Leonardo alivyowavunja mbavu Harmonize na wengine uzinduzi wa CHEKA Plus TV
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- UZINDUZI WA @chekaplustv CH 414: Moja kati ya wachekeshaji waliokuwa wakisubiriwa kwa hamu ni pamoja na @laughs_on_leonardo ambaye kwanza alianza na mkwara wa ajabu, ambao wote tunajua anauweza kisawa-sawa 😂
Uzinduzi ulikuwa LIVE muda mfupi uliopita kupitia #UTV108
#ChekaTu #ChekaTu414 #ChekaTuPlus #azamtvburudanikwawote
Huyu jamaa ana jua sana comedy apew mauwa yake🎉🎉
kijana unajua tena unachekesha kisomi, bigup
Wa kwanza jaman nipeni ata like 10
Mashaalah konde anapendwa sana
Unarudia sana mzee jiongeze
Weee leo yupo vzr sanaa😂😂😂
Mbona wasanii wakuimba huwa wazirudia nyimbo zao maana mmeng'ang'ana kuwa anarudia tu content! Kama rahisi nanyinyi andaeni content zenu tuone.
Jaribu ww tuone
Good work
Ameishiwa content Leonardo
So amazing
Amazing
Alooooh konde n hataliii 😂
Nice
Umetisha
Mzee anarudia sana content saiv adi tushachoka
Big up
Mzee wa Instarstory 😂😂😂
Jamaa mm sipendi unavyo rudia content
Unajua blood 😂😂
Eliud is the best kabisaaa
Dar e salam joto mwingi Nairobi barida
Mm nampenda Sana uyu jamaa ila kwenye maisha sio lazima wakupende wote wengne watakuchukia tu pambana kijqna
Ila leonardo😂😂😂
Bonge la comedian
Mm mbon sijacheka jaman😂
Big up😂😂
Leonard unajuwa mbwa wewe
Aseeeee
Ulishika nafasi ya kwanza Tanzania nzima Kwa stand up comedy ila mmmmh Nina mashaka na ushindi huo Eliud samweli Ndio alifaa
Chill bro
Kajambe uko
@@Khmediy3241😂😂😂😂😂
Kua mpole fundi leonado peke ake
Wivu
Anajitaidi
👏👏👏👏👏
DONGO ilo yenyewe yanacheka
nakubli
Leonardo😂😂😂
Alaf leonard unatuangusha unarudia content ssa
Big up
Big up