hawa ndio waliokuwa wanashadadia kipindi cha nyuma mambo ya NgoroNgoro leo wanaongea hapa sana sana Maulid anapenda kushadadi mambo na kuongea kwa mbwembwe kwli sasa hivi madhara yameanza kuonekana bado anashadadia madhara, cha kujifunza usishadadi mambo kwa maslahi binafsi unaingiza watu chaka
Tangu baada ya Covid 19 .. serikali ilianza kukusanya mapato ya Hifadhi zote na Ngorongoro.. na zilianza kuendeshwa na serikali.. Kabla ya hapo zilikua zikijiendesha zenyewe..
Tuendelee na uzembe kuna siku tutapanda ndege kwenda kuangalia wanyama nchi za watu wanaojua kuwatunza
Rip Uncle Magu..😢
Njie watu hatari sana😅😅🎉😂😂
Mungu ameibariki Tanzania lakini viongozi wetu ni ovyo kabisa endeleeni kubwaka kama mbwa kule bungeni magu tutakukumbuka milele
Kuriko mujadhili Hasara Harmonize Mzee Popo anamutia Diamond youtube....munaongea upuuzi😭😭😭😭
Kipanya 😂😂😂😂😂 akili yake inawaza minyama tu
hawa ndio waliokuwa wanashadadia kipindi cha nyuma mambo ya NgoroNgoro leo wanaongea hapa sana sana Maulid anapenda kushadadi mambo na kuongea kwa mbwembwe kwli sasa hivi madhara yameanza kuonekana bado anashadadia madhara, cha kujifunza usishadadi mambo kwa maslahi binafsi unaingiza watu chaka
HII MAANA YAKE NI NINI?? TUJITATHMINI AISEE TUNAPOTEA
Huo mchongo tu ili kuwatoa wamasai wote tushashtuka
Tangu baada ya Covid 19 .. serikali ilianza kukusanya mapato ya Hifadhi zote na Ngorongoro.. na zilianza kuendeshwa na serikali..
Kabla ya hapo zilikua zikijiendesha zenyewe..
Ndio maana
Hapo umeeleweka