NGORONGORO YAELEMEWA| ASKARI WA WANYAMA PORI WALALA NJE| NYAMA ZAUZWA HOVYO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 12

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly3445 2 месяца назад +6

    Tuendelee na uzembe kuna siku tutapanda ndege kwenda kuangalia wanyama nchi za watu wanaojua kuwatunza

  • @storytownTv
    @storytownTv 2 месяца назад +3

    Rip Uncle Magu..😢

  • @geraldadolf4928
    @geraldadolf4928 2 месяца назад

    Njie watu hatari sana😅😅🎉😂😂

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 2 месяца назад +3

    Mungu ameibariki Tanzania lakini viongozi wetu ni ovyo kabisa endeleeni kubwaka kama mbwa kule bungeni magu tutakukumbuka milele

  • @SifaEmma
    @SifaEmma 2 месяца назад +2

    Kuriko mujadhili Hasara Harmonize Mzee Popo anamutia Diamond youtube....munaongea upuuzi😭😭😭😭

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 2 месяца назад

    Kipanya 😂😂😂😂😂 akili yake inawaza minyama tu

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 2 месяца назад +1

    hawa ndio waliokuwa wanashadadia kipindi cha nyuma mambo ya NgoroNgoro leo wanaongea hapa sana sana Maulid anapenda kushadadi mambo na kuongea kwa mbwembwe kwli sasa hivi madhara yameanza kuonekana bado anashadadia madhara, cha kujifunza usishadadi mambo kwa maslahi binafsi unaingiza watu chaka

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 2 месяца назад +3

    HII MAANA YAKE NI NINI?? TUJITATHMINI AISEE TUNAPOTEA

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 месяца назад

    Huo mchongo tu ili kuwatoa wamasai wote tushashtuka

  • @15emmado
    @15emmado 2 месяца назад +2

    Tangu baada ya Covid 19 .. serikali ilianza kukusanya mapato ya Hifadhi zote na Ngorongoro.. na zilianza kuendeshwa na serikali..
    Kabla ya hapo zilikua zikijiendesha zenyewe..