USIKARIBISHE WATU KWENYE NDOA YAKO WENGI NI WEZI WA WAUME | NILIKIMBILIA KUSOMA BAADA YA KUFIKA
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Celestine anaishi Wien Austria kwa takribani miaka 12 sasa, Alikutana na mume wake kupitia mtandao wa Afro introduction
Ameeleza maisha ya Austria, mahusiano na malezi ya watoto.
Aliamua kuweka nguvu zake kwenye kusoma na Sasa anafanya corporate law na pia anasoma Masters.
Thank you Celestine for allowing this to be online
www.oda.international
Hongera sana sana Celestine, pembeni ya mafanikio ya family umechagua jambo la maana sana sanaaa kusoma .Elimu ndio the best thing kuinvest your time and energy in, tena huku Europe, I'm so proud of you, wewe ni mfano wa kuigwa.
Hapo kweye kuwa na hakiba dada nimekuunga mkono lazima uwe na pesa pembeni ya hakiba anything happen love ❤ from 🇬🇧
Our Kenyan girl much love from kenya
She is very wise. Thank you both of you. Darasa murua.
Mungu akubariki,Yesu ndiye njia na kweli na uzima.
Asante dada umeongea vizuri kwangu mm nimeelewa na nimepata kitu Cha kujifunza
Homgera sana dadangu nimejifunza mengi sana siku yaleo kutoka kwako na pia wewe nimusichana mwenyeroho nizuri sana mungu azidikuku bariki napia ndowa yako mungu azidi kuidumisha sikuzote napia mungu azidikukupa maisha marefu tele ❤❤❤❤
Umefanya vizuri sana dada maana wanawake wengine wana penda kutengemea wanaume zao hawataki hata kufanya kazi , Hongera sana dada
Umeongea mambo ya msingi sana hongera sana
Thank you dear celestine for you Advice 🙏
Asante dada tumeogea ukweri kabisa.
Nice stories as usual❤❤🎉🎉
She is very wise thank you both of you
Hogera Sana celestine ameomgea vizuri sana. Kuna Jambo la kujifunza
Kudos for representing us well out there
Napenda interview zako so humble
Dada kaongea vizuri sanaaa nimempenda
Wow, dada ameongea vizuri Sana.
Nimependa majinu Yako.❤
Darasa nzuri hilo Celestine umenipa matumaini sana mie hu poteza matumaini but tukiskia mambo kama haya you have the hopes. Mkana itu Celestine huko Austria 🇦🇹 kuna ugali nusipate wa huko nikose kula buchima 😂😂😂😂😂
Mm nataka niuliz
Hizo documents in first process mume mzaliwa wa huko why not guide you
❤❤❤❤❤❤
How do I get in contact with Celestine? Nipo Luxembourg
❤❤
Vienna nimeishi dah
Habari, Naomba Interview utupatie darasa la maisha ya Canada, I saw it in your RUclips channel lakini nikawa sijui nakufikiaje. Nimefurahi kuona comment yako. +4367764790884
Samahani Jamani mimi ninaswali, ukiolewa ughaibuni bora kubaki na ulaiya wa nchi yako au kubadili ulaiya kuchukua ulaiya wa mumeo? Naomba maoni yenu tafadhali
Ni bora kuchukua uraia Wa Hio nchi . Lolote likitokea huwezi kurudishwa nyumbani ( deported) .
@@thrillthings Asante
Wewe sasa unakomesha. Utaibiwa?.
hata Afrika si kweli ukimkuta mtu na mali yake mkioana ni mali zako pia.Hakuna hiyo kitu duniani.
😂😂😂😂😂