MUNGU awabariki sana YESU yu karibu kuja nimeamini Zanzibar anatukuzwa msikiti wa Al-qussa wa Jerusalem karibu utabomolewa tujiandae mwana wa Mungu yu aja kunyakuwa waliowatakatifu tuzidi kujitakasa atakapo kuja tusiachwe
Yaani Kuna mijitu mingine sijui Huwa inafikiri kwa kutumia nini.Badala ya kuwasifu kwa ubunifu Ili wawapate watoto wa mama mdogo,wanawabeza.Hiyo midundo wanayoitumia kanisani kwao si imetoka congo?au ni ya kabila la kiswahili?ZAC,Mungu awabariki saaana.
MUNGU awabariki sana YESU yu karibu kuja nimeamini Zanzibar anatukuzwa msikiti wa Al-qussa wa Jerusalem karibu utabomolewa tujiandae mwana wa Mungu yu aja kunyakuwa waliowatakatifu tuzidi kujitakasa atakapo kuja tusiachwe
Yaani Kuna mijitu mingine sijui Huwa inafikiri kwa kutumia nini.Badala ya kuwasifu kwa ubunifu Ili wawapate watoto wa mama mdogo,wanawabeza.Hiyo midundo wanayoitumia kanisani kwao si imetoka congo?au ni ya kabila la kiswahili?ZAC,Mungu awabariki saaana.
Hio logo ya wivu acha
Who else came here after watching a reel clip from Instagram 😅😅
Nimeipenda mko juu yesu awainue
Hio sio Zanzibar abadaan !!
TAG, Kariakoo. Stone Town😁
I love the song
So lovely guys
Nipo hapa Kenya nawaskiza,,dah! Kumbe Zanzibar mna mziki tamu hivi ,,,mungu awabariki 🎉🎉
Nawapenda sanaaaa
💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Mungu awainue zaidi ❤ mnatubariki
5:19
Mko vizuri barikiwa wote ❤
Wazi wanangu wambinguni mpo sawia namalaika❤
Kumbe mnapenda mavazi yetu.
Keep going guys Good job❤❤
Wameimba vizuri sana
🎉🎉 Rudiii, Rudi kwa Yesu! Kuna amani ya kweli
❤❤❤ Mungu awatunze
Very nice song. Hongera sana waimbaji wote na kiongozi wenu. Mmetisha. Lakini zaidi sana ni ujumbe mzuri wa wimbo. Kunyamaza.
Kazi yenu sio bule mungu atawalipa sawasawa na mulivyo tabika amina
MUNGU awabariki sana
Mungu awabariki sana
Waoooh beautiful, God is faithful!!
Wapendwa mmetisha , Mungu aibariki huduma yenu.
Nic song iko juu sana hii taarab ❤
Nimebarikiwa sana hapa Kenya
Kaz nzuli, barikiwa watumish wa Bwana Yesu.
Kazi iendeleeeee❤❤❤
Wanajaribu sana kuushusha uislamu lakini haitokei hata siku moja maandiko yao wenyewe yanawakataa wapi likes za waislamu
Yesu yuaja
Hata Mimi naipenda Mungu wabarik
Nzuri sana .
Mubarikiwe
Jamani nipo usa 🇺🇸 naomba contact za wasimamizi wenye group hili ninazawadi kwao ❤
Hatari sanaaaa
🙏🙏🙏
Poa sana
Najivunia kuwa muislam kumbe mnaipend din yet mbn ss atuvsi masalaba yenu
Hivi kwani Taarabu ni dini?
Safi
Upumbavuu hizo kanzu za nn ss
Kanzu si la muislamu pekee..ni vazi takatifu
ata ma padree huvaa kanzu si vazi la kiisilamu ni vazi la heshima note that sir
Upumbavu na umetegesha sikio ukaskiza hadi mwisho ukanogewa upumbavu halooooo
wewe ndiyo Mpumbavu. Hata biblia inaelekeza vazi bora ni kanzu.
Ulitaka tuvae vimin au kikubwa yesu akuhurumie
❤❤❤❤❤❤❤😂❤
Tafuteni pesa sio sawa nakuiba upigwe mawe
Hili kanisa lipo wap nije niende ibada
Karibu sana .Tupo Zanzibar kariakoo❤❤
Wajinga. Hawaaaa