AHMED ALLY AONGEA KWA UCHUNGU CHAMA SIO MCHEZAJI WETU TENA SIWEZI KUMUONGELEA FEI NDIO MBADALA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online

Комментарии • 142

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 3 месяца назад +20

    Huyu jamaa yuko smart Sana siyo wale oya oya ndiyo maana halisi ya semaji la CAF nakubali semaji one love❤❤❤❤

    • @cosmasmwaitete5004
      @cosmasmwaitete5004 3 месяца назад +2

      Yuko smart anaacha kuhojiwa anaulizia kula hahahaaaa

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 3 месяца назад

      @@cosmasmwaitete5004 kajambe 😂

    • @CeciliaTimotheo
      @CeciliaTimotheo 3 месяца назад

      Simba nguvu moja, hata mm namkubali sana Ahmed Ally🦁💪🙏

    • @isakajunior7139
      @isakajunior7139 3 месяца назад +1

      Unajua maana ya smart? Huyu si ndo alimpromote Feisali kwenye page yake? Akamhoji mayele mchezaji wa timu nyingne? Huyo ni smart ktk level ya umbumbu kwasabbu huwa anakurupuka sana ktk vitu vingi sana

  • @milikimbembela8670
    @milikimbembela8670 3 месяца назад +8

    Unaongea kisomi sana bro nakubali✅✅✅

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 3 месяца назад +1

    Miaka 3 chama yuko simba hakufa chochote ila migongano na coacher au wachezaji bora ameenda ndo maana alitaka mkataba wa miaka 2 maana umri umeenda ale mshahara wa bure pesa aliyotaka yy tunaleta wachezaji 2 na vijana bado maana tumeondoa kirusi ktk simba utaona simba bila yy ni bora

  • @RamsonAloyce
    @RamsonAloyce 3 месяца назад +4

    J.mtale yupo msiwaze semaji liko sahihi.

  • @AmiriHamisi-s5z
    @AmiriHamisi-s5z 3 месяца назад +3

    😂😂😂😂 zima mzk semaji linaongea

  • @RenatusFumbuka-gw4jo
    @RenatusFumbuka-gw4jo 3 месяца назад +12

    Ronaldo kaondoka Madrid na bado wanatamba TU sembuse chama

  • @EvaNtalwila
    @EvaNtalwila 3 месяца назад +2

    Semaji la chama langu, upo vizuri sanaaaa❤❤❤

  • @ZAMZUNZAMIRU
    @ZAMZUNZAMIRU 3 месяца назад +8

    Mi ni simba forever mie sio mshabiki wa chama mi ni shabiki wa simba

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 3 месяца назад

    Semaji uko vizuri ila tuna omba viongozi wawa sajili fesali na fisitoni mayele fuledi Hana uwezo wa kuchezea simba naye aende au mukopeshe kwa mkopo

  • @gnasnassary9475
    @gnasnassary9475 3 месяца назад

    Ase katika hatua Simba tuliyopiga ni hii ya kumnasa Ahmed Ally aka kispika 😅😅😅ana piga shuti la kuwanyamazisha midomo wapinzani lenye spidi ya treni sgr😂😂😂

  • @florianhaule4757
    @florianhaule4757 3 месяца назад +2

    Nakukubali Sana mashine yetu ya kuongea

  • @bonifacemgaya3448
    @bonifacemgaya3448 3 месяца назад +3

    Acha aende kazingua sna, utaniambia mziki tulionao Simba usajili huu utafurahi mwenyewe, Kila dirisha ana oandisha dau, sasa uko alipo enda uta niambia!! Nipo palee nakaa

    • @JoslinMwakasonda
      @JoslinMwakasonda 3 месяца назад

      Ata kuandika aujui..ndo maana aueleweki

    • @bonifacemgaya3448
      @bonifacemgaya3448 3 месяца назад

      @@JoslinMwakasonda Bora wewe unae jua mungu amekubariki,

  • @SwafaaSaid-s5y
    @SwafaaSaid-s5y 3 месяца назад

    Wapo wapi kinaokwi kagere sembuse huyo chama aende tyuu

  • @Laurentjoseph2001
    @Laurentjoseph2001 3 месяца назад +3

    Watakuja wengene tu na mtamsahau chama, Simba nguvu moja

  • @charlestesha4202
    @charlestesha4202 3 месяца назад

    Simba ndio imemtengeneza chama maana chama ametambulishwa na Simba naamini tutapata mfalme mwingine km chama wangap wamepita na bado Simba ipo imara Simba nguvu moja

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 3 месяца назад

    Mwacheni chama aende , kule yanga watu wanafuata pesa za tozo, zinazotolewa na waziri wa mshiko

  • @protaspessa8615
    @protaspessa8615 3 месяца назад +5

    Bora ameondoka kelele zipungue ndan ya simba
    Simba kubwa kuliko mchezaj yeyote

  • @EddyMundo-j5x
    @EddyMundo-j5x 3 месяца назад

    Siku zote hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho tupo kwa ajili ya kutengeneza timu na si kumnufaisha mtu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 месяца назад

    ILA NYIE MNASHANGAZA SANA KWANI CHAMA NIWAKWANZA KUHAMA TIMU?WAMEHAMA AKINA MESSI NA RONALDO NA MBAPPE HAO NI BAADHI TUU CHA AJABU NNN? WACHA WAPOTEZE MUDA WAO. HAWANA KAZI HAO. SASA ANGEKUWA MBAPPE BASI WAN NI MBAPPE INGEKUWAJE? C WANGETEMBEA NCHI NZIMA TUJIFUNZE KWA WENZETU HAWANA KELELE

  • @renatusmwanakatwe-gl9xb
    @renatusmwanakatwe-gl9xb 3 месяца назад +1

    watu wa mtaani kwangu nimewaambi yanga kumsajili chama ni mwanzo wa kuharibika kwa yanga ni mtazamo tu maana sajili yake ni ya kisiasa hivi.

    • @stellaassaa7141
      @stellaassaa7141 3 месяца назад

      unaweza kuwa na akili sana wewe na mtazamo wa mbali sana

  • @KisadoMasta
    @KisadoMasta 3 месяца назад

    Hakuna kitu kibaya Kama kujikaza kwenye maumivu makolo kulia ni dawa sio majungu Kama mlimucha talabu za nini mwaka lobo

  • @FadhirHemedy
    @FadhirHemedy 3 месяца назад

    Wale walio haidi ahadi basi watekeleze ahadi zao chonde chonde

  • @AminaMohamedmgomba
    @AminaMohamedmgomba 3 месяца назад

    Mwache aende si kaamua mwenyewe habembeleze yeye nani ? Lakini atajuta

  • @BejaoneAtupele
    @BejaoneAtupele 3 месяца назад +1

    Kaka wewe ndio fulaa yetukwasasa unatu weza😂😂zimamziki

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 месяца назад

    Mm nataka simba wahame wote wote wote libaki neno simba tu basi mm nabaki na simba

  • @DevidMarhias
    @DevidMarhias 3 месяца назад +1

    Inabidi tumuache tu kwani hata yeye alikuwa na kero zake nyingi sana

  • @charlesmarera3497
    @charlesmarera3497 3 месяца назад

    Kwangu sina shida kabisa aende tu alikuwepo umefika muda wake sasa.

  • @oceanmarkcompanylimited4863
    @oceanmarkcompanylimited4863 3 месяца назад +6

    Umechemka sana. Kuondoka kwa Chama unakufananisha na kufa kwa Mtume Muhammad. Acha ujinga huo.

    • @saidsalum6101
      @saidsalum6101 3 месяца назад

      Wewe ndiyo mjinga wamwisho kwani chama nawachezaji wengine wanautofauti gani alikuwepo mwamba okwi na alikuwepo mbwana samata na kaipa pesa nyingi sana simba kauzwa mala mbili nzima nasimba ikafaidika kuuzwa kwake

    • @AllyHamisi-c7j
      @AllyHamisi-c7j 3 месяца назад

      Hujamuelewa alivyo ongea na alicho kimaanisha ahmedi,msikilize vizuri.

    • @mussakarata6650
      @mussakarata6650 3 месяца назад

      Mbn kaongea vizur kabsaaa na katoa mfano usio na haja ya swali Wala comment

    • @buruhanusongoro7535
      @buruhanusongoro7535 3 месяца назад

      Hapo alichokosea ni kuwa alitakiwa kusema "aliyekuwa akimuabudu Muhammad (s.a.w), Muhammad amekufa na aliyekuwa akimuabudu Allah(s.w), Allah yupo na hafi milele kwa maana anayepaswa kuabudiwa kwa haki ni Allah pekee. Na msemo huu ulitolewa na Swahaba Abubakar(a.s) baada ya Mtume kufa na baadhi ya maswahaba wakitaka kukataa taarifa hiyo ya kifo.
      Hivyo mfano wa Chama hauingii hapo hata kidogo, chama ni mdogo mno na hajulikani na wengi pia hajafa

    • @ZachariaMalugu
      @ZachariaMalugu 3 месяца назад

      Ww kumbe ni chizi chama ni nani ww au chama na Simba Nan mkubwa usiishi kwa kukalili muache akatfte masilahi yake hata kama ungekuwa ww

  • @AthumaniKiyaka
    @AthumaniKiyaka 3 месяца назад

    Asei amedi aliy unajuwa kuongea we kwali mashine

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 3 месяца назад

    Nina imani na Simba yangu na sikuwa na imani kwa chama peke yake

  • @AbdullahChuma
    @AbdullahChuma 3 месяца назад

    Mue mnaelewa ni mfano katoa wa kidini kujenga hoja yake

  • @HgguHhij
    @HgguHhij 3 месяца назад +1

    😂😂😂kaaaaa emmanuelmayunga 1518 nimecheka mbaka basi chama anakomwe kama kipaa kwakweli mwamba tunampenda tusijidanganye inatuumasema kujibalaguza

  • @TheobardMtakyara
    @TheobardMtakyara 3 месяца назад

    Semaji uko sahihi kwani wao mayere je

  • @kulwahemedi1110
    @kulwahemedi1110 3 месяца назад

    Dah uyu hanamfano hapa bongo apewe maua yake

  • @AbdullahChuma
    @AbdullahChuma 3 месяца назад

    Kuweni makini yule mungine ni oya oya

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 3 месяца назад

    Timu isiishi kwa kumtegemea mtu. Simba itakuwa bora tu hata bila chama

  • @MuhibuHaji
    @MuhibuHaji 3 месяца назад

    Kwele ndokwanzaleo umeongea p

  • @UbapaMchoroa
    @UbapaMchoroa 3 месяца назад

    Eilm ipo semaji ujawai kukosea

  • @IssaSeleman-b2t
    @IssaSeleman-b2t 3 месяца назад

    Msemaji mwenye akili timamu

  • @IddMMhina
    @IddMMhina 3 месяца назад +2

    Chama anaumuhimu wake Simba tumepoteza mtu sana..hata tusemeje lkn tumechemka.

    • @makejamaduhu7618
      @makejamaduhu7618 3 месяца назад

      Watu wanajifariji tuunila ukweli umesema na akitupiga TU hata goli Moja ndo tutakapoumia yaani wewe acha tuu. Sisi tuwabebea kichwa wao morson lakini wao wamepiga pakubwa

    • @andekisyenasibu312
      @andekisyenasibu312 3 месяца назад

      Chama ameisaidia nn ssc tangia arudi kutoka Rs Bekane? Mfate

    • @abiaslaurian9331
      @abiaslaurian9331 3 месяца назад

      Football ni biashara hizi mambo ni kawaida tu hakuna pengo wala mwanya

    • @somonmumba9577
      @somonmumba9577 3 месяца назад

      Maisha yanawezekana bila chama ndugu wacha kuishi kwa kukariri

    • @shaabanmaziku9045
      @shaabanmaziku9045 3 месяца назад

      Sema umepoteza sio tumepoteza.. kama vopi hameni nae

  • @BabamankerPresenter
    @BabamankerPresenter 3 месяца назад

    Nakukubali semaji la caf

  • @Hbboban
    @Hbboban 3 месяца назад +1

    Kumlilia chama tu kumlipa aaah😂😂

  • @suleimansalum4049
    @suleimansalum4049 3 месяца назад

    Huna lolote wewe mbona ulipokua misri ulimtafuta mayele na kuongea nae kwani yule alikua mchezaji wenu.....?????
    Inawauma..

  • @johnurassa3209
    @johnurassa3209 3 месяца назад

    Acha siasa mpira ni sayansi vunja mikataba mliowaleta kwa pacent zenu hatumtaki Jobe ,onana,abubakarsir,,Fred,kanute,

  • @AllyHamisi-c7j
    @AllyHamisi-c7j 3 месяца назад

    Hakika mwaka huu ligi ni ngum,simba fanyeni usajili kweli maana bila upendeleo yanga iko vizuri,kwa safu yao,ukiangalia Aziz k,pakome,chama,gwede,mzize,max,chama,hakika inatisha,sasa pamoja na kuleta dam changa lakini kama tutataka turudi kwenye ufalume wetu lazima kutafuta wachezaji wenye uzoefu na wenye uwezo wa hali ya juu,kwa hyo nilazima ufanyike usajili wa gharama.

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 месяца назад

    Kaondoka medi kageree

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 3 месяца назад

    Jobe hatumu taki eende

  • @KakeSimba
    @KakeSimba 3 месяца назад

    Simba nguvu 1 chama ndonani

  • @richardmwaibula1582
    @richardmwaibula1582 3 месяца назад

    SIZITAKI MBIVU HIZI.

  • @SalumAbdallah-u8t
    @SalumAbdallah-u8t 3 месяца назад

    Acha kufuru wewe

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 3 месяца назад

    Timu kubwa sikuzote lkitaka mchezaji sehemu yyte anachukiliwa tu unasemaje??

  • @tobadinamhegele8055
    @tobadinamhegele8055 3 месяца назад +1

    Inauma lakini mtasahau kama Sisi tulivyoumia kuhusu mayele, lakini ilifika mda tulikubali na kuelewa kua timu Ni kubwa kuliko mchezaji ..mjipe mda mtasahau tu

    • @KakeSimba
      @KakeSimba 3 месяца назад

      Nikweli mtani Hilo neno

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 3 месяца назад

    Kama jobe yupo Simba Amna kitu kwasasa wala sipati tabu yakushaingilia timu yetu ya wababaishaji

  • @aishakamota6012
    @aishakamota6012 3 месяца назад

    Wapo zaidi ya Chama Chama aliikuta Simba na ametoka atakuja mwingine atatoka mwingine tena atatoka kikubwa umakini kwenye usajiri ili kumsahau aliyepita unahitajika hatutaki kubahatisha usajiri huu

  • @yajuxFinaliste
    @yajuxFinaliste 3 месяца назад +5

    Mbona sauti Dongo .nipe like zangu kwaza ,🇨🇩🇨🇩

  • @ElizabethSararajeck
    @ElizabethSararajeck 3 месяца назад

    Simba nguv 1 Simba nikubwa kuliko chama acha aende zake mbn Simba ijayo inafurahisha

  • @MashakaMaduhu
    @MashakaMaduhu 3 месяца назад +1

    Hamna. Noma. Shehe❤😂😢😮😂❤

  • @wambulamatale-ch5wj
    @wambulamatale-ch5wj 3 месяца назад

    Kiukwel mm binafsi chama kaniuma kwenda yanga Bora angeenda Azam au biashala au nje ya nchi kulko yanga dah yaan naskitika kama vile kaaga dunia😂😂😂😂😢😅

  • @lusajomwakajoka4955
    @lusajomwakajoka4955 3 месяца назад

    Mimi nilisema simba ilitufke sehem nzur lazima cham aondoke amezeeka mguu mbovu kama majinjah aseeee anakimbia kama kilema na wakati n mzima

  • @YohanaMadaha-y8l
    @YohanaMadaha-y8l 3 месяца назад

    Sahivi unajishauaa tu ! Jana ulisemaje weeeee ! Hahahaha 🤣🤣 kolozidaaadi nyiee 🤣🤣

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 3 месяца назад

    Sasa kakosea nin kwa kunukuu kauli ya saydina Abuu bakar sema yey kakosea sentence isimayo aliye kua anamubudu Allah Allah yu hai

  • @KarimMatua-u1d
    @KarimMatua-u1d 3 месяца назад +2

    Iila harmonize

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 3 месяца назад

    Chama ni binadam km wengine ,, hta asingetoka ipo siku angestaaf,,

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b 3 месяца назад

    Yani mnamwachia chama kwenda kwa yanga mmenifanya nikumbuke zile gori 5 kila mda

  • @FadhirHemedy
    @FadhirHemedy 3 месяца назад

    Wale ambao walitoa ahadi tunaomba itekelezwe jamaniiiiiii!!

  • @stellaassaa7141
    @stellaassaa7141 3 месяца назад +1

    bila kuficha nimeumia sana na nadhani wapenzi wangu wameumia kama mm, lakini mwache aende japo tulimpenda sana, viongozi wanapaswa kulaumiwa kushindwa kumbakiza chama. yawezekana chama alichoka na kero za uongozi labda.
    lakini angalizo kwa chama wachezaji waliokuwa vipenzi vya timu hz 2 ukuhamia upande wa 2 mafanikio huwa kidogo. but tumtakie kila la heri huko mbele ya safari.YAKIMSHINDA TUMWAMBIE ARUDI SIMBA NI KWAKE

  • @CatherineJohn-co7lw
    @CatherineJohn-co7lw 3 месяца назад

    Huyo nae ana usimarti gani sasa au hunataka kitulazimisha tucheke😮😮😮

  • @EstherMagan-v1i
    @EstherMagan-v1i 3 месяца назад

    Tulimpenda lakini kaamua kuondoka imetosha tutafute mubadala wa kutuvusha

  • @EmmanueljalamoEmmanuel
    @EmmanueljalamoEmmanuel 3 месяца назад

    Kwel

  • @skullboy_karimh
    @skullboy_karimh 3 месяца назад +2

    Kwenye jina langu ongeza chama jr hapn mbelen🎉🎉🎉 I love you yanga 💚💛💚💛💚

  • @HancDeking
    @HancDeking 3 месяца назад

    Aende Simba ni kubwa kuliko yeye so
    Always simba❤

  • @NerriaGeorge
    @NerriaGeorge 3 месяца назад +1

    For real it's more pain Chama to go to Nyuma mwiko 😢😢but any way let us to forgot him

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 3 месяца назад

    Ila Ahmedally bana. Eti mashine ya kuongea😂😂

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 месяца назад

    we have failed greatly Ahmed;no chama the gap is obvious;bad enough :wale uliwaita Madeni Fc wametupiga mchana peupe

  • @alikokayange1089
    @alikokayange1089 3 месяца назад +2

    Ni kweli Kama anayempenda chama kuliko Simba ssc,amfuate Aliko hamia.

  • @mirajidrissa9139
    @mirajidrissa9139 3 месяца назад

    Ameingia kwenye kumi na nane ya watu😂😂😂😂

  • @SalminiMussa
    @SalminiMussa 3 месяца назад +1

    Hakika simba kubwa kuliko chama

  • @CatherineJohn-co7lw
    @CatherineJohn-co7lw 3 месяца назад

    Huyo nae ana usimarti gani sasa au hunataka kitulazimisha tucheke😮😮😮

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 3 месяца назад

    Unahojiwa unawaza kula Daah hili kenge kweli li Amed ally

  • @allykagawa
    @allykagawa 3 месяца назад +1

    Ila huyu jamaaa 🙌🙌

  • @erickmsigomba5340
    @erickmsigomba5340 3 месяца назад

    Aende tu akahongwe vizuri

  • @KaifaAlly-f4q
    @KaifaAlly-f4q 3 месяца назад

    Msimu ujao Simba itashika nafasi ya tano

  • @MerryGaspa
    @MerryGaspa 3 месяца назад

    Ongera sana semaji lakafu ❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @MohamedMustafa-id5gr
    @MohamedMustafa-id5gr 3 месяца назад

    Pa omar jobe bado yupo sana simba 😂😂😂 dah' simba yangu

  • @Itselars77
    @Itselars77 3 месяца назад

    Semaji kafurah chama kwenda yanga😂😂😊

  • @ibrahmenard
    @ibrahmenard 3 месяца назад

    nasibuu vipiii punguza mziki bhanaa😂😂😂😂

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 3 месяца назад

    Ishu ipo wazi..chama kwenda Yanga ndiyo inayosumbua.not otherwise

  • @RamadaniThabiti
    @RamadaniThabiti 3 месяца назад

    Muache aende kama ameamua kwenda .

  • @locksterabdon
    @locksterabdon 3 месяца назад

    kabisa

  • @MagaliAmani
    @MagaliAmani 3 месяца назад

    Chama siokitu acha aondoke

  • @amanifadhi
    @amanifadhi 3 месяца назад

    Huyujama anaakilikubwa

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 3 месяца назад

    Daa CHAMA NI KAMA MTUME MOHAMAD

  • @Aisha-h1t4e
    @Aisha-h1t4e 3 месяца назад +2

    Semaji Leo umeongea vzr San kwasababu yey ni Nani kwenye simba tuaze maisha mpy

    • @DidahsMisana
      @DidahsMisana 3 месяца назад +1

      Yyy

    • @Aisha-h1t4e
      @Aisha-h1t4e 3 месяца назад

      @@DidahsMisana wangemuacha saidoo wamutoe Chama mim nimeumia na said huyo Cham aende 2 teen namtakia safari njeem

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 3 месяца назад

    Chama ndio kaamua kuondoka simba kuanzia viongoz, mashabiki na simba woote; hawakutaka kabisa chama aondoke kafuata mpunga mnene lkn wasijipe moyo wameumia sanaaaaa

  • @neemadaniel3173
    @neemadaniel3173 3 месяца назад

    Kila la kheriii kwake

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 3 месяца назад +1

    maskin umekuw mpoleee😂😂

  • @Shedrackh
    @Shedrackh 3 месяца назад

    Simba nguvu moja

  • @RajabYussuf-m2m
    @RajabYussuf-m2m 3 месяца назад

    Mbape yupo free..

  • @AbrahmanSaid-v1k
    @AbrahmanSaid-v1k 3 месяца назад

    Jmn Nasibuuuuuu😂😂😂

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 3 месяца назад

    😂😂😂😂mbn sion bwebwee😂😂😂😂