DAH! anaweza kuwa bora kuliko maraisi wote wa 5 waliotangulia 😢 Mh! Halafu kesho unasimama unatowa mawaidha kwel!!!... Hivi unaweza kufananisha utawala wa Mwlm Nyerere kipindi kile ndiotunaanza kujitawala maisha ni magumu sio mchezo ukaja kulinganisha na awamu hii?. Hivi kuna Raisi aliyepambana kufa kupona, hadharani, kuwatumbua viongozi feki, kupambana na miladi mpaka kwenye mvua kama JPM!?. Mimi sishabikiagi siasa naangalia nani anafanya vizuri JPM alipiga kasi ambayo haikuwahi kutokea. Kipindi cha CORONA ayse! Allah alimleta kipindi sahihi. WaTz tungewekwa ndani tungeweza kuishi kweli!?...
❤👍
Unaitaji uongozi bro
Sahihi kabisa
Mm ni mkristo but doctor Suleiman ni kiboko unajua sana
Acha unafiki maneno Yako yote huonyesha wewe ni chawa.
DAH! anaweza kuwa bora kuliko maraisi wote wa 5 waliotangulia 😢 Mh! Halafu kesho unasimama unatowa mawaidha kwel!!!... Hivi unaweza kufananisha utawala wa Mwlm Nyerere kipindi kile ndiotunaanza kujitawala maisha ni magumu sio mchezo ukaja kulinganisha na awamu hii?. Hivi kuna Raisi aliyepambana kufa kupona, hadharani, kuwatumbua viongozi feki, kupambana na miladi mpaka kwenye mvua kama JPM!?. Mimi sishabikiagi siasa naangalia nani anafanya vizuri JPM alipiga kasi ambayo haikuwahi kutokea. Kipindi cha CORONA ayse! Allah alimleta kipindi sahihi. WaTz tungewekwa ndani tungeweza kuishi kweli!?...
Acha mambo ya ushoga, mwanaume mzima unafungua mdogo wazi hivyo, acha kutetea ujinga wewe unaongea kama nani au unataka uteuzi na wewe?
Wewe ni mpumbavu na hujielewi, pimbi weweee