Darassa ft Jux - Leo (Official Music Video) Sms SKIZA 9048058 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 6 апр 2019
- Watch and Share New darassa's Brand New Video "Leo" featuring JUX. Audio By Abbah Process and Video Directed By Hanscana.
For Booking: Contact +255786175484
Email: darasa.clasic@gmail.com / geoffaya@gmail.com
Also Listen WorldWide on
backl.ink/1959347
Follow Me on:
Instagram: / darassacmg255
Twitter: / darassa_cmg
#darassa #jux #leo - Видеоклипы
Wenye wanerudia ku watch video na kuskiza ngoma zaidi ya mara moja na kukimbia kwenye comments gonga like twende Sawa
#much love from Kenya 🇰🇪
From kenya..nipeni likes kama tano za huu wimbo mtam
Sweet likes
ruclips.net/video/4d4SqGGQgSg/видео.html Rayvanny upole wako
Rose Gathoni Welcome new artists from Africa -traditional songs ruclips.net/video/X0pJz5hFg8o/видео.html
Welcome new artists from Africa -traditional songs ruclips.net/video/X0pJz5hFg8o/видео.html
kwani wee ndo umeimba....ufala
Mamama si hii ngoma ni moto..nipeni likes mbili tu juu hii ngoma ni 🔥🔥🔥
Hezekiel Mwadime
Nimekukubali sana darasa song la ukweli
😂😂mwadime🔥🔥
Nice song
Darasa don't give up, keep moving plzzzz. Nyorosha wao, bwaga bwaga wao wote, we love you man !! Salute you.
Kama ulijua cheche imekuwa kasheshe,, hauwezi kuzuia mvua acha inyeshe.🎼🎼🎼🎤 Darasa nakuelewa sana Like nyingi kwake
Imeweza hadi huku +254🇰🇪💯💯...nasubiria likes za Darasa na African Boy👌👊
Umefika tayari kijana
@@febamohammed2989 si unajua jana si leo #leo_ni_leo
good sana brother like kwa sana
Darasa is underrated, one of the best rappers in EA, respect from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
My fev rapper in East Africa
Who told you he is underrated we love his music and we support him.
Bullshit.the best ever
True
Totally!!! 🔥🔥
Darassa is the king of rhymes...and who has noticed that he only does 2 rap verses in his songs and he kills it?
Osama mwenyewe💯💥
Itasumbua kama ile ya maisha na muziki? Kama ndiyo gonga like twende sawa
nakubali darasa bado na sikiliza
Hatr na nusu
Wa kwanza kukoment
Kama unamkubal darasa like zake hapaa 🔥🔥✅✅
ruclips.net/video/tcPtATk88Nc/видео.html
ngma kali
Good
Ma fans wa darassa wacha tuwahesabu kwa idadi ya likes....... Jamen darassa anaweza na hakosei +254 much love
Duh nikwel CMG kaachia hit song!!!! Km umeelewa like twende sawa
Manze darasa kama ulifanya muziki Ikakuwa anthem kenya for an year mbona nisiskie leo, wapi likes majama. Msinipite tafathali
Iyoooo
Atiii nini 🤔🤔🤣
Nyimbo kaliii ,nzuri sana ❤❤
Darassa atabaki kuwa juu 👆👆
M pa konprann loll
Kabisa
Amisa Florence yooo lazina watii
From Congo: Weka like yako tujuane
Team darassa
Utauwawa bure cjalala nmeficha tu makucha,,,,,#darasa always mistari yako iko top bro
From kenya 🇰🇪 tumeikubali hii collabo 🔥🔥👍👍
Walio Irudia zaidi Ya Mara Moja Tujuane
Mm
Kuangalia mara moja mziki wa hv ni kudhurumu nafsi ya burudani....
Mziki mnene huu
Hii ngoma itafika far sana jama katulia sanaa
😂😂
Mazungumzo baada ya habari...,cheza mbali maana hali sio shwari..💯.....no one like DaraSsa👊........hatuwezi zuiaa wimbo zako wacha zingonge🎼🎧
If he's not the best new generation rap king Then I honestly want to meet the real one now💯💯🔥🔥🔥
Jux kama alikuwa na mzuka hivi na kaupandisha kinoma...good chemistr asee ngoma kali sana..big up Darasa
"kichwa sijabeba Kama pambo " Darassa kweli you are class.
From USA🇺🇸 , Darassa is on 🔥. Drop like
kwa dawa za kukuza uume na kuongeza nguvu za kiume kwa njia ya dawa asili +255673200051
Ww ndo darasa kwel lazima uwafundishe mzee baba gud 💟💟💟
From outerspace nmekuja duniani kuhudhuria DARASA twende sawa kwa likes hapa
Huyu ndiye darasa tunayemfahamu ss na hii kwangu ningoma kali kuliko kutoka kwenye nyimbo zako3 ulizotambulisha... good music...🤘🏽☝🏽👏🏾👏🏾
Saf
Kama umezikubali ngoma zote tatu gonga like ni relax kisha nipotee leo
Htr
uyu bwana ana fanya vizuri sana nani ame bisha aka ji nyonge
Naona mzee baba karudi vizuri sasa safi sana darasa hayo ndo mambo tunayotaka sasa!!😘😘😙😙
Wa kwanza kutoka Kenya
Aisee nipeni likes ndugu zangu
kaka Isaack
Ungepambanaga na class uwe wakwanza usingekua hapo ulipo leo
Darasani nilikua wa kwanza braza
Kwann usome comment bila kugonga LIKE,kiukwel Darasa kaja na amaizing style,Big Up kamanda w2🙌🙌
Nc song
nicholaus peter uku ndan ndo kumekucha vunja mifupa usiulize nan kaachiwa butcher.
wewe jamaa bana unajua hadi hasira
huku kwetu mambo yote ni leo
I wish ningekua kwa hii video sauti zapendeza hapa makofi kwa darasa😍😍😍
Mysterious man,disappeared..came back like u never left..good one
Pole kwa kuchelewa kwenye comment section si unajua foleni 🔥🔥🔥 Love from
+254🇰🇪
darassa sijui unarudi nyuma ama waenda mbele kama n mbele hii nyimbo sio ya kuwa na viewers wachache kama ivi ,miezi miwili bado viewers n million moja tu broo warudi nyuma kimafanikio upande wa you tube
The ghetto princess (Pendo) popping like Damnnn😍😍🤗
Callme Maryanne kumbe umemuona
Sanaaaa darasa
Kama umeirudia mara 4 hii video twende sawa,, boge la nyimbo
Mimi nizaidi ya marakumi huu ni uhondo wa ngoma
Welcome back to class (Darassa) homework well done 💯💯na usichelewe tena tumeku miss🔥🔥🔥🔥
Kichwa sijaibeba kama pambo....+254 twakuenzi vishenzi...gongeni like wangwana
Aseee kwli kuna watu awafose mziki uwafate bali mziki unawafata wenyewe darasa no 1 uyuu jamaa anajua mziki ase tuache unafiki ukiona uyu jamaa amekaa kimya akija kuachiaa kitu akuna mtu atakae ponda
Huku Kenya tunasema hii ngoma ni Ngoriii!!! Yaani Noma Sana!
TONY BEST SENIOR hahahahaa kiazi kwel ngori ni nzuri muliz khaligraph fresh og ww jmaa lishe
@@onestkasmir4297 Kabisa bro
Darasa iz back....
Say yeaaaaaaaaaaa...
Swahili to the world.....
Big up darasa...
Tanzania flag to the world...
Show love
LIKE
April 2019
safi
Yeeeeaaaahh
Kastol Mwalyego Africa to the World
Mwny Game yake karudiiii
Kichwa Sijabeba kama Pambo.!
darassa mistari juuu fan mkubwa hapa
Mr burudani haaaa hii ya moto sana like kama zote wajanja hizi ndio ngoma zenyewe jichanganye kama kachumbali chumvi mpaka kwenye chai haaa unahalibu
Xana
Back to class..DARASSA 💥💥
🇰🇪🇰🇪 +254 thumbs up!!!
Alikiba
Bonge La song skills za maana beat kuntu
Nc
+225
aaah jaman nipen heshma ya darasa gonga like hapoo bac
Darassa na jux mko juu Tena sana Nani akona mimi
Salute from +254🇰🇪🔥👌
ruclips.net/video/tcPtATk88Nc/видео.html
utabaki kuwajuu daraassa
Kama Mzuka pandisha
Na kama like angusha
🔥💚🔥
Nooma sana Class with classic
Darassa bamkubwa au sio if 👍👍👍 gonga like hapa
Yeebaba umetisha kaka ngoma kali sana wenye wivu wajinyonge
Salute from 254🇰🇪 🔥🔥 🙌🏾
Darassa & jux!;;; namba mbaya!!!!!
Mr Burudani awakuwezi kweli Legend himself 2019🇹🇿🌎🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
This guy is fire🔥🔥🔥🔥...the best rapper outta da East!! International material. Well done Mjomba!!! Shout 'out to Jux, he killed that hook. Lookin forward to one with you and AKA. One Africa One Love from Joburg Mzansi (South Africa) 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Fundiiiiii jux na brother darasa wameuaaaaa
My best bongo artiststs mob love 💕💕💕👏👏👏👏 👏 iyo rap na chorus 🔥🔥🇰🇪
Nina appreciate your talent broo, u a the best km Ommy dimpoz
Mr burudani ,hello its me again mr.burudani take away the pain,pole kwa kuchelewa si unajua foleni nawapa vidonge kutuliza complain,kichwani sijabeba kama pambo akili nimeteka kwenye chambo 🕺🏼🕺🏼🕺🏼🕺🏼 wapi likes za darassa CMG blood fan +254 ndo home
*Kurudia kuitazama* naruhusiwa mwisho Mara ngapi et!?😁💥💥💨🔥🔥🔥
1m bro
As long as una fulu bando hakuna limit😁😁
Infinity
Bando lako 2
ha ha haaa, as may as possible
mistari ya darasa🤭🤭 always on point 🔥🔥
darasa ni darasa anahitaji darasa kweli noma sana
If you want a lit chorus Jux does justice 💯
Love from your neighbor Somalia. Good music has no borders ✌🏽
kwani hii ngoma si imeachiwa LEO
kweli leo ni leo
Here before 1M views
Team 254 🇰🇪 wapi likes zenu
Jux/ Darassa Bg up yourselves..Salute from🇨🇭🇰🇪
Nyinyi vijana hatari 🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪 #MrBurudani nimesha relax Sina maneno na wewe bro🤣🤣🤣
Tarrus Bigman jamaaa anakuja na mwendo wa 4g , gonga like 👍
Tunabapenda burundi gonga hapa
Jean callixte Kwizera poll
Jean callixte Kwizera kweli kk
##KAMA UNAMKUBALI DARASA 🆚 JUX GONGA LIKE HAPA 👍#
Gud xan
omary mandy Hataree ili goma💪
Nakubali mzee dah mpaka raha nakukubali siku zote
@@latiphaamour4608 kweli
Huyo ako ligi ya shule awache kuitwa darasa...naona nikiua replay button..
FYI: Darasa is Class! 🇰🇪
Kenya is in full attendance!
Karibuni darasani mwalimu ni darassa🔥🔥🔥👏👏👏💯
Dah imegusa broo huwa Sipendi kukoment ila Leo 👏👏
❤️❤️ my dear brother daras good bless you 😘😘
kwel
Kama ulijua cheche imekua kasheshe, huezi kumzuia #darrasa kuimba wacha aimbe...#Darrassa don't forgetI
from+254🇰🇪 yo've made it Darasa &Jux😍😘
ukitaka kazi ya jeshi don't forget hakuna wa kukupetipeti daaah bro umeuwa
Nice song ngoma hatari
Duuuuh, ckuwa nmeinasa hiyo, KWELI HUJABEBA KICHWA KM PAMBO
Kwa wenye watapitia apa 2050.....watanipata nilikua hapa at the age of 27yrs
Dah nyimbo hii ndo unanitulizaga😍
254 kama mnangoja colabo ya darassa na nyashiski likes zooote zipitie hapa
Mr. Burundani...kichwa sijabeba kama pambo
Aiseee,darassa hujawahi kosea,ngoma Kali sanaaaaa
nani kaachiwa buchaaaaaaa sema woyoooooooooo nipen japo like 5 tu
biggest come back in bongo flava
Oyeeee huku Darasa yupo kwa air
Khaii!!!!my favy rapper from tz,Kwanza hapo pa kupika mayai Karanga!!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂.darassa +254 tunakupenda kuruka.karibuni hata nyinyi mpate Mamanzi WA Nairobi,hakuna foleni😂😂😂😂😂
Akianani hii nikali 😅😂😂😂😂
East Africa,I feel like kina Kaligraph have nothing on this guy. He is original!
@@lyonahbrams534 sure I just wanna love this guy
Nasubili like za wanao mpenda darasa king of Africa kwa mzki mzr
Like you
My two favorites #artists in east Africa 🚿💪
Who is one?
We same i love them
Derrick Matenga makin
Nooooooooooooooomaaaaaaaah
Daraaaaaaaassaaaaaa🔥🔥🔥🎶📣 is back!! KMMK!!
Kama ni maji mwagika✊✊
Oyoooooooooooooo! Kama ......limechanika.............kama ni kishindo tingishaaa...kama ni mzuka amshaaa....kama ni mnazi katkaaa
Darasa kachafua Hali ya hewa, nyi zingueni tu!! jamaa katisha, proud of you bro, Genius +254
Duuuh Tatu?kwa siku Moja! Halafu zote Kali!
Dooh ngoma kali kishenzi
Darasa world class rapper, our african 2pac, I'm from south africa dont even understand shwahil but I'm in love, keep on pushing brother
Naiona no 1 darasa noma sana 😂😂
Darasa hatari baba like kama unamkubali d💪💪💪💪
Nakubali mwamb darasa
Back with a bang #Darassa🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪