Mayele ni mchezaji wa timu zote. Siyo lazima Yanga tu. Shangaa unamkaribisha Tz anatokea mlango mwingine wa Msimbazi. Utamchukia?? Mwacheni dogo afanye kazi yake vizuri
Sisi wanayanga na Tanzania kwa ujumla tunakuombea mafanikio na binafsi mimi ingawa sio mwanamichezo najifunza vingi toka kwako...una nidhamu na malengo thabiti kwa vitendo na maneno... keep it up bro
Kumbe mwamba anapiga hesabu ya mbali sio ya karibu kama Fei toto 😂😂 Yaani ameiona mamelodi ni team waweza enda lkn kupata namba ni mtihani kidogo,pia hawana Cha kujifunza kwakuwa ni team kubwa. Kaona piramidy ni team kubwa kifedha lkn kimafanikio anaweza kupata ubingwa akiwepo yeye na akawa ktk historia ya team hiyo na hawezi kusahaulika kama ilivyo kwa yanga hawezi kusahaulika kwa kucheza finally ya shirikisho asee king mayele una akili kubwa sana
Braza tunaomba urud yanga jaman Bado tunakupenda!!cku Hz hatuna stayle yoyote ya kuxhangilia ila mungu akubarik utakuwa mkubwa tu af pia kaka jua kwamba yanga wamemroga feisali baada ya kuondoka kwa kubur lakn ww umeondoka vzur ndo mana Bado unatrend!
Mayele baba sisi wana yanga hakika tumekumic sana na pia tumemic kutetema baba tunakuomba urrudi nyumbani baba kwenye ufalme wako maana huku young africans kiti chako cha ifalme bado kipo sana tena sana baba rudi baba yanga tumemic kutetema baba
Fiston kalala Mayele, mzee wa kutetema. Hongera sn broo ni kweli hauchez rough, Mungu akusaidie sn kwenye maisha yko ya mpira
Ndugu umefanya uamuzi wa hekima Sana, not just money lakini umereason vya kutosha, keep the spirit up!
You are still in wananchi hearts, God bless you our brother Fiston K M
King mayele bado tunakukumbuka sana insha Allah allah akufanyie wepes kweny kazi yako
MAYELE COME BACK TO YOUNG AFRICAAAA WE STILL NEED YOU
Mayele wetu ss wanayanga tunakuombea dua sana MUNGU akulinde na uendelee na kipaji chako🙏
Mayele ni mchezaji wa timu zote. Siyo lazima Yanga tu. Shangaa unamkaribisha Tz anatokea mlango mwingine wa Msimbazi. Utamchukia?? Mwacheni dogo afanye kazi yake vizuri
Mayele hongera sana Mungu azidi kukupa uwezo
😭 ALWAYS IN OUR 💛💚 KEEP IT UP OUR BROTHER
Mayele wewe ni mtu na nusu. Yanga tunakupenda. God bless you.
Wakwenu au wa pyramids. Mna manatizo sana nyie nyuma mwiko😅😅
Sisi wanayanga na Tanzania kwa ujumla tunakuombea mafanikio na binafsi mimi ingawa sio mwanamichezo najifunza vingi toka kwako...una nidhamu na malengo thabiti kwa vitendo na maneno... keep it up bro
The KING Mayele💚💛💚💛💚💚💚Wananchiiiiiii ganga like hapa kama unamkubali.
Nami ni ganga like mzey kama ulivo sema
@@reiphan9894😅😅😅😅 et na mm ganga like 😅😅😅😅
🎉😮
0
King mayele unajua sana kuieleza
Jitahidi sana kumuomba Mungu kaka, utafanikiwa tu, Wala usivunjike moyo Mayeleeeee!!!
Umebet vzr mayele..daah sisi simba tunajuta kwann tulimpeleka miquisone Al ahly..ww umejitahdi kuangalia mambo mengi sana big up bro..
namkubari mwamba japo mimi simba lakn the king uwakika
mungu akusaidie ktk maisha yako
Mungu akubariki , hutafunga sana
Hongera sana MAYELE TULIFURAHI SANA KUKUONA MUBASHARA
Mungu akubarik sana kaka bado tunakupenda yanga ukaribieee tena zaid na zaid tunakuombea sana
M/Mungu Akuwezeshe Amiiin.
Fiston kalala Mayele Dieu est plus grand que Dieu tabenusse
Mayeleeee tunakumis sanaaa nnjoo tuteme bwanaa huku weshakuwa na jeuri huku
The pridator mayele the king of judgle
Nimependa sana kwamba hujawahi kupata kadi ya njano na hautamani kupata kadi. Huchezi rafu na humfati refa kulalamika.
Shima yako sana.
😂😂😂😂 et hilo alikwepek n sehemu ya mpira hata akpata n sawa tu maana hakuna atakayeshangaa
Mungu akubaliki😊
uko sawa mungu akupambanie
Safii sanaa kwa akili kubwa
Mayele, una heshima sana
Congo boy unakichapa sana
Very humble
Hongera sana hizo ni baraka kutoka kwa wananchi tulikupenda na bado TUnaendelea kukupenda. 💚💛🧡🙏
Kumbe mwamba anapiga hesabu ya mbali sio ya karibu kama Fei toto 😂😂
Yaani ameiona mamelodi ni team waweza enda lkn kupata namba ni mtihani kidogo,pia hawana Cha kujifunza kwakuwa ni team kubwa.
Kaona piramidy ni team kubwa kifedha lkn kimafanikio anaweza kupata ubingwa akiwepo yeye na akawa ktk historia ya team hiyo na hawezi kusahaulika kama ilivyo kwa yanga hawezi kusahaulika kwa kucheza finally ya shirikisho asee king mayele una akili kubwa sana
ALWAYS WE ARE LOVE YOU AND MISS YOU. WELCOME AGAIN. WANANCHIIIIIIIIIIIIIIII.
❤❤my G for life
Hongera mayele kwakutokupata kadiyanjano na hongerasana kwa hekma na busara nakwakujitahidi mungu akubariki
Ni mwamba kweli kweli💪👊🙏
❤
Dada anahoji vizr cyo mizengwe
The king FESTON mayele
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 we ni balaa man
Endelea kupambana bro ukipenda rudi bado heshima yako ipo
Ungenda al ahaly wangekuuwa kiwango usinge cheza maisha
I'm sure you will still be a king Mr.mayele
huyo mtoto mimi ndiye ananikosha kumsikia na kumuona plz tag her
Mayele mtaje huyo kiongozi turuke nae😂😂😂mwamba ana nidhamu sana kuna yule mshambuliaji wa upande wa pili ana kadi nyingi za njano kuliko kiungo😂😂😂🙌🙌
Bado tunakuhitaji wananchi , we miss u
Shida hamna hela
❤❤❤❤ mungu akujalie na kipaji chako
Mwananchi huyooooo
Karibu unyamani
Huwa unakuwa mtulivu Sana asee kwenye interview mayere the king
Wetu huyoooooo mumemuona💚💛💚💛💚💛
Mayele nimchezaji mwenye akili sana
Mungu aendelee kukupigania
Mayeleeeeeee
Mtangazaji katuangusha sana kama hajajipanga na maswali yake badala APIGE exclusive interview la hatar anajiumauma tu
Safi interview nzuri
❤❤❤❤
Unauwezo wa kuchezea izo tim
Mayele number one ☝️ king 👑
Feston oyeeeeeeeeee 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💚💛💚💚💚💚💚💚💚💚👏 karibu 🤝
Wana Yanga Tutakukumbuka zaid ulchofanya Kwenye Ngao za Jamii 2 mfululizo superb performance
Braza tunaomba urud yanga jaman Bado tunakupenda!!cku Hz hatuna stayle yoyote ya kuxhangilia ila mungu akubarik utakuwa mkubwa tu af pia kaka jua kwamba yanga wamemroga feisali baada ya kuondoka kwa kubur lakn ww umeondoka vzur ndo mana Bado unatrend!
❤❤❤❤
8:58
Mi wa simba rakini mayere anaakil sana
Ligi ya kwanza n morroco
Mayele yupo kimkakati, safi sana.
Mama ali tetema
❤❤❤❤❤❤
Acha uwongo wew unakataa al ahal unaenda timu isiyo na mashabiki
5:53 Point kubwa ya interview iko hapa big brain capacity kwako
💚💛💚💚💛
Aaaaaah!!!! FISTO KALALA weeeee!!!! hongera sana
We jamaa ni mtu sana
We missed you
All the best brother mayele❤❤❤❤
mwaba king
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤
Safi sana King mayele
Fatilia Al ahali utupe mbinu zao sisi yanga
King mayeleee
Yani wewe mayele kweli nimekukubali hunatima japomimshabiki wasimba napenda mafanikio yako
Lakin Mayele umesahau siku ya Ngao Ya Jamii tarehe 13/08/2022. Furaha ilizidi mno!
Duh nataman kulia aiseeee how I love you my best player
Yes! Mayeleee! Faru dume la kutetema
Jembe letu Hilo💚💚💚💛💛💛💛💛
Ongela kwakuchaguwa timu vinginevyo ungefeli akili nyingi vema
Ndio maana tunakupenda bado wananyanga
Huyu mnafiki sana anatamani kurudi Tz halafi anasema anajuta kucheza Tz
Dah ongera sn kwa kugundua kwamba ligi ya tanzania n ya kupanga matokeo
Bibie mtangazaji unapongea unavuta sana pumzi jitaidi ufanye mazoezi ya pumzi
Labda pua zina shida...
Ah tumekumiss Sana jamn na style yak ya tetm
Tumekusi sana tunakutakia mafAnikio mema mungu akusaidie
Tanga tunakushukuru sana wewe utakuwa mtu mkubwa siku za usoni
King@-♥︎♥︎♥︎♥︎♥︎♥︎√
Mayere❤❤
💚💚💚💚
Rudu we. Kama unataka kula mahindi baki
Mayele baba sisi wana yanga hakika tumekumic sana na pia tumemic kutetema baba tunakuomba urrudi nyumbani baba kwenye ufalme wako maana huku young africans kiti chako cha ifalme bado kipo sana tena sana baba rudi baba yanga tumemic kutetema baba
Ndio❤
Daah bint ulitoka