AZAM TWO - FULL PRESS: Magufuli na Museveni walivyojibu maswali ya waandishi wa habari
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Rais Magufuli wa Tanzania na Rais Museveni wa Uganda leo wamekutana na wanahabari nchini Uganda, na kujibu maswali kuelekea uzinduzi rasmi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima Uganda hadi Tanga, Tanzania.
Yess wonderfull, our new present you have to do this like the way ,, r ,i p, john pombe magufuli speech , you have to do it and fight for coruption, please you are our leader, that is gift for us from god mama samia
DUUU MY HERO HIVI KWELI HAUPO,DAAAAA
The late Magufuli was and still a hero....Hon President Museveni is very smart.
President Magufuli was a true son of Africa. Down to earth. He truly cared about his country and Africa.
Rest in peace our mzee John pombe joseph magufuli. Mungu akusaidie
last time I checked he was the leader of Tanzania and not UK. kanyaga twende Kipenzi cha watz. we got your back. #teammagufuli#
Daaah mungu
Napenda kushauri lifuatalo kwa wenye picha kuwa kujua iingereza ndio uwezo wa akili kichwani na utendaji.Hii ni fikra bado ya kikoloni.Kuamini kuwa Lugha ya wageni ndio bora zaidi huu ni udhaifu na kujidharau sisi wenyewe.Hii ni kasoro kubwa.Sote twafahamu kiingereza kwa sehemu kwa sababu sio lugha ya kuzaliwa (Mother tongue) na wala sio lugha ya Taifa kama kwa Kenya na Uganda.Hatuwezi kujilinganisha na wenye lugha hiyo( Kiingereza).Kama ilivyokwetu ambavyo mtu atokaye Japan au Uingereza kwenyewe hawezi kufahamu kikamilifu kiswahili chenye maneno mapya yanayozaliwa kilasiku. Marangapi tunapokea maraisi toka China,Japan N.K wanatumia wakalimani. Kiingereza alichonacho Mkuu wa nchi yetu ni fasaha na kinatosha na kinaeleweka kwa yeye ambaye kwa asili simwongeaji ila mtendaji.Na kimempa PhD ya UHAKIKA KWA FANI YAKE YA SCIENCE. Wengi wetu tunao mdhalilisha Rais wetu ni kwasababu ya kukosa upendo naye na kupungukiwa uzalendo aidha ni kwaajili ya mlengo wetu wa kisiasa N.k .Najua wengi wenu humu ni vijana, msiwe hivyo watoto wapendwa badilikeni.Unapomdharau baba yako(Rais wako) unajirau mwenyewe na akikwama ni anguko letu sote.Mataifa yanatucheka na yanatudharau na yanapunguza imani nasi,kwani ni nani leo hii atamuamini mtu anaya mchukia ndugu yake mwenyewe?kwani asiyependa wakwao hataweza kupenda na kutenda mema kwa wengine.Tupendane watanzania.Tuwaheshimu viongozi wa vyama vyote kwani niwatanzania wenzetu.Vijana naomba mlifanyie kazi hili tafadhali. Mungu awabariki sana watanzania wote.
Catherine Chifebe vizuri Sana ndugu tuelimishe wengi wetu hatujui Nini tunatenda, Nimarais wangapi wametokea nchi nyingine kuja Tanzania na hawajui kuongea kingekeza!? na tukawapoke, kwanini hatukuwabeza kuwa hajui kuongea kingekeza!? Mimi nipo QATAR Lugha yahuku Ni kiarabu,
Hawana hakili kabisa hao
Ni kukosha heshima kwa wazee
Daaaaah hii clip kila nikiisikiliza machozi yananitoka kwa maumivu mazito sana
Pole NDUGU yangu mwenyew nimeshindwa kujizuia machozi yanidondoka tuu
We will never and ever forget u( Panafricanicity)
noma sana
Suis convaincu de la bonne foi du defunt JP J Magufuli à travailler pour le bien être et le développement. Où sont nos dirigents pour suivre ces exemples?
Je me demande la même question peut être que les autres dirigeants ne suivent pas ces vidéos
Dictetas, wao ni polisi mahakama, limeko limetumia ubabe kubambikizia kesi wanaomkosoa kwa kisingizio cha ufisadi! Na museven amejimilikisha uganda kama kampuni yake, diktetas ndio kansa ya Africa, wewe kama ni muadilfu unakwepa vp kukaguliwa! Wakati ni takwa la kikatiba???!!! Ulioapa kuilinda.
Ugumu wa maisha anakuja kutokana na uvivu na kufanya kazi kwa mazoea
Kwakweli kaziumeifanya upumzike kwa Amani
Kithunguu!.
🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mzungu aliona moto ameingia Kati ya mwamba mbilig
Kweri
Kingereza sio ishu kubwa kinachomata ni performance, washapita marais Tanzania na Afrika wanaoongea fluent english lakini wana poor performance so magufuli ndo simba wetu kama marehemu Gadaffi hakushoboka na kingereza na Libya ikawa juu
Emmanuel Bellon akili za kuambiwa changanya na zako
akili za kuambiwa changanya na zako
Crdb Fao sasa ndo umekomenti nini? kama una upeo mdogo usikomenti kwenye hoja za watu wenye upeo mkubwa bali komenti kwenye hoja za watu wa uelewa wa level yako, hoja hujibiwa kwa hoja sio vijembe maana jinsi ulivyokomenti ni rubbish yaani takataka hujafikia level ya ku reason na mimi so kaa pembeni ndugu
ile katuni ipo wap mange
B
.
We unalala fungua macho
ila umenimalizia mb zangu baba unaulizwa hiki unajibu kile piga kazi baba jesca
Achani majungu acha.aongee kiswahili I'll babu y'ako asikiee
Makufuli hoyeeeeee
Sasa tuna Rais rais rais.
magufulication of Africa. the hero of Africa born in Tanzania.
Mungu! Mungu! Mungu!
Wewe utabaki kuwa Mungu wengi tunaamini Tanzania hutaicha ukiwal maana unaipenda. Kama injili ilivyoendlea hata baada ya kufa Yesu, wengi tunaamini uzalendo utaendelea hata baada ya kufa kwa JPM.
Mungu mikono yako isiiache Tanzania
He had real love for his country when i watch his speech i cry Rest In Peace your excellency
1
_
S
Xx_eeeeeweee
You probably dont give a damn but does anyone know of a trick to get back into an Instagram account??
I was stupid forgot the login password. I would love any help you can give me
Watanzania wanatamani uamke mtetezi wetu
Mama samia anatutosha
@@lampadshigonko3006 utauzwa weye usiojielewa. Ushawahi kuskia mtu kauzwa? 🤣🤣🤣 Nyie haswa washamba😂😂😂
@@lampadshigonko3006 ahaa kumbe uliuzwa nyuma ukagogwaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Sasa hio sio kuuzwa 😂hio umeenda kujiuzaaa🤣. Kwaivyo Ata mie nanunua ukijipendekeza njoo basi nikupe hela
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
jamani tumepoteza mtu muhimu sana mzalendo wa kweli
Maguful baba etu jaman...maswali yote unayajibu ww kishujaa...M7 anakutegea. Rais wang umeenda na nguvu akili na ujasiri wako, haki kumpata tena Rais kama ww cjui 💔
if we could hve presidents like magufuli in africa , poverty could be something of the past
Daaaaa😭😭😭yani ndio imeenda baba nimemiss hotuba zako jamani kaziya Mungu aina makosa
Cyo aina ni haina
😭😭😭 we still mis u daddy! R.I.P OUR LOVELY PRESIDENT OF TANZANIA AND AFRICA IN GENERAL John Joseph Magufuri.
Missing him Big time death has robbed us of a most needed leader who made us boost as eastafricans and africans as a whole!
Ni kweli lakini kila mtu avae viatu vilevile n a achape kazi tufike kule Ababa alivyo aim
@@mwendapoleee Many Magufulis would rise cz of his passing..otherwise we CANNOT over rely on JUST ONE PERSON
@@mwendapoleee iy3g
@@florencekimotho887 2lqw o2pr
Alikuwa ni Rais mzalendo aliyelipenda taifa lake baba pumzika kwa amani
Daah!! Ntakukumbka mzee wetu, umetuacha salama na majonzi pia,!! R. I. P Baba!! Kazi ya Mola hAina makosa
speak ENGLISH AT YOUR OWN RISK
i just love how M7 spks..so cool...rest in peace my President John Magufuli
Alikuwa very genius
Hichi kichwa ni hatari sanaa
Kingereza sio swala la msingi. Cha maana kwetu ni kwamba rais wetu anafanya kile anachotakiwa kukifanya kwenye nchi yetu. Safi sana rais.
Hongera baba japo umetangulia lakin twakukumbuka kwa kukitumia kiswahil ipasavyo leo tarehe 11/4/2021 wapo uko uganda atuelewi wanaongea nin tunataka uzalendo wa africa wap tumefungwa???
R.I.P MAGUFULI,we steal follow your positive dreams 🇹🇿🇺🇬👍
Kuna watu wajinga waakili unadharau President wako sababu anajibu kiswahili kwani akijibu English Ni wananchi wangapi wataelewa wadogo sana na wengi hawataelewa kuongea kingereza c kitu yakuleta maendeleo kuweni na upana Wa akili jamani
Aisee siamin kama hyu Mwamba wa Africa ametuacha
Ndo hivo ndugu yang kama muujiza
Kingereza sio akiriwewe kiramtu anarugayake ya taifa ,kingereza atamachizi wanaongea ndo wanaakiri achenihizo mtanzania tutaongea kiswahiri
Sasa mbona wewe hata hujui kukiandika hicho kiswahili chako...!.
Magufuli jameni duh is a brilliant president
Rais wetu jamaaaani Kama vile upo hai Daaah. Huku Mambo yapo tofauti kabisa daaah
Rest in Power Your Excellent Magufuli.
Rest in peace maguful
Fearless Leader yaani tutakukumbuka daima milele bado moyo unauma. Naona hapa ulikua na kaka yako, naona heshima na upendo kati yenu niliipenda sana combination. EA
Ikikjjkkikiijjkkiiiikiiiiiiiiiiiiiiiiiiikiikiikkjjjjjjjjjjjjkkikiijjjjjj(ikkjjjjjjjjjjji>jjjjjjiiiijjj>iijjjioijiiiiiiiiiiiiiiiiiii>jj>imokjjjjjjjiiiiiii>iiioiiiiiiiiiikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii>iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii>iiiiiiiiiiiiiiii>iiiiiiiiiii>i>iiiiiiiii>iiiiiiiiiiiiiiii>iiiii>iiii>iii>>iiiiiiiiiiii ijiikijjjjjjjjjjjjjjjjjiiiii>>iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiikiiiiiiiioiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiikiiiikiki>ikiiiiiioiiiii>iiiiiiki>i>iiiiikiiiikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiijikiiiiiiiiiiiiiiiiiiijkiiikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiikiiiiiiiiiiiiiiiiiioiiiiioiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiioiiiiiikiiiiiiiiiiikkkiiiiiiikij>iikiiijikikiiiiiiiiiiiiiiiikiikkkj>ii>kiiijiiiiiiiiiiiiiiiiii>iiiiiiiiiiiikiiiiiiiiiiikiiikiiijkikkikiiiiiiiikiijjikkiiiiiiiiiikjiiiikikijiiiiikiiiiiikkiikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiikikiijkikkiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiijiijkiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiijkiijjiiiikiikijikkiiiiiijikkiiiiiiiiikikkii>iiijkiiij>iiiiiiiiiiijj=jii>i=iiii>iiiii(iiiiiii>ijjiiikijkiiiiiiiikjkijkiikkiiiiiiijiiijiijkijiiikii>iiii>jijjk>iii>i>ikiii>>jij>i>ikiji>iiii>iiiikijiiiiiikiii=jjjkiikiiiiiikijikiiiiiiiiiiiiikikiikiiiiiiiikjijkkikiiiijjiiiiiiikiikiikiiiiikkjiiiii=>>jjijkii>jj(=jiiijikjijjj==>kjjjjkjjkjjikk>(jkjj=iiiikijjjjjiki>jjjkjjjkjk=jj(>jjj=kijjjj=jjji==ji>jjkii>kj>jj>i=iikjjiikkij=j==jjjjjjjkki==k>j=juu j7ii=i=kkjjjj>kiikk=jjkjj>j>=i=j=iiijjj>iij=>ijjjjjii>kjiiijj=j>jjji=i> i in mi i>iijjkii>>(jjjj
Other African presidents especiallyneedvto listen to this program on how Hon Magufuli managed Tanzania to borrow a leave on how they can turn around the evils that have made their countries a laughing stock. Rest in peace my dear lovely president. You were visionary and brave beyond measure.
Magufuli acha unafiki unapigana na rushwa wapi ww ikiwa MTU anaetuhumiwa kwa rushwa na ushahidi wa wazi upo lakini bado umempandisha cheo ?!! Acha kudanganya RAIA.
Thadei Peter mtu yeyote wa CHADEMA hawezi kumsapoti Rais MAGUFULI hataangepewa kila kitu, Rakini jibu linabaki pale pale kuwa Rais ni MAGUFULI tu
yupi huyo ambae yupo nje na anashtakiwa kwa rushwa?
Hujui unachoongea
Nice my Presidents
Jamani eeh,kizungu tuwaachie wazungu wenyewe!!! yaani mbona aibu. Akili za mida ya ukoloni!
How do you communicate with the outside world if you claim English is a foreign language
@@ezekielmburu3418 why should we communicate with them when they dont know our language if they want to communicate with us also they must learn swahili
@@harrisonsamwel3112 you have a point there
daaah unajib maswali hadi raahaaa daaah jpm weeeeeeeee
Miss you king YAHUAH be with you
Makufuri washauri walimupoteza ikafikiya akaanza Vita vya democrasia mupaka mauaji yakatokea mengi Sana!!!
Rest in peace our heroe 🇹🇿🇺🇬❤
Answered in English don't bring blabla here,STP.
vema Sana
ni wapi mh rais amekosea kujibu tatizo watanzania tumekalia vitu vya kipuuzi tunaacha vitu vya maana tubadilike watanzania ndo maana hatusongi mbele
Very shame to all African!
Fear your Almighty God political stable while people are being shoot day and openly
Daniel Phares siasa zinatutafuna Sana
safi
Madikteta wawili, uchwara, na kamili😁
WOTE WEZI MAJAMBAZI WAHALIFU WAUWAJI WAHUNI MWENYEZI MUNGU ATAWAONESHA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 MOTO UNAWASUBIRI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 MOTONI NYUMBA ZAO 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂 IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN. MOTO UNAWASUBIRI MOTONI NYUMBA ZAO 🔥🔥🔥🔥🔥
RIP Hon Jonh pombe Magufuli 🥲🥲🥲
Mungu akuweke ktk jannat yake ambayo ni pepo ya juu
Duuuh
Daa kifo c mchezo magufuli jamani
Baba tunakulilia sana baba umekweda mungu akulaze mahalapema peponi 🤲
Rest in peace simba wetu
Daaah haupo baba😭😭
Africa n yetu sote tuwee wazarendoo
heee ndio maaana hata neno wazalendo ni tabu kwako hii ni aina ya watu tulionanao haaaa
Mr Museven, Uganda is not peaceful. You have oppressed and suppressed the people. Please learn from Magufulu and retire from presidency. Give Uganda freedom to choose new president but I have admired your honesty in this interview.
Wafrica hawajuwi ebufikilieni hivi serikali mlizo tengenezewa na wazungu hamjuwi mko kwenye utawala wakiloma!!!!
very good Mr. President Magufuli
NGAPI ZAKO
The late Magufuli was a hands on president. A real people's person. He felt their pulse.
Suhulu fuata nyayo!
Magufuli 20 yes in government was like hundred years. He learnt and then executed but correcting the evils that he realised fail governments.
Iliisha tuonyesha jinsiyakuwa kiongozi nakuwa uzalendo wa kweli hiyo itaendelea kwenye nchi hii!!
tumempoteza kiongozi mzalendo pumzika kwa amani 🙏🙏
pombe ali mu ignore huyu mzungu live sio kwamba kashindwa ku uliza bcz ni swali lisilo kua na msingi wowote. kumbuka hata mtoto wako akiwa mwuzi wakupindukia huwezi kuishi. hawa human rights commission si ni wale wale wanao taka kutulazimisha homosexuality
2
Rest in Peace my President Magufuli 💔🇹🇿
We miss u papa Huko uliko tambua ambapo tupo kwasasa si pazuri tuko pabaya
Kiukweli tulifanikiwa kupigana nayo
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR (. ALLAH THE GREAT).
Real president
kununua madiwan halafu unapandishwa cheo nayo Ni njia ya kupambana na rushwa magu piga kazi baba!
unafiki uwo wewe
Mwenzenu nahisi kumkosea Mungu maana mpka leo bado naumia
TUTA KUKUMBUKA DAIMA MUNGU AKULAZE MAHALI PEMA UMETUACHA IMARA SANA NA MAMA SAMIA 😭😭😭💔💔💔
Tutakukumbuka daima baba yetu kipenzi Jpm kwa kweli ulipambana na rushwa
Gud san
Raisi huyu alikua Dhahabu mungu amlaze mahala pema
mzee tutakukumbuka sana rip
Daaaaah jpm utakumbukwaa daima magufuri R.I.p
Nimejifunza kitu toka kwa magufuli na museven, magufuli yupo kifua mbele kama kapigwa ngumi ya mgongo, very confiedent kusema nimefanya hiki, nimefanya hiki, nimefanya hiki, ila museven nikama anatatembelea kivuli cha magufuli. ukipata nafasi yyte hebu timiza wajibu wako ili uwe kifua mbele kama magufuli.
Tunaumia sanaaaa bora musitoe tena hutuba zake
Ila English nayo lugha ya wazungu
Dah,nilikuwa naitafuta hii komenti aisee,asante sana - ni aibu kubwa kweli.Mzungu anakuja kwako alafu anakuongelesha kwa lugha yao - kwanini lakini sisi waafrika hatufikirii? Hawa waandishi wa habari wazungu wote wanatakiwa wajifunze lugha ya nchi ambayo watakuwa wanafanya kazi hapa Afrika. We nenda kwao halafu waulize maswali kwa lugha yako uone kasheshe. Afrika tunatakiwa tuachana na hizi akili za enzi ya ukoloni khaaa!!!!!
+Jay Price Upo sahihi my braza bt ENGLISH lg ni international lg that's why UN conference the only lg used is English
duh, UN the official languages used are seven. English, Arabic, French, Spanish, Chinese, Russian but also other presidents use their languages at the UN plus the security council. At the AU kiarabu, Swahili, English, kifaransa, ndo lugha zenye kutumika.
La🇹🇿 kwakweri turikuwa hatuna viongozi kwa kweri magu mkombozi wetu wanyonge tutalia milele
Shukuru pia mama samia karudisha vifurushi vya intarnet
museveni is like duuude ...chiillll ...youre makin me look bad...lol
May his soul rest in peace
naona hii lugha ya malkia siieew
Uwepo wa Magufuli ulikuwa furaha yangu sana