WASWISS HUWALIPA MSHAHARA WAKE ZAO | UJASILIAMALI ULAYA UNAVYOLIPA
HTML-код
- Опубликовано: 19 окт 2023
- @shalibrutsch-vlog ametupa elimu nzuri juu ya kua mjasiliamali na namna waswiss wanavyoishi na kusaidiana.
Namna mume anavyompatia posho kidogo mke wake ya kujikimu endapo mke ameamua kua mama wa nyumbani kwa lengo la kulea watoto kwani shule za watoto wadogo zina gharama kubwa.
Usisahau kusubscribe kwa RUclips Channel yake ya @shalibrutsch-vlog kupata kujifunza mambo mengi kutoka kwake.
Thank you Shali for allowing this to be online
www.oda.international
Umenifanya niongeze bidii kwenye kazi za mikono, nimewaza kuanza kusaidia wamama wengine ambao hawafanyi chochote,Shena nitafute,ni mimi Bibi Noreen wa Slipway
Nimependa ulivyoelimisha.
Kwa Switzerland 🇨🇭 iko hivi swala lakulipwa lipo kwasababu incase ikitokea kwa wale wasiotulia kwenye ndoa ikitokea divorce wanawake wengi huwa wanawashitaki waume and Switzerland wanawake huwa wanasikilizwa hasa ikitokea swala la divorce wanaume wanaathirika so kuepusha kurupushani mke ambae ni house wife anakuwa analipwa kiasi kadhaa na mumewe.
Ahsante kwa ujumbe wa kuelimisha
Hii ni kweli?.😮.
Kipindi kizuri sana pia mgeni wako ni mzuri sana kwa kujibu maswali ❤❤❤❤❤
Me saaa hii mume akisema usifanye kazi kipenzi na me nitamuwambia nilipe kipenzi maana sikwahuu uchumi maana umebana sana tu jaameni
Huko Tanzania ukiwa mama wa nyumbani huwa tunalipwa?.
Dada. Hodari keep it up dear
Mi nilikaa miaka 10 bila kazi,niliamua kuangalia watoto wangu mwenyewe kuliko kupeleka daycare,it was not an opption!kipato cha mume wangu kilikua cha kawaida tu..km hakuna mambo mengi,maisha yanaenda
Hongera sana.. kuna wengine hata hicho kipato kimoja hakitoshi basi ni mtihani kweli…
Kwa kweli mimi siti kulipwa nikupewa matumizi ya kila siku
Ni kweli kipindi kile nilikua nasema housewife,na pia kuna houseman
Sauti ilishuka na kupandaaa 😮
Huyu dada hodari sana anatumiya sana akili hii ndiyo mafanikiyo kwanchii kama hii
Asante kwa ukaribisho. 🙏🏾
Ahsante Shali kwa darasa amazing
You always have nondo juu ya nondo
❤❤❤❤
Nawapenda, nakufuatilia nakumbuka interview ya huyu dada
Ahsante dear
Mpendwa tunaomba pary 2 ya interview ya yule dada alielogwa na ndugu yake na mumewe kupata STROKE iliishiaje?.Part 1 alishindwa kuongea kutokana na machungu ya mumewe na yeye mwenyewe kuumwa kwa muda mrefu😢😢😢😢.Very SAD.
@@rosenamilia4140hâta Mimi nataman kujua hatma yake yule dada
Tupee link za aupair
Watu wawili wawili Anafanana Na Jasinta Makwabe Sijui ni ndugu
apatikana jansita? Huenda ni Dada au mdogo angu 🙌🏾
Usisahau kutupa Chanel yako
Shally ni mremboo
Huwa ukowapi hapa swissland Mimi Niko hapa Basel ningependa kuonana na wewe naweza kujifunza kitu kutoka kwako kwa kweli umenipa nguvu kwa kweli Dada
Iko Zürich karibu
Mimi niko Zürich, karibu
Shena naomba namba yako kuna kitu nataka tuzungumze private
+4367764790884
Shena mbona kutofanya kazi ni kitu kizuri tu. I don't know why women think it is not honorable to just take care of your family.