CHECHE ZA AHMED ALLY BAADA YA MNARA WA 4G KUSOMA KWA FOUNTAIN GATE/"KAGOMA HANA KESI NA MTU"
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com...
📱 Play Store - play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC RUclips Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Hongereni sana wachezaji wa Simba. AHOUA LEO UMEJITAHIDI SANA KUTOA PASI KWA WENZAKO SAFI SANA MMEONA MNAVYOPASIANA PASI NDY MNAKUWA NA MAGOLI MENGI. LEO MMEFURAHISHA WANASMBA. HONGERENI SANA
congratulations brother….
Asante
Mashaka mashaka atafungaaa sana huyuu...maneno ya semaji yanaishi...mechi mbili goli mbili..safi sana simba...Nguvu Moja💪💪💪
Hongera wachezaji Hongera Mashabiki Hongera Viongozi hongera semaji la cafu hongera Hongera Rais wa Club MO Simba nguvu mojaaaaaa ❤❤🎉🎉🎉
Mungu nilindiee simba yanguu na viongozi wote na mashabiki wenzang tulovumilia mpakaa sas tunajipata simba nguvu mojaaaa❤❤❤❤❤❤❤🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
mziki
tarabu
xxxxx
Asanteeeeeee🏷️✊🏻✊🏻✊🏻✌🏻✌🏻
Amen 🙏 🙏
Anae niafiki kuwA Debora mavambo no mwamba naomba like zenu
Like upeleke wapi mshamba ww kwenda huko
Mungu awalinde wachezaji wetu waepukane na majeraha ili tuwafaidi wachezaji wetu kutokana na vipaji vilivypo kwny timu yetu.🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Debora Mavambo🔥🔥🔥
UBAYA UBWELAAA-❤❤❤ love you Simba
Abdulrazak hamza wat a performance 👏 🙌
Simba nguvu mojaaaaaaaaaaaaaa
Namrekebisha semaj jean chars ahoua mpaka sasa kahusika kwenye mabao manne ipo hiv
Game ya kwanza alitoa assist chemalon akafungwa kwa kichwa leo tena katoa assist mbili ya kwanza kafunga header edwn balua ya pili katoa assist kwa Valentino na pia na yy karud kamban so thobias mwambie semaj ahoua mpaka sasa assist 3 na co 2
Congratulation to big team @simbasc
Baba unajuwa kuongeya awa kuwezi akiyamama wewe unatisa semaji la kafu Simba nguvu mojaaaaaa❤❤❤❤❤ Simba mpira waleo warhombaya .
Good performance my blood Team ❤❤❤ one step a head waaaaaaaaaah
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Simba oeeee
Hongera sana Simba yetu kwa ushind. Mambo 2 yakurekebisha. Mabeki wapunguze makosa ya kizembe na kasi iongezeke.
Kongole ziwaendee wachezaji,coch,beach la ufundi na msemaji was caf,🎉Mungu ailinde Simba yangu.ubaya ubwela
Amina.
SIMBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA💥🔥
Asanteni sana wachezaji wetu woooote,
KIBARAKA MMOJA WA MATOPOLO TUMESHA MTIYA ADABU BADO WENGINE ❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mnajikusanya wenyewe sanda harafu mmoja wenu anajifanya ni Yanga.
❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ UBAYA UBAYA UBWELA UBWELA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Simba nguv mojaaas❤❤❤
Hongera sana wachezaji benchi laufund kocha Fadlu pongezi kwake
Hongereni wapambanaji wetu simba nguvu moja ❤
Simba nguvu moja.. timu yetu inakuja, Simba mpya inajengeka
Simba hii mungu atulinde tutafurah sana❤❤❤
Nainjoi sana nikimsikiliza semaji letu
Yan mm ndo napenda kusikiliza interview zake♥️♥️
Mchezo mzuri sanaaaaa...... Inatutia moyo sio siri mungu Wajaalie wachezaji wetu wafanye vizur zaidi ya leo inshaallah🙏🤝
Goli la ahoua linafanana na lile Salah anawafunga Chelsea
Mazuri yanakuja simba nguvu mojaaaaaaaa 🦁🦁🦁🦁🦁
Simba raha
Simba guvu moja ilove you simba❤❤❤❤❤❤
Simba nguvu moja ubaya ubwela ubwela this is Simba brother bwana hatunaga mbamba sis
💪💪💪👏👏👏👏 Simba nguvu mojaa
Wa kwanza nipo nasbr semaji la caf
Na bado,wanarefusha mdomo kuhusu Mkwala nilisema siku si nyingi watamuomba radhi kwa kumkosea adabu ya kumsemasema
Bado sana pale hayuko sawa
Kiukwel umeongea point semaji mabeki Wana makosa mengi wajilekebishe🦁💪
Mpira ni mchezo wa makosa...mwanzo ulilaumu forward..sasa umehamia kwa mabeki...mechi ijayo na wewe shabiki jilaumu kwa kuikosoa timu kila mara😂😂😂
Shabiki maaandazi
Nimetafuta comment za utopolo Leo sijaziona❤😂😊
Simba ya ubaya ubwela mauaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kocha aangalietu pasi zamwisho Bado sana finish pass Bado wachezaji watulie kule mbele wa mtolee mkwala pasi nzuli zamwisho
Simba nguvu mojaaaa
Dua nyingi kwa chama langu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
✍️ Mabetu &Co
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ simba guvu moja
Simba nguvu moja❤❤❤❤❤
Kila la kher simba sport club.
Mwaka huu wario hama simba wataipenda saaan hongera debola kwa juhudi anayo ionyesha
Ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Simba badae ni hatareee sanaaa
Nguv moja❤❤
Mungu watie wchezaji wa simb nguvu na moyo wa kujituma
semajiiiiiiiii❤❤❤❤❤
Achan na semaji Ludi kwa Mtu mfupi 😂😂😂 dah Kilombero 🎉🎉🎉
❤❤❤huyo nimusemaja batari sana
MUNGU ibariki SIMBA SC huu mwaka turudishe furaha yetu ya miaka minne iliyopita
Simbaaa nguv moj
Simba nguvu moja asante MUNGU tumepata ushindi mzuri 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hatujamalizaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂 wuuuuuuuu
Ubaya ubwela ❤
Nguvu moja 👊🏿
❤❤❤❤❤
Tisha sana simba nguvu moja
❤❤❤❤❤love simbaaa
Simba ya msim huu itakua tishio sana
Simba ubaya Ubwela, asante Kwa kutupa furaha
Kikosi tunacho na tunatamba nacho❤❤❤❤
simbaaaaaaaaaaaaaassssssss
❤❤❤❤nguvu moja
❤❤❤❤simba yangu ongera sana🎉🎉🎉🎉❤❤
THIS IS SIMBA YANI NI WAAAAH
Ubaya ubwela aaaa ❤❤❤❤
Ahmed huwa unanitia moyo sn na Simba yng
Semaji la CAF
Ubaya ubwela kaka simba imenikosha jaman
Abdulrazak Hamza beki msafi,hachoki mana hatumii nguvu na ni beki asiepata kadi hata ya njano,safi kabisa
Mungu ibariki simba
Simba nguvu moja
Nguvu moja ❤❤❤❤
Hongera saana Mnyama....mwaka huu tutawatesa mno.
Kikubwa mabeki wapunguze makosa maana wanayumba sometimes so tukikutana na timu nzuri itakuwa shida
Huyu Hamza ni kitasa kabisa 🙌🔥🙌
❤❤🎉
Semaji la FiFA
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Anaweka waaaaaaaa semaji letu ❤❤❤❤❤❤❤ yako
❤❤❤❤❤SMBA UBAYA UBWELA
🎉🎉
So good 👍👍👍😂😂🎉
Kipa amekaa vibaya kama yupo msalabani 😂😂😂 ila semaji wetu bhana😂😂😂😂
Hongera sana sana simba
Abdulrazack afisa 😂😂 limepita Hilo
Tuendelee kuwatoa wasiwasi wachezaji wetu wako vzr sana
Hongeren sana wanalunyas
❤❤❤❤❤❤❤❤
Semaji lakafu😂😂❤❤❤❤❤💪💪simba guvu moja
Wewe Semaji unazingua SIMBA DAY ni kubwa na ni tamasha no 1 Tanzania kuliko hiyo kizi mshenzi
Simba ♥️♥️♥️♥️♥️
Hii nzur sana ata miyo yet naimani itafunguka kwa furaaa,simba nguv mojaaa
Semaji unafurahisha sana
Semaji waw🎉😂😂😂😂
Debora mavambo what performance 💥💥💥💥💥💥💥
Toa CHUMA ,WEKA CHUMA! MAVAMBOOOOOO