Yuko wapi Magufuli?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • #Kenya #KTNNews #KTNPrime
    SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos: www.youtube.com/
    Follow us on Twitter: / ktnnews
    Like us on Facebook: / ktnnewskenya
    For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
    std.co.ke/apps/...
    KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
    Watch KTN Live www.ktnnews.com...
    Watch KTN News www.ktnnews.com
    Follow us on / ktnnews
    Like us on / ktnnews

Комментарии • 1,7 тыс.

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 года назад +112

    Kweli nimeamini JPM Ni mtu muhimu Sana ndani ya Africa dunia nzima imechachamaa juu ya Magufuri duuu mmmmh Mungu amuinue zaidi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @mauthamani
    @mauthamani 3 года назад +63

    Naipenda 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
    Nampenda MAGUFURI rais wangu,

    • @dennismacdenniton5943
      @dennismacdenniton5943 3 года назад

      Pia watanzania huwa mwafwatizia taarifa za KTN... kiukwel mnaipenda Kenya 👉🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @kimberlytv7895
      @kimberlytv7895 3 года назад +1

      Ni magufuli ama ni magufuri hai

    • @victoriamalogo4587
      @victoriamalogo4587 3 года назад

      Kwa kweli Mungu azidi kuimarisha afya ya mpendwa wetu JOHN magufuli amina

    • @suleimankassim724
      @suleimankassim724 3 года назад +1

      Wachen unafiki wajinga nyie

    • @TheBestPhone7918
      @TheBestPhone7918 3 года назад

      @@dennismacdenniton5943 tunafatilizia kwa sababu inafatilizia Mpendwa wetu Mh Rais JPM Mwamba Wa Africa Wachen Umbea.

  • @deusdeditknkunga6047
    @deusdeditknkunga6047 3 года назад +59

    Waandishi wa habari, it seems you're gloating over the issue. Shame on you!

    • @leocadiaonesmo2614
      @leocadiaonesmo2614 3 года назад +1

      Rais sio wenu aumwe asiumwe inawahusu Nini? Au mnamutamani Niniiii!! Sisi tumekaa kimya mbona mwavaliya shera harusi isiyo wahusu

    • @cezarmelimeli5376
      @cezarmelimeli5376 3 года назад +1

      We magufuli wa Nini? Kwako huli?mwekiti wako mtaani humuulizi namna hiyo?wabongo fanyeni kazi acheni majungu haya ukishamuona unataka kumwambia Nini?

    • @Sam-of6xp
      @Sam-of6xp 3 года назад

      @@cezarmelimeli5376 labda wanataka kumuomba pesa ya kula

  • @chesadennis254
    @chesadennis254 3 года назад +55

    One of the most astute leaders Africa needs. It is our responsibility to guard what is best for us jealously and with prayers. Sankara reborn. With love from Kenya Ndugu rais.

    • @manenologani7822
      @manenologani7822 3 года назад

      As Add

    • @changamwe
      @changamwe 3 года назад

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

    • @deodeons2679
      @deodeons2679 3 года назад

      so powerful.

  • @erickadeo4754
    @erickadeo4754 3 года назад +51

    Sometimes, silence is the best answer, people are busy creating trolls online about this while someone was fighting for his life.Rest in Peace 🙏🏽 Mr President.

    • @nickymore4251
      @nickymore4251 3 года назад +3

      Rest in peace My President

    • @donarldpius8332
      @donarldpius8332 3 года назад

      @@nickymore4251 ,

    • @aviconnor5956
      @aviconnor5956 3 года назад

      you probably dont care at all but does anybody know a tool to log back into an instagram account..?
      I was stupid forgot the password. I would love any tricks you can give me!

    • @benedictsamir8477
      @benedictsamir8477 3 года назад

      @Avi Connor instablaster ;)

    • @aviconnor5956
      @aviconnor5956 3 года назад

      @Benedict Samir Thanks for your reply. I got to the site on google and im in the hacking process atm.
      Seems to take a while so I will get back to you later when my account password hopefully is recovered.

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 3 года назад +44

    JPM ni kiongozi Bora barani Africa,Kama kweli msemayo MUNGU atamponya mtoto wake

    • @isareje8579
      @isareje8579 3 года назад +1

      Na akipona aeshimu korona awache kudanganya wananchi na maombi ambayo hayakubaliwa Kwa mungu.#vaa barakowa kubali chanjo epuka msongamano wa watu.corona ipo

    • @madamloveness7274
      @madamloveness7274 3 года назад +2

      @@isareje8579 chanjo chomwa wewe na familia yako ,covid 19 is not a problem ,problem is a fear of Corona , believe God and you'll be ok

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      @@isareje8579 Tuchomwe kwani Tunautapia mlo , kama nyie ???

    • @genetic_online_tv
      @genetic_online_tv 3 года назад

      Akili huna k ww

    • @isareje8579
      @isareje8579 3 года назад

      @@madamloveness7274 those who believe in ggod and prayers are sick and they are being injected privately covid19 dose.and still you don learn it.

  • @kingmayatz9999
    @kingmayatz9999 3 года назад +39

    Kumbe nimeelew maguful
    ni simba wa afrika watu wanapenda speach yake😁😁😁

  • @seasparkle5038
    @seasparkle5038 3 года назад +43

    He needs to watch his food, drinks, and everyone around him. This man has made great decisions for Our people and now (they) are trying EVERYTHING to take him down... we just need to keep our eyes open 👀

    • @magdalenachubwa9388
      @magdalenachubwa9388 3 года назад +3

      Absolutely true. Our prayers for his safety!

    • @genxonlinetv2219
      @genxonlinetv2219 3 года назад

      Watch this response to these rumors and please like and subscribe to my Channel: www.youtube.com/watch?v=0DKGUzGuG

    • @amanisomi8784
      @amanisomi8784 3 года назад +6

      Everything is good in Tanzania

    • @reginaldmapunda6702
      @reginaldmapunda6702 3 года назад +1

      Thank you.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 3 года назад

      You saw this spritually Good job

  • @saidnavy739
    @saidnavy739 3 года назад +20

    Poleni ndugu zetu watanzania kwa kifo cha rais wenu JPM.

  • @geraldsanga4879
    @geraldsanga4879 3 года назад +60

    Pilipili ya shamba yawawashia nini nyie +254? Mind your own business!

    • @waynecarlos5804
      @waynecarlos5804 3 года назад +4

      Ako kwetu ndo sababu 🤣🤣🤣

    • @cydrahope5251
      @cydrahope5251 3 года назад +4

      Wana hila sana wakenya ila ndo limeshawabana

    • @jamesnjoroge993
      @jamesnjoroge993 3 года назад +1

      Sasa mnasema ako majuu ama ako wapi

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      @@waynecarlos5804 kwenu nidodoma au kwenu Kenya Amekuja naungo au???

    • @sylfiailavonga9867
      @sylfiailavonga9867 3 года назад +2

      Wa nauliza coz Uhuru Kenyatta is the president of Africa. So lazima ajue watoto wake wako wapi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤗🤗🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @nancyrori8229
    @nancyrori8229 3 года назад +36

    Speed recovery John pombe magufuli Tanzania people need you

    • @wajinajecha5029
      @wajinajecha5029 3 года назад

      Kwani anaumwa?

    • @lilyamidah3412
      @lilyamidah3412 3 года назад +1

      He's not sick tho

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

  • @veronicakusongwa4689
    @veronicakusongwa4689 3 года назад +33

    Had huruma wakenya mnavyoteseka nakuizushia uongo Tanzania yangu,,🤣🤣🤣🤣

    • @Amani715
      @Amani715 3 года назад

      Hapo sasa. Si ndugu zao wa pande zile za Tanzania ndio wanawalisha chuki na umbea🤮🤮

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      @@Amani715 Hata wao pia sio watu wazuri wanashirikiana saana lakini mungu ndio atafanya kazi yake

    • @ghatibiganio3551
      @ghatibiganio3551 3 года назад

      Wanafki utawajua tu

    • @ghatibiganio3551
      @ghatibiganio3551 3 года назад

      Kwa hiyo Nairobi ndo Rais wetu aje kutibiwa

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      @@ghatibiganio3551 Adabu hawana tatizo nyota zao za. punda hawajiamini kabisa

  • @johnnzuki5879
    @johnnzuki5879 3 года назад +49

    Mungu amuondolee haya Kama ni kweli.

  • @alfoncefidel5338
    @alfoncefidel5338 3 года назад +38

    Unfortunately it not first time you wished death to magufuri....you can look up to your libraries

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 3 года назад

      Yes a good lier is he with good memories

    • @changamwe
      @changamwe 3 года назад

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

  • @musakeita526
    @musakeita526 3 года назад +24

    Nyinyi inawahusuu nn kengeeee nyieeee 😃

    • @Katoto112
      @Katoto112 3 года назад +1

      kelele Kafa mzee RIP

  • @johnburugu6622
    @johnburugu6622 3 года назад +21

    Why should his missing be your business Kenyans you need to mind your own businesses kimbelebele too much

    • @diamondplatinumz2043
      @diamondplatinumz2043 3 года назад

      ✔️ ✔️ ✔️

    • @agricolammasy8019
      @agricolammasy8019 3 года назад

      @@diamondplatinumz2043 hey broo I love you so much baby boy

    • @agricolammasy8019
      @agricolammasy8019 3 года назад

      Ans plz I want 2 join wasafi

    • @marthawillium9920
      @marthawillium9920 3 года назад

      @@agricolammasy8019 🤣hakuna Cha kujoin wasafi hapa,ishu Ni kwamba try to mind yo business you kenyans, forget about our President

  • @RepentJesusisComing
    @RepentJesusisComing 3 года назад +10

    WaKenya tunampenda Raisi Mheshimiwa Magafuli na Ndugu zetu wa Jamhuri ya Muugano ya Tanzania. Waandishi wa Habari ni haki zao kutangaza lakini maoni yao isi Wakenya wote.

    • @lusekelomwakalipuka7556
      @lusekelomwakalipuka7556 3 года назад +1

      ume ongea la maana jaribu kuwa elimisha wakenya wenzako juu ya uzalendo wa nchi na africa kiujumla tusiwe tuna fuata kila kitu cha wazungu...

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 3 года назад +28

    Why, why, why discuss about another country's president? Nani ameichagua Kenya kuwa kilanja wa East Africa! Raisi wa Burundi alikula ni lunch jana? Every negative news about Tanzania, the source is Kenya, jirani vipi? It makes me question whether we are wasting time with this second East Africa Community thing. The first community Kenya pulled a KEN-EXIT at the cost of the other member state! I wonder what the self appointed kilanja is about to pull out his TIRIKiSI bag? Last week was Tanzania maize, intentions to devalue the product, then buy it and sell it as a Kenyan product! Janja yake paka!

    • @nayaromy8456
      @nayaromy8456 3 года назад +6

      Finally someone speaking facts ...they are just mad jealous neighbours

    • @hamsinisitini6613
      @hamsinisitini6613 3 года назад +11

      Sio Kenya ina discuss JPM ni vyombo vya habari na vingine owners ni wageni wakutoka ulaya. Sisi hap Kenya tunapenda uongozi wa JPM wakuteteta wanyonge. Kumbuka JPM sio sasa Rais wa TZ pekee bali Jembe la Africa.

    • @khamismohamedjr5666
      @khamismohamedjr5666 3 года назад +1

      @@hamsinisitini6613 hongera brother for seeing this and i do agree with you let love spread around us cause we are more common in alot than in our difference

    • @hamsinisitini6613
      @hamsinisitini6613 3 года назад

      @@khamismohamedjr5666 👍👍👍

    • @Amani715
      @Amani715 3 года назад

      Hawa neibas need to be disowned. Chuki ndio imejaa. Yani Magu kweli ati huyooo anaenda Nairobi🤣🤣🤣🤣🤣...the thought of it makes me puke 🤮

  • @meryshomi1738
    @meryshomi1738 3 года назад +10

    Pambaneni na yali yenu, tz ni tz na mambo yatu, huko kwenu wasiookekana ni wangapi! Mbona hamjasema kuwa hawaonekani. Mlikuwa mnaonekana wa maana sana lakini kwa hili mko zero, umbea kama wote!

  • @carolinekasiemeka9848
    @carolinekasiemeka9848 3 года назад +31

    And how is that Kenyans business? Please give us Kenyan news please.... If he is not feeling well he is human and we wish him well. But KTN stop gossip news give us our Kenyan News. This is war you are starting.

    • @pinchesmbuche4354
      @pinchesmbuche4354 3 года назад +2

      Kenya is a free country freedom of expression is guaranteed in the constitution.

    • @carolinekasiemeka9848
      @carolinekasiemeka9848 3 года назад +1

      @@pinchesmbuche4354 Good to know you know that but since when was Tanzania's president and news in Kenyan constitution?

    • @pinchesmbuche4354
      @pinchesmbuche4354 3 года назад +4

      @@carolinekasiemeka9848 it doesn't matter even American president we have a right to know what's happening. As long he might be in our territory.

    • @Revolution_bwoe
      @Revolution_bwoe 3 года назад +2

      Kenyans your playing dirty alot against tanzania. Mind your business for real..

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 3 года назад +6

      People who have brainwashed. They think they are the best by being puppets of the muzungus, by playing the games of muzungus, by being told you are the best by the muzungus and still have very unfriendly life. People are stuffing, people are dying by hunger, children are not going to school,life is expensive,and the government is corrupt. Still they love the improvisor...the muzungu and hate the brother just in neighborhood. What kind of evil have entered in you?

  • @baltazarymartine2279
    @baltazarymartine2279 3 года назад +32

    Kenyans mind yah own bznss cc hatuwaaabudu wazungu km nyie😂😂😂

    • @changamwe
      @changamwe 3 года назад +1

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

    • @moseyoungmulla1303
      @moseyoungmulla1303 3 года назад +1

      Pole Kenya walijua mapema kua something was wrong but tanzania you kept silent

    • @frolenceakiondo9421
      @frolenceakiondo9421 3 года назад

      Raisi,Samoa,Leo

  • @saimonmanyerezi7169
    @saimonmanyerezi7169 3 года назад +19

    Magufuri hawezi kuja Kenya hata siku moja,kwani Kenya kuna nn?.

    • @philipngeso4354
      @philipngeso4354 3 года назад

      Mpango wa kando yake

    • @autographics2023
      @autographics2023 3 года назад

      alafu Tanzania mko na matusi sana bt wajanja hatuwezi kuwatusi

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 3 года назад +1

      Hana mpango wa kando yeye ni mtu mwenye kumuamini Mungu na kumhofia Mungu.

    • @tammymhina5454
      @tammymhina5454 3 года назад +1

      Kenya kuna mambulula tu😏😏😏

    • @theodoredomet5461
      @theodoredomet5461 3 года назад

      Kenya leave us alone ur not good neighbours +KTV Sort ur coronavirus infection. Mnafigisu nyingi bure.Watanzania tupo vizuri Jealousy is another Corona.Poleni

  • @ericyuxuf9639
    @ericyuxuf9639 3 года назад +9

    Wakenya mnataka Magufuli afe coz kawazidi mbinu, ogopeni Mungu nyie
    Hakika ""kaa kimya ujue maadui zako"".
    Mungu tuongoze njia watanzania na mlinde rais wetu JPM

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

    • @alexpeterkabululu488
      @alexpeterkabululu488 3 года назад

      Ninachoona Rais wetu mpendwa Magufuri ni kiongozi wa mfano inawezekana anaongozwa viongozi wengi kwa kumuiga ndyo maana wanapenda awekazini kila wakati waweze copp na pester kwao Sasa kaakimya wamekosa la kuiga

  • @alikarisa
    @alikarisa 3 года назад +32

    WHo lazima wakasilike coz Biashara Yao Ya corona Na chanjo yakijanja. Imegonga Kwa mkemia Dr. Magufuri

    • @ssamamc3465
      @ssamamc3465 3 года назад

      Mungu atamsaidia Rais Magufuli. Shetani Ashindwe!

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 года назад +1

      @@autographics2023 si UANZE na WAZAZI wako ? Au huwapendi?

    • @alikarisa
      @alikarisa 3 года назад

      @@minskbelarus7255 🤣🤣🤣

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      @@autographics2023 Wakwanza nimamaako shetwani mnuka damu pepo mchafu Ushindwe naulegee kinuka mkundu ww

    • @saidsaleh8135
      @saidsaleh8135 3 года назад

      Inashangaza shirika la utangazaji la ktn news mnarudia rudia kuitangaza habari ya kizushi inaonekana wakenya mnatangaziwa habari nyingi tu za uwongo na awa ktn news.

  • @frankkabera3106
    @frankkabera3106 3 года назад +29

    Simple minds discuss people, complex minds discuss issues, dear KENYAN think about that!!!! Acheni umbea bana

  • @benjaminkimaro8348
    @benjaminkimaro8348 3 года назад +8

    Mumeahajua Alipo !!!
    Mmepata ninii sasa
    💉💉💉💉💉😭😭😭

  • @mishengoma2495
    @mishengoma2495 3 года назад +17

    Hivi nyie KTN mbona umbea umewajaa, midomo kama kunguru. CHUKI za nini? MAGUFULI mnamtafuta wa nini? Kwani nyie hamna RAIS wenu? PUMBAVU

    • @autographics2023
      @autographics2023 3 года назад +1

      punguzeni pressure

    • @simbilamachibya6773
      @simbilamachibya6773 3 года назад

      Ishengoma M. Tumia lugha nzuri ndugu yangu, wanahabari ndo walivyo!! Waache waseme watakavyo;je hujui hata Yesu kristo aliambiwa na wazushi kuwa anatoa pepo kwa msaada wa mkuu wa mapepo (Beelzebub) hao hao waandishi!!

    • @aokinsindi6948
      @aokinsindi6948 3 года назад

      Mbona mnajadili sana JPM 🇹🇿 kioo chetu waTanzania wa kwenu vipi mjadilini rais wenu sio wa kwetu,🇹🇿🇹🇿

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 3 года назад +1

      Just like BBC Swahili full of evil...

    • @autographics2023
      @autographics2023 3 года назад

      hafadhali KTN wameleta izo news tukajua uchungu wa watanzania kenya 😂😂😂😂

  • @magdalenachubwa9388
    @magdalenachubwa9388 3 года назад +10

    Our President is healthy, happy, and sound. Stop those nonsense please!

    • @samsonkamau1000
      @samsonkamau1000 3 года назад

      I am not speculating much about his well being, but asking for people to pray away the virus is alarming, illogical and inane from him.

    • @dorcasmuthusi1165
      @dorcasmuthusi1165 3 года назад +1

      Now come tell us how the drama unfolded... it's now unmasked...

  • @godfreykafisi3450
    @godfreykafisi3450 3 года назад +17

    Tangu lini wakenya wakawajali watanzania,nyie ktn makuchu hasa na hata iweje raisi wa Tanzania hawezi kwenda kutibiwa Kenya

    • @pinchesmbuche4354
      @pinchesmbuche4354 3 года назад

      Uliza ma bwenyenye ea WA Tanzania wewe huwezi afford.

    • @noahvan6890
      @noahvan6890 3 года назад

      @@pinchesmbuche4354 ushasema ma bwenyenye, hao ndio wanaokimbia nchi ni puppets wa western but real tz hawezi kuja

    • @kassimmwamambeya4489
      @kassimmwamambeya4489 3 года назад

      @@noahvan6890 so magufuli isn't a real tz?

    • @m9street155
      @m9street155 3 года назад +1

      @@kassimmwamambeya4489 we umemuona uko kenya au ni uvumi tu kama huna uhakika na jambo kaa kimya tz. Hospital zipo na akiumwa anaeza enda india not kenya poor couñtry

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi97 3 года назад +24

    Kama ni mgonjwa mungu amupe afueni ya haraka.

    • @ashuraabdulmaalik5319
      @ashuraabdulmaalik5319 3 года назад +1

      Jamani namuomba Mwenyezimungu kama anaumwa amponye haraka mimi sio mtz au mkenya lakini Magufuli tunamtegemea Africa

    • @jamilaalfarsi7712
      @jamilaalfarsi7712 3 года назад

      @@ashuraabdulmaalik5319 ww mjinga unamtegemea kwani nimuungu yy au nabii acha usenge ww anakupann chakujivunia afya pumzi uzima rizki nguvu uhai usingizi ugonjwa ujasiri au nn tuwambie unoacha kumtegemea alokuumba anaekufanya ufike hapoulipo unamtegemea kiumbe mwenzio kenge mmoja ww

    • @maribaisack8389
      @maribaisack8389 3 года назад

      Amen

  • @morrismusila6147
    @morrismusila6147 3 года назад +34

    Chuki ya Nini??😂😂😂

  • @SalmaSalma-nb2cv
    @SalmaSalma-nb2cv 3 года назад +18

    Makufuri ata akiumwa kwel lkn uyu mwanamme wakweml hatokubari kuja uko kwa mashoga

    • @mustafarashid2484
      @mustafarashid2484 3 года назад

      Kwa taharifa yako yuko huku,ametukashif ila kajileta,mwanadamu usiongee kumaliza hujui kesho yako.

    • @SalmaSalma-nb2cv
      @SalmaSalma-nb2cv 3 года назад +2

      @@mustafarashid2484 unao ushahid au ndio mitandao

    • @mbarakahussein9641
      @mbarakahussein9641 3 года назад +2

      @@SalmaSalma-nb2cv Wakenya wanadharaulisha wenyewe, yaani habari ya serikali wanatoa kwa tetesi kama usajili wa mpira au udaku, aisee kweli hawa jamaa bado wapo na shida za kiakili.

    • @mopamc8158
      @mopamc8158 3 года назад +2

      don't try to diss magufuli.. kenyan what's problem on you.

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 3 года назад +1

      Kabisa

  • @toastysn
    @toastysn 3 года назад +26

    Yani hawa waandishi wa habari kenya wote ni Baba levo 😂😂. Corona imeenea Tanzania ipi mbona mi nipo huko Tanzania na sijaiona

    • @apocalypsematrix9252
      @apocalypsematrix9252 3 года назад +1

      🐵😂😜😹🎭🤡🐶

    • @cosmasdaud9088
      @cosmasdaud9088 3 года назад +1

      Hawa wanachuki kumbe habari ya kuwatwanga Bei kwenye mahindi iliwaumiza sana

    • @markojohn6771
      @markojohn6771 3 года назад

      Korona ipo we ongea sbb haujaumwa

    • @toastysn
      @toastysn 3 года назад +1

      Corona ipo ndio sa kwanini wasiseme mimi ninayo na hawajaniona siku nyingi mpaka wamzushie rais wetu 😂😂🏃@@markojohn6771

    • @mu-crzymahez9229
      @mu-crzymahez9229 3 года назад

      hhh

  • @queen-vc6de
    @queen-vc6de 3 года назад +5

    VIVA MAGUFULU 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @kipokendirangu2572
    @kipokendirangu2572 3 года назад +2

    Magufuri yuko na mama yko chumbani

  • @hamismabula5813
    @hamismabula5813 3 года назад +21

    Kitu cha thamani cku zote hutafutwa sana!
    Ama kweli Magufuli unapendwa hadi majirani zetu Wakenya wanakutafuta!

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      @@changamwe Hata wwe pia utakufa huta ishi milele

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      @@changamwe Msenge niwwe na wenzako wakenya

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe 3 года назад +11

    KENYA MMETOA IDADI MPAKA SASA MNAWAGONJWA WANGAPI

  • @kipkiruikoech2069
    @kipkiruikoech2069 3 года назад +22

    Might be he is in honeymoon or on personal business.

    • @greatiq7835
      @greatiq7835 3 года назад

      😂😂😂😂honeymoon!?

    • @demuslynn5520
      @demuslynn5520 3 года назад

      Hes in life support plus honey moon

    • @kipkiruikoech2069
      @kipkiruikoech2069 3 года назад +1

      @@greatiq7835 ,he is in hospital and said to be in stable condition.

    • @greatiq7835
      @greatiq7835 3 года назад

      @@kipkiruikoech2069 ok.

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 3 года назад +1

      JPM is doing kwaresma. Mmesahau magufuri ni muumini mkubwa wa ukiristo? Yupo ikiisha kwaresma mtamuona. JPM ni mtu wa Mungu.

  • @charlesvent8153
    @charlesvent8153 3 года назад +11

    Ni wivu 2!!!
    Habari za tanzania zinawahusu nn?
    Mbona hamtangazi habari za kenyatta au nyie ni malaika!

  • @mudythom6436
    @mudythom6436 3 года назад +9

    Kwaiyo mmekosa habar za kufatilia hadi mumtafute yeye,? Ni binadamu gani ambae haumwi ? Au mmekosa habar za kuandika.

    • @tammymhina5454
      @tammymhina5454 3 года назад

      Yaani.hata mimi inanishangaza. Ni binadamu gani asiyeumwa. Jee mtu akimwa tu nikorona especial hawana uthibitisho. Mimi hawa wakenya siwaelewi naona wamepoteza akili zao na hiyo corona imewawehusha na njaa pia.

    • @herlinaandason7621
      @herlinaandason7621 3 года назад

      Kabisa Yani wajinga sn

    • @hudumayamnarawamaombitanza7004
      @hudumayamnarawamaombitanza7004 3 года назад

      Ivi ukishajua Aliko anakusaidia nn

    • @hassan0256
      @hassan0256 3 года назад

      @@hudumayamnarawamaombitanza7004 Mzee Wetu Naona Ameshakua Adui wa Mabeberu !! Kwaio Wanataka wajue kila hatua anayopiga ili wajue wanadili nae vipi

  • @intellectualeducationcentr4484
    @intellectualeducationcentr4484 3 года назад +8

    254 mind your own business. He is our president of Tanzania and not your

    • @nahashuaka4979
      @nahashuaka4979 3 года назад

      Uwaambie maana wanahangaika sana kama vile Mhe JPM walimchangua wao. Fuateni mambo yenu. Raisi wetu ni wetu hawahusu!!!!

    • @marthawillium9920
      @marthawillium9920 3 года назад

      Wanateseka, lini cc tulijadili fujo za kwao huko? Mara ugaidi Mara kuchinjana wenyewe,,,,iko hiviiiii Iacheni Tanzania yetu💪Taifa teule duniani

  • @shanianwari9146
    @shanianwari9146 3 года назад +10

    Mungu mmpe shufaa apone harak kama nikweli tuna mtegemea sana

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 года назад +1

    Hahahaha jamani hadi Kenya mnatufuatilia hahaha...mwacheni raisi wetu in peace...he is our rock

  • @goodluckjingu8130
    @goodluckjingu8130 3 года назад +7

    Inawahusu?? Ni nchi Yenu hi??
    BBI imewashinda??
    This is none of your business , Mind your business....

  • @Rilvin1
    @Rilvin1 3 года назад +7

    Haya tushajua baba yetu alipo sasaiv💔...Amepumzka basi msiseme tena jmn, Mwenyezi Mungu ndo anapanga kila kitu kimpendezacho🙏🏽...Ulale mahali pema peponi Our Father....The whole country love you UKWELI KABISA😭😭💔

  • @mageymsuya2302
    @mageymsuya2302 3 года назад +3

    Stop saying at alifia kenya na maneno ya uchochezi tunachokiamini sisi Watanzania ni kile kinacholipotiwa na serikali yetu na sio hizo rumors zenu

  • @haroonchibwana6253
    @haroonchibwana6253 3 года назад +1

    Innalillah waina ilahi rajeeon. Go well son of the soil, son of Africa, Africa is proud of you.. We may not come from the same country, but we shared your vision. A great Leader you were, a proud African. I am not Tanzanian, but your love for the Africa continent spread all over Africa. You gave us," the young politician ", the reason to join politics. Your Leadership style, touched a lot African people. You believed in your people, you decided to die in your own country, your own Hospital and in the eyes of your own people. May GOD receive you well and forgive your short comings. RIP John. We will forever remember you.

    • @iqraa23
      @iqraa23 3 года назад

      correct 100%

  • @kbboytv6815
    @kbboytv6815 3 года назад +8

    Hivi rais wa Kenya anaitwa Nani??
    Maana wanatufatilia Sana sisi hatumjui hata raisi wao
    Wenyewe porojo polojo tu
    Magufuli magufuli
    Mind your own business

    • @kanukanute1514
      @kanukanute1514 3 года назад

      Rais w Kenya anaitwa tindurisu

    • @enockwanyonyi8052
      @enockwanyonyi8052 3 года назад

      We umbwa shillingi moja ya Kenya ni shillingi 30 za Tanzania Ivo uchumi wenu hautawahi fikia wa Kenya wewe mbwa

    • @kbboytv6815
      @kbboytv6815 3 года назад

      Msitufatilie Sana kuku nyie

    • @enockwanyonyi8052
      @enockwanyonyi8052 3 года назад

      @@kbboytv6815 Nani alikuambia tunawafwatilia uku Kenya sio kama Tanzania hamna Uhuru wa kushare information mnaogopa kufungwa Ivo wacha tunawasaidia

    • @kbboytv6815
      @kbboytv6815 3 года назад

      @@enockwanyonyi8052 Evidence

  • @dottosebastianophilipo2693
    @dottosebastianophilipo2693 3 года назад +23

    Mpaka sasa hivi nime-proof adui wa WATANZANIA ni WAKENYA
    so for TANZANIANS be carefully with KENYANS because they enjoy when see TANZANIA drop down

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 3 года назад +1

      Dotto hata mimi leo nimeamini wakenya ni maadui wakubwa wa Tanzania

    • @enathakamugisha2455
      @enathakamugisha2455 3 года назад +1

      Exactly

    • @aliyahkhamis7472
      @aliyahkhamis7472 3 года назад +1

      Na ikitokea kweli yuko Kenya anatibiwa mtasema nini

    • @lizzymasawe6566
      @lizzymasawe6566 3 года назад +1

      True

    • @enathakamugisha2455
      @enathakamugisha2455 3 года назад +1

      @@aliyahkhamis7472 wangp wanatibiw and u people mnakuwa kmya, buh for the issue ya Mr president ndo imekuw km mtu wa kwnza kutibiwa kenya

  • @mako331
    @mako331 3 года назад +8

    Surely this guy is powerful, if he can’t be seen for two three days the whole world is looking for him, Magufuli can’t come to Kenya for treatment, his Mama has been sick for sometimes but she’s getting treated in Tanzania, so Kenya stop trying to look for this cheap credit, Magufuli is well and sound deal with your handshake issues wacheni Magufuli afanye kazi

    • @collinskipkoech6969
      @collinskipkoech6969 3 года назад

      So Capital Kenya 'Nairobi' is abroad??

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 3 года назад +2

      When you are on the verge of dying,all your pride melts away

    • @kogalojowi6680
      @kogalojowi6680 3 года назад +2

      stop being proud,politicians are never enemies.Maghufuli is in Kenya.And there is nothing wrong with seeking help in Kenya.

    • @luluauma1886
      @luluauma1886 3 года назад +1

      Lisemwalo lipo kamahalipo linjiani laja Mama Magufuli is not a public figure Magufuli is, and it doesn't mean if Mama is sick son can't get sick.

    • @davidngwesa
      @davidngwesa 3 года назад

      @@luluauma1886 You are all worked up over some speculation. What if by any off-chance it turns out to be true? Also, heard some BS about Kagame being dead. What a world of rumor-mongering!

  • @daressalaampost5785
    @daressalaampost5785 3 года назад +39

    Kenyans kindly mind your own business msijihusishe na nchi yetu TZ

    • @jacobrotich317
      @jacobrotich317 3 года назад +4

      unafanya nini in Kenyan media? Toooka hapa kumbafu hha

    • @njerierickaranja6150
      @njerierickaranja6150 3 года назад +2

      Yaani hamtaki tumsaidie?

    • @joasitz9559
      @joasitz9559 3 года назад +1

      Mm pia nashangaa,

    • @gwakisamwakabulutu4247
      @gwakisamwakabulutu4247 3 года назад +1

      @@njerierickaranja6150 umsaidie nini nyie jisaidieni wenyewe Kwanzaa

    • @jacobrotich317
      @jacobrotich317 3 года назад +4

      @@gwakisamwakabulutu4247 usiwahi onekana Kenyan media tena na hizo 'manyie zako'

  • @magretpeter2845
    @magretpeter2845 3 года назад +3

    Get well very soon dad ,we love you so much

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад

      acha kingereza zungumza lugha ya mama Msenge wewe

  • @nicolekasongo1877
    @nicolekasongo1877 3 года назад +4

    Pole sana kwa wa ndugu wetu wa tanzanian

  • @RoseRose-qj5pw
    @RoseRose-qj5pw 3 года назад +2

    Povu linawatoka watanzania hawajui rais wao yuko wapi na ukweli hawataki kuambiwa imebakia kuchambana tu mitandaoni🤣🤣

    • @ajaeemmanuel6001
      @ajaeemmanuel6001 3 года назад

      Kwan uhur yuko wapi mbn huyo nae hatujui kazi kusema ya bongo

    • @friendsranger7785
      @friendsranger7785 3 года назад

      KUMAMAKO

    • @RoseRose-qj5pw
      @RoseRose-qj5pw 3 года назад

      @@friendsranger7785 ya mamako kama ya ndovu ndio mana huna akili matusi yamekujaa mdomoni

    • @friendsranger7785
      @friendsranger7785 3 года назад

      WATUMWA NYIE

    • @ajaeemmanuel6001
      @ajaeemmanuel6001 3 года назад

      Bwana we hujui kama kenya mafuta ya petrol yamepanda bei matarajio yetu ni kwamba bidhaa pia zitapanda bei

  • @emmanueleliya6225
    @emmanueleliya6225 3 года назад +21

    Wakenya naweza sema tu ni wapuuzi wakubwa.
    Na Tundu wao wa Lissu.

  • @jacoblusana1082
    @jacoblusana1082 3 года назад +15

    Alifia Kenya ,apumzike Salam tutakumiss sana🇰🇪

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 3 года назад

      Real?

    • @princegadi9577
      @princegadi9577 3 года назад

      @@jescajulius8023 a

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 3 года назад

      Unafirwa wewe!

    • @iqraa23
      @iqraa23 3 года назад

      how sure you are? and who are you by the way? angetaka kwenda nje ya nchi angeenda India, au hata South Africa ila sio kenya. punguza kiki.

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 3 года назад +5

    Muda uwa ni jibu pia.Tupendane wote sisi na uzao wa Ibrahimu.Tuombeane mema hakuna mwamba hapa duniani woteeee tuko safarini.

  • @mrh2812
    @mrh2812 3 года назад +2

    Naona wakenya mmefurahi sas

  • @phaustinemmao424
    @phaustinemmao424 3 года назад +9

    Nyinyii rais wenu ameonekana lini kwa mara ya mwisho?

    • @jedidahmiren3839
      @jedidahmiren3839 3 года назад

      Leo

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад +1

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

    • @jedidahmiren3839
      @jedidahmiren3839 3 года назад

      Wacha matusi pia

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад

      @@jedidahmiren3839 Sawa mzalendo wa tz

    • @jedidahmiren3839
      @jedidahmiren3839 3 года назад

      Mimi mkenya nilikuwa na jibu tz who were asking the last time we saw our president

  • @houseofjudah7470
    @houseofjudah7470 3 года назад +13

    2:46 Juzi tu umemwona raisi magufuli akizungumza halafu leo una uliza yuko wapi,au juzi maana yake si siku 3 zilizopita

    • @kevinfred2885
      @kevinfred2885 3 года назад

      hehehe

    • @chosen1.
      @chosen1. 3 года назад

      Wapi? Rais sijamwona mm majuma mawili ss

    • @Bot_ni_Bazenga
      @Bot_ni_Bazenga 3 года назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @davidngwesa
      @davidngwesa 3 года назад +2

      @@chosen1. Hata Kagame wanasema kuwa amekufa, hivyo hatushangai fake news!

    • @catherinenganga9324
      @catherinenganga9324 3 года назад

      Si mtu ajitokeze kumaliza hiyo story.

  • @geraldsanga4879
    @geraldsanga4879 3 года назад +10

    Ivi rais wenu Kenyatta yuko wapi?

  • @monicaisaya6143
    @monicaisaya6143 3 года назад +8

    Kama unaumwa raisi wetu Mungu akuponye akutie nguv wanaokuombea mabaya ya kukute Mungu awasamee tu🙏🙏

    • @Emedroadtocanada
      @Emedroadtocanada 3 года назад +1

      amefariki raisi wetu dah

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 3 года назад

      @@Emedroadtocanada dah,cna nguvu Leo,mwili wangu umelegea cwez kula

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 3 года назад +1

    KTN ni wanafiki sana

  • @daphhrhobi2482
    @daphhrhobi2482 3 года назад +12

    Kenya can never compete with Tanzania respect Og please

    • @mkenyammoja1
      @mkenyammoja1 3 года назад +1

      did my eyes see right 😀

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 3 года назад

      @@mkenyammoja1 hipes yes may you dint hear well

    • @mkenyammoja1
      @mkenyammoja1 3 года назад

      @@princebuganzilut2047is that english you have written? since when can someone hear what has been written 🤣🤣

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 3 года назад +3

    Huyu ndio President of Africa najua kua yupo katika ali ngum sana ishaallh mungu ampe nguvu huko alipo.😭😭

  • @alexanderjustinkonga6447
    @alexanderjustinkonga6447 3 года назад +1

    Eti amekimbilia Hosplt fulani humo Kenya. Halafu mwauliza yuko wapi Mzee Magu? WaKenya Bwanaa! Hayati Wetu Anawakosesha usingizi sna..! Mnanichekesha sna.

  • @wardawarda4515
    @wardawarda4515 3 года назад +6

    Eeee Mungu mponye Baba yetu Wa Taifaa popote alipo nenda Mponye popote alipo

  • @shabimtanashat4056
    @shabimtanashat4056 3 года назад +3

    Poleni sana Tanzania

  • @husnamanase3943
    @husnamanase3943 3 года назад +6

    Mungu ampenye na pena. Kiongozi wangu naninakuhitaji sana Tanzania mungu akupinanie popote uripo uwesalama amina

  • @iqraa23
    @iqraa23 3 года назад +2

    aje uko kenya kwa huduma gani bora za Afya mlizonazo? Acheni kujikweza. Our leader Magufuli die in his own land, its own hospital and infront of eyes of his own people. (there at Muhibili hospital). He did not flight to metropolitan like other Africans leaders did. He still not betray us until his death.
    Kwanza anzeni na kutatua tatizo la ukabira , Ugaidi, Njaa , Miundombinu , ukeketaji na ukoloni mamboleo then ndo mfuatilizie ya kwetu Tanzania.
    by the way tunajua mmetuzidi ki uchumi ila tumewazidi kujitambua 7u sisi hatuna military base ya mabeberu .we trust our leaders.

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 3 года назад +1

    Vyombo vya habari Kenya. Fanyeni yenu. Kwani Magufuli ndio Raisi wa kwanza duniani kuumwa hata Kama ni kweli? Kumbe Magu anawanyimaga usingizi. Sasa ndio naamini. Duuuh...

  • @jacksonbiswalo8360
    @jacksonbiswalo8360 3 года назад +6

    Tangu taarifa za rais wangu Magufuri kusambaa mitandaoni kuwa ni mgonjwa ninahisi kbx nimeathirika ktk mapigo yangu ya moyo na sipo sawa kbx.Sina furaha kila kukicha ila kila ck namuombea kwa Mungu wa mbinguni amjarie afya njema rais wangu na yanayonenwa naomba uwe ni uzushi tu.

  • @deboraruhumbika3800
    @deboraruhumbika3800 3 года назад +1

    Sasa mlitangaza Sana yupo wapi Kuna chochte mlicho kipata😭😭😭😭😭 msipendee kufatilia yasio wahusu mwisho wake mmlicreate fkra nyng kwa watz inaumaaa Sana hasa kuona Kuna Hawa waliokuwa wakmtangza instead ya kumuombeaa

  • @veronicasikawa9931
    @veronicasikawa9931 3 года назад +1

    WATANZANIA WENZANGU TUZIDISHE MAOMBI SHETAN YUKO KAZINI HASWA KUICHAFUA NCHI YETU IKA TUSIMPE NAFASI .

  • @damariskhavakali8336
    @damariskhavakali8336 3 года назад +3

    Ati be your brother's keeper, isee how People cares for Mr pombe, may your soul rest in peace 😭😭

  • @magellasaid28
    @magellasaid28 3 года назад +4

    Sasa nyie KTN kama sio wasenge ni nini? Nyie mko Nairobi hapo si muende hapo hospital mkaangalie?

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад +1

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

    • @friendsranger7785
      @friendsranger7785 3 года назад

      KUMA KWELI AWA WAKENYA...KWA HOSPITAL GANI HADI WABONGO TUTIBIWE HAPO

    • @magellasaid28
      @magellasaid28 3 года назад

      @@Nj-qk2mm Sasa kwa nilichokiandika chuki iko wapi hapo? Au wewe unafurahia jinsi vyombo vya habari vya wakenya vinavyotumika kumchafua rais wetu na nchi ytu? Ttz hamna uzalendo nimewauliza kitu cha msingi km wao wanasema rais yupo Nairobi mbona waulize swali wkt wao pia wako Nairobi? Tunajua wakenya wengi wanaupenda upande wa pili kwa huku tz ndio maana hawaishi kufuatilia mambo ya serikali tyu, mfano mdg ni jinsi mzee alipoamua kujenga ukuta mererani wasenge wakenya wte waliokua wamejazana km kwao walitimuliwa na kubaki wazawa hivyo ni moja ya mambo yaliyowagusa moja kwa moja lzm wamchukie JMP, tanzania ni ya mtanzania yyte alie mzalendo na si vibaraka km baadhi ya viongozi wa CDM na vyama vingine mzee

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад

      @@magellasaid28 nimekuelewa profesa

  • @mugisajustin4099
    @mugisajustin4099 3 года назад +2

    Poleni sana wandugu zetu wa tanzaniya

  • @nayaromy8456
    @nayaromy8456 3 года назад +3

    I just don't know why Kenyans are obsessed with the Tanzanian president ..

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 года назад +3

      Naga Romy, they are obsessed because theirs is a Drunkard.

  • @jacksonbiswalo8360
    @jacksonbiswalo8360 3 года назад +3

    Mungu amjaarie kheri ya afya rais wetu mpendwa Magufuri.

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

  • @Changamira
    @Changamira 3 года назад +1

    We still have not understood nothing is coincidental in African politics...Wake up!

  • @rekareka1448
    @rekareka1448 3 года назад +10

    Even in Rwanda, we are looking for Kagame, we do not know where he is 😆

  • @stephenenyagilo6469
    @stephenenyagilo6469 3 года назад +9

    Poleni Wana Tanzania Kwa kumpoteza Rai's wenu ambaye alikuwa mtulivu sana

    • @faustinaruben2467
      @faustinaruben2467 3 года назад

      Poleni kwa watanzania wote waliokuwa wanampenda na kumkubali mbele yako baba Wa wanyonge Magufuli nyuma yetu

    • @joelamuteteeteve509
      @joelamuteteeteve509 3 года назад

      Pole pole sana wana Tanzania kumpotesa shujaa mwenye imani, mujapakasi tuu pila kuogopa.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 года назад +9

    Allah amponye Rais Wetu 🙏

  • @heavensent2526
    @heavensent2526 3 года назад +2

    Ukiona jirani anapenda penda kufuatilia habari za nyumba yko alf ww huna habari nae , basi jua kuna mahali upo juu yake,,, kwa iyo sishangai kenya kuinanga Tz

    • @autographics2023
      @autographics2023 3 года назад

      atutaki kujua kam mko juu ama wap ila ukweli unauma

    • @heavensent2526
      @heavensent2526 3 года назад

      @@autographics2023 😂ovyoooooo

  • @husnaramadhani855
    @husnaramadhani855 3 года назад +4

    Nahasira sana tena mnafki ni mchawi namba moja hao mlowahifadhi ndo mshuhulike nao tuliyoko huku mtuache kabisa

  • @diomedseka6399
    @diomedseka6399 3 года назад +6

    Kwani magufuli anawahusu

    • @jacobrotich317
      @jacobrotich317 3 года назад +1

      we siuende uwatch TBC wacha kutusumbua hapa

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      @@jacobrotich317 Anamihusu nanini ?????

  • @janetmwenda8853
    @janetmwenda8853 3 года назад +2

    My prayer and many God loving people from Kenya is that the president of Tanzania receive divine healing..we pray that God strengthens the family ..Our God is the healer..keep strong despite negative comments...
    May the grace of God be sufficient in a season like this..

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад +2

    KTN #1 trending in Tanzania 😅🤣🤣

  • @saudakabogo
    @saudakabogo 3 года назад +6

    Our preaident has hold a purpose from God, hawezi kuguswa na mkono wa shetan kivyovyote vile, wazungumzaji watch out! Mnatakiwa kuwa upande wa Mungu na si vinginevyo

  • @shukranimkongwa697
    @shukranimkongwa697 3 года назад +17

    Aje kutibiwa kenya?, achani dharau apo kenya labda aje raisi wa burundi

    • @egideniyonkuru9705
      @egideniyonkuru9705 3 года назад +1

      Pumba wewe hivi unahakili timama eti aje nani ?ila sio wew nikiburi ulicho nacho

    • @Nj-qk2mm
      @Nj-qk2mm 3 года назад +1

      Acha Chuki we MSENGE malaya,Hii Dunia tuliingia na tutatoka.Unaongea sana kana kwamba Tanzania wewe ndio uliijenga.Walopigania nchi yenu wakati wa ukoloni washafariki Imewasaidia na nini? KUMBUKA SOTE NI WEUSI NA TUNAPUMUA HEWA THE SAME. CHUKI HAISAIDII.

    • @aishaasumany561
      @aishaasumany561 3 года назад

      @@egideniyonkuru9705 Sinikweli tuje Kenya kutibiwa afazari tufe naugonjwa kuriko kuja kenya simngemuuwa nyie huko hawezi kuja sahau

    • @ajaeemmanuel6001
      @ajaeemmanuel6001 3 года назад

      @@Nj-qk2mm kwan ww ndo uliijenga

  • @nginaelkennedy3346
    @nginaelkennedy3346 3 года назад +2

    Isaya7:7,Zab118:17.Tunakupenda sana sanaaa raisiwetu.Tunakuombea.Mungu hajawahi kushindwa.

  • @sethgoldsgym8039
    @sethgoldsgym8039 3 года назад +1

    Emmanuel too....my best friend.....poleni Tanzania......

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад +4

    Eeeeh m/mungu nakuomba muepushe na ma balaa. Rais Wang Jonh pombe magufuli yote yanayo ongelewa yasimkute nakuomba sana Mwenyezi mungu 🤲mjaze afya tele tele wa Tanzania tunampenda inshallah

  • @brotherk4618
    @brotherk4618 3 года назад +7

    Naona ndugu zangu wakenya chanjo feki imeanza kuwakolea!nyie wenyewe mnasema yupo kwenu tuonesheni basi?

    • @julieeliah5511
      @julieeliah5511 3 года назад

      Kweli chanjo imewaathiri vibaya jamani. Anawahusu nini nyie?

  • @davoriromalio7578
    @davoriromalio7578 3 года назад +1

    Wakenya hawajielewi,Raisi wetu wao anawahusu nini mpaka wawe active kiasi hicho. Mh Raisi yupo,wakitaka kumuona waje tz

  • @latifahpeterson6674
    @latifahpeterson6674 3 года назад +1

    😢😭🇹🇿 The Nation is crying 😭 hakika tutakukumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya #Godgiveusstrength💪🏼to carry on Hakika mwanga 💡 wa milele ukuangazie 🙏🏼

  • @janguboitz4316
    @janguboitz4316 3 года назад +5

    KTN nyie wasengeeee,mnaripot vp wakat hakuna uhakikaaaaa,nyieeee wasengeeee jaliniiii mambo ya nchiiii yenuuuuuu

    • @chikiranathanael3097
      @chikiranathanael3097 3 года назад

      Matusi yanini Kaka wenzetu Wana Sheria zao na Uhuru wa habari...Kama amefika kule lazima ijulikanetu maana wale Wana Uhuru wa habari

    • @saidsaleh8135
      @saidsaleh8135 3 года назад

      Huo uhuru wa habari unatakiwakiwa

    • @saidsaleh8135
      @saidsaleh8135 3 года назад

      Huo uhuru wa habari unatakiwa ueleze habari za kweli sio utangaze tetesi.

    • @genxonlinetv2219
      @genxonlinetv2219 3 года назад

      Watch this response to these rumors and please like and subscribe to my Channel: www.youtube.com/watch?v=0DKGUzGuG

  • @tumatesha1653
    @tumatesha1653 3 года назад +3

    No reserch no right to speak. Sasa hamjui alafu mnatangaza nn? Mbona mnajisifugi wasomi kati kengemtoni?

  • @teddyinbloom
    @teddyinbloom 3 года назад +1

    Aya kashafariki nimefurahi???

  • @hamisshabani3126
    @hamisshabani3126 3 года назад +2

    Munataka mujue yuko wapi kwani nyie ni wake zake? Acheni ujinga nyie KTN