MAOMBI: Omba kitu chochote kilicho kufa katika maisha yako kifufuke by Innocent Morris
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- MAOMBI: Omba kitu chochote kilicho kufa katika maisha yako kifufuke by Innocent Morris
"Ee Bwana, nimesikia habari zako, nami naogopa; Ee Bwana, FUFUA KAZI YAKO KATIKATI YA MIAKA; Katikati ya miaka tangaza habari yake; Katika ghadhabu kumbuka rehema."
Habakuki 3:2
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
RUclips Link:
/ holyspiritconnect
"Ee Bwana, nimesikia habari zako, nami naogopa; Ee Bwana, FUFUA KAZI YAKO KATIKATI YA MIAKA; Katikati ya miaka tangaza habari yake; Katika ghadhabu kumbuka rehema."
Habakuki 3:2
Amen mtumishi
Amen 🙏🙏
Amen. Naamini kupitia kipindi hii Bwana Yesu atanitendea...
Namshukuru mungu alie Nipa kibal Cha kusikia neno hili sahihi naamn mungu anamakusud na Mimi naamn kupitia jina lake ya kwamba kila chochote Cha kwangu kilichokufa katika maisha yangu kikafufukeee sahiii katika jina la yesu
Ameen
Maombi ni dawa
Mtumishi nmepotez nguvu yangu ya kuomba😭😭😭 nifanye nn mimi
Mungu akupatie katika jina la Yesu Kristo
Bwana yesu chochote kilichokufa kwenye maisha yangu naomba ufufue mm siwezi bila ww yesu
Bwana yesu nakupenda unifufuliye kile kilicho kufa ktk maisha yangu
AMEN and AMEN 🙏🙏🙏
Naamini, Ee Bwana Mungu wajua ww na kwa Neno lako napokea kufufuliwa chochote kilichokufa kikasikie Neno la Bwana
Mungu fufua uchumi wangu fungua kazi za watoto fufua ntota zao wapate kazi fufua biashara yangu fufua hekalu langu lililokoda nguvu kwajili ya magonjwa yasiyotibika fufua vitu vyote vilivyokufa kwenye maisha yangu
Ameen
Ee Bwana yesu ninaomba kitu chochote kilichokufa Kwenye Maisha Yangu kifufuke, biashara yangu ifufuke, mahusiano yangu yafufuke ktk jina la Yesu kristo Wa Nazareth
Ameen ameeen
Ee bwana ninaomba kitu chochate kilichokufa katika maisha yaugu kifukuke katika jina la jesu
Ameen
Asante Bwana Yesu
Ameen
Ee Mungu wangu naomba nirudishiwe Kila kitu changu nilichonyang'anywe ,nipo kwenye Giza baba sielewi nakuachia wewe bwana Yesu
Thank you Jesus for answering my prayers . I will testify about your goodness Amen 🙏 powerful prayer 🙏
08gj n0
Blplp ikgĺfapp😊
Amen in Jesus name amen
Naomba Amani iliyokufa kwenye kazi yangu. Uzuni kila siku. Naomba Bwana Yesu anirudishie.
Ameen ameeen
Amina Amina
Mtumshi MUNGU akubariki Sana maombi yako yamenivusha sana nimefunguliwa nguvu za giza jaman MUNGU akutunze sana
jambo lolote lilikokufa kwenye maisha yangu likafufuke..katika jina la Yesu
Furaha ya Maisha yangu, nimeishi kudharauliwa na kuhuzunishwa siku zote. Naomba Bwana Yesu anirudishie furaha yangu. Mahusiano ya kufa kila Mara.
Ameen ameeen
Amen
Amani na UPENDO kwa watoto wangu .NAOMBA MUNGU AFUFUE,VIWE HAI KATIKA JINA LA YESU KRISTO
Natamka pumzi ya uhai ktk maisha yangu ,familia yangu na ktk kazi yangu
Ameen
Bwanayesu.asfiwe.kituchochte.kirichokufa..kwenyamaisha.yangukifufuke.katka.jinalayesukristo.ameen
Mambo yangu kuwa na kizuizi wakati yanakaribia mwisho hiyo hali iondoke kwa jina la Yesu
Bwana Yesu fufua nyota yangu ya biashara na ufugaji ktk jina la Yesu
kila kilichokufa ndani yangu kizuri nakifufua kwa jina lako BWana Yesu Kristo.napokea ufufuo
Kila kilichokufa katika maisha yangu kikafufuke kuanzia sasa katika jina la Yesu Kristo Uchumi wangu ukafufuke ,afya yangu ikafufuke ,mahusiano yangu yakafufuke ,huduma yangu ikafufuke ,makazi yangu yakafufuke watoto wangu popote walipouwa maisha yao yakafufuke kwenye elimu,tabia njema ,afya zao mafanikio yao na kila chema kilichokufa juu ya maisha yetu kikafufuke kW Jina La Yesu
Naomba uponyaji biashara yangu ikue madeni sitaki mwanangu afunguliwe ufhamu kibali marra mbili
Eeee, Mimi hapa Sina Amani katika Maisha yangu, haswa nilivyompoteza mtoto
Ee Mungu mahusiano yangu kama yamekufa naomba yafufuke kwa jina la Yesu ninaomba unijibu Sawa Sawa na mapenzi yako
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Ameen ameeen
Natamka kwa jina la Yesu vizuizi katika maisha yangu vimeondolewa kwa Damu ya Yesu
Nyota yang iachiliwe kwa jina la Yesu , nibaki Cha ndoa , biashara, kukubalika Kiwe hai kwa Jina la Yesu Kristo
Amen fufua bwana Yesu kila jiwe lililofunika maisha yangu
Ameen ameeen
Mungu fufua Afya yangu sasa, fufua Amani kazini, fufua biashara zangu zote, fufua Mme na watoto wangu waliofichwa mbali na Mimi niwaone.
Eeh bwana yesu...naomba ufufue amani ya moyo wangu....fufua upya pia mahusiano yangu...nipe moyo wa matumaini na wa kujiamini....amen amen AMEn.
Yesu fufua afya yangu na ya mwanangu, mume wangu, huduma yangu, uchumi ,ndoa amani kwenye familia yetu, kipawa Cha umwambaji kiludu nk
E Mungu usikie kuomba kwangu. Amen
Ameen
Ee mungu naomba najifunza mambo yasaloon kupaka makeup na mitindo mingine mungu naomba kifufuke
Eeeee bwana nimekumbilia wewe ilinisiaibike milele ,ni wewe unaye nijua vyema ,pamoja na familia yetu ,nakuomba ufufue vyote vilivyo kufa katika maisha yetu ,najiunganisha na hii ibada tasama mwanangu ni mgonjwa naomba mponye wewe ukiwa tabibu mkuu ,ifufue ndoayangu ,katika jina la yesu
Hallelujah Mungu wewe ni Mungu mzuri.
Kitu chochote kilichokufa katika maisha yangu na kifufuke. Kazi mahusiano familia yangu mungu akairudishie katika jina la yesu. Ninaomba bamba zako za simu mchungaji
Amina najua kila kilichokufa kwenye maisha yangu kitafufuka kwajina la yesu kristo amiinaaa
Bwana yesu ufufue amani kwenye moyo wanyu
Ameen
Naomba amanita iliokufa kwenye kazi yazi album kila siku naimba bwana wangu zozote iliibiwa unirudisie in Jesus might name
Ndoa yangu na uchumi wangu ukafufuke katika jina la YESU
Ee kazi yangu uisikie neno la Bwana
Ameen
Eeee mwenyezi mungu rudisha amani na furahaa katika maisha yangu fufua mausiano yangu yanayo kufa bila sababu fufua furahaa ktk familia yangu ameni
Yesu Cristo peço me curar aminha doença de HIV SIDA
🙏🙏🙏
Amen Amen. Ubarikiwe sana Mtumushi. Bwana Yesu amisaidie nipate nguvu ya kusoma na kuchambua neno lake. I was teaching Sunday school but now days 10yrs hiyo nguvu natamani kurudisha na naamini . kila jambo lawezekana mbele za Mungu.
Amen Kitu chochote kilicho kufa katika maisha yangu kifufuke Kwa Jina la Yesu Amen 🙏🙏🙏
Fufua afya yangu imekuwa changamoto imekuwa ya mgogoro fufua ktk jina la mawazo yangu fufua mawazo manzuri nayopanga na nashindwa kufanya hivyo fufua akili za watoto wangu shuleni kazini fufua vibali vyao vya kupata kazi biashara kukimbizana na maisha
Ameen
Mungu fufua kupata KAZI kawa my son Arthur James kobe
Ee Bwana fufua chochote kilicho kufa katika maisha yangu maisha ya my son Arthur James kobe
Kufua kibali cha kupata KAZI my son Arthur James kobe
E eh bwana, yesu naomba ufufue amani ya moyo,wanyu
Ameen
Kila kilichokufa kwenye maisha yangu kwa jina la yesu kikafufuke
Ee bwana fufua chochote kilicho kufa katika maisha yangu
Mungu wangu Leo ameniona anafufua uchumba wangu anarudusha mahusiano yangu anefunga ugomvi uliokuwepo na amani inalejea kwa jina la yesu Mungu wangu anarudisha upendo ule WA kwanza kila chanzo cha ugomvi kife kwa jina la yesu MA mahusiano yangu uchumba wangu unafufuka upya na upendo ukawe Mara dufu ya ule wa kwanza na ndoa inaenda kufungwa kwajina la yesu
Ameen
We bwana fufua roho ya kukutafuta na kukufuata wewe siku zote ndani yangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏💅💅💅💅🙏 amen na furaha ndani ya maisha yangu
Ameen ameeen
Naomba neema yako leo
Ameen
Niombee mm ndo niko ivo ten kwa sasa ndo imezidi hasa nisaidie😭😭
Amen Amen. Hallelujah. Asifiwe Bwana Yesu maishani.
Ameen ameeen
Ee mbwana yesu fufua ndoa yangu na kiza Changu maisha yangu
Amen amen
🙏🙏🙏
Amen Amen
Yesu nirudishie.Amen
Ameen
Nasafisha miguu iwe salama katika jina LA yesu
Bwana yesu najua kwako Kuna neema ya ajabuu nakupenda mana ilinipenda kwanza naomba ukafufue afya yangu mahusiano yangu ukafufue Kaz za mikono yako ukanunue familia yangu inaodharauliwa , fufua zako zako ndani yangu nipe nguvu mpya ya kujua karama yangu , wasaidie ndugu zangu ee mungu nakusihii ukafufue kila Cha kwangu chochote kilichokufa nakuamn yesu nakupenda Sana Sana mwaaah
Eeh Yesu fufua vyote vilivyokufaaa
May the Almighty hear & and me,I pray& believe
Amen tuepalikiwa sana hata tumepona
Mungu wang naom ufufue furah ra ndoa yangu kam zaman
asante Yesu maana unaenda kufufua vyote vilivyokufa kwangu
Kibali Mpenyo kubarikiwa viweze kurudi katika maisha yangu
Ameen ameeen
Nirudishie bwana Yesu furaha
na pumzi ya uhai. hallelujah🕊
Ameen ameeen
Kila kitu kimefufuka katoka Damu ya yesu
Vitu vyote vilivyokufa maishani mwangu vifufuke katika jina la Yesu Kristo, kama vile afya ya kimwili na kazi
Ameen
Amina
Niwe hai kwa kila kitu afya Watoto wangu
Natamka mema katika jina LA. Yesu
Ndoa yangu pastor irudi
Mungu fufua afia yangu na pia ya watoto wangu
Namini nafufua maishayangu
Ameeen
Ee mungu nipe ndoa🙏🙏😭
Amen,ooh magonjwa ya mara kwa mara
Ameen
Ameen
Amen
Maombi yenye mpenyo
Ee bwana yesu unirudishiye furaha katika ndoa yangu🙏
Amiina
Amina
Nyota yangu imekufa naomba ifufuke hanaona sina mafanikio kwa yote ninayoyafanya
Nimimi kazini naonekana km takataka hata kwenyeJamii kwenye nimetengwa sina amani
Yesu nakupenda
Amen and amen
Amen ,napokea kazi ,amani na ndoa katika maisha yangu
Amen 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen