WASWISS HUWALIPA MSHAHARA WAKE ZAO | UJASILIAMALI ULAYA UNAVYOLIPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2023
  • ‪@shalibrutsch-vlog‬ ametupa elimu nzuri juu ya kua mjasiliamali na namna waswiss wanavyoishi na kusaidiana.
    Namna mume anavyompatia posho kidogo mke wake ya kujikimu endapo mke ameamua kua mama wa nyumbani kwa lengo la kulea watoto kwani shule za watoto wadogo zina gharama kubwa.
    Usisahau kusubscribe kwa RUclips Channel yake ya ‪@shalibrutsch-vlog‬ kupata kujifunza mambo mengi kutoka kwake.
    Thank you Shali for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 33

  • @magdalenashayo1256
    @magdalenashayo1256 3 месяца назад +4

    Umenifanya niongeze bidii kwenye kazi za mikono, nimewaza kuanza kusaidia wamama wengine ambao hawafanyi chochote,Shena nitafute,ni mimi Bibi Noreen wa Slipway

  • @margarethlushiku9063
    @margarethlushiku9063 3 месяца назад +3

    Nimependa ulivyoelimisha.

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 9 месяцев назад +9

    Kwa Switzerland 🇨🇭 iko hivi swala lakulipwa lipo kwasababu incase ikitokea kwa wale wasiotulia kwenye ndoa ikitokea divorce wanawake wengi huwa wanawashitaki waume and Switzerland wanawake huwa wanasikilizwa hasa ikitokea swala la divorce wanaume wanaathirika so kuepusha kurupushani mke ambae ni house wife anakuwa analipwa kiasi kadhaa na mumewe.

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 8 месяцев назад +1

    Kipindi kizuri sana pia mgeni wako ni mzuri sana kwa kujibu maswali ❤❤❤❤❤

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad8261 9 месяцев назад +5

    Me saaa hii mume akisema usifanye kazi kipenzi na me nitamuwambia nilipe kipenzi maana sikwahuu uchumi maana umebana sana tu jaameni

    • @valenakomba9218
      @valenakomba9218 9 месяцев назад +1

      Huko Tanzania ukiwa mama wa nyumbani huwa tunalipwa?.

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 2 месяца назад

    Dada. Hodari keep it up dear

  • @neemaseiler1122
    @neemaseiler1122 4 месяца назад +2

    Mi nilikaa miaka 10 bila kazi,niliamua kuangalia watoto wangu mwenyewe kuliko kupeleka daycare,it was not an opption!kipato cha mume wangu kilikua cha kawaida tu..km hakuna mambo mengi,maisha yanaenda

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  4 месяца назад

      Hongera sana.. kuna wengine hata hicho kipato kimoja hakitoshi basi ni mtihani kweli…

  • @sophiamatonya6067
    @sophiamatonya6067 9 месяцев назад +2

    Kwa kweli mimi siti kulipwa nikupewa matumizi ya kila siku

  • @neemaseiler1122
    @neemaseiler1122 4 месяца назад +1

    Ni kweli kipindi kile nilikua nasema housewife,na pia kuna houseman

  • @mmarycalvin6395
    @mmarycalvin6395 Месяц назад

    Sauti ilishuka na kupandaaa 😮

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 2 месяца назад

    Huyu dada hodari sana anatumiya sana akili hii ndiyo mafanikiyo kwanchii kama hii

  • @shalibrutsch-vlog
    @shalibrutsch-vlog 9 месяцев назад +3

    Asante kwa ukaribisho. 🙏🏾

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 9 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤

  • @gracekessy9150
    @gracekessy9150 9 месяцев назад +3

    Nawapenda, nakufuatilia nakumbuka interview ya huyu dada

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  9 месяцев назад +2

      Ahsante dear

    • @rosenamilia4140
      @rosenamilia4140 9 месяцев назад +4

      Mpendwa tunaomba pary 2 ya interview ya yule dada alielogwa na ndugu yake na mumewe kupata STROKE iliishiaje?.Part 1 alishindwa kuongea kutokana na machungu ya mumewe na yeye mwenyewe kuumwa kwa muda mrefu😢😢😢😢.Very SAD.

    • @anitharwamaganda7563
      @anitharwamaganda7563 5 месяцев назад

      ​@@rosenamilia4140hâta Mimi nataman kujua hatma yake yule dada

  • @marylnmarshel377
    @marylnmarshel377 9 месяцев назад +2

    Tupee link za aupair

  • @Byme6434
    @Byme6434 9 месяцев назад +1

    Watu wawili wawili Anafanana Na Jasinta Makwabe Sijui ni ndugu

    • @shalibrutsch-vlog
      @shalibrutsch-vlog 9 месяцев назад

      apatikana jansita? Huenda ni Dada au mdogo angu 🙌🏾

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 2 месяца назад

    Usisahau kutupa Chanel yako

  • @estasiashiringa1038
    @estasiashiringa1038 8 месяцев назад

    Shally ni mremboo

  • @user-yt9nc1jb3b
    @user-yt9nc1jb3b 9 месяцев назад +3

    Huwa ukowapi hapa swissland Mimi Niko hapa Basel ningependa kuonana na wewe naweza kujifunza kitu kutoka kwako kwa kweli umenipa nguvu kwa kweli Dada

  • @hildakilale7313
    @hildakilale7313 9 месяцев назад +1

    Shena naomba namba yako kuna kitu nataka tuzungumze private

  • @Manuella966
    @Manuella966 2 дня назад

    Shena mbona kutofanya kazi ni kitu kizuri tu. I don't know why women think it is not honorable to just take care of your family.