YAMETIMIA MAYELE AOMBA KUONDOKA PYRAMID KUTUA SIMBA? | HUKU CHAMA KULE MAYELE MAGOLI KAMA YOTEE..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 фев 2024
  • tpmazembe #timuyawananchi
    #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii
    #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumo
    Nukuu
  • СпортСпорт

Комментарии • 19

  • @BernaFortunatus-sl9ig
    @BernaFortunatus-sl9ig 2 месяца назад +1

    Kalibu simba mayele

  • @ShabanIssa-ut4pk
    @ShabanIssa-ut4pk 16 дней назад

    Lazima akiwashe tu tunamkaribisha sana msimbazi

  • @geofreykazaula7940
    @geofreykazaula7940 4 месяца назад

    Karibu Simba Fiston Kalala Mayele, utafanya vizuri sana, utarudi kwenye peak.

  • @helenwailly1558
    @helenwailly1558 4 месяца назад

    Hakua na sababu ya kututusi maana tulimpenda kwa dhati . Hawezi kufanikiwa hapa Tanzania mpaka atuombe radhi.

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 4 месяца назад

    Mayere timu yake ni yanga tu yenye viongozi wenye vision kubwa uwongozi mzuri wanajuwa timu inakwenda wapi sasa simba viongozi hovyo timu hovyo labda kidgo azam kudgo lakini simba kenda kujimaliza kbsa.kule

  • @ezekielmlay8219
    @ezekielmlay8219 4 месяца назад

    Labda kwa mipango ya 2024 na 2025 kwa mwaka huu haiwezekani

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo 4 месяца назад

    Na nyinyi wachezaji mnaoondoka Tanzania kwa nini mnapenda kusajiliwa vilabu vya kaskazini huko.

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 4 месяца назад

    Kwani akiomba kuondoka lazima aende Simba

  • @user-df7qh4yv9z
    @user-df7qh4yv9z 4 месяца назад

    taarifa hizo sio za kweli bado hazipo official

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 4 месяца назад

    Hizi ni fununu si kweli

  • @shabanimwinyikhery1174
    @shabanimwinyikhery1174 4 месяца назад

    Viongoz wa Simba tuleteeni huyu mwamba

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 4 месяца назад +1

    Kwanini uzito mkubwa mnauweka kwa Mayere kutofanikiwa akija Simba? Akija kuuwasha mtasemaje? Wekeni akiba ya maneno msije kuaibika. Maneno yenu haya hayafutiki.

    • @user-cv4jb1bm6i
      @user-cv4jb1bm6i 4 месяца назад

      Hana cha ku gain tena 😂

    • @user-df7qh4yv9z
      @user-df7qh4yv9z 4 месяца назад

      taarifa hizo hazipo official

    • @kassimmwawado7002
      @kassimmwawado7002 4 месяца назад

      Huko amefeli kwa kuwa wachezaji wa Pyramids walikuwa hawachezi kumzungikia yeye...halafu nje ya Uwanja mashabiki Misr hwashobokei wachezaji ..hasa foreigners ..kama ilivyo hapa kwetu. Halafu Pyramids sio timu yenye washabiki wengi. 8:36

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 4 месяца назад

      Ni kwa sababu kila anapotokea mchezaji wa Simba anaanza kufunga magori wanamtumia majini 😂😂😂😂 mfano Moses Phiri, na Baleke ndicho wanachojivunia

  • @user-vn4xx8ue6i
    @user-vn4xx8ue6i 4 месяца назад

    Huyo mwamba akija lunyasi wapinzani kwisha