HOTUBA YA MKUU WA MKOA ARUSHA PAUL MAKONDA AHAIDI MAZITO KUFANYIKA ARUSHA USIKU
HTML-код
- Опубликовано: 29 апр 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Mwanainchi, mzalendo..❤
Makonda ww ni mwamba aisee. Safi sana. Umezungumza vizuri sana. Akili nyingi sana.
Hongera sana Mheshimiwa Makonda
saaaafiiii umeanza kukomaa katika speech jembe langu. good
❤❤❤❤❤Mungu akulinde MAKONDA
Makonda ndie anae tuliwaza baada ya kifo cha jembe magufuli, huyu ndie fotocopy ya magufuli wengine ni mikumbo2
Safi Sana Mkuu wa Mkoa wa Arusha una ubunifu Sana wa mambo makubwa kwa maslahi mapana ya Nchi.
Endelea hivyo hivyo Kuna siku inakuja utapanda ngazi ya juu zaidi. Mungu akulinde kwa kila hatua uipigayo.
MAKONDA KICHWA SANA WEWE KINAFANYA KAZI USIKU NA MCHANA ASANTE
Huyu mwana ni hazina kubwa kataifa
Uko vizuri♥
Good gentle man makonda ❤
❤❤❤❤❤makonda mwanangu.piga kazi
Saaafi, amepewa kazi anayestahili
Kazi kweli kweli
Iringa karibu nakukubariii sanaaaaa my president next
Narudia tena mh Makonda, naiona kesho yako ni njema zaida. Mwenyezi MUNGU akupe afya na akujalie uzima kaka.
Hongera sana comrade
Bravo Makonda matumaini ya Arusha yanaonekana yanakuja
Safi sana Mh Makonda jembe la mtu mmoja 🎉🎉
Jembe
Naona mkuu wameanza kucheka
Siyo wanafyata mkia,hizi ni protokali za utumishi,kiutendaji.
Kiongozi Bora Tanzania ni makonda
Makonda oyee
Huyu makonda akithubutu kuhamia upinzani akagombania urais kweli ccm chama changu ndo mwisho wake.
Ccm ntakuja kuipigia kura siku makonda anagombea urais mwingine simwoni bora wapinzani
Wazee na vijana wananyakuana
Jembe letu
KAMANDA MKAKAMAVU MBONA HUJAZUNGUMZIA STENDI ? JIJI HALINA STENDI MKUU WETU MKAKAMAVU...
MBUNGE GAMBO AMEHANGAIKA SANA KUHUSU STENDI LAKINI KAKWAMA MPIGE TAFU BABA
Mh. Makonda ni wew uliyebakia tunakutegemea .Tunakuombea kwa MUNGU TUNATAMANI UENDELEE KUISHI MIAKA 120 ILI UENDELEE KUWATUMIIKIA WANANCHI KWA UZALENDO .Unajitoa mhanga na MUNGU ATAKULINDA RAIS WETU MTARAJIWA. MAKONDA HOYEEEEEEEEEEEEE!