Darassa Feat. Marioo - Chanda Chema (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 16 фев 2019
- Available Worldwide
backl.ink/1923997
Watch and Share Darassa's Brand New Video "Chanda Chema" featuring Marioo. Video Directed By Hanscana
For Booking: Contact +255786175484
Email: darasa.clasic@gmail.com / geoffaya@gmail.com
Follow Me on:
Instagram: / darassacmg255
Twitter: / darassa_cmg
#Darassa #Marioo #ChandaChema - Видеоклипы
Marioo is the best Artist Anajua sana. Ila Humu kwenye hii ngoma Darasa kafloo vzur sana kama maskio yako yanaskia kama mm THUMB UP please. #geographael
Wanaomkubali Mario uwezo wake kma Mimi gonga like twende sawa
cairo king Mtoto motooo
Washakuwa waoga. Walikuwa nadai umekuwa teja. Wacha tuwaonyeshe nguvu za Unga.. Guys needs likes if you don't hate @darassa
Peter Mwaningo guys hakuna teja anawaonyesha ukali wake sasa
Watakoma sana Juu Darassa amerudi. If they thought 💭 ameacha mziki watasubiri sana.
Peter Mwaningo kabisa sisi ndio vile tunafanyaga hahahaha big up darasa
Kama ume kubali iyi nyimbo, Gonga like apa !!! Alafu subscribe ndani🔥🔥
Nice songs darasa
Tell me what you do for love,give it all for love,,darasa ametoka darasa!
Kama wamkubali gonga like..
Ñani yupo hapa kwaajili ya darassa. Kama mimi
Robert Komba 👇👇👇👇👇ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html
Tanzania music to de world,Gonga like....#february ya Darasa
Yule darassa niliekuwa namtaka ndo huyu ila wa2 wachuga ha2liliagi like😂😂😂😂
Munira Ahmed 👇👇👇👇👇ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html
Nimekuja comment badala yakukuona munirah 😀😀
Darasa namkubali hajawahiniangusha
Burundi likes ni Ndogo sana, jameni wa Tanzania nipeni likes zenuuu
Kama unaamini darasa huu wimbo kadunikwa na huyu dogo gonga Like twende sawa
Like kama unamkubali darasa
Hatari sana kama unamkubali the cmg nipe likes hapa
Marioo umeuwa nipeni like wadau wa marioooooo
Nawapenda wote juu kila mtu na uzuri wake bt like n kwa marioo ako tu sawa
Eeeh!! Huyu ndo darasa nnaemjua mimi Fanya kugonga like hapa twende sawa
Sauti za dhahabu zimekutana Darassa cmg vs Marioo dundo kali sana
Bonge la kazi 254 pitieni hapa
*mniombee, niko na ugonjwa wa kuLike nyimbo za Darassa bila kusikiza hadi mwisho*
Kama umekuja hapa kwa ajili ya Marioo, na ameumiza kinoma Gonga like tujuane
Kama umemfaninisha uyo jaman na rich mavoko weka like
Anaitwa ABAH produza atari bongo ndo aliyepika beat ya hii nyimbo
Daah mm nilijua ni yy
Sana bana kama mavoko
kweli hata mm nilijua mavoko
inno tarimo yani kwani jamaa angu
Jmn niliitfta saan hii nymb kama nawe unaipnd gonga like apa kiroho safy twende pamoko🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kama unamkubali Abbah, likes zikam through💯
Nasoma comments afu naangalia video quality 🤙🤙🤙sasa nijue wanao soma comment huku wakiangalia super kichupa hikii
Nzuri hiyoo
Mario unazidi kuwa motoo
Uko na Mkali unazidi kuwa Mkali
@@SilverMediaOnline 🤣🤣🤣🤣
@@pendogeorgenakubalioggaga9472 nakubal
am from Mali 🇲🇱🇩🇪 i don't understand but i like Darassa 🤟
Kama uli mix nyimbo Kali kutoka kwa darasa like hapa 🙏🔥
Umeona mkono Wa Abba na je umeona Darasa kaludi dah wap like
kama unaiskia kiswaswadu kwa mbali like twende mbele
ila darasa n mkali
Mtu Wa pili kukoment kutoka USA🇱🇷 nipe like apa🇺🇸
Ananikumbusha Rich mavoko
Waloshika mabango wameingia mitini ooh darassa anakula unga. like kama unamuelewa uyu jamaa
Wanao mkubali darassa fanya ku like hapa
Darassa ni baba yao.. Kama unakubali piga like uku
Woooooooooooow very niceeeeeeeee
Aki kenyan artist munatakiwa mujifunze toka kwa wasanii wa tz...
Good song mtu makini
SAINT MICHAEL hili beat linataka papa John's
Vitu haviwezi kufanana kila wakati jamani. Hii ni style yao.
SAINT MICHAEL yeah
Daah kazi nzuri hii....kama imekupendeza gonga like hapa
Darassa ako class yake walai... Weka likes zake kama soo
My Kenyan🇰🇪🇰🇪👌👌 People where u @??
Hii ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Kama umeipenda zaidi yangu gonga like
Imenifanyaaa nisahauu kamaa Nilifungwa na Simbaaa gool 1 like twende na Darasa
Kama na wew umemuona abbah weka like
am from somalia i dont undersnd but i like
Ati kama Mapenzi safari basi kwako nishafika niendako, kama bahari basi nifunze kuogelea..
Fireeeee🔥🔥🔥🔥
wewe unaesoma comment like hapa kma umrielewa ngoma kaliiii colas kali from marioo tz
duuuh eti nimekuwa wa 241 wekeni like za Marioo jamani maana dogo kauwa balaaaaa👏👏👏👏👏👏👏
CLASSIC MUSIC 4 EVER
Darassa mambo moto.
First Kenyan to comment. Like zenu please.
huezi kata kiu maji kwa kisoda....🙌🙌🙌🙌
Who’s here in 2024?
Bongo fleva is popular in Africa and worldwide now good song darassa
kama unamkubali #Darasa ni mfalme wa hiphop gonga like hapa within a week tuko na more than a million views
michael hesbon 👇👇👇👇👇ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html
Darassa la mziki Afrika
💥💥💥💥
Dahh gonga like kama darasa ndo shuujah wa rap game Tanzania 🇹🇿
hiki ni kitu tulimisi mwaka jana 🔥🔥🔥🔥
Mamaee kama unamkubali darasa gonga like hap ili afike mbali
Marioo umeuaa hatarii hii koras yako ndo best kwang kuliko zote
Fans of Darasa anniversary yetu 28th of Dec nisaìdieni kum wish my lovely wife fartun yussuf a happy anniversary.thank you for our 3 lovely kids and for being an anchor of our lovely family 😘I love you to the moon bby.bless you
Gonga like hapa kama unamkubali darassa
SAFARI Bin kd kaswida yangu (cover )ya kiarabu naomba uangalie ruclips.net/video/VEbezgrNzHw/видео.html
Tell me now what you do for the love
Aseee ngoma kali 🔥🔥🔥🔥🔥
Kama unakubali kwa afrika wa Tanzania ndio tunashuti video Kali kwa Sasa gonga like.
Kama una mkubali Darassa kuliko Diamond weka like apa tujuane
Darrasa hakuna kama wewe big up
Ali Alesry kaswida yangu (cover )ya kiarabu naomba uangalie ruclips.net/video/VEbezgrNzHw/видео.html
SMG moto umewaka Est Africa 🔥🔥🌟
marioo katisha kipande icho ataree!!! gonga like kama unamkubali marioo
Ngoma tamu kinoma like nyingi kwa mariooooo
Darassa the best rapper in +255..... Collabo na Kaligraph itakua maadest
kazi nzuri. hata mimi nimepiga kambi maeneo hapa. never die never expire
We jamaa wewe hii ndo Tz
karibu uisikilize ngoma yangu hapa inaitwa DEMU WA MIZINGA ruclips.net/video/thnN7qqG7T0/видео.html
DJ PEREZ nakubali sana megamix zako ziko 🔥
@@kimtv.ubuyuonline7853 shukran
Bonge LA pin, Big up Darasa... like. kama zote
instagram.com/kanumba_the_great1570/p/BC-QGBTIO7Y/?igshid=1w2tcgjsup1sq
ngoma Qaaali kama unamkubali Darassa gonga like twende sawa💪💪💪💪💪💪🏃♂️🏃♂️🏃♂️
this iz genius darassa we mic uh bro.....
Wa Kwanza kutoka kenyaa ngoma kali kama unapenda like....
Thikaaaa
Noma
Sana nekesaaaa wewe wa wapi
@@SilverMediaOnline 👋
@@benjatech91 kenyan
Uuuwiiiii mistari ni nomaaaa
mama peku peku kaswida yangu (cover )ya kiarabu naomba uangalie ruclips.net/video/VEbezgrNzHw/видео.html
I will do anything for my woman🔥🔥🔥
Ali Musa kaswida yangu (cover )ya kiarabu naomba uangalie ruclips.net/video/VEbezgrNzHw/видео.html
Msanii wa Tz na Warembo kutoka Kenya!!
Wimbo mkali uwongo mbaya yanii ni mkali...kila kitu ni ya moto fire
🚦🚨
Darasa safi kama unamkubali darasa weka like
Chapa chapa
Darasa moto
Mario safi
👑👑👑👑👑👑
💥💥💥💥💥💥
I'm here before 1M views
Wabongo tuna roho mbaya Sana! Kwann hii track haijafikisha million views hadi leo?
Ma like na ngoma qaliiiii ya darasa kama hiiii never expire daaaah nilikumisiiiiii xn vibe kama lote walidai umepoteaaa waoooo ndio wamexpire....like kama zote
Kiwangooo mwenye kiti chake karudiiiii
disai salum ni hatari iiii
disai salum watoto pusha NJIA alisema
Ngoma nzuri sana kama unamkubali darassa reply to me na like this
Zainab Maahmoud kaswida yangu (cover )ya kiarabu naomba uangalie ruclips.net/video/VEbezgrNzHw/видео.html
Uyu marioo namuona mbali sana ngoma kali sana nakichupa ndio balaaaaaaa
Mimi pia nishafikaaaa gonga like kama unamkubalii mzee wa hasaraa rohoo✈️🎧🌎
Kama kawa hanscana, video iko poa!!
Darassa uko juu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
Kenyans where u at fam 👪
Tupo ......
Wee are here OGs
kama unaamin ngoma kali gong like apa
Kama umekubar darasa ni mnyama hatari gonga like fupifupi hapa
tuliopiga kambi kwenye mausiano tujuane kwa like jamani
Another hit song...trust me the song is gonna be fire after a week
Watoto mlitafuta wakaliiii darasa nnachokupendea unajuwa kuvaaaa mmetishaa mnooo
Kama unaamini darasa ni mtu mbaya like apa
Darassa has no bad songs!!!!
Mwaka huu tunaomba ngoma back to back brazaa kitaani uku una fanbase na support kubwa sana umeshatengeneza jina huitaji kupigiwa promo tena usilaze damu saiv tupeleke mchaka mchaka ulichoktafuta miaka mingi kweny game me nakiona saiv kwa fans wako kwnz ukitaka kuamini dondosha tour tu apa apa nchini zunguka pke ako mikoani una ela zako kibao na shangwe cio la kitoto mzee njoo ukusanye vyako mkoa kwa mkoa utanipa majibu mwenyw 💥💣💥
Sure mi mwenyewe shabiki wake mkubwa
Tuko njia moja aisha Mohamed
Namuelewa darasa kishenzi yani, nlikua naumia maboya wakisema mwana anatumia madawa
Amiri ramadhan ndoivo kla mtu ana uhuru wa kuongea na ana lake la kusema popote so kikubwa ni kumsapot mzee baba azid kutupa burudan acjar maneno ya wachawi inafika time nataman ngoma yake ya too much ingetoka saiv nadhan angewanyamazsha wanoko kama buku ivi maan iko inareflect kabsa kilichokua kinacemwa
Ngoma Kali Sana bro wapi likes zangu from+ 254
Wakutoka USA tuna like hapa
Ya moto 🔥
Wanasema ua zuri limeota pabaya
Shika____------hivi ili naomba Siri ya kuwa wa Kwanza kuview
Nimejikuta nasoma coment hadinimesahau ku coment ila mindowakwanza kutoka Qatar
Mwenye anacheki Kwa sasa. Like
Good song.... Good rhymes..... But I wishes cku1 nmuone darassa wa sikati tanaa,,sio mbaya na zile nyingine Kali ni ivo to ma niggah
ROCK SIZZOH 👇👇👇👇👇ruclips.net/video/x1-jSq-yEeU/видео.html
kama umemuona producer abbah gonga like hapa
Nice one song....
Ni fireee team darassa gonga like utatisha sana