YAMETIMIA MAYELE AOMBA KUONDOKA PYRAMID KUTUA SIMBA? | HUKU CHAMA KULE MAYELE MAGOLI KAMA YOTEE..
HTML-код
- Опубликовано: 28 фев 2024
- tpmazembe #timuyawananchi
#tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii
#simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumo
Nukuu - Спорт
Kalibu simba mayele
Lazima akiwashe tu tunamkaribisha sana msimbazi
Karibu Simba Fiston Kalala Mayele, utafanya vizuri sana, utarudi kwenye peak.
Hatar sana inatakiwa kutetema kuamie msimbazi
Hakua na sababu ya kututusi maana tulimpenda kwa dhati . Hawezi kufanikiwa hapa Tanzania mpaka atuombe radhi.
Mayere timu yake ni yanga tu yenye viongozi wenye vision kubwa uwongozi mzuri wanajuwa timu inakwenda wapi sasa simba viongozi hovyo timu hovyo labda kidgo azam kudgo lakini simba kenda kujimaliza kbsa.kule
Labda kwa mipango ya 2024 na 2025 kwa mwaka huu haiwezekani
Na nyinyi wachezaji mnaoondoka Tanzania kwa nini mnapenda kusajiliwa vilabu vya kaskazini huko.
Kwani akiomba kuondoka lazima aende Simba
taarifa hizo sio za kweli bado hazipo official
Hizi ni fununu si kweli
Viongoz wa Simba tuleteeni huyu mwamba
Kwanini uzito mkubwa mnauweka kwa Mayere kutofanikiwa akija Simba? Akija kuuwasha mtasemaje? Wekeni akiba ya maneno msije kuaibika. Maneno yenu haya hayafutiki.
Hana cha ku gain tena 😂
taarifa hizo hazipo official
Huko amefeli kwa kuwa wachezaji wa Pyramids walikuwa hawachezi kumzungikia yeye...halafu nje ya Uwanja mashabiki Misr hwashobokei wachezaji ..hasa foreigners ..kama ilivyo hapa kwetu. Halafu Pyramids sio timu yenye washabiki wengi. 8:36
Ni kwa sababu kila anapotokea mchezaji wa Simba anaanza kufunga magori wanamtumia majini 😂😂😂😂 mfano Moses Phiri, na Baleke ndicho wanachojivunia
Huyo mwamba akija lunyasi wapinzani kwisha
Kaaaah 😂😂😂