Mwacheni aendelee kujichimbia mashimo ndiposa baadaye ajilaumu atakapo fika mbele za haki. Tusije tukasau kwamba sio kila mtu amwitaye "Bwana Bwana" ni mteule wa mwenyezi Mungu na ajabu Ibilisi anaijua Biblia kutuliko sisi. Mwulizeni Bwana wetu Yesu Kristo atawafafanulia haya yote.
Uyu jamaa Millard ayo umemtoa wap , kumbe yupo kaah anajua kuchafua chafua hali ya hewa ukimucha na kondoo bas utakuta wote wamekufa na kusambalatika kama marobott
Kiufupi Gozbert ana msongo wa mawazo ( Depression). Alianza kuyumba alipokuwa akishiriki FIESTA na WASAFI Festival huku akitunga nyimbo za kidunia alijificha kwenye Gospel. Aache POMBE na MADEM😂😂😂😂😂😂 asisingizie eti nyota imeibiwa.😂😂😂😂
Jamani sababu ya mtu kuchoma gari sio et huyo nabii ni mchawi akusema hivyo gozibet roho wa mungu ameshudia asiendeshe gari binadamu tunamaadui wengi wanaweza kupitia ata zawadi aliyopewa wakamtegea humo ndomaana ajaliitaji ajamtuhumu na biii mchawi
Nabii mkuu kabla hajafanikiwa alikuwa ananjili ya ufalme ya wonders sitasahau mikutano yake ya biafra baada ya kufanikiwa sana na kulidhika na mafanikio ameiacha ile injili naye tuseme ameibiwa nyota -ukweli mafanikio yanaleta kuridhika na kupunguza spid ya kazi sio kuibiwa nyota
makubwa mie...ila nyie subirin muone fimbo ya MUNGU itawachapa mchana kweupe endeleeni kuabudu miungu ila yupo yule aitwae MWANAUME YESU atawaangamiza wote mnaoabudu miungu
Mbona huyu hayuko sawa jamani .
Kwa sababu ameongea sana juu ya issue ya Gozbert? Amemuhadithia kila mtu ndo sauti imepoteaa😊
@@edwinalexander1170😂😂😂😂😂😂😂😂 uwiiii
Eee mwenyezi mungu mwingi wa rehema tusamehe sana sisi waja wako.
Hongera mashimo nachagua kuwa na mtazamo tofauti wengine ni bendera fata upepo
Yaani ww hamna kitu yaani, nakusikitikia sana!! Tokeni kati yao jmn, hamtambui hadi leo hii jmn watumishi wa Bwana? 2Wakorintho 6:17.
Anatoa sauti 3 kwa pamoja😂
Mwacheni aendelee kujichimbia mashimo ndiposa baadaye ajilaumu atakapo fika mbele za haki.
Tusije tukasau kwamba sio kila mtu amwitaye "Bwana Bwana" ni mteule wa mwenyezi Mungu na ajabu Ibilisi anaijua Biblia kutuliko sisi. Mwulizeni Bwana wetu Yesu Kristo atawafafanulia haya yote.
😂😂😂😂kaitwa aje asaidiye
Mashimo yupo shimoni kafichwa msikilizeni utajua hata sauti pia hata jina pia ,aliye kwenye shimo haoni yanayoendelea nje..
@PolycapySilayo-g9w hata kusikika hasikiki amefumbwa mdomo na macho
haonii huyo
Njaa mbaya sana
Kasongo yeye 🤣🤣😅😅🤣. Huyu mashimo njaa sana. Manabii wa uongo waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu
Sana Mungu atusaidie
Njaa mbaya sana
Huyu kaibiwa akili😂😂😂
Nawe ni mashimo kweli kweli
😂😂naombeni kuuliza huyu ana akili timamu kweli???
Mtu mwenyewe anaitwa mashimo inaonekana anashimo kweli mkunduni mwake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uyu jamaa Millard ayo umemtoa wap , kumbe yupo kaah anajua kuchafua chafua hali ya hewa ukimucha na kondoo bas utakuta wote wamekufa na kusambalatika kama marobott
😂😂😂😂
😂
😂😂😂
Safi sana Nabii mashimo hiyo kwer kabisa
Wachawaii mpo wengi
Kiufupi Gozbert ana msongo wa mawazo ( Depression). Alianza kuyumba alipokuwa akishiriki FIESTA na WASAFI Festival huku akitunga nyimbo za kidunia alijificha kwenye Gospel. Aache POMBE na MADEM😂😂😂😂😂😂 asisingizie eti nyota imeibiwa.😂😂😂😂
Wewe unaongea maana hapo ulipo hujuhi ukweli halisi
Mbona mashino kama hayuko sawa😢😢
Ila njaaa baya sana jaman tutafute ela😂😂😂 daah
From #EconomicallyGrowthMusicians sasa unafura gani kwa magumu ya mwenzio?? af ndo ucheze cheze kweliii!!?? Anyway Furahia Muziki Mzuri kutoka EGM ❤🎉
Huyu hawajamuibia nyota kaibiwa sauti 😂😂😂
😂
😅😅
😂😂😂
Wakristo muache kujifanya hamnazo riziki hutoka kwa Mungu sio kwa Mtu
Huyu mashimo kweli
😂😂ndiyee
Mmmh huyu hayupo sawa kbs
Kichaaa hiki
Kwanza apo tu anaonekana kama kichaa😂😂😂
Huyu hata akili haziko saw😂
Wewe nichawa😂😂😂😂😂
Kasongo eehe
Toa sauti Kwa Mungu kuna vyote mikele
Hili jamaa njaa sana!!!😂😂😂😂😂
Sio njaa tu mwehu!
Msimwite Mtu baba hapa Duniani, Baba yenu yule alie mbinguni
Toka toka toka toka uko nje maada na upo kwa mwili huwezi jua waliorohooni wanajua katengeneze sauti bwana
Jamani sababu ya mtu kuchoma gari sio et huyo nabii ni mchawi akusema hivyo gozibet roho wa mungu ameshudia asiendeshe gari binadamu tunamaadui wengi wanaweza kupitia ata zawadi aliyopewa wakamtegea humo ndomaana ajaliitaji ajamtuhumu na biii mchawi
Hiyi sauti inaweza kemeya mapepu ama ni njaa ilimupeleka kwahuyo nabi wa mcongo 😂😂😂😂
Wana wa nuru muwe macho mashetan watu duniani ni wengi sana saizi
Mtajibu nn kwa Mungu mmmh dunia hii ina mambo
Nchi yetu kuna mambo mengi sana
Aisee
😂😂😂 story ya KISENGE
Kohoa sauti itoke😂 vzr
kweli huyu ni Mashimo
Sa chawa anaweza kusema bos wake vibaya
Sauti vipiii
Huyu ana nyota gan?,hizi hela ztakapo tupeleka sjui
Hli likichaa bn
Mashimo kwa kubetii😂😂😂😂
Ni kweli tunaomjua huyu jamaa adi raha hana kitu chochote kama ana gari milioni 26 ameshindwa na spika ya laki mbili,pumbavu
shda izi jamani
Ayo uwe una andika habari zake tukisikiliza sauti yake inaniumiza koo😂
Gozbert ni mwendawazimu. Huyu nae ni wale wale.
chawa wa shetani hao
Huyu chizi! Hatakiwi kupewa press conference
mambo ya ajabu sana, na sauti imezuiliwa kama ishara na haioni, mapepo yanasikika kupitia sauti
Umekooondaaa
Alphard milioni 26 umetupiga
Vyote hivyo ni ubatili tu mhubiri 1:2....
Nabii ana machawa so mchezo wote washapewa hela
Huyu nae njaaa tuu hakuna Mungu hapo
MCHEZO HUU ....KUTUHAMISHA KWENYE TRENDS ZA LISSU NA CHADEMA
@@brother_majesty wametukosa🤣🤣🤣🤣🤣
Ila Dunia hii inamambo khaaaa😂
Nabii mkuu kabla hajafanikiwa alikuwa ananjili ya ufalme ya wonders sitasahau mikutano yake ya biafra baada ya kufanikiwa sana na kulidhika na mafanikio ameiacha ile injili naye tuseme ameibiwa nyota -ukweli mafanikio yanaleta kuridhika na kupunguza spid ya kazi sio kuibiwa nyota
Sauti imeenda wapi 😢
makubwa mie...ila nyie subirin muone fimbo ya MUNGU itawachapa mchana kweupe endeleeni kuabudu miungu ila yupo yule aitwae MWANAUME YESU atawaangamiza wote mnaoabudu miungu
Mpaka hapo huoni chanzo ni hiyo gari,kwa maelezo yako ndio imeleta mafarakano na meneja wake so the car is the source.
Kanchekesha hapo mwanzoni alivyocheza😂😂
Vijiti sio poa 😅
Mashimo na Gozbert wote shida tu
Spinning
hajioni anavyoongea,ni km Kichaa,anasemaje nyota haijachukuliwa,walokole wengine wapo km vichaa
Yan wachungaji wnapenda kiki
Mtakufa jamani hakuna vitu vya bure
Anaubir kwa ajili ya uchumi na si mingu hii dunia ni ngumu saana usipotafakar vzur matapeli hawaaa
😂😂😂😂 gari mtu hawezi choma kisa kugawana wewe huyo ni Mungu hajataka tu hekalu lake linajisike lazima aweke kando wastes
Hamna mtu hapaa
Ww ni mashimo na sauti yako kama iko shimoni 😂😂
HUYU NILIKUWA NAMUONA MAGUFULI STAND PALE ANA LISPIKA KUBWA ANAHUBIRI KITAMBO
Mbona wanaolalamika wote ni wehu?mbona wenye akili timamu hawamlalamikii Goodluck mtu kama huyu anajuwa nini kuhusu Mungu?
Hivi huyu anaakiri zuri
Is he fine??😂😂😂
Kichaa uyu
Milele
Huyu ni wazimu
Huyu msenge amekula sadaka za watu wengi sana pale mbezi luis
Utasikia wa muhimbili hamtaki kunisapotiii ninunue spika
We nichawa2 huna point yoyote
Sasa sauti gani hiyo
Hela za unga hizo hata Joshua wa Nigeria ilikuwa ndio biashara yake. Huyo anaye hawa magari hela anatowa wapi?
Huo mtangazaji ana maswali fank
Jamn uoni kama uyu kashaish imebaki tu kufa...alafu namwon kama vile shoga
Wewe una nyota yoyote umbya
michezo hii😂
Hiii sauti iko nanini??
TAPELIII
Muongoo uyuuu sana
Wote ni wapigaji2 kama unachoongea ni uongo ipo siku utajuta sanan
Mashimo sasa anacheza nini
Ukatibiwe koo lako ni Mhimu
Ndio na hizo milioni 6 azichome tuone
Milioni 6 alizichoma kwenye gari, kwani hamjaona hizo fedha wakati zinateketea😂
@edigarsanga5549 hahahaha
Ww ndo mwendawazimu
Duh wewe nawe
Afya ya akili
Kumeanza kuchangamka
Ameacha kutabili yanga na simba 😁🤷♂️! Afu bongo dah !?