Zaidi ya Fahamu/Uko Mwenyewe - Henrick Mruma ft. Clara Minja (Official Live Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #SeedOfFaith #ZaidiYaFahamu #UkoMwenyewe #ASeasonOfHarvest
    Mungu wetu ni wa ajabu na Anafanya maajabu. Pale ambapo fahamu, mawazo, akili na upeo wetu vinaishia ama kushindwa Anafanya yeye mwenyewe. Tafakari kule ambako unakwenda katika siku za usoni na fikiria kule ulikotoka utatambua kuwa ni Mungu pekee Aliyeweza na Anayeweza fanya mambo makuu kwenye maisha yako.
    Kuna mambo kwa akili ya kibinadamu unaona kabisa hayawezekani, hayana mpenyo lakini Mungu anafanya zaidi ya akili, ufahamu na hata upeo wako.
    Tambua kuwa hakuna wa mfano wake, Hakuna wa kulinganishwa na huyu Mungu atendaye mambo makubwa. Yuko mwenyewe na hakuna wa mfano wake.
    Song writer: Henrick Mruma
    Music arranger & Director: James Godfrey (JayG Production)
    Musicians: BAND OF CHRIST
    Back Vocals: SEED OF FAITH
    Sound System: Sound Solution International
    Sound Engineer: Balisidya
    Audio Capturing: Samuel Mboya (Chosen Records)
    Mixing and Mastering: Samuel Mboya (Chosen Records)
    Video Production: SP Visuals
    Lights: Nyakalo Lights
    Stage Design: Winfred Palmena
    Stage Decor: Gatty Events
    Venue: City Harvest Church
    Outfits: Dar Suit and Kuya Creations
    Special Appreciations:
    Caroline Henrick Mruma, Mr. & Mrs. Albert Mruma, Mr. & Mrs. Ronald Swai, Seed of Faith, Band of Christ, Dr. Twina Suzzette, Geofrey Rutta and Gideon Mlawa.

Комментарии • 575

  • @rehemasimfukwe
    @rehemasimfukwe Год назад +123

    Uko mwenyewe Yesu🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Tanzania 🇹🇿 uko mwenyewe 🙌🏾🙌🏾
    Ubarikiwe kaka yangu na team nzima hii ibada ni kubwa sana 🙌🏾

    • @innocentmoses
      @innocentmoses Год назад +6

      Mungu akubariki pia dada yangu rehema kwa nyimbo ya neema yako inanibless saana

    • @mwanamkemshindi2260
      @mwanamkemshindi2260 Год назад +1

      Powerful song

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  Год назад +3

      Ubarikiwe sana Dada. Neema ya Kristo isipunguke kwako.

    • @emmilinemmbololo7178
      @emmilinemmbololo7178 Год назад +1

      Amen you Guys have helped me through my salvation journey

    • @allenloth9713
      @allenloth9713 10 месяцев назад +1

      Amen man of God

  • @mariakilasile8792
    @mariakilasile8792 16 дней назад +1

    Watumishi wa Mungu barikiweni sana na Bwana Yesu kwa kufanya Enzi ya Mungu itushukie. Dada Clara songa mbele.

  • @eugenhudson1733
    @eugenhudson1733 Год назад +87

    Natafakari asili ya wimbo wakati unapewa, chaguzi ya maneno na kila kitu... Wimbo unanipa kumtafakari Mungu kwa upekee. Ubarikiwe mtumishi wa Bwana.

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  Год назад +6

      Umebarikiwa sana kaka

    • @sarahjoseph6050
      @sarahjoseph6050 Год назад +1

      😊

    • @allenmasongo
      @allenmasongo 3 месяца назад

      Yani this is one of the sounds zinazoimba kwenye moyo wangu mara kwa mara, Mungu aendelee kumtumia tu mtumishi wake kwakweli 🙌🏾

  • @mzimawells_official
    @mzimawells_official Год назад +97

    Tanzanian worshippers, you don't know how much love you have from we the Kenyans.

  • @juliuskinyanjui9450
    @juliuskinyanjui9450 Год назад +18

    2:22 unafanya mwenyewe😢😢😢 powerful 🎉 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko Wapi tubarikiwe

  • @gideonhubert1577
    @gideonhubert1577 Год назад +10

    Bass Guitar 🎸 ametenda haki kwenye huu wimbo. Much respect😊

  • @doreenmoshi1410
    @doreenmoshi1410 Год назад +4

    Mafuta zaidi kwenu

  • @pastorlatsonmusa
    @pastorlatsonmusa Год назад +41

    Uko mwenyewe bwana Wangu Yesu hakuna wamfano wako wala wa nafasi yako ndani yangu....Ninayo furaha sana moyoni kukujua Yesu....👐👐👐👐👐

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  Год назад +1

      Amen. 🙌🙌🙌

    • @gracengome
      @gracengome Год назад +2

      This song is a blessing in my life. Indeed there's no one that can be compared with our Lord Jesus ,,He is the great I am,,be blessed 🙏🙏

  • @tonniekeith
    @tonniekeith 7 месяцев назад +6

    Nipo katika hali tatanishi. Lakini sitaishi katika hii hali. Najua nitatudi hapa kutao ushuhuda vile nimeenda mbele kwani Mungu wetu atanishindania

    • @schollanene5278
      @schollanene5278 5 месяцев назад

      Amina. May God come through for you 🙏

  • @user-vu6vd7re9r
    @user-vu6vd7re9r Год назад +3

    Ayubu 23:8.tazama naend mbele wala hakuna,narudi nyuma tena lakn siwez kumwon kama wewe😭🙌💪

  • @venfreysand8835
    @venfreysand8835 Год назад +10

    Nasemaje huu wimbo unamafuta mazito ya ibada yakikumwagikia lazima upigwe na ubaridii🔥🔥

  • @PatrobaEvans
    @PatrobaEvans Месяц назад

    💥💥💥#SeedOfFaith #ZaidiYaFahamu #UkoMwenyewe #ASeasonOfHarvest barikiwa Dada Clara na Ndugu Henrick ibada imebarikiwa kwa wimbo uliojawa uwepo
    🙏🙏🤝

  • @brianswai1243
    @brianswai1243 Год назад +7

    IBADA IZAAYO MATUNDA #IBADA #SWEETSOUND NDIO NDIO NDIO

  • @rtlusungu
    @rtlusungu Год назад +38

    C'mon man.. Henrick, ulikuwa wapi with all these sweet yet powerful worship songs🔥🔥.. Thank you so much for saying Yes to Jesus calling to this ministry, unatuhudumia bro, Mungu akuinue sana sana, #zaidiyafahamu #unafanyamwenyewe #ukomwenyewe

    • @neemaabwao9447
      @neemaabwao9447 Год назад +2

      Wakati wa Bwana ni wakati sahihi Sir..ndio wakati ulioamriwa SASA na Roho WA Mungu Amen

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  Год назад +5

      Ooooh my brother. God’s time is the best time. Please keep on praying for me. 🌱💚

    • @alanpierrers
      @alanpierrers Год назад +1

      I asked myself the same thing the last two weeks.
      His songs are just something else!
      Honestly, God's timing is the best.

  • @joycemathew9152
    @joycemathew9152 Год назад +1

    This song calm me . uchungu , hasira na maumivu vinapotea kila ninapousikia.

  • @lucymtundu3600
    @lucymtundu3600 Год назад

    Hakika huwa unafanya mwenyewe Yesu, maana uko mwenyewe Yesu hakuna wa mfano wako

  • @wokububerwa446
    @wokububerwa446 Год назад +23

    Ooh my good LORD!!!!!!……THIS SEED IS BEYOND EXPLAINATION….ITS HEAVENLY😢😢😢😢😢😢Kiukweli nimebarikiwa na kiiiilaaa kitu.MUNGU AWABARIKI NA KUWAONGEZA🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @eliafileakyoo5234
    @eliafileakyoo5234 Год назад +6

    Kuna namna Mungu anaabudiwa katika Roho na kweli 🙇‍♂️🙇‍♂️

  • @NaomyDaudi
    @NaomyDaudi 24 дня назад

    Ameeen and Ameen watu wa mungu , mungu azidi kuwatumia na kuwaweka viwango vingine zaidi barikiwe sana

  • @EstherNasimiyu-bi9rr
    @EstherNasimiyu-bi9rr 2 месяца назад

    EeMungu waajabu nimeshinda nifanyie mwenyewe am depressed 😭😭😭

  • @LydiaLucas-ud1ky
    @LydiaLucas-ud1ky Месяц назад +1

    Huu wimbo kila nikiuimba MUNGU anashuka ubarikiwe sana mtumishi

  • @adventinaadriano7675
    @adventinaadriano7675 Год назад +6

    Bwana unafanya mwenyewe zaidi ya Akili zangu🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @elizabethmabula6044
    @elizabethmabula6044 Год назад +3

    Hakuna kama MUNGU 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @SamwelMigaro
    @SamwelMigaro 3 месяца назад

    Uko mwenyewe Yesu 🙏🙏
    Unafanya mwenyewe..

  • @MiriamSamuelke
    @MiriamSamuelke Год назад +12

    I just came across this channel today and I can't leave..wapi likes za new subscriber??

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  Год назад

      Mungu Akubariki sana.

    • @christopherhaule8187
      @christopherhaule8187 Год назад

      @Henrick Mruma kwa kweli kazi zako Zina nibariki mtumishi, Mungu azidi kukuinuwa

  • @ministerjk
    @ministerjk Год назад +6

    Nchini Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 uko mwenyewe bwana...mbarikiwe na Bwana watumishi

  • @patrickdidah1277
    @patrickdidah1277 Год назад

    Uko mwenyewe yesu,hakuna wa mfano wako🙌

  • @jenelithangemalila5160
    @jenelithangemalila5160 2 месяца назад

    Napenda hapo mnaimbba ( uko Mwenyewe hakuna wa mfano wako Bwana😘

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Год назад +2

    Hakuna wa mfano wakooo😭😭😭🙏🙏nyimbo hii jmn bubujiko la nguvuuuu😭

  • @christinamsegu
    @christinamsegu Год назад +3

    Haleluya Haleluya. Uko mwenyewe uko mwenyewe Mungu hakuna mfano wako.

  • @eliathomasmarcel8719
    @eliathomasmarcel8719 Год назад +4

    💥💥💥💥 pale tunaposhindwaa unafanyaa mwenyewee😊

  • @priscarusabi6621
    @priscarusabi6621 Год назад +3

    Kweli Mungu wa ajabu 🙏
    mbarikiwe sana seedofaith family 🙌

  • @mwitamagesa1034
    @mwitamagesa1034 Год назад +3

    Natamani tusiseme, Mungu akuinue, tyr kashainuliwa.
    Tubadilishe mitazamo, kama kweli tunabarikiwa na hawa watumishi ambao Mungu amewashusha kutuhudumia kwa nyimbo nzuri hivi basi tuwe wawezeshaji maana gharama wanazotumia ni kubwa mno.
    Natamani watu waombe namba warushe hata 5000, 100K n.k na hapo ndipo baraka zao pia zinapokufuata.
    Haya maneno makavu tuache.
    Binafsi naomba nipate namba za kiongozi, nitafanya jambo kwa ajili yao kwa wakati wa Bwana. I promise.
    I am fully blessed aise.

  • @Mr_S.M.S8587
    @Mr_S.M.S8587 Год назад +6

    Mungu awatunze waitikiaji so amazing 😍

  • @yvonneaidan
    @yvonneaidan Год назад +3

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @zachariakonyanza2259
    @zachariakonyanza2259 Год назад +2

    Kepha mndeme mungu abariki kazi ya mikono yako hakika tumetoka mbali mwalimu George sindano mungu amrehemu Mahali alipo kaweka alama kwenye kalama yako.

  • @ministermusa9955
    @ministermusa9955 Год назад +3

    Wimbo wa maombi 😭😭 na unanipa nguvu Mpya tena Ooh😭😭😭😭😭😭

  • @jenipherayako9768
    @jenipherayako9768 Год назад +8

    "Pale ninaposhindwa mungu anafanya mwenyewe", I can't get tired of this song, barikiwa sana Henrick with your team

    • @joslynewakesho6089
      @joslynewakesho6089 7 месяцев назад

      Same here, I've played more than a 100 times and still playing it again and again

  • @oluochokanga8360
    @oluochokanga8360 7 месяцев назад

    VERY POWERFUL.
    ASANTENI KWA KUMWABUDU BWANA. ASANTENI KWAKUTOWEKA MADOWIDO MINGI KWA HII VIDEO

  • @Music_and_Movies1
    @Music_and_Movies1 Год назад +3

    Huu wimbo umejaa ujumbe na nisehemu ya sala kabisa

  • @kephamndeme1981
    @kephamndeme1981 Год назад +3

    Hakuna wa mfano wako Bwana, uko mwenyewe 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @godwinsmuroki8789
    @godwinsmuroki8789 Год назад

    Unafanya maajabu! Wewe ni mungu wa ajabu.

  • @musameshaki8928
    @musameshaki8928 Месяц назад

    Unafanya mwenyewa yesu

  • @juliethbenard2358
    @juliethbenard2358 Год назад +4

    Hallelujah hallelujah.......Uko mwenyewe Bwanaaa🙌🙌🙌🙏

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Год назад

    Wapiga vyombo wapo uweponi hakika Mungu awabariki ni nguvu hakika

  • @CAROLBECKY
    @CAROLBECKY Год назад +3

    Tazama naenda mbelee 😭😭

  • @purityelijahmukamiofficial7121
    @purityelijahmukamiofficial7121 Год назад +4

    Watching from Kenya mruma you have become my favorite minister i love your songs ukae nami then zaidi ya fahamu zangu mungu akubariki sana MOG

  • @gospelinternationalmedia
    @gospelinternationalmedia Год назад +2

    Mungu wa mbinguni awabariki sana sana kwa kazi njema ya Mungu

  • @John.5683
    @John.5683 Год назад +3

    Zaidi yote na wote. Yesu Kristo, Mungu Asiyeshindwa

  • @simiyuSK.
    @simiyuSK. Год назад +3

    Hakika 𝐮𝐤𝐨 𝐦𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞𝐰𝐞 𝐛𝐰𝐚𝐧𝐚🙌, tazama naenda mbele🙌🙌

  • @irenemwakajinga9492
    @irenemwakajinga9492 Год назад +2

    Uko mwenyewe Yesu kwenye maisha yangu......

  • @onyi543
    @onyi543 Год назад +3

    Maishani mwangu hakuna kama wewe 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @DaudiJuma-dn7oy
    @DaudiJuma-dn7oy Год назад

    Uko peke ako mung wang❤❤ ubarikiwe Sana mtumish wa mung😊😊

  • @edithmagwadula1976
    @edithmagwadula1976 Год назад +4

    Yesu uko mwenyewe🙌😭.....

  • @kedrickshimwela8498
    @kedrickshimwela8498 Год назад +1

    Bwana azidi kukuinua kaka...wewe ni baraka sanaa🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙇🏾‍♂️🙇🏾‍♂️🙇🏾‍♂️

  • @hannanjeri7388
    @hannanjeri7388 Год назад

    Hakuna kama wewe Messiah ❤❤❤❤

  • @robsononesmo
    @robsononesmo Год назад +2

    Oh tazama naebda mbele wala hakuna, narudi nyuma siwezi kumwona kama wewe ...ninakirii

  • @user-hn3pn7fu9t
    @user-hn3pn7fu9t 13 дней назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @falijiubamba4155
    @falijiubamba4155 Год назад +2

    Pekee yako Ni Mungu ufanyaye hakuna mwingine awezaye

  • @meladluvanda8765
    @meladluvanda8765 Год назад +2

    Uko Mwenyewe Bwana 🙌🙌😭

  • @FilberthElphaz-s1x
    @FilberthElphaz-s1x 18 дней назад

    Mungu awabaliki Sana hakika Yuko mwenyewe

  • @florangaiza
    @florangaiza 6 месяцев назад

    🙌🙌🙌😭😭 mbarikiwe mno vijana wa Yesu.

  • @evansjuma1477
    @evansjuma1477 Год назад +1

    Wimbo wa baraka saana ,,anafanya zaidi ya fahamu yetu ,,natamani saana nitembee Kwa neema yako mtumishi ,, ubarikiwe

  • @puritymukiri603
    @puritymukiri603 Год назад +2

    Pale ninaposhidwa unafanya mwenyewe, thank you Jesus.

  • @wycliffmutisya2868
    @wycliffmutisya2868 Год назад +2

    ata uvuvio wa wimbo ukae nami upo tayari mwingine umeanza .
    Kwa kweli Mungu ni wa ajabu anafanya maajabu zaidi ya fahamu ,mawazo,akili zaidi ya upeo wangu.
    Ahsante Yesu

  • @elikadopeter2248
    @elikadopeter2248 Год назад +1

    Mbalikiwe sana watumishi wa bwana nyimbo nizuri zinanipa raha najiona wa thamani zaidi amen amen.

  • @amaniiyaka8468
    @amaniiyaka8468 Год назад +1

    Inji swahili tu ishi upendo n'a umoja kweli MRUMA huu wimbo si wako ila ni ufunuo kutoka mbinguni kwetu Sisi wa congomani ingawa je shida za vita lakini tutaenda mbele tu hakuna kurudi nyuma , ubarikiwe mzee wangu 🇨🇩🇹🇿🇺🇬🇷🇼🇧🇮

  • @dr.peterofficial6390
    @dr.peterofficial6390 Год назад +1

    Dada uko vizuri sana Mungu azidi kukupa upako chini ya huyu mtumishi wa Mungu Henrick my favourite humble guy

  • @rebvocerobert
    @rebvocerobert Год назад

    YESU upo mwenyewe moyoni mwangu

  • @evelinechesco2726
    @evelinechesco2726 Год назад +1

    Tazama naende, narudi nyuma tena bado sijaona kama wewe aaaaah jamani yesu huyu nimzuri sana, mbarikiwe sana watumishi wa MUNGU

  • @georgewilliam6080
    @georgewilliam6080 Год назад +6

    Indeed. Mbele tuendapo na hata tukirudi nyuma bado hakuna kama Mungu wetu. Powerful powerful powerful MOG Mruma and sister Minja.

  • @rabsonwilbert5464
    @rabsonwilbert5464 Год назад

    Ubarikiwee sana kaka i appreciate you kwa kitu cha thaman ulichobeba ndan yako

  • @monicahjames7308
    @monicahjames7308 Год назад +1

    O YES HALLELUJA MUNGU WEWE NI WA AJABU... NA PALE NINAPOSHINDWA UNAFANYA MWENYEWE.....NA YALE UNAFANYA KATIKA MAISHA YANGU NI ZAIDI YA UFAHAMU WANGU 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @edwardgodfrey8656
    @edwardgodfrey8656 Год назад +2

    Hakuna Wa Mfano Wako Yesu🙌

  • @agnessngao5953
    @agnessngao5953 Год назад +4

    I just heard the song this afternoon wen I went to see the Doctor...
    As I was there for medication... The doctor was playing it... And I cudnt help it but to interrupt him... Wats the name of the song???? In the end I came to realize that maybe the song was the part of the doze.
    Mbarikiwe Sana

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  Год назад

      Ooooh… All the glory to Almighty God. 🌱💚

  • @angelineodeny365
    @angelineodeny365 Год назад +1

    pale ninashindwa Mungu anaingilia kati na kufanya mwenyewe. thanks for this beautiful song.

  • @SoloKarani
    @SoloKarani 9 месяцев назад +1

    Huu wimbo ulinihudumia katika practice..
    Nimeregesha shukrani..
    Utukufu kwa Mungu
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @puritykendi389
    @puritykendi389 Год назад +1

    Oooh God such a deep song.
    Hakuna wakufanana na wewe Bwana

  • @leahnganga2823
    @leahnganga2823 Год назад +1

    Mungu awazidishie wimbo huu unabariki moyo wangu

  • @estherlabanghuliku4668
    @estherlabanghuliku4668 Год назад

    Uko Mwenyewe Yesu hakika Mbarikiwe Sn

  • @BenJuma24
    @BenJuma24 Год назад +1

    MUNGU anazidi kuwa waajabu katika kila hatua ninayo mshirikisha mbarikiwe sana na nyimbo nzuri

  • @cesiliaelias9927
    @cesiliaelias9927 Год назад +3

    Hakuna wa mfano wako Bwana🙏

  • @fredyjames7019
    @fredyjames7019 Год назад +1

    Uuuuuuuuuuuw!! Unafanya mwenyewe YESU, hakika kazi yenu ni njema MUNGU wa mbinguni azidi kuwapa maarifa zaidi ndani yenu.

  • @neshalmanguli7850
    @neshalmanguli7850 Год назад +1

    UBarikiwe sana mwimbaji wa kimataifa Mungu azidi kukuinua viwango vya juu

  • @cosmas.v.bagango5027
    @cosmas.v.bagango5027 Год назад +2

    Hakika unafanya zaidi ya fahamu zangu ....
    ..hakika wimbo mzuri barikiwa sana bro

  • @juembithi
    @juembithi Год назад +1

    Lakini siwezi kumuona kama wewe 🙌 JESUS!!!!!

  • @Carolineapolinary
    @Carolineapolinary Год назад +2

    Mungu wa mbinguni tupo hapa tunasubir zaida ya fahamu

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 10 месяцев назад +1

    Uko mwenyewe YESU, MUNGU WANGU

  • @mbokabatolomayo-en8qg
    @mbokabatolomayo-en8qg Год назад

    Mungu wa ajabu fanya na kwangu kupitia wimbo huu,,

  • @jofreygrace9665
    @jofreygrace9665 Год назад +1

    Mungu anainua watumishi jamn toka nimeanza kusikiliza ukae nami dah nabarikiwa Sana Kaka mungu awainue zaid

  • @deboradavid7833
    @deboradavid7833 Год назад +1

    Hakuna wa mfano wako Bwana,upo mwenyewe😭😭🙌

  • @ministermasinduma
    @ministermasinduma Год назад +4

    Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu. Hakika hii nyimbo ni 🔥🔥🔥🔥

  • @festondile2039
    @festondile2039 Год назад +3

    Wimbo mzuri Sana , hongereni Sana kwa huduma,hongera Sana dada Clara Minja..

  • @ElieMunepo
    @ElieMunepo Год назад +4

    I’m confused whit his Love…🙆🏽‍♂️ By nature I never regret having chosen this path that of following the Lord😭🙆🏽‍♂️🙌🏽 Kiukweli nime hudumiwa na huu wimbo! 🙌🏽🇨🇩 Mbarikiwe kwa huduma

  • @samuelmboya1011
    @samuelmboya1011 Год назад +2

    Zaidi ya Fahamu zangu
    Kiukweli Uko Mwenyewe Yesu🔥🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @richkayla6499
    @richkayla6499 Год назад +1

    UKO MWENYEWE HAKUNA WA MFANO WAKO BWANA🧎🧎😭😭😭

  • @GetinaAlphonce
    @GetinaAlphonce 3 месяца назад

    Wimbo huu unanifanya nitafakari Mungu, inanizamisha kuomba. Barikiwa sana.

  • @febymwanyumba1659
    @febymwanyumba1659 Год назад +1

    Ameni. Mungu awabariki sana 🙏🙏.

  • @japhetanderson7820
    @japhetanderson7820 Год назад +1

    Ima umeua Sana humu

  • @brianmsamati5849
    @brianmsamati5849 Год назад +2

    Uko mwenyewe Yesu 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙏🏾