Ufunuo Choir - Maisha Yangu (Live Performance )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 авг 2024
  • Stream And Download Ufunuo Choir Audios on all Platforms
    Boomplay:www.boomplay.c...
    Audiomack:audiomack.com/...
    Sportify:open.spotify.c...
    Deezer:deezer.page.li...
    Digital technician: / bendouble9
    For Booking Contact Ufunuo Choir
    Phone:+255684479638
    Email: ufunuoc@gmail.com
    Catch up with Ufunuo Choir on Social Media
    Instagram: / ufunuo_gospel_choir
    Tiktok:www.tiktok.com...

Комментарии • 675

  • @ufunuochoir
    @ufunuochoir  Месяц назад +8

    ruclips.net/video/GBiEtKT7-XQ/видео.htmlsi=LyH2SHpwBH2kIch4

    • @gastondofra9151
      @gastondofra9151 Месяц назад +1

      Mbarikiwe sana jamani,Mungu ni mwema kwa watu wake

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 5 месяцев назад +43

    Kama umemkubali mzungu Kam mm gonga like Aki Ako na sauti mzuriii sanaa

  • @ednaadam641
    @ednaadam641 9 месяцев назад +17

    nimependa sauti ya mzungu jamani anaimba sanaa japo wote wanaimba mungu awabariki

  • @venanciakabula9515
    @venanciakabula9515 7 месяцев назад +46

    Tulioangalia hii nyimbo zaidi ya mala 10 tujuane❤

  • @user-to3vc7vj4e
    @user-to3vc7vj4e 8 месяцев назад +29

    Kupitia wimbo huu mdogo wangu atoke gerezani na dadaangu apokee uponyaji wa kansa pale ocean rod

  • @Regnard999
    @Regnard999 9 месяцев назад +188

    Ukitaka kushuhudia ufundi wa melody, pitch na umahiri wa soloists, basi kwaya hii ni moja ya kwaya zenye umahiri huu kwa viwango vya juu. Ni neema ya Mungu tu na wala si kwa uwezo wenu. Mungu aendelee kuwapa maono walimu wa kwaya hii. Tunabarikiwa sana na huduma yenu❤❤🎉🎉,, mzungu amenikosha sana kwenye ku-solo,, kumbe ana kipaji pia cha solo mbali na style. Mungu ni mwema sana❤❤

  • @joycelanda8987
    @joycelanda8987 5 месяцев назад +11

    Kupitia wimbo huu naomba Mungu awaponye wagonjwa wote popote walipo Kwani bila Mungu hatuwezi Kwa lolote!hata madaktar na manes Mungu awatumie kama vyombo vya uponyaji na Kila haja za mioyo yetu Mungu akatujibu vile aonavyo Mungu wetu 🙏

  • @abelkinyondo9027
    @abelkinyondo9027 9 месяцев назад +26

    Hii choir kila mtu ni powerful soloist. Hatari sana❤

  • @felixnicodem6233
    @felixnicodem6233 3 месяца назад +5

    Vyote nilovyonavyo ni Mungu amenibariki hata kuishi kwangu nineema ya Mungu Sina chakujisifu Ila ni Mungu tu ❤❤

  • @mbmdigitalpro5198
    @mbmdigitalpro5198 9 месяцев назад +9

    Ningetamani watakapo kuwa kwenye maandalizi ya kutowa wimbo nyingine wanihusishe na mimi niweke wangu muchango

  • @laelimaden714
    @laelimaden714 3 месяца назад +4

    Kila nikiamka nasali na kwaya hii kweli mungu awatuze na awape maisha marefu katka uimbaji wanaokoa watu katka ulimwengu huu

  • @gloriousn6425
    @gloriousn6425 9 месяцев назад +21

    Ufunuo choir is a Sleeping Giant 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙏🏿👌🏽Mungu ana watu wake , na Tanzania 🇹🇿 tumebarikiwa kua miongoni mwa watu hao . …PIGENI KAZI WAPENDWA TAJI ZENU ZITANG’AA NYOTA MBINGUNI

    • @geoffreyambasi9601
      @geoffreyambasi9601 4 месяца назад +1

      Tanzania mna choir nzuri sana mbarikiwe jamani

  • @annakaleshu5393
    @annakaleshu5393 4 месяца назад +11

    Kwa wimbo huu Mungu amponye mume wangu,

  • @EzekielMisungwi-zn6qh
    @EzekielMisungwi-zn6qh 9 месяцев назад +36

    Mzungu mungu amempa kila kitu style anakosha sauti anakosha ❤

  • @rubenvalentine4001
    @rubenvalentine4001 20 дней назад +1

    I don't understand the language, but I sure am blessed by this great Choir. May the Good Lord bless you all.

  • @leahmachele3354
    @leahmachele3354 4 месяца назад +2

    Neema ya Mungu imenifukaa.... Mimi Sina chakudaii mbele za Mungu wangu

  • @lucymburu155
    @lucymburu155 9 месяцев назад +46

    The melody, words,dance moves,uniform everything on point . Glory to God

  • @evapendoshilamungaya7759
    @evapendoshilamungaya7759 3 месяца назад +2

    Hakika,Mungu amewatumia kutukumbusha kuwa tulivyo ni yeye amefanya.❤❤🎉

  • @gracewamaitha7382
    @gracewamaitha7382 9 месяцев назад +28

    If you listened with tears in your eyes 😢😢let's gather here and clap for Jesus +254 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @dankimathi
    @dankimathi 9 месяцев назад +34

    This year has been a big one for me. God has been so faithful to me. I went through the worst periods in my life between August and December 2022. I got broken 💔 emotionally, physically and financially while in Kenya 🇰🇪. I trusted God and had faith in him to get me through it all. A year later, he was faithful enough. Wiped me all the tears and paid it all. Now in my third month in the UK 🇬🇧, I can only listen to it, look back and thank God. He's truly an amazing God. All Glory to Almighty God.

  • @aunclemdogo4741
    @aunclemdogo4741 4 месяца назад +2

    The mzungu guy has everything to praise God

  • @geoffreyambasi9601
    @geoffreyambasi9601 4 месяца назад +4

    Wait a minute yaani Kila mtu in this group can sing nicely like this waah respect.

    • @gloriousn6425
      @gloriousn6425 Месяц назад

      Imagine 😮🙌🏾🙌🏾🙏🏿

  • @zachariazabron3192
    @zachariazabron3192 9 месяцев назад +5

    Sure Manara wa hiii kwaya huwa unanifurahisha sana Mungu aendelee kukuinua

  • @NORAHNDUSILO
    @NORAHNDUSILO 9 месяцев назад +19

    Nasikiliza wimbo huu ikiwa siku ya birthday yangu, nawashukuru kwa kunipa wimbo wa kumsifu Mungu kwa kipindi hiki, Maisha yangu yote ni Mungu tu

  • @DaniellaBisimwa
    @DaniellaBisimwa 2 месяца назад +2

    Who is daily listening to this song like me❤❤

  • @GabrielChengula
    @GabrielChengula 10 дней назад +1

    Kila nikisikiliza wimboo huu naona nabarikiwa sanaaaa❤❤❤❤

  • @lumieremangaza8987
    @lumieremangaza8987 24 дня назад

    Oui, je viens de le regarder 2 fois alors qu'il est 4h. Benit soit le nom de Dieu. Sina kyakuli vumisha. Ehh yesuu , c'est profond.

  • @ElizabethCeaser-zy5ew
    @ElizabethCeaser-zy5ew 6 месяцев назад +1

    Silali bila kusikiliza huu wimbo huu Sina cha kujivuna wa Cha kujisifu ila no mungu anatenda 8:15

  • @rennyworld1242
    @rennyworld1242 8 месяцев назад +2

    Wimbo huu umenifunza kunyenyekea kweli mimi ni bure bila Mungu... sina hata cha kujisifu😢..

  • @jacobmwandenga3364
    @jacobmwandenga3364 7 месяцев назад +2

    Nina Mimi Cha kujisifu Nina nini Mimi Cha kujivuna
    Mungu amefanya Kwa mapenzi yake

  • @sylviamuvunga4546
    @sylviamuvunga4546 3 месяца назад +1

    Tajisifu na nini? Ta jivuna na nini? Yote yangu ni kwa mapenzi ya Mungu. Sababu langu kubwa la kukuabudu Mungu. Alléluia 🙌

  • @mageedward9135
    @mageedward9135 8 месяцев назад +3

    Mimi sina cha kujivuna wala cha kujidai mbele za MUNGU wangu,mbarikiwe sana kwa maono haya ya wimbo

  • @mangaremechanic4062
    @mangaremechanic4062 4 месяца назад +2

    Hii kwaya imenikosha moyo wangu jamni mbarikiwe san san ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ntulimambo463
    @ntulimambo463 3 месяца назад +1

    asante sana Mungu wetu maana ni mwema sn kwetu,unatutendea yaliyo mema mengi hata sisi tusiostahili,asante sn Ufunuo kwa kutukumbusha ukuu wa Mungu wetu tukiwa hapa duniani

  • @glorymathew182
    @glorymathew182 Месяц назад

    Hii kwaya ina neema kubwa sana ukisikiliza nyimbo zao lzm utokwe machozi kwa kutafakari ukuu wa Mungu wetu😢 Mungu awatunze kwa ajili ya Tanzania na mipaka ya Tanzania na duniani kote🙏 Nawapenda wote

  • @deborakabuche1899
    @deborakabuche1899 9 месяцев назад +5

    Yes na hii ndio maana halisi ya Ufunuo. Hakika mnatubariki kwa viwango vya juu.. Mungu wa mamlaka azidi kuwatumia kwa viwango vikuu 🙏🙏🙏🙏🙏.

  • @lucynfavour9690
    @lucynfavour9690 9 месяцев назад +3

    Mungu wa Binguni awalinde kutokana na mishale yoote na silaha zote inayotumwa kinyume cha woote wahudumuo kwa roho na kweli... Bwana awe Ngome yenu.... Awafiche kutokana na macho ya waovu na maneno yao...avunje ngome zoote na ibado zozote za uovu ili ibada yeenu kwa Mungu isizuilike... Nimesikiza hasa "usisahau hata kidogo napia huu wimbo... Ni dawa inayoingia kwa moyo,,, mawazo,,, mifupa na kila wkt nashuhudia uwepo wa Mungu mnapohudumu kupitia nyimbo.... Mimi ni mwanaibada kutoka Kenya,,,,ambaye Mungu ameniinua kupitia kwa ya AIC Unity(Naivasha).... Namtukuza Bwana Yesu kwa ajili yenu.... More Grace,,,

  • @user-od8wv4wg4f
    @user-od8wv4wg4f 6 месяцев назад +3

    Nimewapenda bure watumishi wa jehova, mungu wa mbinguni awakumbuke

  • @klmhardware2993
    @klmhardware2993 9 месяцев назад +4

    Wow 😲😲 MUNGU AZIDI KUWAINUA NIKISIKILIZA NYIMBO ZENU NAHISI KUINULIWA❤❤

  • @fatumamimbi3126
    @fatumamimbi3126 2 месяца назад

    Maisha yangu yote ni MUNGU tu anatenda,wala Sina kujivuna,walasina cha kujisifu..

  • @carolynekangogo64
    @carolynekangogo64 9 месяцев назад +16

    I can't control my machozi 😭😭😭😭I'm so humbled...... I feel every word from God in this song..... It pierce my heart like a double edged sword 🙌🙌🙌🙌 much blessings servants of God 🙏🙏🙏🙏 mbarikiwe na mungu azidi kuwainua tena na tena

    • @user-gc4km8oc5t
      @user-gc4km8oc5t 9 месяцев назад +1

      mtunzi wa wimbo ana maono makubwa sana,sichoki kuusikiliza umekuwa kama sala yangu ya asubuhi maana nausikiliza njia nzima mpaka ninapofika kazini uso wangu unakuwa umejaa machozi mengi nikitafakari maneno ya huu wimbo,,Mungu abariki huduma hii❤

    • @kaggyjj1263
      @kaggyjj1263 8 месяцев назад

      Nina Nini Mimi Cha kujisifu❤ be blessed

  • @deborahmgedzi632
    @deborahmgedzi632 8 месяцев назад +3

    Mungu Baba Mwenyezi Awape Amani na Furaha katika maisha yenu. Amina

  • @user-hd5kc9lw6m
    @user-hd5kc9lw6m 3 месяца назад +1

    Hakika sina cha kujisifu mimi kila ninachopata ni kwa neema tuu,asante kwa ujumbe watumishi🎉

  • @tuzojohn3581
    @tuzojohn3581 9 месяцев назад +1

    MAOMBI YANGU KWA BWANA juu ya kwaya Hii. Ni kwamba Roho mtakatifu awape kushuka na kunyenyekea, Awape utulivu ndani yenu na kukubali yeye awe SUPER STAR adui yetu Ibilisi anajua moja kati ya kitu kinachomchukiza Mungu sana ni kiburi na kukosa unyenyekevu.
    NINA AMINI MATAIFA YANABARIKIWA NANYI. Bakini chini wapendwa YESU atukuke zaidi kati yenu.
    NAWAPENDA UFUNUO CHOIR

  • @kenmugo5680
    @kenmugo5680 2 месяца назад

    Hata akili niliyo nayo, ni mungu ameniiipa! Na nguvu nilizo nazo, ni yeye amenipa! amazing amazing worship!!

  • @KundaelJackson-rn8id
    @KundaelJackson-rn8id 9 месяцев назад +2

    Naipenda sana kwaya

  • @user-kb4jp4vc4t
    @user-kb4jp4vc4t 6 месяцев назад +4

    zungu noma!!!!190%

  • @ElishaKasekwa-vo2eg
    @ElishaKasekwa-vo2eg 9 месяцев назад +3

    Ni nanini mimi cha kujisifu, nina nini mimi cha kujivuna🙏🙏🙌👐❤❤

  • @MadukaAlphonce-ts5hh
    @MadukaAlphonce-ts5hh 3 месяца назад +1

    Hata kazi hii ni kwauwezo wa Mungu sina kitu cha kujivuna ni Mungu tyu🎉🎉

  • @theopistamwayeya1764
    @theopistamwayeya1764 9 месяцев назад +9

    Vitu vyote nimepewa na Mungu, Amen❤

  • @edezzydorry
    @edezzydorry 7 месяцев назад +2

    Kazi mnayoifanya kwa kweli inabariki wengi nikiwa mmoja wapo katika taifa la kenya,nawaombea mudumu katika hisia hiyo na kuzidi,salamu za pekee zimwendee mzungu

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie9327 9 месяцев назад +4

    Nawapenda❤

  • @jeremiamalisha2092
    @jeremiamalisha2092 10 месяцев назад +4

    Amen, nabarikiwa san na kwaya hii Mungu azidi kuwainua.

    • @MonicaEdson
      @MonicaEdson 10 месяцев назад +1

      Nawapenda buree watu Hawa
      Mungu aendelee kuwainua ninyi na huduma yenu

  • @Oden_Viber88
    @Oden_Viber88 9 месяцев назад +2

    nzuri sanaa

  • @azizasanga6440
    @azizasanga6440 9 месяцев назад +3

    👍👏♥️ Mungu aikuze huduma utukufu kwa Mungu nyimbo inabariki inaelezea wema wake kwetu yatupasa tumshukuru Mungu Kwa yote anayotutendea.

  • @user-vk4ff9we9k
    @user-vk4ff9we9k Месяц назад

    Namshukuru Mungu kwa ajili yenu, NAWAPENDA MUNGU AWABARIKI KTK UTUMISHI ❤❤❤

  • @neemangowi3514
    @neemangowi3514 2 месяца назад

    Kwakweli Mungu azidi kuwabariki maana mnanikosha sana jamani mmejaliwa sauti mnaimba vizuri ma sololist wote nawapa mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @EsaieKisembo
    @EsaieKisembo Месяц назад

    Kupitiya hu wimbo Mungu aponye nduguzangu wadogo Wang kwa hali mbalimbali wanazoziishi

  • @esthermollel8958
    @esthermollel8958 7 месяцев назад +1

    😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌 sina chakujisifu...
    Ahsante Sana Baba,
    Ahsante Sana Mungu mwema,
    Ahsante Messiah,
    Ahsante
    Ahsante
    M-mbarikiwe mnoo....❤❤❤❤

  • @julianaphilemon9893
    @julianaphilemon9893 28 дней назад

    Binafsi kwa akili zangu uenda nisingekuwepo 🙏🙏🙏nimepita mapito mengi bt finaly God is so good siwezi kujisifu kwa neno lolote.

  • @PeterA.Meshack-mu5rw
    @PeterA.Meshack-mu5rw 5 месяцев назад +2

    Yaani wananibariki saaana Mungu awe pamoja nao

  • @user-zy5mw9ix4s
    @user-zy5mw9ix4s 7 месяцев назад +1

    Mubarikiwe sana wainbaji kwa winbo mzuri kabisa ina tu tiya kabisa nguvu na ku tu elekezeya mbele za mungu na kujuwa kumuchukuru Mungu Wetu kwa kila jambo

  • @susankitila2898
    @susankitila2898 6 месяцев назад +1

    AMEN AMEN WATUMISHI WA KRISTO. HAKIKA NI KWELI. MMBARIKIWE SANA SANA. MPO WAPI JAMANI

  • @merinankullua5874
    @merinankullua5874 7 месяцев назад +1

    Maisha yangu ni Mungu ametenda ,sina cha kujivunia ,Glory to God ,wimbo unanibariki sana,mbarikiwe waimbaji wa kwaya ya ufunuo

  • @laelimaden714
    @laelimaden714 3 месяца назад +1

    Mzungu yupo vinzuri sana mungu akutunze

  • @edithmwasulama7005
    @edithmwasulama7005 2 месяца назад

    Wapokee kwabjina la Yesu. Pole endelea kumuamini

  • @ElizabethCeaser-zy5ew
    @ElizabethCeaser-zy5ew 9 месяцев назад +2

    Ufunuo mungu awainue zaidi na zaidi nyimbo zenu zinanibariki ktk viwango vikubwa Sana

  • @lucymtundu3600
    @lucymtundu3600 8 месяцев назад +1

    Huwa mnanibariki sana nyie watumishi wa Mungu jumbe zenu huwa zinaugusa sana moyo wangu😢

  • @user-du7mk8ux8t
    @user-du7mk8ux8t 6 месяцев назад +1

    Ñawapenda mnoo Mungu wa mbinguni awaepushe na Kila mabaya hakika Sina Cha kujisifu

  • @joelmwanga6745
    @joelmwanga6745 9 месяцев назад +6

    Song’s content, melody, singers ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mercywanjiku6989
    @mercywanjiku6989 9 месяцев назад +3

    My all time favourite my brother mzungu🙏 my celeb I can watch ur vedios over n over again his dancing moves acha tu , yaani husifu kwa roho kabisaa na ukweli

    • @FLOH9876
      @FLOH9876 5 месяцев назад +1

      Definitely....he sings so well &dances so well too❤...blessings upon him

    • @mercywanjiku6989
      @mercywanjiku6989 5 месяцев назад

      @@FLOH9876 amen 🙏🙏 he is a blessing to many

  • @denismaussa650
    @denismaussa650 9 месяцев назад +3

    MUNGU awabariki Sana wote mnao..
    Ujumbe mzuri Sana sana

  • @ReginaSulley-fc5jd
    @ReginaSulley-fc5jd Месяц назад

    Amina..cna chochote watot ardhi Mali vyote ni vya Mungu

  • @user-go2pg4dj5k
    @user-go2pg4dj5k 7 месяцев назад +1

    Kwaya bora kabisa yenye nguvu za Mungu ndani ya nyimbo zakey

  • @eliudlucas8719
    @eliudlucas8719 9 месяцев назад +2

    Mzungu 🎉🎉🎉 amazing amefanya wonderful mungu anaendele kuwapa nguvu na kwaya mzima Kwa ujumla❤

  • @ellykirundwa2646
    @ellykirundwa2646 9 месяцев назад +7

    Oooooooh!!!! Hallelujah,mnajua kunibariki sana.....Mungu aendelee kuwa inuliwa vipawa vyenu na mkadumu katika kumsifu na kumwaabudi yeye aliye patakatifu pake Juu mbinguni. Vocal is fantastic,song arrangement is awesome. Amazing voices. Mimi nafikiri ndyo mtu anaangalia mara nyingi nyimbo hiii na WIMBO WANGU BORA NI.....USISAHAU KUMSHUKURU MUNGU. Niwaachie mibaraka tele. Amen. Siku moja nitakuja kusali ktk ibada yenu.

  • @user-jj5vn7cq7n
    @user-jj5vn7cq7n 6 месяцев назад +1

    Nawapenda sana na Mungu awazidisie baraka zake najifunza vitu vng kwenu

  • @seuny2k1
    @seuny2k1 2 месяца назад +1

    Your sound & meaningful message blessed me abundantly...barikiweni sana sana & thank you...🕊🕊

  • @mnirahmteleka2685
    @mnirahmteleka2685 6 месяцев назад +1

    Deus emmanueli 🤚🙏Mungu akuinue katika viwango vingine kifra na maarifa zaid

  • @Regnard999
    @Regnard999 9 месяцев назад +22

    Another amazing song from Ufunuo. You never disappoint❤❤🎉🎉

  • @user-xv1im1yg1n
    @user-xv1im1yg1n 9 месяцев назад +7

    Craignons DIEU LE CRÉATEUR DU CIEL ET DE LA TERRE . OUI TOUT EST À LUI en commençant par le souffle de vie qui est en nous jusqu aux bénédictions tant financières matérielles spirituelles intellectuelles...que maritales vraiment soyons humbles et reconnaissants à Dieu et rendons LUI TOUTE la GLOIRE ET LOUANGES qu ' IL mérite. Merci beaucoup UFUNUO pour ce profond message

    • @marynyambura5078
      @marynyambura5078 9 месяцев назад

      Amen 🙏

    • @tumainichigwasi1524
      @tumainichigwasi1524 8 месяцев назад

      Jamani Mungu ana watumishi Mungu awakumbuke ktk ule ufalme wake

    • @tumainichigwasi1524
      @tumainichigwasi1524 8 месяцев назад

      Kubwa zaidi ni wengi na wote ni mashine,kupitia hawa Mungu aione kwaya yangu ili ijitambue ktk nafasi yake kwa utukufu wa Bwana.

  • @mtushe1
    @mtushe1 9 месяцев назад +2

    Hii choir lazima wawe ni watu waombezi vizuri sana ndiposa Mungu anawapa kibali cha nyimbo tamutamu zenye ujumbe mtamu na mzito.

  • @jescamaumbi1320
    @jescamaumbi1320 9 месяцев назад +2

    Mungu awwbariki kwa kutuhubiria kwa njia ya nyimbo tunabarikiwa sana🙏

  • @amankajuna5064
    @amankajuna5064 9 месяцев назад +13

    Guys you quench my thirsty. You bring Heaven closer and remain anointed. You are the real God’s Generals

  • @mariamatuku6475
    @mariamatuku6475 6 месяцев назад +1

    Vyote Mungu ndiye amenipa,, nice song

  • @user-tm9cn5tp4u
    @user-tm9cn5tp4u 6 месяцев назад +1

    ❤ vrmt napenda sana mubarikiwe sana batoto ya mungu aksanti

  • @neemangowi3514
    @neemangowi3514 2 месяца назад

    Nawapenda sana mnavyopokezana tu Hadi raha Mimi mwenyewe ni mwimbaji. kwenu Niko darasani

  • @syletmoraa443
    @syletmoraa443 9 месяцев назад +7

    Amen watching from Qatar nawapenda bure mungu awatie nguvu kwa kazi yake ❤

    • @EdnaMwamburi
      @EdnaMwamburi 9 месяцев назад

      Me too,let's watch and be blessed

  • @assatarimehighschoolchoir
    @assatarimehighschoolchoir Месяц назад

    Mungu awatunze, napenda sana nyimbo zenu zinanibariki mno🙏

  • @enockmakanga6844
    @enockmakanga6844 12 дней назад

    Ufunuo Choir you are a blessed Group..We admire your Wonderful Music, Blessing and well arranged, blended. Looking forward to inviting you to come to Kenya one day to bless Kenyans..

  • @charlesadhola
    @charlesadhola 9 месяцев назад +15

    This choir is such a powerful one. The voices, the organisation and the message. God bless you

  • @user-qq2rd7gz9i
    @user-qq2rd7gz9i 3 месяца назад

    Ni nanini Mimi hakika wewe ni Mungu😢😢

  • @happysanka9679
    @happysanka9679 8 месяцев назад +1

    Kweli kbs sina cha kujivuna

  • @rebecaomary8103
    @rebecaomary8103 9 месяцев назад +5

    Mungu ni mkuu anavyo vipawa na ameweka kwa watu wake. Powerfull melody ❤❤❤

  • @mathewmwalimu8074
    @mathewmwalimu8074 24 дня назад

    Amazing. Na mtembee Kenya jameni tuwa watch live live.

  • @PhaniceNasimiyuPhaniceNasimiyu
    @PhaniceNasimiyuPhaniceNasimiyu 3 месяца назад

    Manjosi yanatoka tu nilo Nalini mimi naomba msamaha mungu nihurumie barikiwa wapendwa sana

  • @SophieKathure
    @SophieKathure 7 месяцев назад +1

    Kweli sinachakujivunia whatever I have God has given me I wonna say thank you Lord. Great job n great inspiration God bless you

  • @ShauriStephano-ou2vg
    @ShauriStephano-ou2vg 2 месяца назад

    Mungu anawatu mno nabalikiwa nikiwa kigoma kasulu

  • @Eden-Nation-Voice
    @Eden-Nation-Voice 6 месяцев назад +1

    Amen
    Barikiwa sana🙌🙌🙌

  • @alphoncelondo6586
    @alphoncelondo6586 9 месяцев назад +10

    Glory to God..... Good Choir; Good people ; smart for everything....love you guys.