MAOMBI YA KUFUNGUA MILANGO by Innocent Morris
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- MAOMBI YA KUFUNGUA MILANGO by Innocent Morris
Contacts: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
RUclips Link:
/ holyspiritconnect
Tunakuinua mfalme mtenda makuuuuu mtenda miujiza mfanya njia pasipo na njiaa unastaili sifa unastaili kuabudiwa ni weeeeeh 2 Yesu hakuna mwingine sijaona km wewe Mungu mwenye nguvu usinziii ulali sifa na utukufu ni zako Yesu
Ameen
Amen and amen baba umenitendea makuu na nitaendelea kupokea makuu katika jina lako kuuuu yesu🙏🙏
Kila mlango uliofungwa nimefungua Leo katika jina la Yesu Krito na Damu ya Yesu kristo Ameeen 🙏🙏🙏🙏
Ameen ameeen
Unayajua maisha yangu zaidi ya wana damu eeeh mungu naomba unkongoze....najua mm c mkamilifu nakosea kila siku naomba uni rehemu naomba unitie nguvu ninapo ishiwa na nguvu naomba unitie moyo kwa ajili ya watoto wangu🤲🤲🙏🙏
Ehee bwana yesu fungua Kila mlango ulifungwa kwenye maisha yangu
Ameen
Ashukuliwe mungu baba yetu wa mbinguni kupitia maombi haya tunauponyaji mkumbwa Sana,haluluya,ubalikiwe mtumishi wa mungu
Yesu kristo kila Malango adui wamefunga Uchumi Baraka zilizo fungwa za maisha yangu nafunguwa kwajina la yesu christo
Ameen
Mungu mwny nguvu mwny uwezo unataili kuabudiwa unastaili Yesu tunakuabudu sifa na utukufu ni zako Yesuuuu uimidiweee Yaweeeeeeh ww ni mkuuuuu pokea sifa zangu Simba wa Yuda pokea sifa zangu Jemedali wa vita Pokea sifa zangu Jehova shamaaa pokea sifa pokea eshima katika jina lipitalo majina yote
Ameen
Mungu naomba nifungulie milango ya destiny helpers, uchumi, ndoa, na promotion kwa Jina la YESU🙏
Bwana yesu naomba ufunguwe tumbo na maisha yangu katika Katika Jina la yesu christo
Ameen
Naomba yesu afungue kazi yangu na abariki family yangu. Na ndoa yangu
Ameen
Mungu naomba unifungulie milango katika maisha yangu yote Nibarikiwe na kufanikiwa kwa kilaisi sana 🙏🙏 Amen
Amen amen asante saana Mungu nakuitaji mirango yablaka kwenye family yangu
Mirango yablaka ifunguke kwakazi zangu
Mirango yablaka ifunguke kwamafanikio yangu 👏👏👏
Mungu naomba malango ya familia yangu yakafunguke kila lililofungwa likafunguke kwa jinalayesu amina
Kila mlango ambao adui anatumia kuharibu maisha yangu unafungwa kwa damu ya Yesu
Ameen
Kila milango ambayo adui anatumia kuharibu naisha yangu naifunga kwa jina la Yesu.
Ameen ameeen
Mungu nifunguliye milango iliyofungwa na shetani
Asante bwana yesu kwa kunipa nguvu ya kufungua milango ya baraka katika maisha yangu
Naomba ufungue milango ya baraka kila eneo ya maisha ya ngu naya watoto. Wangu milango. Akira ya watoto wangu Amina ktk jina ya yesu kristu
Ajira ya wanangu wote Amina
Asante mungu kwa kufungua milango na unaendelea kufungua amin
Ameen
Mungu naomba malango yangu yote yafunguke
Ameen
Bwana Yesu unastaili Sifa
Bwana yesu fungua milango ya baraka funga magonjwa na roho za mauti kwangu
Ameen
Milango yangu ikafunguke milango ya watoto ya baraka ikafunguke biashara ikafunguke afia yangu kwa kila eneo. Langu uchumi. Ifunguriwe. Kwa jina la yesu
Ameen ameeen
Mungu naomba nfungulie milango yandoa mafanikio njiazangu zote kwajina la Yesu kristo
Bwana YESU Asante kwa kazi i ya biashara yangu milango yangu ya uchumi kibali chaka kazi
Amen mtumishi atukuzwe Mungu mwenyezi in Jesus mighty name.
Ameen 🙏🙏🙏
Asante jehova Kwa kufungua milango ya mbaraka katika jina la yesu Kristo
Asante Kwa maombi yaha...Amina Amina
Ameen
Naomba YESU afungue maisha yangu aminaaa 🙏🙏
Ameen
Nimepokea kwa jina la yesu nakuamin
Mungu nifunguliye baraka katika maisha yangu
Amen Amen lord open my door in name Jesus 🙏🙏
Oh yes Open out door 🚪 in my Family Lord Jesus let the doors 🚪 of life open in my family in the name of JESUS-CHRIST OF NAZARETH AMEN 🙏
Ameen
Mtumishi nimempokea bwana Yesu leo
Amen hongera sana anitha kwa hatua hiyo
@@issackdaniel4874 Amen 🙏🏻
Ntaomba mungu katika maombi Aya milango yang ya baraka ifunguliwe kweli kweli napokea baraka kwanzia sasa na muda hu kwaimani kabisa 😭😭🙏🙏
Milàngo yangu yote ya watu kunisaidia ifunguke Amen🙏🙏
Bwana tunakusifu wewe 🙏🏻
Yesu kristo kila Malango adui wamefunga Uchimi
Ameen
BWANA YESU nifungulie milango iliofungwa uchumi
Ameen
BWANA YESU NAOMBA UNIFUNGULIE MILANGO YA KILA ENEO LA MAISHA YANGU, KATIKA JINA LA YESU KRISTU
Ameen
Asante YESU kwa kufungua milango ya baraka kwenye kila eneo la maisha yangu🙏
Eeeh mungu wangu fungua milango yakibali ifunguke nlango ya kazi ifunguke kwa damu iliyomwagika pale msalabani🙏🙏
Naomba milango yangu ya uchumi kibali chaka kazi
Bwana naomba utufunguwe mirango ya famiria yetu
Ameen
Unastaili heshima bwana Yesu pokea sifa kwajina laYesu kristo
Nimempokea bwana yesu, ciku ya leo.
Ameen ameeen
Milango ya baraka kwenye kila eneo la maisha yangu ifunguke kwa jina la Yesu na kwa damu ya Yesu🙏🙏🙏
Ameen ameeen
Bwana Yesu nifungulie kila milango yangu iliyofungwa katika maisha .Uchumi,mahusiano, kibali ifunguke katika jina la Yesu.
Ameen ameeen
Ppp
P
Pp
Pp
Bwana asifiwe amen amen mtumishi mim naota baada ya siku chache Hilo jambo linatendeke
Ameen
Nimefungua milango ya kuojazwa na roho mtakatifu
Ameen
Nimempokea yesu kristo
Asante Yesu nifungulie milango katika Kila eneo LA maisha yangu
Ameen
Milango yote ya baraka ikanifungukie kwenye maisha yangu na familia yangu kwa damu ya Yesu
Ameen
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA
Naomba ufungue milangu yamaisha yanguniinue bwana ungue maishayangu milango yabaraka
Ameeen.. pastor niombee milango yangu ikapate kufunguka
Nitakuombea
Amen 🙌🙌
🙏🙏🙏
Amen 🙏 milango ifunguke
Ameen
Amen 🙏🏻
Naomba mungu milango yangu baraka ifunguke
FOLLOWING......
🙏🙏🙏
Amen Amen Mungu akubariki na akuzidishie hiyo neema ya kibali pastor nimejifunza. Mungu afungue milango ya huduma niliyo nayo
Ameen Ameen 🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen
Santee mungu kwa siku ya Leo, naomba unifungulie milango katika maisha yangu🙏🙏
Ameen
Amen and amen
Naomba ufungue milango yauzao watumbo langu
Kila milango uliofungwa naufungua ktk jina la yesu
Amina
🙏🙏🙏
Amen
🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🤝
AMEN
Nakupenda pastor nabarikiwa Sana😭😭mpaka machoz nakuombea Maisha elf Kumi yasiyo na tabu wala uzeee uwe hivo hivo
Ameen ameeen
Ninajiungamanisha na haya maombi ya leo ili nifunguliwe huu umaskini na kutopatana na familia yangu
Ameen🙏🙏🙏🙏
Ee Bwana Yesu naomba unifungulie milango ya baraka katika maisha yangu 🙏🏽
Ameen ameeen
@@holyspiritconnect Ameen
Ameen
AMENI 🙏
AMEN🙏
🙏🙏🙏
Naomba milango yauchumi ikafunguke nahitaji wateja
Nafunga milango yote anaepit adui
Asante bwana yesu kwakuweza kufungua milango ya baraka kwenye Kila eneo la maisha yangu,ninasema asante bwana yesu 🙏
Ameen ameeen
Barikiwa sana mtumishi wa BWANA 🙏
Ameen
Amen nashukuru san mtumishi wangu
Ameen
Amen🙌
Amen,eh mwnyez Mungu ufungue milango ya baraka katika maisha yangu na familia yangu🙏
Ameen
AMEN AMEN.. Nimebarikiwa na maombi haya.
Ameen ameeen
Good bless you pastor , amen 🙏♥️
Ameen
Asante bwana yesu
Ameen
Aneeeeeeeen and and ameeeeeen jesus
🙏🙏🙏
Amen and Amen God bless you pastor
Ameen
Emwenyezi mungu Naomba Unifungulie milango ya biashala na mausiano kwa jina la Yesu
Mungu akubariki sana🙏🙏
Ameen
Following from nairobi kenya
🙏🙏🙏
Mzaliwa wangu wa kwanza malango yake ikafunguke
Ameen ameeen
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Ameen
Amin
🙏🙏🙏
Nifungulie milàngo yote pesa ifunguke
Ameen
🙏🙏🙏
Amen amen
🙏🙏🙏
In Jesus name😭👏🏻👏🏻
Ameen
Ameeen 🙏🙏🙏
Ameen
Ameen🙏🙏🙏🙏🙂
Ameen🙏🙏🙏🙏🙏
Pastor niombee nkapate kupadishwe cheo kazini
Ameen
Ameeeen
God bless you pastor 🙏 amen
Ameen