EXCLUSIVE: MAYELE ALIVYOZIKATAA AL AHLY & MAMELODI, "SIMBA HAWAKUTUMA OFA"| AGUSIA MAISHA YAKE MAPYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2023
  • СпортСпорт

Комментарии • 189

  • @kwejimisobi4491
    @kwejimisobi4491 8 месяцев назад +19

    Fiston kalala Mayele, mzee wa kutetema. Hongera sn broo ni kweli hauchez rough, Mungu akusaidie sn kwenye maisha yko ya mpira

  • @lossarungira965
    @lossarungira965 8 месяцев назад +17

    Ndugu umefanya uamuzi wa hekima Sana, not just money lakini umereason vya kutosha, keep the spirit up!

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 8 месяцев назад +18

    You are still in wananchi hearts, God bless you our brother Fiston K M

  • @tumaramadhani3381
    @tumaramadhani3381 8 месяцев назад +10

    King mayele bado tunakukumbuka sana insha Allah allah akufanyie wepes kweny kazi yako

  • @LeticiaRichard-zm7co
    @LeticiaRichard-zm7co 8 месяцев назад +8

    MAYELE COME BACK TO YOUNG AFRICAAAA WE STILL NEED YOU

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 8 месяцев назад +10

    Mayele wetu ss wanayanga tunakuombea dua sana MUNGU akulinde na uendelee na kipaji chako🙏

    • @sethjohnson7266
      @sethjohnson7266 8 месяцев назад

      Mayele ni mchezaji wa timu zote. Siyo lazima Yanga tu. Shangaa unamkaribisha Tz anatokea mlango mwingine wa Msimbazi. Utamchukia?? Mwacheni dogo afanye kazi yake vizuri

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 8 месяцев назад +9

    Mayele hongera sana Mungu azidi kukupa uwezo

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 8 месяцев назад +9

    😭 ALWAYS IN OUR 💛💚 KEEP IT UP OUR BROTHER

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 8 месяцев назад +27

    Mayele wewe ni mtu na nusu. Yanga tunakupenda. God bless you.

    • @danielchamoto9376
      @danielchamoto9376 8 месяцев назад +2

      Wakwenu au wa pyramids. Mna manatizo sana nyie nyuma mwiko😅😅

  • @charlesmanga7362
    @charlesmanga7362 8 месяцев назад +7

    Sisi wanayanga na Tanzania kwa ujumla tunakuombea mafanikio na binafsi mimi ingawa sio mwanamichezo najifunza vingi toka kwako...una nidhamu na malengo thabiti kwa vitendo na maneno... keep it up bro

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 8 месяцев назад +65

    The KING Mayele💚💛💚💛💚💚💚Wananchiiiiiii ganga like hapa kama unamkubali.

  • @user-pw3xt9mw1n
    @user-pw3xt9mw1n 8 месяцев назад +5

    King mayele unajua sana kuieleza

  • @user-vl2ux2wl2l
    @user-vl2ux2wl2l 8 месяцев назад +4

    Jitahidi sana kumuomba Mungu kaka, utafanikiwa tu, Wala usivunjike moyo Mayeleeeee!!!

  • @christianmaganga8413
    @christianmaganga8413 8 месяцев назад +1

    Umebet vzr mayele..daah sisi simba tunajuta kwann tulimpeleka miquisone Al ahly..ww umejitahdi kuangalia mambo mengi sana big up bro..

  • @user-yx8sh5rl7f
    @user-yx8sh5rl7f 8 месяцев назад +4

    namkubari mwamba japo mimi simba lakn the king uwakika

  • @tbm_mapazia
    @tbm_mapazia 8 месяцев назад +3

    mungu akusaidie ktk maisha yako

  • @redpenkingofvoice
    @redpenkingofvoice 8 месяцев назад +2

    Mungu akubariki , hutafunga sana

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina2845 8 месяцев назад +2

    Hongera sana MAYELE TULIFURAHI SANA KUKUONA MUBASHARA

  • @PauloAlfayo
    @PauloAlfayo 8 месяцев назад +2

    Mungu akubarik sana kaka bado tunakupenda yanga ukaribieee tena zaid na zaid tunakuombea sana

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar3450 8 месяцев назад +2

    M/Mungu Akuwezeshe Amiiin.

  • @user-ir3lf1wl6n
    @user-ir3lf1wl6n 8 месяцев назад +2

    Fiston kalala Mayele Dieu est plus grand que Dieu tabenusse

  • @user-hf2pk9gc7y
    @user-hf2pk9gc7y 8 месяцев назад +5

    Mayeleeee tunakumis sanaaa nnjoo tuteme bwanaa huku weshakuwa na jeuri huku

  • @KadabraGadna-xu5ez
    @KadabraGadna-xu5ez 8 месяцев назад +2

    The pridator mayele the king of judgle

  • @jumakapesa2940
    @jumakapesa2940 8 месяцев назад +4

    Nimependa sana kwamba hujawahi kupata kadi ya njano na hautamani kupata kadi. Huchezi rafu na humfati refa kulalamika.
    Shima yako sana.

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey 8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂 et hilo alikwepek n sehemu ya mpira hata akpata n sawa tu maana hakuna atakayeshangaa

  • @enockabumba7513
    @enockabumba7513 8 месяцев назад +1

    Mungu akubaliki😊

  • @sultanmbogo8537
    @sultanmbogo8537 8 месяцев назад +2

    uko sawa mungu akupambanie

  • @majidkhamis5485
    @majidkhamis5485 8 месяцев назад +5

    Safii sanaa kwa akili kubwa

  • @georgenshashi1308
    @georgenshashi1308 8 месяцев назад +3

    Mayele, una heshima sana

  • @mksix6
    @mksix6 8 месяцев назад +3

    Congo boy unakichapa sana

  • @molleldavid9510
    @molleldavid9510 8 месяцев назад +3

    Very humble

  • @FlansiscaTossy
    @FlansiscaTossy 3 месяца назад

    Hongera sana hizo ni baraka kutoka kwa wananchi tulikupenda na bado TUnaendelea kukupenda. 💚💛🧡🙏

  • @danielhumble4292
    @danielhumble4292 8 месяцев назад +3

    Kumbe mwamba anapiga hesabu ya mbali sio ya karibu kama Fei toto 😂😂
    Yaani ameiona mamelodi ni team waweza enda lkn kupata namba ni mtihani kidogo,pia hawana Cha kujifunza kwakuwa ni team kubwa.
    Kaona piramidy ni team kubwa kifedha lkn kimafanikio anaweza kupata ubingwa akiwepo yeye na akawa ktk historia ya team hiyo na hawezi kusahaulika kama ilivyo kwa yanga hawezi kusahaulika kwa kucheza finally ya shirikisho asee king mayele una akili kubwa sana

  • @michaelmasalago8068
    @michaelmasalago8068 8 месяцев назад +1

    ALWAYS WE ARE LOVE YOU AND MISS YOU. WELCOME AGAIN. WANANCHIIIIIIIIIIIIIIII.

  • @usatoenglandvegas4046
    @usatoenglandvegas4046 8 месяцев назад +1

    ❤❤my G for life

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi 7 месяцев назад

    Hongera mayele kwakutokupata kadiyanjano na hongerasana kwa hekma na busara nakwakujitahidi mungu akubariki

  • @ramadhannjolesti
    @ramadhannjolesti 8 месяцев назад +2

    Ni mwamba kweli kweli💪👊🙏

  • @rude_killer93
    @rude_killer93 8 месяцев назад +5

  • @user-yk9wv7ps4s
    @user-yk9wv7ps4s 8 месяцев назад +3

    Dada anahoji vizr cyo mizengwe

  • @emanuelmiyonjo4484
    @emanuelmiyonjo4484 8 месяцев назад

    The king FESTON mayele

  • @peterjosephsangei6116
    @peterjosephsangei6116 8 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 we ni balaa man

  • @Abdulmarickshamsi-xl7ry
    @Abdulmarickshamsi-xl7ry 8 месяцев назад +3

    Endelea kupambana bro ukipenda rudi bado heshima yako ipo

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 8 месяцев назад +2

    Ungenda al ahaly wangekuuwa kiwango usinge cheza maisha

  • @imakulaba
    @imakulaba 7 месяцев назад

    I'm sure you will still be a king Mr.mayele

  • @melodious2
    @melodious2 8 месяцев назад +1

    huyo mtoto mimi ndiye ananikosha kumsikia na kumuona plz tag her

  • @BeatriceKassim-tz8bf
    @BeatriceKassim-tz8bf 8 месяцев назад +1

    Mayele mtaje huyo kiongozi turuke nae😂😂😂mwamba ana nidhamu sana kuna yule mshambuliaji wa upande wa pili ana kadi nyingi za njano kuliko kiungo😂😂😂🙌🙌

  • @kaberwaferdinand8485
    @kaberwaferdinand8485 8 месяцев назад +2

    Bado tunakuhitaji wananchi , we miss u

    • @flova7022
      @flova7022 8 месяцев назад

      Shida hamna hela

  • @user-fj9fl5gi7c
    @user-fj9fl5gi7c 8 месяцев назад

    ❤❤❤❤ mungu akujalie na kipaji chako

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n 8 месяцев назад +3

    Mwananchi huyooooo

  • @josejbilshani
    @josejbilshani 8 месяцев назад +1

    Karibu unyamani

  • @lwzmangulu7532
    @lwzmangulu7532 8 месяцев назад +1

    Huwa unakuwa mtulivu Sana asee kwenye interview mayere the king

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 8 месяцев назад +1

    Wetu huyoooooo mumemuona💚💛💚💛💚💛

  • @saidibanda8347
    @saidibanda8347 8 месяцев назад +2

    Mayele nimchezaji mwenye akili sana

  • @mariajames5558
    @mariajames5558 8 месяцев назад

    Mungu aendelee kukupigania

  • @jamesshitindi
    @jamesshitindi 8 месяцев назад +2

    Mayeleeeeeee

  • @LionelRichard-wj6zi
    @LionelRichard-wj6zi 8 месяцев назад +2

    Mtangazaji katuangusha sana kama hajajipanga na maswali yake badala APIGE exclusive interview la hatar anajiumauma tu

  • @sumillohabdallah3259
    @sumillohabdallah3259 8 месяцев назад

    Safi interview nzuri

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 8 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤

  • @user-ii8lr4rk9n
    @user-ii8lr4rk9n 8 месяцев назад +2

    Unauwezo wa kuchezea izo tim

  • @fistonmakopa598
    @fistonmakopa598 8 месяцев назад

    Mayele number one ☝️ king 👑

  • @JoyceAndrea-lf2ue
    @JoyceAndrea-lf2ue 7 месяцев назад

    Feston oyeeeeeeeeee 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💚💛💚💚💚💚💚💚💚💚👏 karibu 🤝

  • @richardkimori5008
    @richardkimori5008 8 месяцев назад

    Wana Yanga Tutakukumbuka zaid ulchofanya Kwenye Ngao za Jamii 2 mfululizo superb performance

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 8 месяцев назад +1

    Braza tunaomba urud yanga jaman Bado tunakupenda!!cku Hz hatuna stayle yoyote ya kuxhangilia ila mungu akubarik utakuwa mkubwa tu af pia kaka jua kwamba yanga wamemroga feisali baada ya kuondoka kwa kubur lakn ww umeondoka vzur ndo mana Bado unatrend!

  • @user-mr8hq7ji9y
    @user-mr8hq7ji9y 8 месяцев назад

    ❤❤❤❤
    8:58

  • @RojamfikilwaMfikilwa
    @RojamfikilwaMfikilwa 3 месяца назад

    Mi wa simba rakini mayere anaakil sana

  • @revocatusbahatibussiah5201
    @revocatusbahatibussiah5201 8 месяцев назад +1

    Ligi ya kwanza n morroco

  • @selinalawala2270
    @selinalawala2270 7 месяцев назад

    Mayele yupo kimkakati, safi sana.

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk 8 месяцев назад +2

    Mama ali tetema

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @mussasampambile798
    @mussasampambile798 8 месяцев назад +1

    Acha uwongo wew unakataa al ahal unaenda timu isiyo na mashabiki

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide 8 месяцев назад

    5:53 Point kubwa ya interview iko hapa big brain capacity kwako

  • @isakahassan4275
    @isakahassan4275 8 месяцев назад +1

    💚💛💚💚💛

  • @user-ee9xn2yg4o
    @user-ee9xn2yg4o 8 месяцев назад

    Aaaaaah!!!! FISTO KALALA weeeee!!!! hongera sana

  • @gumbomakulo328
    @gumbomakulo328 8 месяцев назад +2

    We jamaa ni mtu sana

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 8 месяцев назад

    We missed you

  • @AishaSeif-dv9bs
    @AishaSeif-dv9bs 8 месяцев назад

    All the best brother mayele❤❤❤❤

  • @tbm_mapazia
    @tbm_mapazia 8 месяцев назад +2

    mwaba king

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 8 месяцев назад +2

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 8 месяцев назад

    Safi sana King mayele

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 8 месяцев назад +1

    Fatilia Al ahali utupe mbinu zao sisi yanga

  • @josepeter8033
    @josepeter8033 8 месяцев назад

    King mayeleee

  • @user-rj3gl3ny6m
    @user-rj3gl3ny6m 8 месяцев назад +1

    Yani wewe mayele kweli nimekukubali hunatima japomimshabiki wasimba napenda mafanikio yako

  • @nkosiyabomasuku1795
    @nkosiyabomasuku1795 8 месяцев назад

    Lakin Mayele umesahau siku ya Ngao Ya Jamii tarehe 13/08/2022. Furaha ilizidi mno!

  • @SaidiKhatibu-rf5pr
    @SaidiKhatibu-rf5pr 8 месяцев назад

    Duh nataman kulia aiseeee how I love you my best player

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 8 месяцев назад

    Yes! Mayeleee! Faru dume la kutetema

  • @user-rd3zb5rg5s
    @user-rd3zb5rg5s 8 месяцев назад

    Jembe letu Hilo💚💚💚💛💛💛💛💛

  • @user-ox8hr4xv6w
    @user-ox8hr4xv6w 8 месяцев назад +1

    Ongela kwakuchaguwa timu vinginevyo ungefeli akili nyingi vema

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 8 месяцев назад +1

    Ndio maana tunakupenda bado wananyanga

  • @kclpaints2981
    @kclpaints2981 2 месяца назад

    Huyu mnafiki sana anatamani kurudi Tz halafi anasema anajuta kucheza Tz

  • @kanukanukanukanu5598
    @kanukanukanukanu5598 8 месяцев назад

    Dah ongera sn kwa kugundua kwamba ligi ya tanzania n ya kupanga matokeo

  • @jafarinasibu-dp2th
    @jafarinasibu-dp2th 8 месяцев назад +1

    Bibie mtangazaji unapongea unavuta sana pumzi jitaidi ufanye mazoezi ya pumzi

  • @user-sy3rd1jn4n
    @user-sy3rd1jn4n 8 месяцев назад

    Ah tumekumiss Sana jamn na style yak ya tetm

  • @JosmanSwila-qq6gs
    @JosmanSwila-qq6gs 8 месяцев назад

    Tumekusi sana tunakutakia mafAnikio mema mungu akusaidie

  • @sanyengefundibatigeita
    @sanyengefundibatigeita 8 месяцев назад +2

    Tanga tunakushukuru sana wewe utakuwa mtu mkubwa siku za usoni

  • @lawiyorambwiza4100
    @lawiyorambwiza4100 8 месяцев назад +1

    King@-♥︎♥︎♥︎♥︎♥︎♥︎√

  • @dericknathani3298
    @dericknathani3298 8 месяцев назад

    Mayere❤❤

  • @winiejohn7020
    @winiejohn7020 8 месяцев назад

    💚💚💚💚

  • @Sparosmilebae
    @Sparosmilebae 2 месяца назад +1

    Rudu we. Kama unataka kula mahindi baki

  • @emmanuelkayombo9489
    @emmanuelkayombo9489 3 месяца назад

    Mayele baba sisi wana yanga hakika tumekumic sana na pia tumemic kutetema baba tunakuomba urrudi nyumbani baba kwenye ufalme wako maana huku young africans kiti chako cha ifalme bado kipo sana tena sana baba rudi baba yanga tumemic kutetema baba

  • @user-ns5gk7rg3f
    @user-ns5gk7rg3f 8 месяцев назад

    Ndio❤

  • @jacksonmakarck9536
    @jacksonmakarck9536 8 месяцев назад

    Daah bint ulitoka