#TBC
HTML-код
- Опубликовано: 3 май 2024
- Mbunge wa Jimbo la Makete, Festo Sanga ameshangazwa na aina ya uwekezaji kwenye timu ya Simba na kusema kama timu imewashinda viongozi waliopo wawapishe wengine kuendeshea timu hiyo.
Akizungumza na TBCDigital nje ya Bunge, Sanga amesema timu imekuwa na mwenendo mbaya na kuwanyima raha mashabiki wa Simba bila uongozi uliopo madarakani kujitafakari kwa kina.
Shabiki wa Simba una maoni gani juu ya mwenendo wa timu yenu na ungependa kipi kifanyike ili kurejesha furaha kwa Wanasimba?
Sawa tunawashukuru sana waheshimiwa kwa kuona swala hili maana kuna viongozi wa hovyo sana.muwekezaji haeleweki,uongozi uliopo utoke mwekezaji pia atoke.tunaumia sana juu ya simba yetu.yaani tunaumia sana.
😅
Akishatoka utawekeza wewe ? Hata ukipewa mchezaji mmoja tu umhudumie break fast tu huwezi mbwaa wewe
@@anethchristopher6936 mbwa mamaako
Umeongea la maana sana, nimependa, wawapishe wengne,
Kigwangala alisema mkamuona hana nia njema na timu yenu leo mmekubali
Kweli kabisa simba Haina viongozi wenye nia njema na timu
Mwekezaji hafai aondoke mwekezaji ni feki hawezi kuisaidia timu. Safi sana Mheshimiwa pigania simba yetu itoke mikononi mwa mabepari, mabwanyenye na mafisadi.
Simba na quality ya viongozi tofauti kabisa
Sio simba tu hata mama hatutoshi aondoke tu
Muondoe na chuki zako
jitie kidole jinuse kwanza inaoneka hujanawa ulivyoenda chooni
Unaota ndoto za mchana
@@sadammakaka4559 chawa kama chawa mnalipwa kwanza au viherehere tu
@@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 labda nikutie dole ninuse
Upewe weww
Safiii sana MH mbunge huyu mwekezaji janja janja nyingi afu viongozi wapigaji
Ukiona "Kiongozi" watu wake wanamkataa na kumsema,lkn bd yeye "kang'ang'ania" madaraka,ujue huyo kiongozi "ana ugali wake" anafaidika nao hapo
uko vizuri pambana tukomboe simba yetu iko mikononi mwa mataperi
You are extra genius 👏
Ni kweli kabisa, viongozi na Mo wapishe timu ianze upya kabla ya msimu haujaanza
Ahsante kiongozi ubarikiwe
Nazani tatizo liko kwa wote kwa mwekezaji na viongoz asilaumie mwekezaji tu
Bora viongozi wakubwa na waselikali mriongereee MO naee anaweza kuwa chanzo
Kwel kabisa kwel kabisa
salutee broo sanga
Ukweli umesema na wanaopinga ni machawa wa mo tatizo sio tatizo Simba ni mo. Mangungu na mwenzake njaa watasema nini
Mnajipendekeza hiyoo timu ya familia ya. Aina. Dewj. Nyii ni. vibarua
Mhindi ni muhindi tu ....
Mo achia Tim,tumechoka, aachie
Uko vizuri sana , sumu ya Simba ni Mo ahondoke
Wasenge nyie na haowaheshimiwa wenu moanatoa hera nyingi sana haondiowanaotusumbua wajanja wajanja tu watoehera ya usajiliwao
Mo atasifiwa timu Ikiwa inafanya vizuri na ikifanya vibaya lazima abebe msalaba , yeye ndo dira toa fedha na uisimamie mfano Heris anakaa na timu , Mo huwezi muona hata kidogo kwenye timu
Kuandika tu ni shda kwko, unafkir hta hekima na Akili utakuwa nazo??@@MgangaMasudi
Mo aende zake hongera MH
Viongozi Simba wangetoka mapema Sana Ila tatizo Rpc anawalinda Sana
Umemkosea tajir janjajanja gani nakama mko bungeni kwanini mnachelewa kumtoa ushauri wakina nchemba yanga nawanapambana mavunde yanga wapo kabisa serious lakn nyiee Simba mnamkashifu mo sawa hapendwi lakn ashatutoa kubaya Mpira WA Sasa uchawa mwingi anaetutesa sisi ni Mmoja tuu mpaka mchakato hauendi mungu nusuru Simba uliiowapa uwezo wanatutesa sisi tusiowwwza pia wote WA Tanzania
Aliyemtaka hakuchaguliwa na Hilo ndio kosa la wanachama kwenye uchaguzi.hata ghalib alimtanguliza Hersi ili atoe pesa zake
Kweli mdau umeongea point kubwa sana
Mo aondoke tu ,anatuharibia saana
Kapiga mule mule kama Kigwangala Asante kwa kuweka wazi
Inatakiwa mwenyekiti wa club ya simba na makamu wake wajiuzulu tu hawatufai kabsa
filam za kibongo
EXACTLY....!
Hiyoo ni timu yaoo ukooo. Wa dewj
❤❤❤napenda maneno hayo kuyasikia Kwa mwanachama au shabiki yoyote wasimba sports
mm naungana na ww kweli
Nikwelikabisa umeongea kiukweli Simba uongozi haukomakini tafuteni uongozi wenyekiu ya maendeleo
Mweshimiwa nakuunga mkono simba kuna wezi ila mwizi wa kwanza ni mo atoke na kundi lake
Sasahv akihojiwa tena
Mo haumii kwa sababu hatoi hela ange kuwa anatoa hela angezungumza Zaman
Duu yaani busara zako zote unaishabikia timu.yakihunii hii
Watu kama Hawa ni wa chache sana ktk hii Dunia👏👏👏
Nikweli mo atupishe
Ukweli wanasimba sisi tunaujua. Shids si mwekezaji mmoja ambaye amekwishalipia asilimia 49 ya hisa zake. Shida ni uongozi wa wanachama kushindwa kuratibu ulipiaji wa 51% ya hisa. Ndiye mwekezaji asiyetimiza wajibu. Mangungu ndiye mchawi wetu.
Mwekezaji Hana tatizo bali wenye tatizo ni viongoz ..Mo anatoa hela za usajili wao wanagawana
Hawa wasenge si wanaongea tu wanasahau kwamba kabla mo hajaja tulikuwa tunategemea kina chanongo, ajibu, serenkuma ndo watupe ubingwa
Kweli viongozi watoke tu wawapishe wengine waendeshe timu. Sasa tumepata Mgunda Kocha mzuri sana. Sasa bado uongozi WATOKE WATOKE TU. MO kama ameshindwa awape wengine..ILi asiendelee kupata hasara.
Umenyosha mjombaa safi sana
Nachojiuliza mimi mbona kabla hajaja hatukuweza kufanikiwa?
Kweli kabisa moo ni shida pale hana uchungu na timu kaweka viongoz wa siasa
Mangungu na wenzake niniwanacho ngangania simba ilikuwepo Kabula yao kama wanaakilitimamu waitishe timu yetu,
Timu inapelekwa hovyo hovy watoke waniachie timu yangu
Unasema kweli Mh.
Unaongea point kabisa
Akwere ukooo
Tunashukur sana kama simba imewashinda waiachie
🤗🤔😀
Tetesi za usajili
Mwekezaj nifek janjajanja nying kila mwaka anadai anapat hasar kam biashar inakup hasar kila mara siunaachan nayo kwa maon yang huyo aondoke apishe wengine tumechok projo zake
Mwekezaji hamjampa timu wanachama hamjatoa asilimia 51 zilizobaki mnamlaumu vip Mo?
Viongozi ndio shida
Umeongea ukweliiiii festoo
Kweli kabisa unacho kisema nakuunga mkono
🎉🎉🎉😢😢😢
Mo na kile kimangungu vyote viondoke
Kweli kabisa lazima ckuwepo janjajanja. Kama mtu anapata kwanini asiondoke!?
Ukuaji huo nihuyo huyo mo
Tupo panoja aondoke , waru waje wamekeze
Atuambie timu inaukata umeanza lini? Je nani anadai? Au maana ya ukata ni upi.
Hana hoja ni ujinga tu anatuletea
Atupixhe
Wewe mjinga wambie viongozi wakamilishe katiba wewe ungekuwa wewe ungeweza kutoa Hela bila mfumo kueleweka?
Wewe ulikuwa wapi kutoa fedha kwa ajili ya kuindesha simba. yanga wanashinda kwa kutumia mbinu chafu hujui? Simba tumempa mwekezaji anahujumiwa badala ya kutatua tatizo unamlaumu mwekezaji ambae amefanya kazi kubwa ww unamkatisha tamaa. Mo akiondoka hatuna mjomba tutarudi kulekule kwenye bakuli. Wewe ni mbunge lakini huna mtazamo wa kimpira. Jiulize kabla ya kumpa timu mo simba ilikuwa wapi? Baada ya mo kuichukua simba ipo wapi? Wewe unahangaishwa na ubora bandia wa yanga ambao wanapata matokeo kwa kusaidiwa. Kama mbunge mliona viongozi wa yanga wakidhamini zaidi ya timu 5 zinazoshiriki ligi mmekaa kimya. Hamjui kuwa wanatumia hizo timu kupanga matokeo? Halafu unaamka kukimbiza kivuli badala ya kuzuia hiyo hujuma kwa kusimamia sheria. Kama hujui mpira kaa pembeni.
Simba ndio timu pekee iliyongwa goli nyingi na yanga na haijazaminiwa na mzamini wa yanga
Oya wewe jamaa huna akili kama ungekua na akili usingeandika gazeti lote hili lisilo na maana
😂😂😂😂mmmmhhh bonge la nipashe gazet
Yule Kanjibai Mbabaishaji na Matapei Aliowaweka Ndo kabisa
moo atuchie timu yetu
Ni kweli kabisa mheshimiwa. Mo ni mjanjamjanja. Haitakii mema simba
Unajuwa siku zotee alowaita mbumbumbu Ali wajuwa mapema mh khamis kigwangwla aliwambia mapema mukamtuna Leo Muna SEMA Muna unga mkono😊😊😊
Umeongea jambo la maana sana
Huyo mo na viongozi wa smba wote vimeo waachie ngazi
Kama moo yuko poa kwenu mnaomtetea mbona hachukui hatua zozote za wazi kuonesha kuwa uongozi uliopo umemwangusha kwa kushindwa kuisimamia timu na hata namna ya sajili zao nyingi zimekuwa na shida, sasa sisi tutamwaminije?
Kwenye msafara wa mamba na kenge wapo
Mbona hukusema wakati inafanya Vizuri miaka 4..
ACHENI ujinga
Huyu jamaa anaongea mambo ya hovyo yeye siyupo singinda kwenye board yeye mbona imewashinda
Aondoke mo Hana maana ana umimi mwingi sana
Kanjibhaiii
Ikwezekana kaka mliwasilishe bungeni wajadiliwe kwanini wanangu'ng'nia hawapati faida alafu Bado wameishikilia tim kama ya baba zao
Sasa mheshimiwa wakati simba iko inagaragara mbona hukujitokeza kuchangia ili iwepo ilipo, YOU SHOULD UNDERSTAND THAT THERE IS NO DEVELOPMENT ON COMFORT ZONE. Ayo mambo ya Hisa mtajuana wenyewenalazima liwekewe sawa na wazi kwa wanachama ilitujue ni kampuni ama club ya wote
Kwa wale wanaomshambulia huyu mbunge.amekosea wapi? Huu ndio ukweli.tangu mo ajitoe ndio timu inaboronga.na hiyo Ni Tabia ya kutaka tuone mapungufu .tumbembeleze
Wewe fanya yako achana na simba uravi ndio una2asumbua
Wachache wa kweli na waelewa wengi ni simba nguvu moja
MO DEWJI atoke
mo aondoke na watu wake tumechoka danadana.. mara ameinunua... mara anapata hasara kwan akiondoka simba ika rudishwa kwa wanachama tukatafuta muwekezaji wa maana kuliko iv mguu ndani, mguu nje
Pia mama haondoke zake
#Kigwangala alisema
Msingetumia picha ya bungeni sasa
JMN MINASEMA NA NITAENDELA KUSEMA ILI SIMBA IFANYE VIZUR KWENYE USAJIRI YN KILA KITU MOO AONDOKE SIMBA YULE SII MTU MZURI KWENYE KRABU YA SIMBA SIO MTU MZURI YEYE NDIO ANAEIARIBU SIMBA ANAKOMBA HELA ZOTE ZA SIMBA ANAJINUFAISHA YEYE MWENYEWE NA FAMILIA YKE MTAKUJA KUNIAMBIA AONDOKE NDIO ADUI NAMBA MOJA
Muwekezaji haja weka ela kaweka maneno
Huyo nae ni kitunguu, kama kweli ni mbunge na ni kiongozi wa wapi? yaani na yeye analalamika na hajui kitu na anakuja hadharani kama shabiki kweli? yeye yupo karibu kabisa na majibu yote, anao uwezo wa kuwaita viongozi hao kupitia spika nao wakajieleza mbona wakichukua kikombe wanawafuata bungeni? ndio maana naona haka ka mgogoro kana asili ya ccm na serikali yake, ndio maana na sanga anawaka tu kama shabiki.
Kaka tunaomba mtusaiidie pale Simba mwekezaji na wale viongozi watupishe niwahijumu mafisadi wakubwa
Tusaidieni Tuwatoa Wale viongozi wote matapeli kina try again. Hata uyo moo hana jipya kama vp atupishe..Tumechoka 😢
...WANA SIMBAA TUMUUNGE MKONO HUYU SIMBA YETU ILI IKAE SAWAAA
Aache timu, anatuboa kila siku anadai kupata hasara, miaka kadhaa afanyi usajiri anafanya majaribio ya wachezaji na kuwatema! Shabiki tunaumia