KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT.JOHN MAGUFULI ALIPOZUNGUMZA NA VIONGOZI WAKUU WASTAAFU
HTML-код
- Опубликовано: 3 июл 2018
- Hii ni mara ya kwanza kwa Mhe. Rais kukutana na viongozi hao wakuu wastaafu na kupokea ushauri na maoni yao juu ya uendeshaji wa Serikali na mustakabali wa Taifa.
Katika mkutano huo viongozi hao wamemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kuwaita kwa lengo la kusikiliza ushauri na maoni yao, na wamempongeza kwa kazi kubwa iliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kipindi kifupi cha miaka miwili na nusu tangu ilipoingia madarakani.
Viongozi hao wamemshauri Mhe. Rais Magufuli kuimarisha na kujenga taasisi zinazosimamia uendelevu wa kazi nzuri zinazoendelea kufanywa na Serikali ya Awamu ya Tano zikiwemo utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo kama vile ujenzi wa reli, mapambano dhidi ya rushwa, kuimarisha nidhamu kazini, kutilia mkazo watu kuchapa kazi, kuongeza ukusanyaji wa mapato ya Serikali na utoaji wa huduma za jamii.
Viongozi hao wamesisitiza umuhimu wa kudumisha amani kwa kuhakikisha haki inatendeka, kutathmini matatizo ya wananchi na kubuni mbinu za kuyatatua, kusimamia kwa ukaribu shughuli za kilimo na ufugaji ambazo zinaajiri Watanzania wengi na ni muhimu kwa maendeleo ya viwanda na kuboresha kiwango cha elimu.
Kwa upande wake Mhe. Rais Magufuli amewashukuru viongozi hao kwa maoni na ushauri waliompa na amewahakikishia kuwa ataufanyia kazi.
Mhe. Rais Magufuli amewaeleza viongozi hao juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali hivi sasa ikiwemo kuongeza ukusanyaji wa mapato ya Serikali ambao umeongezeka kutoka Shilingi Bilioni 800 hadi kufikia Shilingi Trilioni 1.3 kwa mwezi, ujenzi wa reli ya kisasa kuanzia Dar es Salaam hadi Dodoma utakaogharimu Shilingi Trilioni 7.26, kujenga mradi wa umeme katika mto Rufiji (Stieglers’ Gorge) utakaozalisha Megawati 2,100 za umeme, kutoa elimu ya msingi na sekondari bila malipo na kuongeza mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu.
Mhe. Rais Magufuli amewahakikishia kuwa Serikali ya Awamu ya Tano inaendelea vizuri na kwamba itaendelea kutatua changamoto ambazo bado zipo kwa juhudi kubwa ili Tanzania iwe nchi nzuri kwa Watanzania wote.
Ni heshima kubwa sana aliyoitoa Rais JPJ Magufuli kwa kutambua uwepo wa hao waliomtangulia katika kuijenga Nchi hii.Mungu Ibariki Tanzania,Mungu wabariki Viongozi wetu wote kila mmoja na sehemu yake ya Utendaji.Amina.
Wooooow!!! That was so deep and amazing at same time. Magufuli is probably the best President in the Continent right now and the history will prove that. Tanzania Kwanza.
Mungu aiweke roho yake pema.
Well done wazee wetu, Mungu awabariki sana
Ninafurahi sana kwa hili mheshimiwa Rais. Hongera.
Pia pongezi kwa wastaafu kukubali kutete na rais.
M,mungu awake roho yake peponi ameen
I always appreciate my President for the great job
Nimefurahi sana kuwaona viongozi wetu wakiwa pamoja 🙏🙏🙏god bless my Tanzania
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu
Hongera sana Mh. Rais wetu mpendwa Mungu aendelee kukulinda kukupigania.... Si kazi nyepesi MTU lelemama asingeiweza.
Hongera sana Mh. Rais wangu kwa uamuzi wako wa kuwakutanisha wastaafu wa ngazi za juu kabisa katika nchi yetu na kuchota baraka zao.
Ninakuamini katika kusikiliza na kutenda, kwa jitihada zako Tanzania ya mfano inakuja kwa kasi ya ajabu, ni lazima sasa kila mtu atambue ama afahamu kuwa kuna SERIKALI, na ni lazima iheshimiwe.
Umeweza kwa muda mfupi kulirudisha Taifa la uchapa kazi, japo bado wachache hawajaweza kukuelewa, WATAKUELEWA TU.
TANZANIA TUTAIJENGA WENYEWE, AMANI, UPENDO NA UTULIVU TULIONAO TUTALINDA KWA GHARAMA ZOZOTE ZILE.
VIVA JPM,
ASANTE MAWASILIANO IKULU.
our greatest president in Africa ubarikiwe
This is absolutely beautiful to see. Precedence is the way to go..Mungu Ibariki Afrika Mungu Tubariki watanzania
Mhe. Benjamini kaongea mstari mnyoofu.......
Hongera sana Mheshimiwa Rais Magufuli
Umeshinda Magufuli good way ahead. Well done.
mungu akujaalie maisha marefu kiongozi wetu kwasbbu yeye ndie aliekuchagua mtetezi wawanyonge.
Safi sana raisi wetu Mungu azidi kukuongoza
Mzalendo wa kweli hongera sana Jpm haijawahi kutokea wewe ndio wa kwanza
Nakupenda buree rais wangu.
And that's all God bless the retired and Our currently President and God bless Tanzania.
Fulfill #GreatTanzanianDreams
Kuna mzee kaongea kitu cha ajabu cjui alitawalaje hii nchi
Mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoz raisi wetu
Better be so, its bitter but sweet!?
Ziundwe taasisi zitakazosimamia serikali ili tusije rudi nyuma tena ushauri si wakuacha huu
Mungu akuongezee hekima na busara zaidi amen
Tunaiomba ikulu ikitoa habari wakalimani wawepo kutafsiri kwa lugha ya alama.
Viziwi wa tanzania nao pia wanadai haki yao kupata habari bila kubanwa uhuru wao wa kupata habari.
Yahya al sawafi.
DEAF PERSON.
chake chake
Pemba
Ahsante warioba na malecela
Great indeed Mr President...nimekuelewa sana
Mzee mwinnyi umeongea vizuri
Good Mr president j.p.m, sisi wanyonge tupo na tunakutazama, tukisubiri useme kitu ktk hizi taasisi za mifuko ya bima,pesa kutoka isiwe mpaka MTU afikishe miaka amsini na za zaidi,bora kuwe na utaratibu kwamba MTU akichukua pesa zake, aende akafanye masuara ya msingi.kuepusha utegemezi baadae.
Indeed it is very clear..
The Making of Tanzania to be Great Again
Mstarini: (Wimbo wa Taifa - kwa sauti Kuu) "...Heekima, Umooojaaa, na Amaaaniiii: hiiiziii ni ngao zeetuuu,..."
Darasani: (Salaam - kwa sauti Kuu) "Ili tuendelee twahitaji vitu vinne: Watu, Ardhi, Siasa Safi, na Uongozi Bora. SHIKAAAMOOO MWAAALIM."
IS GOOD MAN
Ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda kumuipushia kira yario mabaya na zidi kuimarisha afya yake raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Athuman Omary Amen.
Mungu asikie kuomba kwetu
Isaac Valema. AMEN, AMEN, AMEN.
Ninafikiri sana namna ya kuwashawishi watanzania wote wakubaliane nami kuuondoa utaratibu wa "Periodic Election" kwa kiti cha Urais, ili Rais DKT JOHN POMBE MAGUGULI ubaki madarakani mpaka utakapoona kuwa kuna haja ya kustaafu mwenyewe; maana ktk Afrika na duniani kote sjaona Rais Mzalendo kama wewe. Tanzania ilikokuwa imefikishwa ni kubaya hakuna mfano, lakini leo ni miaka miwili na nusu tu ya utawala wako mambo yamegeuka na kuwa mazuri kiasi hiki. Nakuombea kwa Mungu akujalie Afya njema, ili utufikishe salama ulipopalenga.
Fantastic speech. Kweli ni mtu wa Mungu. Hats off for my President.
Nimerud kusikiliza hekima za Muheshimiwa Dr Benjamin william mkapa may his soul rest in peace
Hakika ni Faraja kubwa sana kuwaona wazazi Viongozi waliotutowa huko tulikotoka mpaka hapa tulipo wapo salama na wanayo Amani mimi binafsi hili ni tukio kubwa sanakabisa maana Dunia ya sasa hakuna Nchi ya mfano huu ulimwengumzima. watanzania wamefarijika sana na mtindo huu Bora, Tanzania JUU!!! Juu!!! Juu!!! JuuZaidi!!!!!!!
safi
That is great things our president did it should be a continously
Wataona tu hawana nafasi nchi hii
Sasa naino tanzania inavuka maana imepata mtu wa kuivusha, miaka 15 ijayo wakenya watakua nyuma yetu
Kikwete vp mbona ajatimba hapo.
Ama kweli MUNGU awafungue macho watu yawezakuwa hawaoni yale anayotenda mh. Magufuli hajawahi tokea Rais kama huyu :Labda kama msemo usemao watakuwa ma macho hawataona ,masikio wanayo hawasikii, akili wanayo hawaitumii - hivyo Mungu awasaidie watanzania wanaobeza
JAMAA HAJAACHATU ZIARA?
agrikola leo Anapenda sana ziara jamaa yetu
Aaaa hajamumunya mzee mkapa
Mzee mbele tuu hakuna kurudi nyuma hicho kiti watakiona hivyohivyo tuu