu na makimbilio yetu. Tuende kwa nani zaidi ya kwa Yesu yeye pekee ndio wa kutumainiwa 🛐

  • @user-jw6cu1uz7b
    @user-jw6cu1uz7b 9 месяцев назад +1

    Amekuwa sitara yetu na maficho yetu
    Ur so faithful Jesus,,,Bado tunakuamini❤

  • @davidnkini9811
    @davidnkini9811 10 месяцев назад

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @tatuesperance150
    @tatuesperance150 6 месяцев назад

    Powerful😭😭😭😭😭😭powrful❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @irenesabuni2270
    @irenesabuni2270 3 месяца назад

    🔥🔥🔥❤️🔥

  • @elishanjau3544
    @elishanjau3544 10 месяцев назад +2

    Hata hili bado nakuamin

  • @SamuelErnest
    @SamuelErnest 10 месяцев назад +3

    Wonderful and powerful song of prayer and hope.
    Nimebarikiwa sana na huduma hii ya Mama Bishop!
    Asante sana Brother Eliya!!
    You are a blessing!

  • @annointedpresents5910
    @annointedpresents5910 6 месяцев назад

    🎧🎧🎧🎧

  • @bellakombo
    @bellakombo 10 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @louiseissabu
    @louiseissabu 8 месяцев назад

    powerful😭😭😭😭😭😭😭 powerful

  • @herryjoshua828
    @herryjoshua828 10 месяцев назад +1

    🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽Be blessed my brother...
    Mama angu .....Mungu azidi kukutunza... kwakwel....YESU NDIYE TUMAINI LETU 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @henrytarimo9802
    @henrytarimo9802 10 месяцев назад

    HAKIKA YESU ni tumaini letu hatuna mwingine. Mimi na vizazi vyangu imani yetu ipo kwa YESU tu

  • @sifuninhayo9104
    @sifuninhayo9104 10 месяцев назад

    MUNGU awainue zaidi katika huduma zenu Watumishi.
    Bado namwamini MUNGU hata katia hili. Yeye pekee ndiye tumaini langu❤

  • @siakowero6774
    @siakowero6774 10 месяцев назад

    Tumaini langu…..mahali pangu pa kujificha 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌………..yaan haielezeki God bless you Elia & Mama na team kwa ujumla

  • @Tinna887
    @Tinna887 10 месяцев назад

    Nimekumiss kaka Elia jpili nilimiss kuja kanisani, hongera kwa wimbo wenye kugusa maisha yetu nabarikiwa sana

  • @elijahsaro6611
    @elijahsaro6611 10 месяцев назад

    Mungu akubariki Sana mtumishi elia na huyu mama anagusa moyo sauti yake imenifariji utukufu umurudie mungu good work

  • @mossesmarko658
    @mossesmarko658 10 месяцев назад

    Huyo jamaa anayepiga lead piano ni mtu na ½. Apewe maua yake

  • @nibitangasteven9691
    @nibitangasteven9691 9 месяцев назад

    Amen ❤

  • @kamanapeter4751
    @kamanapeter4751 6 месяцев назад

    I still believe

  • @LilianMassaga-kn7fh
    @LilianMassaga-kn7fh 10 месяцев назад +1

    Hata hili bado nakuamini🙌🙇,this is a very powerful worship

  • @sophiariwa4707
    @sophiariwa4707 6 месяцев назад

    🙏🙏🇹🇿

  • @user-kc7rm4me4h
    @user-kc7rm4me4h 10 месяцев назад

    2:39

  • @user-dv3wp5dr3q
    @user-dv3wp5dr3q 9 месяцев назад

    😢❤

  • @henryelias4241
    @henryelias4241 10 месяцев назад

    Minister Elia Hongera kwa kazi njema. Mungu azidi kukupa viwango vya juu. Barikiwa Sana.

  • @giftmrema5631
    @giftmrema5631 10 месяцев назад +1

    Ooh My God Hata hili bado nakuamin my father 🙌🤦

  • @user-kc7rm4me4h
    @user-kc7rm4me4h 10 месяцев назад

    Yesu ajawahi shindwa na lolote

  • @nalumbanaglory6736
    @nalumbanaglory6736 10 месяцев назад

    Hongera brodah kaz yako ni njema Mungu aendelee kukupndisha

  • @Noelprofessionalaudio
    @Noelprofessionalaudio 10 месяцев назад

    Black and white kazi ni kali sana
    Kaka Elia noma sanaaaa

  • @queenmushi9804
    @queenmushi9804 10 месяцев назад

    Yesu mimi ni tegemezi kwako 😢😢😢😢😢

  • @johnsywillyz6649
    @johnsywillyz6649 10 месяцев назад

    😭 😭 😭 😭

  • @EmmaFrancis14
    @EmmaFrancis14 10 месяцев назад

    Powerful song daaaah wakati mwingine hatuelew nn tufanye kwa wakati gani Asante wewe Kristo daaaaah

  • @getrudalai9732
    @getrudalai9732 10 месяцев назад

    Bado nakuamini Yesu 😭🙏

  • @user-px5yx1te1p
    @user-px5yx1te1p 10 месяцев назад

    Hii ni zaidi ya Ibada.,, 🙌🏽🙌🏽🔥 4:37

  • @rebeccadavid5491
    @rebeccadavid5491 10 месяцев назад +1

    Such a powerful song ,be blessed May God lift you higher❤️❤️🙏

  • @calebmuyinza4220
    @calebmuyinza4220 10 месяцев назад

    My brother Elia 😢😢 am not understanding the language , but ur anointed oh my

  • @johnsywillyz6649
    @johnsywillyz6649 10 месяцев назад +1

    Ooohhh my God..

  • @josphinecharles8161
    @josphinecharles8161 10 месяцев назад +1

    Powerful 🔥🔥

  • @vicentpatrick558
    @vicentpatrick558 10 месяцев назад

    Main piano 🎹🎹 🔥🔥🔥🔥🙌🙌

  • @liljefnjoro7460
    @liljefnjoro7460 10 месяцев назад +1

    Was waiting for this powerful song🔥🔥🔥

  • @omegaebenezer484
    @omegaebenezer484 10 месяцев назад

    I put my trust to Him

  • @user-so9no4of3v
    @user-so9no4of3v 10 месяцев назад

    Amaizing Glory to GOD🎉🎉🎉🎉🎉

  • @engsabayajosephat2181
    @engsabayajosephat2181 10 месяцев назад

    Your blessed MOG

  • @gillianjared
    @gillianjared 10 месяцев назад

    🙌🏾🙌🏾🙌🏾 aaaaah.... powerful

  • @ministergraciousben
    @ministergraciousben 10 месяцев назад

    Sound of revival,,, 🔥🔥🔥

  • @salambarobert3020
    @salambarobert3020 10 месяцев назад +1

    Powerful

  • @omegaebenezer484
    @omegaebenezer484 10 месяцев назад