Ambassadors Choir- Zanzibar

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2024

Комментарии • 53

  • @MamasekiMathew
    @MamasekiMathew 3 месяца назад +3

    MUNGU awabariki sana YESU yu karibu kuja nimeamini Zanzibar anatukuzwa msikiti wa Al-qussa wa Jerusalem karibu utabomolewa tujiandae mwana wa Mungu yu aja kunyakuwa waliowatakatifu tuzidi kujitakasa atakapo kuja tusiachwe

  • @alfredpaulmombury2893
    @alfredpaulmombury2893 3 месяца назад +5

    Yaani Kuna mijitu mingine sijui Huwa inafikiri kwa kutumia nini.Badala ya kuwasifu kwa ubunifu Ili wawapate watoto wa mama mdogo,wanawabeza.Hiyo midundo wanayoitumia kanisani kwao si imetoka congo?au ni ya kabila la kiswahili?ZAC,Mungu awabariki saaana.

  • @Sarah-ph5kw
    @Sarah-ph5kw 4 месяца назад +9

    Who else came here after watching a reel clip from Instagram 😅😅

  • @LucyNyagawa-w5s
    @LucyNyagawa-w5s 11 месяцев назад +1

    Nimeipenda mko juu yesu awainue

  • @drhalimalmaskari
    @drhalimalmaskari 7 месяцев назад +1

    Hio sio Zanzibar abadaan !!

  • @GraceOtieno-vo3sj
    @GraceOtieno-vo3sj 9 месяцев назад +1

    I love the song

  • @TumaluSophie
    @TumaluSophie Год назад +2

    So lovely guys

  • @davidmunenekimathi1167
    @davidmunenekimathi1167 5 месяцев назад +1

    Nipo hapa Kenya nawaskiza,,dah! Kumbe Zanzibar mna mziki tamu hivi ,,,mungu awabariki 🎉🎉

  • @gracegodfrey1173
    @gracegodfrey1173 Год назад +1

    Nawapenda sanaaaa

  • @judithokonji1028
    @judithokonji1028 3 часа назад

    💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃

  • @mariaismail5556
    @mariaismail5556 11 месяцев назад

    Mungu awainue zaidi ❤ mnatubariki
    5:19

  • @Siajabu-me7wx
    @Siajabu-me7wx Год назад

    Mko vizuri barikiwa wote ❤

  • @MaxwellMjomba
    @MaxwellMjomba 2 месяца назад

    Wazi wanangu wambinguni mpo sawia namalaika❤

  • @SemeniAbdul-azeezy
    @SemeniAbdul-azeezy 2 месяца назад

    Kumbe mnapenda mavazi yetu.

  • @emertonmwakina8593
    @emertonmwakina8593 11 месяцев назад

    Keep going guys Good job❤❤

  • @DeborahCharles-v3w
    @DeborahCharles-v3w 3 месяца назад

    Wameimba vizuri sana

  • @ednalugano2906
    @ednalugano2906 4 месяца назад

    🎉🎉 Rudiii, Rudi kwa Yesu! Kuna amani ya kweli

  • @EuniceArgethar
    @EuniceArgethar 2 месяца назад

    ❤❤❤ Mungu awatunze

  • @Ausx_editz
    @Ausx_editz 9 месяцев назад

    Very nice song. Hongera sana waimbaji wote na kiongozi wenu. Mmetisha. Lakini zaidi sana ni ujumbe mzuri wa wimbo. Kunyamaza.

  • @Davidmwakipesile-tq7oh
    @Davidmwakipesile-tq7oh 10 месяцев назад

    Kazi yenu sio bule mungu atawalipa sawasawa na mulivyo tabika amina

  • @jefwakalama4336
    @jefwakalama4336 2 месяца назад

    MUNGU awabariki sana

  • @ReskilaKimaro
    @ReskilaKimaro 3 месяца назад

    Mungu awabariki sana

  • @kennedykidali4650
    @kennedykidali4650 9 месяцев назад

    Waoooh beautiful, God is faithful!!

  • @EL-SHADAICHOIRKLPTTANDIKA
    @EL-SHADAICHOIRKLPTTANDIKA 6 месяцев назад

    Wapendwa mmetisha , Mungu aibariki huduma yenu.

  • @BJM-j2t
    @BJM-j2t 4 месяца назад

    Nic song iko juu sana hii taarab ❤

  • @maulineanyoka8247
    @maulineanyoka8247 Год назад

    Nimebarikiwa sana hapa Kenya

    • @bennynzulunge5035
      @bennynzulunge5035 11 месяцев назад +1

      Kaz nzuli, barikiwa watumish wa Bwana Yesu.

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 3 месяца назад

    Kazi iendeleeeee❤❤❤

  • @SalmaBakari-o8v
    @SalmaBakari-o8v 3 месяца назад +2

    Wanajaribu sana kuushusha uislamu lakini haitokei hata siku moja maandiko yao wenyewe yanawakataa wapi likes za waislamu

  • @SamsonDaniel-xe9vt
    @SamsonDaniel-xe9vt 4 месяца назад

    Hata Mimi naipenda Mungu wabarik

  • @susanjoseph3205
    @susanjoseph3205 4 месяца назад

    Nzuri sana .

  • @alimasha7017
    @alimasha7017 3 месяца назад

    Mubarikiwe

  • @jpmanotaofficial639
    @jpmanotaofficial639 3 месяца назад

    Jamani nipo usa 🇺🇸 naomba contact za wasimamizi wenye group hili ninazawadi kwao ❤

  • @elijahkupata7841
    @elijahkupata7841 6 месяцев назад

    Hatari sanaaaa

  • @laurensithomasi3152
    @laurensithomasi3152 3 месяца назад

    🙏🙏🙏

  • @IsaacWanyama-g9u
    @IsaacWanyama-g9u Месяц назад

    Poa sana

  • @dryboy2698
    @dryboy2698 7 месяцев назад +1

    Najivunia kuwa muislam kumbe mnaipend din yet mbn ss atuvsi masalaba yenu

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 2 месяца назад

    Safi

  • @dryboy2698
    @dryboy2698 7 месяцев назад +1

    Upumbavuu hizo kanzu za nn ss

    • @elijahkupata7841
      @elijahkupata7841 6 месяцев назад +1

      Kanzu si la muislamu pekee..ni vazi takatifu

    • @phillynjaka338
      @phillynjaka338 5 месяцев назад

      ata ma padree huvaa kanzu si vazi la kiisilamu ni vazi la heshima note that sir

    • @BJM-j2t
      @BJM-j2t 4 месяца назад

      Upumbavu na umetegesha sikio ukaskiza hadi mwisho ukanogewa upumbavu halooooo

    • @ulimbombonaulindi5088
      @ulimbombonaulindi5088 4 месяца назад

      wewe ndiyo Mpumbavu. Hata biblia inaelekeza vazi bora ni kanzu.

    • @EljohnYohana
      @EljohnYohana 20 дней назад

      Ulitaka tuvae vimin au kikubwa yesu akuhurumie

  • @queenofpossibility325
    @queenofpossibility325 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤😂❤

  • @BJM-j2t
    @BJM-j2t 4 месяца назад

    Tafuteni pesa sio sawa nakuiba upigwe mawe

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 3 месяца назад

    Hili kanisa lipo wap nije niende ibada

    • @Rehemaponera
      @Rehemaponera 21 день назад

      Karibu sana .Tupo Zanzibar kariakoo❤❤

  • @amiryibrah
    @amiryibrah 4 месяца назад

    Wajinga. Hawaaaa