😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aisee ndo hivyo huwezi kwenda kutafuta pesa kanisani Kanisani watu wanamtafuta Mungu Kwa hiyo wewe 😂😂😂 Iliingilia kwenye mlango wa kutokea ukakutana pia na aliyetumwa hela
We we ni Muongo kipindi chote ulikuwa wapi msg nnn? Ulimkuta live na mkewako au umeamua kumchafua mchungaji wetu nahizo pesa alikuibia au ulipeleka kaz ya Mungu iende mbele
HIZO NI ISHARA ZA VISINGIZIO VIKUBWA SANA! KWANZA tuanze na NENO JAMBAZI MAANA YAKE NINI? Mwandhishi au mtangazaji NAOMBA UNIJIBU MAANA YA NENO UJAMBAZI.
Hata roho na akili zimtumikiye BWANA. Tayari uko na milioni zako nyumbani, kwanini usitosheke na pesa yako ili ujifanyie mipango yako pole pole!!! Kumbe umepigwa pesa na mke juu 😢. Pole sana. Mutapigwa sana 😢
Pesa sio.issue mlilie Mungu ukombolewe nafsi yako iliyotekwa na kupelekwa kuzimu,kitu ambacho hamjui mnapoingia kwenye madhabahu za watumishi wa kuzimu kitu cha kwànza nafsi yako inatekwa.
Pasta ni wahun sana usitete fatilia simliz ya filipo yutb ya Veronika frenk e,fm hakika utatulia Kwa dhehebu lako manabii wanasir nzito mungu wao anawambi usiwe na huruma pesa mbele
Kama hukumwamini MCHUNGAJI WAKO KWA KUMPA HATA SADAKA AU HATA FUNGU LA KUMI BALI UKAPELEKA KWA WENGINE Kwanini wewe usiitwe MWIZI UMEMUIBIA MUNGU MARA KADHA kwahiyo Mungu kaamua kukufunza kwa kukuadhibu ili usimwibie Mungu? JITETEEE KATIKA JINA LA YESU. KESI YA KUCHUKUA MKEO IPOJE KISHERIA MPAKA SASA ?
😂😂😂😂😂😂 Mbona huyu jamaa wa ajabu kwaniiii Wakati yupo hajakimbia hukumkamata Hiyo ni longolongo Cha pili wewe kweli uwe na ml.30 Uwe na akili ya kuchukua hela upeleke huko pole yako 😂😂😂😂😂
Nikweli mimi rafiki yangu alienda ofisini kwake kwa malipo ya kumwona kwa 5 laki then akamwambia atafute 5 m ili amsaidie ,nikamwuliza huyo ni mtumishi au mganga akabaki anashangaa sana.
afunguliwe wakwenda aende kifuatacho kama nabii wa Kenya funga s bila kula uhai ukakoma wtz tuamke tumsujudien Alla ktk hak na kweli uponyaj mwamposa shida ya kiboko kujitapa na kudhalisha watu
Punguzeni tamaa kama Mungu alikusaidia ukawa umetunza milioni zako kadhaa ridhika na ulichonacho lkn ukitaka zaidi umepata sasa ulichotafuta tulia babae
NIMETIZAMA MKOI TV ONLINE KUNA DADA ANAMACHO YA ROO KAMUONA MCHUNGAJI KIBOKO YA WACHAWI YUPO UCHI MAZABAUNI KUTOA SILI KAMUUA KAMA AMUAMINI TIZAMENI MKOI TV 😢
Mbona alishasema yeye hawezi hubili utakatifu kwasababu alisema washilika wote wanamichepuko. Kwa hiyo mlikua mnashangilia Mjinga yule mwizi yule maraya yule poleni sana Alisema akiona chupi ya mwanake anaenderea kuangalia tu
SASA IKIWA MLIKUBALIANA AENDELEE KUZIBARIKI SI NDIO ANAENDELEA KUZIBARIKI NA KUZIOMBEA SAWASAWA NA MAKUBALIANO YENU? Je kuziombea unadhani inatakiwa ichukue muda gani?
Huyu jamaa hajui lolote kuhusu Neno la Mungu anataja warumi 14:5 lakini anachotamka ni kingine kabisa. Ndio maana katapeliwa mke na fedha amevuna alichopanda
Siku ya mkesha yule mama alikuwa na bint anaanhguka kifafa mbele kabisa aliomba million nne Kwa kuona na kusikia atengeneze kilinge Cha uganga serkali ndy itaamua kongo hakunaardh afungue kanisa
Anakutisha ndan kwako naona Kuna jeneza ,nabii huyo naona unvuka Barbara utagongwa katkat ya utumbo utumbo wote utoke nje ufe hapohapo hata Mimi nimechoka kabisa manabii serikal msiwape vibali jaman
Hiyo pesa yako aliipata wapi? Kwani alikuja nyumbani au ulipelekea mwenyewe kwa ujinga wako. Wewe hujatapeliwa umekwenda mwenyeweee. Ushaliwa wewe na mkeo keshaliwa kakojoe ukalale
mungu anakuona achakumchafua kiboko hajakuita wee baba mswalie mtume
Wewe ni kenge Mimi mwenyewe nimetapeliwa lak.3
Mie namsaka kiboko ya wachawi ....
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aisee ndo hivyo huwezi kwenda kutafuta pesa kanisani
Kanisani watu wanamtafuta Mungu
Kwa hiyo wewe 😂😂😂
Iliingilia kwenye mlango wa kutokea ukakutana pia na aliyetumwa hela
We we ni Muongo kipindi chote ulikuwa wapi msg nnn? Ulimkuta live na mkewako au umeamua kumchafua mchungaji wetu nahizo pesa alikuibia au ulipeleka kaz ya Mungu iende mbele
Mtafuteni Mungu wa kweli hizi nyakati za hatari watu watapenda pesa kuliko kumpenda Mungu 2timotheo 3:1-5
Ukweli uko kwa Zumaridi tu
Jamani watanzania huu ni mwisho wa mambo yote tujiweke tayar
🤣🤣🤣🤣🤣 nakucheka kwa sababu hujiamini😂😂😂ati mkeo katembea na nani?????😂😂😂huna hata haya😂😂😂😂😂
KESI ZA MADAI ZINATAKIWA ZIPELEKWE MAHAKAMANI NA UJAMBAZI KWA DHARULA KESI YAKE IENDE POLISI KISHA MAHAKAMANI.
Ngoja MWEZI ujao afunguliwe huduma mtasema tena
Wengine yawezekana ni wachawi kama hakuwa kiboko yenu wachawi, mbona mlimshindwa wachawi wote
tatizo lenu unapenda miujiza sana tulia mpigwe
Yaani alitawa na hizo hela alizotapeli watu anyanganywe kabisa na serikali.
@@annamtapila5761 wewe mjinga sana utapeliwe nini maskini
Elimu, elimu, elimu
Sikuzote hizo ulikuwa wapi 😅😅
Wewe baba pole wameluws wengi siyo ww TU tubaki na Iman zetu tusiamin manabii hawana tofaut na waganga
Kwanini hujasema kabla?we muongo mchawi
Wewe Kwanzaa mchawii ndy maana unasema havii uchawi umeharibiwa ndy maana unasema uomgo
HIZO NI ISHARA ZA VISINGIZIO VIKUBWA SANA! KWANZA tuanze na NENO JAMBAZI MAANA YAKE NINI? Mwandhishi au mtangazaji NAOMBA UNIJIBU MAANA YA NENO UJAMBAZI.
Hata roho na akili zimtumikiye BWANA.
Tayari uko na milioni zako nyumbani, kwanini usitosheke na pesa yako ili ujifanyie mipango yako pole pole!!! Kumbe umepigwa pesa na mke juu 😢. Pole sana. Mutapigwa sana 😢
Mchungaji wa kweli ni Zumaridi tu
Alikua wapi !?
Pesa sio.issue mlilie Mungu ukombolewe nafsi yako iliyotekwa na kupelekwa kuzimu,kitu ambacho hamjui mnapoingia kwenye madhabahu za watumishi wa kuzimu kitu cha kwànza nafsi yako inatekwa.
Asante mtumisha kwa ujembe mtam
Mdai mkeo hela
@@mpefu_4936 kabisa🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo alijuwa akizaa Tanzania ndo itakuwa sababu ya yeye kuishi Tz mke wake naye Tapeli mjinga mkubwa wakakulane huko Congo wapuuzi
Uwe na kiasi ndugu yangu siku moja utatoa hesabu ya hayo maneno yako,utakuponza
Mimi nakwenda Kwa hao watu sbb naogopa kuchanjwa chale ndy nakwenda huko tutulien Kwa mwamposa had kichwa kinauma maisha ya hapa dunian magumu sana
Pasta ni wahun sana usitete fatilia simliz ya filipo yutb ya Veronika frenk e,fm hakika utatulia Kwa dhehebu lako manabii wanasir nzito mungu wao anawambi usiwe na huruma pesa mbele
Ulikua wapi Kabla hajaondoka acha usenge wew
Mlikuwa wapi ukusema kitambo acheni mauwongo
Nimeamin maneno ya she mkuu wilaya ya kinondon inaongiza Kwa matapeli wa kinabii😊😅😮
Kuhusu lake Tano mwenyewe kiboko alitangaza like kabisa kauzien chai pale atulizdghasia za congo
Pole sana watu wengi wametaperiwa na hawa viongozi wa dini mataperi wengi tuu
Msimchafue Mchungaji wetu uongo huo umetumwae
Ww njoo kwa Zumaridi tu
Huyo sio mchungaji ni mchawi wenu
Kwa kweli nawaendea watu Hawa kama waganga wa kienyeji tunaponzwa na urofa
Nilisema tu anatembea naehao wanawake
Kama hukumwamini MCHUNGAJI WAKO KWA KUMPA HATA SADAKA AU HATA FUNGU LA KUMI BALI UKAPELEKA KWA WENGINE Kwanini wewe usiitwe MWIZI UMEMUIBIA MUNGU MARA KADHA kwahiyo Mungu kaamua kukufunza kwa kukuadhibu ili usimwibie Mungu? JITETEEE KATIKA JINA LA YESU. KESI YA KUCHUKUA MKEO IPOJE KISHERIA MPAKA SASA ?
Asante baba
Umeweka tumba kama furoshe LA jambazi msenge tu wew
Ukisikiliza mahubili yake unajua hapa mungu hayupo,
muone huna aibu kumsemea huyo mchungaji vibaya mungu anakuona na atakujibu hik unacho kfanya.
Wajunga ndio waliwao wewe
Yes lakin hatumtaki akae huko Kongo nako kuna watu watz na sie tunapenda kutapeliwa Kwa kua tunapenda miujiza na so kujiombea yesu kristo atukomboe
@@godfreymwikola8232ogopa Mungu ata kidogo watu ni wa mungu sio wako ww.
@@PatriciaFelix-hx9wctatizo watu Wana penda kuukumu watu. mwacheni, Mungu sio mjomba wenu wetu Sisi yote. yeye ametapeli Nani?
😂😂😂😂😂😂
Mbona huyu jamaa wa ajabu kwaniiii
Wakati yupo hajakimbia hukumkamata
Hiyo ni longolongo
Cha pili wewe kweli uwe na ml.30
Uwe na akili ya kuchukua hela upeleke huko pole yako 😂😂😂😂😂
Hahaaaaa kaliwa mke na hela
Wewe ndio mjinga sio kiboko,ulikuwa wapi siku zote?
Hay byan wachaw wakubw nyie😂😅
Kama wewe,uko hivyo je? Huyo mkeo ana hali gani?😂😂😂😂😂jamani acheni uongo mungu yupo mnajua
Mke ameliwa na kiboko na pesa pia.du umepiqwa nje ndani.huyo ndo Kiboko ya wajinqa
Pesa huna alafu unasema uongo hapo😊
Hivi Hadi huyo mkeo umeamua KUMDHALILISHA?
Mwache mchungaji kiboko ya wachawi wetu.Wewe kumchafua plz
1timotheo 6:10-chanzo Cha mabaya ni kupenda fedha,wengi wameiacha Imani,Tatizo huyo jamaa ni mshirikina sasa amepambana.
Ni kweli kiboko waovyo kwenye pesa kama anajiamin asijichubue na sura yake mbaya anaka pesa za wakala hoi
Unawezaje kuvipata kihalali mil 30 ,Halafu utake Nabii akupatie mil 200;Kwa miujiza !!?? , Hayo ndio matokeo ya kuongozwa na mkeo kiimani
Tena manabii ni waovyo wanskudanganya lete pesa nizibarik unapigwa changa la moto 😢😮😅Sena baba Dunia Pana sana
Mkeo akupe pesa zako
Wewe nimkubwa Lanikai hauna akili mpumbavu sana wew
Nikweli mimi rafiki yangu alienda ofisini kwake kwa malipo ya kumwona kwa 5 laki then akamwambia atafute 5 m ili amsaidie ,nikamwuliza huyo ni mtumishi au mganga akabaki anashangaa sana.
Mukeo ndiye alimwangusha nabii
Yes
Yule anaonekana tuu ni tapeli jaman 😂😂daah hela kala ,na mke kala
Wakumuamin ni mungu zee
Wachungaji tukiwafundisha mnasema tunawaonea wivu..itabidi TU
Muwe mnasadiki yakiwakuta namna hiyo..
Hata kama aliitisha pesa hakulazimisha mtu. Utoe au ukose.
MUONGO WEWE
Yes
afunguliwe wakwenda aende kifuatacho kama nabii wa Kenya funga s bila kula uhai ukakoma wtz tuamke tumsujudien Alla ktk hak na kweli uponyaj mwamposa shida ya kiboko kujitapa na kudhalisha watu
Ni mwenywe dadai sh m.2😊
Kwann umekuja kuongelea mitandaoni kwani hakuna polisi siungeenda kustaki huko . Wacha kiherehere broh
Punguzeni tamaa kama Mungu alikusaidia ukawa umetunza milioni zako kadhaa ridhika na ulichonacho lkn ukitaka zaidi umepata sasa ulichotafuta tulia babae
Uongo. Unless ni wahudumu wasaidizi. Kiboko hajamuibia mtu. Acheni kumchafua kwa sababu hayuko.
jamaa ni tapeli kama matapeli wengine
Sasa. Wewe tamaa ya. Pesa imekumaliza. Maana haukua watafuta. Mungu .ulikua. Watafuta pesa
NIMETIZAMA MKOI TV ONLINE KUNA DADA ANAMACHO YA ROO KAMUONA MCHUNGAJI KIBOKO YA WACHAWI YUPO UCHI MAZABAUNI KUTOA SILI KAMUUA KAMA AMUAMINI TIZAMENI MKOI TV 😢
WAPO WENGI
TU KAMA WACHUNGAJI LAKINI MATEPELI TU.
Sio kweli
Yes
Wewe na uyo mkeo ni mafara tu usimlaumu mtumishi kwendraaaa.
Mh, mule ofisn Kuna chuma ulete siyo Hali ya kawaida kiboko umeumiza watu tunarud Kwa waganga wa kienyeji au tutulie kwenye dini yetu ya haki
Fala huyo njaa zakupewa pesa nang'ombe wenzake aje amuongelee vibaya mwenzake
Cmpendi huyo mchungaji kwanza amrudie mungu ahacha kuongopea watu
Wewe acha uongo wewe
Wewe ni tapeli muongo
Sio muongo mbona watu wengi wametapeliwa na awajasema wamenyamaza
Acha usenge wew
Ujuwi ata ku dangania unataka umahrufu Kwa jina la kiboko ya wachawi.
Yule hakuwa mcgungsji bali alikuwa kiboko ya wachawi
wee unaesema aende kongo mshamba mkubwa mbona ww hujarud kijijini kwenu eti mkongo kwani hajaumbwa namungu
Yes yes ongera
Mbona alishasema yeye hawezi hubili utakatifu kwasababu alisema washilika wote wanamichepuko. Kwa hiyo mlikua mnashangilia
Mjinga yule mwizi yule maraya yule poleni sana
Alisema akiona chupi ya mwanake anaenderea kuangalia tu
Wewe hiyo milioni Tano uliupata wapi, unafanyakazi gani, wewe na huyo mwandishi wako endeleeni naupuuzi wenu Leo useme hayo, Hauoni Aibu
Mdai mkeo pesa zako
SASA IKIWA MLIKUBALIANA AENDELEE KUZIBARIKI SI NDIO ANAENDELEA KUZIBARIKI NA KUZIOMBEA SAWASAWA NA MAKUBALIANO YENU? Je kuziombea unadhani inatakiwa ichukue muda gani?
Mnamuoneq tu kiboko ya wachawi kwan alikufos siww mwenyewee ulitaman
Huyu jamaa hajui lolote kuhusu Neno la Mungu anataja warumi 14:5 lakini anachotamka ni kingine kabisa. Ndio maana katapeliwa mke na fedha amevuna alichopanda
Mmmmmm vingine vya uongo jmn! Khaaaaaa
muongo huyu hapa mfate congo
Aende congo kuiombea nchi yake vita viishe
UNAWEZA UKAFANYIWE UJAMBAZI HALAFU UKASEMA KUWA simdai chochote Jambazi ?
Ulilazimishwa? Kwanini huku sema siku zote hizo?
Mimi niliambiwa naota ndoto za nyoka JB nasumbuliwa na kilnge Cha uchaw Bora Mimi lak mbili
Siku ya mkesha yule mama alikuwa na bint anaanhguka kifafa mbele kabisa aliomba million nne Kwa kuona na kusikia atengeneze kilinge Cha uganga serkali ndy itaamua kongo hakunaardh afungue kanisa
Acha uonge mkeo adonolewe na pasta mh
Kiboko ya wachawi ni kama Des kuvuna na kupanda
We'weunae muojimwe nzionimchawi naweweunae ojiwanimchawi
Sasa atachukuaje mke wakati yeye ana mke wake mzee ???
Anakutisha ndan kwako naona Kuna jeneza ,nabii huyo naona unvuka Barbara utagongwa katkat ya utumbo utumbo wote utoke nje ufe hapohapo hata Mimi nimechoka kabisa manabii serikal msiwape vibali jaman
Ww nimuongo
Muongo kweli unataka Kiki tu Fala weww
Huyu mzee mjinga😂😂😂 pesa unazo unataka nyingi siufrmason😢
Unasubutu kumsemea uongo kweli mfazili mbuz utamla nyama binadamu atakuuzi
Hiyo pesa yako aliipata wapi? Kwani alikuja nyumbani au ulipelekea mwenyewe kwa ujinga wako. Wewe hujatapeliwa umekwenda mwenyeweee. Ushaliwa wewe na mkeo keshaliwa kakojoe ukalale
Jinsi Una viongea ww muhogo
Waumini ,mnatetea ujinga pole
HUYU JAMAA YUKO SAWA KABISA WALA ASILAUMIWE.
Wewe aliyekuma mwambie acha uongo wewe muongo
Yes
Mkome mnakimbilia miujiza , kala,mke ,napesa ,koma nyie