Ila Steve unavyo Fanya si haqi kwasisi ma shabiki wako, tangu tulitmani kumuona amadi kidicho leo mwaka muzima,na dazeti, ni shabiki wako toka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Lubumbashi
Bro Steve kiukweli mie waga sio mpenzi sana wa comedy za ndani lakini to be honest guys mmenifanya niamini kua wabongo now tumeimprove mnajua adi mnaboa manzee 😂😂😂😂😂
Wa kwanza leo nawaombeni likes sikuwai fika hata kumi jamani😢😅😅likes za ndaro na steve🔥🔥🔥🔥🙏
Hawa jamaa vichwa sana aisee😂
@@BonnyMwajombe-iu7hb😅😅😂leo wakanipa😂😂
Acheni utoto wa kwanza kwenye kupata hela au
Fanya content yako like zitakuoa hela?
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ma best Comedian wang wa mwaka andaeni kitu ya funga mwaka maan mnajua mnajua tena😂😂😂
Nakubar san broo mim nikajua utakaa mwezi Bila kuachia Kazi broo kweli wew ni mpambanaji
Ndaro+Steve good job to bring this masterpiece here👏👏👏👏👏👏💯💯💯💯🌹🌹🌹🌹🌹
Kweli kazi yenu n ya damu, nlifikiria ndaro atapumzika😅😅😅 wapi like
Steve na ndaro munachekesha sana, na videos zenu ni safi sana ✌️✌️
Wame yakanyaga kweli Léo 😂😂😂😂🤣 naipenda saaaaaana Tangu RD Congo 🇨🇩🇨🇩❤️❤️🙏
Yani kazi nzuri sana vijana wangu wa Tanzania 🇹🇿 nawapenda sana tu? Yani ndaro na Steve mweusi. Congratulations ❤❤❤
Naipenda hii combination ya Steve na Ndaro.
Mob love kutoka humu Kenya 🇰🇪
Kikono bado umetisha mjeshi kikofia na mwenzie Steve mweusi nawakubali sana ❤❤❤❤😢😢😢😂😂😂...
😂😂😂😂😂😂😂😂😂your so talented my brothers 😂😂😂 haipiti cku cjawaangalia Hawa.... nawapenda nawapenda tena❤❤❤❤❤
Nmechelewa Leo lkn naombeni Like zangu hapo 20 kaz nzur 💞
❤😂🎉😢😮😅😊 umetishaass mwamba ndaroooooooo😢😮
Ila Steve unavyo Fanya si haqi kwasisi ma shabiki wako, tangu tulitmani kumuona amadi kidicho leo mwaka muzima,na dazeti, ni shabiki wako toka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Lubumbashi
Waze wakazi uwanjani ndaro na steve nawapnda sna love from Qatar burundi❤❤❤
❤❤🎉Am happy for you guys 🇺🇸🇺🇸🇺🇸........But Steve your hair is funny 😂daaaaah nimependa hii ❤🎉
Mmbo
😂😂😂😂😂😂my guys watching from Kenya more love ❤❤❤❤❤
Nawapenda sana nipo hapa kigali ❤
Mashallah ❤❤❤ Excellent Steve √ndaro u a so talented 🎉🎉🎉🎉
Good job my to brothers
Jamani Eeeeh mimi Nina hushauri hapo 🤟 Huyo meneja Bado ajawa vzr kikazi ivyo afanye mazoezi kwanza please 🙏
Steve ananichekeshaga anavocheka😂
Dope❤...nifikisheni 2k subscribers,niko na mixes kaliii🔥🔥🔥
Further bernadddddddddddd!Mungu awaweke maisha marefu tucheke sisi.
Mimi napenda sana hii couple ya Hawa wana ila kinachonikera ni hcho kicheko cha stive hapo mwisho akibadilise bhana❤️🇹🇿😎
🔥🔥🔥🔥🔥🔥steve na ndaro
Brother ndaro nakubali una pambana
Steve and ndaro mnatisha Sana vijana mnaitaji 🌹🌷 yenu hahahahahaha steveeee salute for you brother 😁😁👍💯💯🌹🌷
Acha mwenzangu akuambiye😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 umoja ninguvu 😅😅😅😅😅 napendaa umojawenu mtafika mbali mkishirikianaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tokoos Tokoos steve mukali
We Gitwe twende ndaro umunikubalisha
Ndaro pamoja Sana Steve salute 🤞🤞
Bado sijachelewa like zangu jamani hata 3 zinatosha
Ndaro na steve wametishaaa........
Nyinyi wazinguaji sana yaani neno alitoki wewe steve si ulisema unachoambiwa kimeingilia huko kimetokea huko wewe sema kazi hamtaki
Aha dah nani kama ndaro na steve,,goood
Stivu nandar nawapenda mung hawaharik kz zenu
Naumpa mauanyenu💐💐🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 from moza
best colabo mweusi na ndaro
Unyama sana
😂😂😂😂😂😂😂😂Stive nyota amechukiwa damu anawanyonya😂😂😂😂huyo menager kweli mnoma sana
Kazinzuri❤❤
boss mchawi hiyo hapo linki yake hapo chini movie kali sana
Kazi nzuri vijana 🎉🎉
𝐍𝐝𝐚𝐫𝐨 𝐧𝐚 𝐒𝐭𝐞𝐯𝐞 𝐦𝐮𝐜𝐡 𝐫𝐞𝐬𝐩𝐞𝐜𝐭❤❤❤❤❤❤
Kwani ndaro mkono ulifanywaje
Fatuma ww 😂😂😂😂😂mwaaaa
😂😂😂 kwetu Mukuranga hamadi kijicho naomba like tano ❤❤❤
😂😂😂😂
Saf san vichaa wetu tunawapendraaaaaah
Fatuma wee nzweee naipenda sanaa yaniii
Good 🔥🔥🔥
Kazi nzuri lakini mr ndaro ungeka vest/t-shirt ndani kama mr mweusi but chukueni 🎉🎉🎉 yenu😂😂😂
Ilove you Steve I'm Sharon suma from Kenya ❤❤❤❤❤
Mmetisha sana
Naipenda kz enu sana
😂😂😂😂 kwanzia leo mwenzangu malizia.....😂😂😂 ukweli nikwamba kuanzia leo........ mwenzangu malizia😂😂😂😂😂😂ety Fatma ww😂😂😂😂
Jameni Steve na Ndaro mko juu sana likes zenu zije kwa wingi🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂Ntawapenda hadi mwisho 😂😂😂😂 mumemchana manager!!! Lakini Ndaro kumbe sio maigizo umepata hajari 😭😭😭😭! Pole Sana kbs na utapona tu !!
Maliza mwezangu😂😂😂😂
Bro Steve kiukweli mie waga sio mpenzi sana wa comedy za ndani lakini to be honest guys mmenifanya niamini kua wabongo now tumeimprove mnajua adi mnaboa manzee 😂😂😂😂😂
❤stevo na ndaro inakuwa combination ingine Noma 😂😂😂
Mbona unaanziya apo kwa mwenzangu kama alivyo sema mwenzangu 😂😂😂😅😅 munanitesa sana na cheko 😅😅😅😅
Hyu Hamadi kijicho kwn ndie nani bwna steve mbna una penda kumtaja sna
Kila kitu kimepanda bei kasoro mshahara tu 😭😭😭
Allah akujalieee upone mkono
Ndaro vs mweusi❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mi Sina wazazi😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwenzangu malizia
Nyie matahira mbona Hamtoi baba ntilie part 2?
Kiumbe hai nimefurahi kukuona, big up bonge la dude
Ndaroo Na Stive hamuezi kuniangusha,fatouma wew take love from Burundi🇧🇮
Vijana angalieni mta lala njaaa😂😂😂 fanyeni masihara😂😂🎉🎉
𝐀𝐭 𝐥𝐢𝐬𝐭 𝐛𝐚𝐧𝐚 😂
Number 51.. izo likes mrushe uku . Kwa heshima 😅
Mko sawa hata mm nmepitia hayoo
Steve ni comédie mzuri sana
Ndaro anamshauli mwenzie ujinga kumbe😅
Kwa mvua tena
Wwe gitw twend I like this our language❤❤❤
Nawakubali stev bandari oyeeeee🥰😍🤩🤣
Wa kwanza like 0:23
😂😂😂
Much love to this combination
Fatum wew mwaaa
Baraka
Leo nimechekaa wanapasiana
😂😂😂😂😂😂😂malizia ❤❤❤
2:19 😂
Kwenye fatuma hapo😅😅😂❤
Nawapenda jamani buleee
Guys you are amazing for sure
😂😂😂😂😂😂malizia mwenzangu😅😅😅😅 Ndalo and stevu🥰🥰🥰😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀🥰🥰🥰🥰🥰
Nakubali
Fatuma wee😙😗,😁😁😁😁
Nawapenda sana ndaro na stev
Hajra yuko wapi siku hizi
Kwan hizo like mnazoombaga Huwa zinawasaidia nini?
What a waiting ✋️ u 😂😂😂😂Steve kiboko yao
Malizia mwenzangu 😂😂😂😂😂😂
Tumeacha urodaaa 😀😀😀😀
Steve unanichekesha ukisema fatuma wee🤣🤣🤣🤣