MAOMBI: Omba kitu chochote kilicho kufa katika maisha yako kifufuke by Innocent Morris

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • MAOMBI: Omba kitu chochote kilicho kufa katika maisha yako kifufuke by Innocent Morris
    "Ee Bwana, nimesikia habari zako, nami naogopa; Ee Bwana, FUFUA KAZI YAKO KATIKATI YA MIAKA; Katikati ya miaka tangaza habari yake; Katika ghadhabu kumbuka rehema."
    Habakuki 3:2
    Innocent Morris
    +255652796450 (WhatsApp)
    Instagram Page: holyspiritconnect
    Facebook Page: Holy Spirit Connect
    Instagram Link:
    / holyspiritconnect
    Facebook Link:
    / holyspiritconnect
    RUclips Link:
    / holyspiritconnect

Комментарии • 203

  • @holyspiritconnect
    @holyspiritconnect  2 года назад +27

    "Ee Bwana, nimesikia habari zako, nami naogopa; Ee Bwana, FUFUA KAZI YAKO KATIKATI YA MIAKA; Katikati ya miaka tangaza habari yake; Katika ghadhabu kumbuka rehema."
    Habakuki 3:2

    • @roseasimwe827
      @roseasimwe827 2 года назад +1

      Amen mtumishi

    • @joyngweto2691
      @joyngweto2691 2 года назад

      Amen 🙏🙏

    • @victoriarehema7183
      @victoriarehema7183 2 года назад

      Amen. Naamini kupitia kipindi hii Bwana Yesu atanitendea...

    • @veyleedekizzy6420
      @veyleedekizzy6420 2 года назад

      Namshukuru mungu alie Nipa kibal Cha kusikia neno hili sahihi naamn mungu anamakusud na Mimi naamn kupitia jina lake ya kwamba kila chochote Cha kwangu kilichokufa katika maisha yangu kikafufukeee sahiii katika jina la yesu

    • @lilianjovanus5562
      @lilianjovanus5562 2 года назад

      Ameen

  • @JosphineMwasame
    @JosphineMwasame 17 часов назад +1

    Maombi ni dawa

  • @zuenaezekiel9519
    @zuenaezekiel9519 Год назад +2

    Mtumishi nmepotez nguvu yangu ya kuomba😭😭😭 nifanye nn mimi

  • @SalomeNjuu
    @SalomeNjuu 6 месяцев назад +1

    Bwana yesu chochote kilichokufa kwenye maisha yangu naomba ufufue mm siwezi bila ww yesu

  • @kashindiburimwengu3666
    @kashindiburimwengu3666 2 года назад +2

    Bwana yesu nakupenda unifufuliye kile kilicho kufa ktk maisha yangu

  • @judithakinyi1407
    @judithakinyi1407 2 года назад +5

    AMEN and AMEN 🙏🙏🙏

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 2 года назад +2

    Naamini, Ee Bwana Mungu wajua ww na kwa Neno lako napokea kufufuliwa chochote kilichokufa kikasikie Neno la Bwana

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Год назад +1

    Mungu fufua uchumi wangu fungua kazi za watoto fufua ntota zao wapate kazi fufua biashara yangu fufua hekalu langu lililokoda nguvu kwajili ya magonjwa yasiyotibika fufua vitu vyote vilivyokufa kwenye maisha yangu

  • @edinafred8145
    @edinafred8145 2 года назад +3

    Ee Bwana yesu ninaomba kitu chochote kilichokufa Kwenye Maisha Yangu kifufuke, biashara yangu ifufuke, mahusiano yangu yafufuke ktk jina la Yesu kristo Wa Nazareth

  • @JaneKobe-k5r
    @JaneKobe-k5r Год назад +1

    Ee bwana ninaomba kitu chochate kilichokufa katika maisha yaugu kifukuke katika jina la jesu

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 2 года назад +2

    Asante Bwana Yesu

  • @agnesssimba6929
    @agnesssimba6929 2 года назад +1

    Ee Mungu wangu naomba nirudishiwe Kila kitu changu nilichonyang'anywe ,nipo kwenye Giza baba sielewi nakuachia wewe bwana Yesu

  • @yvonnemanisha9267
    @yvonnemanisha9267 2 года назад +3

    Thank you Jesus for answering my prayers . I will testify about your goodness Amen 🙏 powerful prayer 🙏

  • @marywangui7257
    @marywangui7257 2 года назад +1

    Amen in Jesus name amen

  • @victoriarehema7183
    @victoriarehema7183 2 года назад +3

    Naomba Amani iliyokufa kwenye kazi yangu. Uzuni kila siku. Naomba Bwana Yesu anirudishie.

  • @suzzyyank7446
    @suzzyyank7446 2 года назад +4

    Amina Amina

  • @shegashega2421
    @shegashega2421 Год назад

    Mtumshi MUNGU akubariki Sana maombi yako yamenivusha sana nimefunguliwa nguvu za giza jaman MUNGU akutunze sana

  • @lilianhamis4304
    @lilianhamis4304 2 года назад +2

    jambo lolote lilikokufa kwenye maisha yangu likafufuke..katika jina la Yesu

  • @victoriarehema7183
    @victoriarehema7183 2 года назад +7

    Furaha ya Maisha yangu, nimeishi kudharauliwa na kuhuzunishwa siku zote. Naomba Bwana Yesu anirudishie furaha yangu. Mahusiano ya kufa kila Mara.

  • @hindahnambela6628
    @hindahnambela6628 Год назад +1

    Amen

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 2 года назад +1

    Amani na UPENDO kwa watoto wangu .NAOMBA MUNGU AFUFUE,VIWE HAI KATIKA JINA LA YESU KRISTO

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 Год назад +1

    Natamka pumzi ya uhai ktk maisha yangu ,familia yangu na ktk kazi yangu

  • @salma.mbingabakari5645
    @salma.mbingabakari5645 2 года назад

    Bwanayesu.asfiwe.kituchochte.kirichokufa..kwenyamaisha.yangukifufuke.katka.jinalayesukristo.ameen

  • @roseasimwe827
    @roseasimwe827 2 года назад +1

    Mambo yangu kuwa na kizuizi wakati yanakaribia mwisho hiyo hali iondoke kwa jina la Yesu

  • @nelsonmushi954
    @nelsonmushi954 2 года назад +1

    Bwana Yesu fufua nyota yangu ya biashara na ufugaji ktk jina la Yesu

  • @maureenbiyengo3407
    @maureenbiyengo3407 Год назад

    kila kilichokufa ndani yangu kizuri nakifufua kwa jina lako BWana Yesu Kristo.napokea ufufuo

  • @MankaAlly
    @MankaAlly Месяц назад

    Kila kilichokufa katika maisha yangu kikafufuke kuanzia sasa katika jina la Yesu Kristo Uchumi wangu ukafufuke ,afya yangu ikafufuke ,mahusiano yangu yakafufuke ,huduma yangu ikafufuke ,makazi yangu yakafufuke watoto wangu popote walipouwa maisha yao yakafufuke kwenye elimu,tabia njema ,afya zao mafanikio yao na kila chema kilichokufa juu ya maisha yetu kikafufuke kW Jina La Yesu

  • @TulaselaMdegela
    @TulaselaMdegela 7 месяцев назад

    Naomba uponyaji biashara yangu ikue madeni sitaki mwanangu afunguliwe ufhamu kibali marra mbili

  • @naymynayomy9626
    @naymynayomy9626 2 года назад

    Eeee, Mimi hapa Sina Amani katika Maisha yangu, haswa nilivyompoteza mtoto

  • @bethcharles1794
    @bethcharles1794 2 года назад +1

    Ee Mungu mahusiano yangu kama yamekufa naomba yafufuke kwa jina la Yesu ninaomba unijibu Sawa Sawa na mapenzi yako

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 2 года назад +1

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @FortunataNguma
    @FortunataNguma 6 месяцев назад

    Natamka kwa jina la Yesu vizuizi katika maisha yangu vimeondolewa kwa Damu ya Yesu

  • @eddasamwely820
    @eddasamwely820 2 года назад

    Nyota yang iachiliwe kwa jina la Yesu , nibaki Cha ndoa , biashara, kukubalika Kiwe hai kwa Jina la Yesu Kristo

  • @roseasimwe827
    @roseasimwe827 2 года назад +4

    Amen fufua bwana Yesu kila jiwe lililofunika maisha yangu

  • @jacquelinekasondera9426
    @jacquelinekasondera9426 Год назад

    Mungu fufua Afya yangu sasa, fufua Amani kazini, fufua biashara zangu zote, fufua Mme na watoto wangu waliofichwa mbali na Mimi niwaone.

  • @ashaashura9164
    @ashaashura9164 2 года назад +2

    Eeh bwana yesu...naomba ufufue amani ya moyo wangu....fufua upya pia mahusiano yangu...nipe moyo wa matumaini na wa kujiamini....amen amen AMEn.

  • @edithanchimbi2754
    @edithanchimbi2754 2 года назад +1

    Yesu fufua afya yangu na ya mwanangu, mume wangu, huduma yangu, uchumi ,ndoa amani kwenye familia yetu, kipawa Cha umwambaji kiludu nk

  • @smilewithafrica
    @smilewithafrica Год назад +1

    E Mungu usikie kuomba kwangu. Amen

  • @GloryRichard-uc4jg
    @GloryRichard-uc4jg 6 месяцев назад

    Ee mungu naomba najifunza mambo yasaloon kupaka makeup na mitindo mingine mungu naomba kifufuke

  • @carolyneliona9866
    @carolyneliona9866 2 года назад

    Eeeee bwana nimekumbilia wewe ilinisiaibike milele ,ni wewe unaye nijua vyema ,pamoja na familia yetu ,nakuomba ufufue vyote vilivyo kufa katika maisha yetu ,najiunganisha na hii ibada tasama mwanangu ni mgonjwa naomba mponye wewe ukiwa tabibu mkuu ,ifufue ndoayangu ,katika jina la yesu

  • @emmahbooooo
    @emmahbooooo 2 года назад +2

    Hallelujah Mungu wewe ni Mungu mzuri.

  • @feithmueni4686
    @feithmueni4686 2 года назад +1

    Kitu chochote kilichokufa katika maisha yangu na kifufuke. Kazi mahusiano familia yangu mungu akairudishie katika jina la yesu. Ninaomba bamba zako za simu mchungaji

  • @MariamuRashid-oy4re
    @MariamuRashid-oy4re 8 месяцев назад

    Amina najua kila kilichokufa kwenye maisha yangu kitafufuka kwajina la yesu kristo amiinaaa

  • @mariaambelikola5574
    @mariaambelikola5574 2 года назад +1

    Bwana yesu ufufue amani kwenye moyo wanyu

  • @Msv-n3m
    @Msv-n3m Год назад

    Naomba amanita iliokufa kwenye kazi yazi album kila siku naimba bwana wangu zozote iliibiwa unirudisie in Jesus might name

  • @johnrichard8706
    @johnrichard8706 2 года назад +1

    Ndoa yangu na uchumi wangu ukafufuke katika jina la YESU

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 Год назад +1

    Ee kazi yangu uisikie neno la Bwana

  • @getrudayonah6539
    @getrudayonah6539 2 года назад

    Eeee mwenyezi mungu rudisha amani na furahaa katika maisha yangu fufua mausiano yangu yanayo kufa bila sababu fufua furahaa ktk familia yangu ameni

  • @mariaambelikola5574
    @mariaambelikola5574 2 года назад +2

    Yesu Cristo peço me curar aminha doença de HIV SIDA

  • @victoriarehema7183
    @victoriarehema7183 2 года назад +1

    Amen Amen. Ubarikiwe sana Mtumushi. Bwana Yesu amisaidie nipate nguvu ya kusoma na kuchambua neno lake. I was teaching Sunday school but now days 10yrs hiyo nguvu natamani kurudisha na naamini . kila jambo lawezekana mbele za Mungu.

  • @yvonnemanisha9267
    @yvonnemanisha9267 2 года назад +1

    Amen Kitu chochote kilicho kufa katika maisha yangu kifufuke Kwa Jina la Yesu Amen 🙏🙏🙏

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Год назад +1

    Fufua afya yangu imekuwa changamoto imekuwa ya mgogoro fufua ktk jina la mawazo yangu fufua mawazo manzuri nayopanga na nashindwa kufanya hivyo fufua akili za watoto wangu shuleni kazini fufua vibali vyao vya kupata kazi biashara kukimbizana na maisha

    • @holyspiritconnect
      @holyspiritconnect  Год назад

      Ameen

    • @JaneKobe-k5r
      @JaneKobe-k5r Год назад

      Mungu fufua kupata KAZI kawa my son Arthur James kobe

    • @JaneKobe-k5r
      @JaneKobe-k5r Год назад

      Ee Bwana fufua chochote kilicho kufa katika maisha yangu maisha ya my son Arthur James kobe

    • @JaneKobe-k5r
      @JaneKobe-k5r Год назад

      Kufua kibali cha kupata KAZI my son Arthur James kobe

  • @mariaambelikola5574
    @mariaambelikola5574 2 года назад +1

    E eh bwana, yesu naomba ufufue amani ya moyo,wanyu

  • @nonijonathan-mr2rx
    @nonijonathan-mr2rx Год назад

    Kila kilichokufa kwenye maisha yangu kwa jina la yesu kikafufuke

  • @josphinekanini9244
    @josphinekanini9244 2 года назад

    Ee bwana fufua chochote kilicho kufa katika maisha yangu

  • @SalomeRuhanga-vu3xw
    @SalomeRuhanga-vu3xw Год назад +2

    Mungu wangu Leo ameniona anafufua uchumba wangu anarudusha mahusiano yangu anefunga ugomvi uliokuwepo na amani inalejea kwa jina la yesu Mungu wangu anarudisha upendo ule WA kwanza kila chanzo cha ugomvi kife kwa jina la yesu MA mahusiano yangu uchumba wangu unafufuka upya na upendo ukawe Mara dufu ya ule wa kwanza na ndoa inaenda kufungwa kwajina la yesu

  • @charlesdegeleki4202
    @charlesdegeleki4202 Год назад

    We bwana fufua roho ya kukutafuta na kukufuata wewe siku zote ndani yangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏💅💅💅💅🙏 amen na furaha ndani ya maisha yangu

  • @mariaambelikola5574
    @mariaambelikola5574 2 года назад +1

    Naomba neema yako leo

  • @TUNUMNGONIGANI
    @TUNUMNGONIGANI Месяц назад

    Niombee mm ndo niko ivo ten kwa sasa ndo imezidi hasa nisaidie😭😭

  • @victoriarehema7183
    @victoriarehema7183 2 года назад +3

    Amen Amen. Hallelujah. Asifiwe Bwana Yesu maishani.

  • @AnabAbdallah-ii7ou
    @AnabAbdallah-ii7ou Год назад

    Ee mbwana yesu fufua ndoa yangu na kiza Changu maisha yangu

  • @lucynyaguthii6978
    @lucynyaguthii6978 2 года назад +1

    Amen amen

  • @joyceelias7891
    @joyceelias7891 2 года назад +1

    Amen Amen

  • @rachealmwale3897
    @rachealmwale3897 2 года назад +4

    Yesu nirudishie.Amen

  • @TulaselaMdegela
    @TulaselaMdegela 7 месяцев назад

    Nasafisha miguu iwe salama katika jina LA yesu

  • @veyleedekizzy6420
    @veyleedekizzy6420 2 года назад +1

    Bwana yesu najua kwako Kuna neema ya ajabuu nakupenda mana ilinipenda kwanza naomba ukafufue afya yangu mahusiano yangu ukafufue Kaz za mikono yako ukanunue familia yangu inaodharauliwa , fufua zako zako ndani yangu nipe nguvu mpya ya kujua karama yangu , wasaidie ndugu zangu ee mungu nakusihii ukafufue kila Cha kwangu chochote kilichokufa nakuamn yesu nakupenda Sana Sana mwaaah

  • @theresiakazumba8142
    @theresiakazumba8142 2 года назад

    Eeh Yesu fufua vyote vilivyokufaaa

  • @kaguri4533
    @kaguri4533 Год назад

    May the Almighty hear & and me,I pray& believe

  • @CarolineNyaboke-b3f
    @CarolineNyaboke-b3f Год назад

    Amen tuepalikiwa sana hata tumepona

  • @SaraphinaSadala
    @SaraphinaSadala 25 дней назад

    Mungu wang naom ufufue furah ra ndoa yangu kam zaman

  • @estermakasi6246
    @estermakasi6246 2 года назад +1

    asante Yesu maana unaenda kufufua vyote vilivyokufa kwangu

  • @roseasimwe827
    @roseasimwe827 2 года назад +1

    Kibali Mpenyo kubarikiwa viweze kurudi katika maisha yangu

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 2 года назад +3

    Nirudishie bwana Yesu furaha
    na pumzi ya uhai. hallelujah🕊

  • @rosemarymsemwa3956
    @rosemarymsemwa3956 2 года назад

    Kila kitu kimefufuka katoka Damu ya yesu

  • @florencekimonyi
    @florencekimonyi Год назад

    Vitu vyote vilivyokufa maishani mwangu vifufuke katika jina la Yesu Kristo, kama vile afya ya kimwili na kazi

  • @pascalbura3310
    @pascalbura3310 2 года назад +3

    Amina

  • @أمجدالمفرجي-ق3ض
    @أمجدالمفرجي-ق3ض 2 года назад

    Niwe hai kwa kila kitu afya Watoto wangu

  • @TulaselaMdegela
    @TulaselaMdegela 7 месяцев назад

    Natamka mema katika jina LA. Yesu

  • @marymachete9152
    @marymachete9152 2 года назад

    Ndoa yangu pastor irudi

  • @Msv-n3m
    @Msv-n3m Год назад

    Mungu fufua afia yangu na pia ya watoto wangu

  • @fadhrimtweve
    @fadhrimtweve 2 года назад

    Namini nafufua maishayangu

  • @getrudecharles8911
    @getrudecharles8911 2 года назад +4

    Ameeen

  • @Ashleypinky153
    @Ashleypinky153 2 года назад

    Ee mungu nipe ndoa🙏🙏😭

  • @emilianmanda9023
    @emilianmanda9023 2 года назад +1

    Amen,ooh magonjwa ya mara kwa mara

  • @yahayatemu1003
    @yahayatemu1003 2 года назад

    Ameen

  • @pendoshimo6314
    @pendoshimo6314 2 года назад

    Ameen

  • @Joyfarms15
    @Joyfarms15 2 года назад

    Amen

  • @neemamgalula6634
    @neemamgalula6634 2 года назад

    Maombi yenye mpenyo

  • @agnesrashidi3853
    @agnesrashidi3853 2 года назад +1

    Ee bwana yesu unirudishiye furaha katika ndoa yangu🙏

  • @habibasadick8263
    @habibasadick8263 2 года назад

    Amiina

  • @nanapega3908
    @nanapega3908 3 месяца назад

    Amina

  • @VELENARWEBUGISA
    @VELENARWEBUGISA 2 месяца назад

    Nyota yangu imekufa naomba ifufuke hanaona sina mafanikio kwa yote ninayoyafanya

    • @VELENARWEBUGISA
      @VELENARWEBUGISA 2 месяца назад

      Nimimi kazini naonekana km takataka hata kwenyeJamii kwenye nimetengwa sina amani

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 Год назад

    Yesu nakupenda

  • @heretocriticise1516
    @heretocriticise1516 2 года назад +2

    Amen and amen

  • @ziadamkinga5254
    @ziadamkinga5254 2 года назад +1

    Amen ,napokea kazi ,amani na ndoa katika maisha yangu

  • @rehematesha9799
    @rehematesha9799 2 года назад

    Amen 🙏

  • @themirrow3433
    @themirrow3433 2 года назад

    Amen

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 2 года назад

    Amen

  • @elizabethkristine6651
    @elizabethkristine6651 2 года назад

    Amen

  • @juddieemma32
    @juddieemma32 2 года назад

    Amen