USIKARIBISHE WATU KWENYE NDOA YAKO WENGI NI WEZI WA WAUME | NILIKIMBILIA KUSOMA BAADA YA KUFIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Celestine anaishi Wien Austria kwa takribani miaka 12 sasa, Alikutana na mume wake kupitia mtandao wa Afro introduction
    Ameeleza maisha ya Austria, mahusiano na malezi ya watoto.
    Aliamua kuweka nguvu zake kwenye kusoma na Sasa anafanya corporate law na pia anasoma Masters.
    Thank you Celestine for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 33

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Год назад +10

    Hongera sana sana Celestine, pembeni ya mafanikio ya family umechagua jambo la maana sana sanaaa kusoma .Elimu ndio the best thing kuinvest your time and energy in, tena huku Europe, I'm so proud of you, wewe ni mfano wa kuigwa.

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Год назад +6

    Hapo kweye kuwa na hakiba dada nimekuunga mkono lazima uwe na pesa pembeni ya hakiba anything happen love ❤ from 🇬🇧

  • @AnastasiaWanjiku-jm5nk
    @AnastasiaWanjiku-jm5nk Год назад +5

    Our Kenyan girl much love from kenya

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад +4

    She is very wise. Thank you both of you. Darasa murua.

  • @evelynekabaka7405
    @evelynekabaka7405 2 месяца назад

    Mungu akubariki,Yesu ndiye njia na kweli na uzima.

  • @rehemaathuman7303
    @rehemaathuman7303 4 месяца назад

    Asante dada umeongea vizuri kwangu mm nimeelewa na nimepata kitu Cha kujifunza

  • @HomeWork-s6t
    @HomeWork-s6t 11 месяцев назад

    Homgera sana dadangu nimejifunza mengi sana siku yaleo kutoka kwako na pia wewe nimusichana mwenyeroho nizuri sana mungu azidikuku bariki napia ndowa yako mungu azidi kuidumisha sikuzote napia mungu azidikukupa maisha marefu tele ❤❤❤❤

  • @vero57
    @vero57 Год назад +4

    Umefanya vizuri sana dada maana wanawake wengine wana penda kutengemea wanaume zao hawataki hata kufanya kazi , Hongera sana dada

  • @cecyandrea7424
    @cecyandrea7424 Год назад +1

    Umeongea mambo ya msingi sana hongera sana

  • @CelestineLihavi-rw8kp
    @CelestineLihavi-rw8kp 8 месяцев назад

    Thank you dear celestine for you Advice 🙏

  • @margaretmitchell5068
    @margaretmitchell5068 Год назад +2

    Asante dada tumeogea ukweri kabisa.

  • @laetitiamathe5779
    @laetitiamathe5779 Год назад +2

    Nice stories as usual❤❤🎉🎉

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Год назад

    She is very wise thank you both of you

  • @EstherDegen
    @EstherDegen Год назад

    Hogera Sana celestine ameomgea vizuri sana. Kuna Jambo la kujifunza

  • @adoranancy9093
    @adoranancy9093 Год назад +1

    Kudos for representing us well out there

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 11 месяцев назад

    Napenda interview zako so humble

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 Год назад

    Dada kaongea vizuri sanaaa nimempenda

  • @dinnahdavid
    @dinnahdavid 11 месяцев назад

    Wow, dada ameongea vizuri Sana.

  • @AshaAbass-n7f
    @AshaAbass-n7f 10 месяцев назад

    Nimependa majinu Yako.❤

  • @hellenondiso9542
    @hellenondiso9542 Год назад +1

    Darasa nzuri hilo Celestine umenipa matumaini sana mie hu poteza matumaini but tukiskia mambo kama haya you have the hopes. Mkana itu Celestine huko Austria 🇦🇹 kuna ugali nusipate wa huko nikose kula buchima 😂😂😂😂😂

  • @Omaralawy-x6e
    @Omaralawy-x6e 5 месяцев назад

    Mm nataka niuliz

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 7 месяцев назад

    Hizo documents in first process mume mzaliwa wa huko why not guide you

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @leemao6665
    @leemao6665 11 месяцев назад

    How do I get in contact with Celestine? Nipo Luxembourg

  • @paulinewangila-cs6ys
    @paulinewangila-cs6ys Год назад

    ❤❤

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 11 месяцев назад

    Vienna nimeishi dah

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 месяцев назад

      Habari, Naomba Interview utupatie darasa la maisha ya Canada, I saw it in your RUclips channel lakini nikawa sijui nakufikiaje. Nimefurahi kuona comment yako. +4367764790884

  • @joycechaka8433
    @joycechaka8433 11 месяцев назад

    Samahani Jamani mimi ninaswali, ukiolewa ughaibuni bora kubaki na ulaiya wa nchi yako au kubadili ulaiya kuchukua ulaiya wa mumeo? Naomba maoni yenu tafadhali

    • @thrillthings
      @thrillthings 8 месяцев назад +1

      Ni bora kuchukua uraia Wa Hio nchi . Lolote likitokea huwezi kurudishwa nyumbani ( deported) .

    • @joycechaka8433
      @joycechaka8433 8 месяцев назад +1

      @@thrillthings Asante

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Год назад +1

    Wewe sasa unakomesha. Utaibiwa?.

  • @Erico-e3o
    @Erico-e3o 11 месяцев назад

    hata Afrika si kweli ukimkuta mtu na mali yake mkioana ni mali zako pia.Hakuna hiyo kitu duniani.

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂