KIBOKO WA WACHAWI ANATEMBEA NA MKE WANGU KANITAPELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 245

  • @bernadndalimo3866
    @bernadndalimo3866 2 месяца назад +7

    mungu anakuona achakumchafua kiboko hajakuita wee baba mswalie mtume

    • @GerrardShoo
      @GerrardShoo 2 месяца назад

      Wewe ni kenge Mimi mwenyewe nimetapeliwa lak.3

    • @wilbroadndunguru6825
      @wilbroadndunguru6825 Месяц назад

      Mie namsaka kiboko ya wachawi ....

  • @prophetjoelymairaministrie1778
    @prophetjoelymairaministrie1778 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aisee ndo hivyo huwezi kwenda kutafuta pesa kanisani
    Kanisani watu wanamtafuta Mungu
    Kwa hiyo wewe 😂😂😂
    Iliingilia kwenye mlango wa kutokea ukakutana pia na aliyetumwa hela

  • @LevinaModesti
    @LevinaModesti 2 месяца назад +3

    We we ni Muongo kipindi chote ulikuwa wapi msg nnn? Ulimkuta live na mkewako au umeamua kumchafua mchungaji wetu nahizo pesa alikuibia au ulipeleka kaz ya Mungu iende mbele

  • @KisaMwakyagi
    @KisaMwakyagi 2 месяца назад +3

    Mtafuteni Mungu wa kweli hizi nyakati za hatari watu watapenda pesa kuliko kumpenda Mungu 2timotheo 3:1-5

    • @godsonprosper6657
      @godsonprosper6657 2 месяца назад

      Ukweli uko kwa Zumaridi tu

    • @EliaEmmanul
      @EliaEmmanul Месяц назад

      Jamani watanzania huu ni mwisho wa mambo yote tujiweke tayar

  • @charlesomollo-ui1np
    @charlesomollo-ui1np 2 месяца назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣 nakucheka kwa sababu hujiamini😂😂😂ati mkeo katembea na nani?????😂😂😂huna hata haya😂😂😂😂😂

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 2 месяца назад +2

    KESI ZA MADAI ZINATAKIWA ZIPELEKWE MAHAKAMANI NA UJAMBAZI KWA DHARULA KESI YAKE IENDE POLISI KISHA MAHAKAMANI.

  • @ObadiahKabulente
    @ObadiahKabulente 2 месяца назад +3

    Ngoja MWEZI ujao afunguliwe huduma mtasema tena

  • @eliahmwakibolwa4516
    @eliahmwakibolwa4516 2 месяца назад +3

    Wengine yawezekana ni wachawi kama hakuwa kiboko yenu wachawi, mbona mlimshindwa wachawi wote

  • @mussofepapa-jj9mc
    @mussofepapa-jj9mc 2 месяца назад +3

    tatizo lenu unapenda miujiza sana tulia mpigwe

  • @annamtapila5761
    @annamtapila5761 2 месяца назад +3

    Yaani alitawa na hizo hela alizotapeli watu anyanganywe kabisa na serikali.

    • @GeniusThimoc
      @GeniusThimoc 2 месяца назад

      @@annamtapila5761 wewe mjinga sana utapeliwe nini maskini

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 месяца назад +1

    Elimu, elimu, elimu

  • @MmassaMboko
    @MmassaMboko 2 месяца назад +4

    Sikuzote hizo ulikuwa wapi 😅😅

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Wewe baba pole wameluws wengi siyo ww TU tubaki na Iman zetu tusiamin manabii hawana tofaut na waganga

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation 2 месяца назад +3

    Kwanini hujasema kabla?we muongo mchawi

  • @HawaOman
    @HawaOman 2 месяца назад

    Wewe Kwanzaa mchawii ndy maana unasema havii uchawi umeharibiwa ndy maana unasema uomgo

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 2 месяца назад

    HIZO NI ISHARA ZA VISINGIZIO VIKUBWA SANA! KWANZA tuanze na NENO JAMBAZI MAANA YAKE NINI? Mwandhishi au mtangazaji NAOMBA UNIJIBU MAANA YA NENO UJAMBAZI.

  • @mwanjammassa8563
    @mwanjammassa8563 2 месяца назад

    Hata roho na akili zimtumikiye BWANA.
    Tayari uko na milioni zako nyumbani, kwanini usitosheke na pesa yako ili ujifanyie mipango yako pole pole!!! Kumbe umepigwa pesa na mke juu 😢. Pole sana. Mutapigwa sana 😢

  • @godsonprosper6657
    @godsonprosper6657 2 месяца назад +1

    Mchungaji wa kweli ni Zumaridi tu

  • @AmisseMwenetombwe
    @AmisseMwenetombwe 2 месяца назад

    Alikua wapi !?

  • @goldenvibeztz8579
    @goldenvibeztz8579 2 месяца назад +1

    Pesa sio.issue mlilie Mungu ukombolewe nafsi yako iliyotekwa na kupelekwa kuzimu,kitu ambacho hamjui mnapoingia kwenye madhabahu za watumishi wa kuzimu kitu cha kwànza nafsi yako inatekwa.

    • @Lumatotv570
      @Lumatotv570  2 месяца назад

      Asante mtumisha kwa ujembe mtam

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 месяца назад +4

    Mdai mkeo hela

  • @annamussa185
    @annamussa185 2 месяца назад +1

    Kwahiyo alijuwa akizaa Tanzania ndo itakuwa sababu ya yeye kuishi Tz mke wake naye Tapeli mjinga mkubwa wakakulane huko Congo wapuuzi

    • @DianaShayo-io1pz
      @DianaShayo-io1pz 2 месяца назад

      Uwe na kiasi ndugu yangu siku moja utatoa hesabu ya hayo maneno yako,utakuponza

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Mimi nakwenda Kwa hao watu sbb naogopa kuchanjwa chale ndy nakwenda huko tutulien Kwa mwamposa had kichwa kinauma maisha ya hapa dunian magumu sana

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Pasta ni wahun sana usitete fatilia simliz ya filipo yutb ya Veronika frenk e,fm hakika utatulia Kwa dhehebu lako manabii wanasir nzito mungu wao anawambi usiwe na huruma pesa mbele

  • @HawaOman
    @HawaOman 2 месяца назад

    Ulikua wapi Kabla hajaondoka acha usenge wew

  • @SeifJuma-yt1pk
    @SeifJuma-yt1pk 2 месяца назад +2

    Mlikuwa wapi ukusema kitambo acheni mauwongo

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Nimeamin maneno ya she mkuu wilaya ya kinondon inaongiza Kwa matapeli wa kinabii😊😅😮

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Kuhusu lake Tano mwenyewe kiboko alitangaza like kabisa kauzien chai pale atulizdghasia za congo

  • @OmaryHabibu-gs7ld
    @OmaryHabibu-gs7ld 2 месяца назад

    Pole sana watu wengi wametaperiwa na hawa viongozi wa dini mataperi wengi tuu

  • @LevinaModesti
    @LevinaModesti 2 месяца назад +1

    Msimchafue Mchungaji wetu uongo huo umetumwae

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Kwa kweli nawaendea watu Hawa kama waganga wa kienyeji tunaponzwa na urofa

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 2 месяца назад +2

    Nilisema tu anatembea naehao wanawake

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 2 месяца назад

    Kama hukumwamini MCHUNGAJI WAKO KWA KUMPA HATA SADAKA AU HATA FUNGU LA KUMI BALI UKAPELEKA KWA WENGINE Kwanini wewe usiitwe MWIZI UMEMUIBIA MUNGU MARA KADHA kwahiyo Mungu kaamua kukufunza kwa kukuadhibu ili usimwibie Mungu? JITETEEE KATIKA JINA LA YESU. KESI YA KUCHUKUA MKEO IPOJE KISHERIA MPAKA SASA ?

  • @HawaOman
    @HawaOman 2 месяца назад

    Umeweka tumba kama furoshe LA jambazi msenge tu wew

  • @ChristopherEnock-vd7wl
    @ChristopherEnock-vd7wl 2 месяца назад +1

    Ukisikiliza mahubili yake unajua hapa mungu hayupo,

  • @jacklineaugustino7810
    @jacklineaugustino7810 2 месяца назад +3

    muone huna aibu kumsemea huyo mchungaji vibaya mungu anakuona na atakujibu hik unacho kfanya.

    • @godfreymwikola8232
      @godfreymwikola8232 2 месяца назад

      Wajunga ndio waliwao wewe

    • @PatriciaFelix-hx9wc
      @PatriciaFelix-hx9wc 2 месяца назад

      Yes lakin hatumtaki akae huko Kongo nako kuna watu watz na sie tunapenda kutapeliwa Kwa kua tunapenda miujiza na so kujiombea yesu kristo atukomboe

    • @FistonBampe
      @FistonBampe 2 месяца назад

      ​@@godfreymwikola8232ogopa Mungu ata kidogo watu ni wa mungu sio wako ww.

    • @FistonBampe
      @FistonBampe 2 месяца назад

      ​@@PatriciaFelix-hx9wctatizo watu Wana penda kuukumu watu. mwacheni, Mungu sio mjomba wenu wetu Sisi yote. yeye ametapeli Nani?

  • @prophetjoelymairaministrie1778
    @prophetjoelymairaministrie1778 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂
    Mbona huyu jamaa wa ajabu kwaniiii
    Wakati yupo hajakimbia hukumkamata
    Hiyo ni longolongo
    Cha pili wewe kweli uwe na ml.30
    Uwe na akili ya kuchukua hela upeleke huko pole yako 😂😂😂😂😂

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 2 месяца назад

    Hahaaaaa kaliwa mke na hela

  • @joshuasamson-lc8mr
    @joshuasamson-lc8mr 2 месяца назад +1

    Wewe ndio mjinga sio kiboko,ulikuwa wapi siku zote?

  • @JBM-GIANT
    @JBM-GIANT 2 месяца назад +1

    Hay byan wachaw wakubw nyie😂😅

  • @ThedoNdunguru
    @ThedoNdunguru 2 месяца назад

    Kama wewe,uko hivyo je? Huyo mkeo ana hali gani?😂😂😂😂😂jamani acheni uongo mungu yupo mnajua

  • @righitkileo
    @righitkileo 2 месяца назад

    Mke ameliwa na kiboko na pesa pia.du umepiqwa nje ndani.huyo ndo Kiboko ya wajinqa

  • @HawaOman
    @HawaOman 2 месяца назад

    Pesa huna alafu unasema uongo hapo😊

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew4245 2 месяца назад

    Hivi Hadi huyo mkeo umeamua KUMDHALILISHA?
    Mwache mchungaji kiboko ya wachawi wetu.Wewe kumchafua plz

  • @JoakimNyamkina
    @JoakimNyamkina 2 месяца назад +1

    1timotheo 6:10-chanzo Cha mabaya ni kupenda fedha,wengi wameiacha Imani,Tatizo huyo jamaa ni mshirikina sasa amepambana.

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Ni kweli kiboko waovyo kwenye pesa kama anajiamin asijichubue na sura yake mbaya anaka pesa za wakala hoi

  • @MwitaghesiliChacha
    @MwitaghesiliChacha 2 месяца назад

    Unawezaje kuvipata kihalali mil 30 ,Halafu utake Nabii akupatie mil 200;Kwa miujiza !!?? , Hayo ndio matokeo ya kuongozwa na mkeo kiimani

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Tena manabii ni waovyo wanskudanganya lete pesa nizibarik unapigwa changa la moto 😢😮😅Sena baba Dunia Pana sana

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk 2 месяца назад +1

    Mkeo akupe pesa zako

  • @HawaOman
    @HawaOman 2 месяца назад

    Wewe nimkubwa Lanikai hauna akili mpumbavu sana wew

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi 2 месяца назад

    Nikweli mimi rafiki yangu alienda ofisini kwake kwa malipo ya kumwona kwa 5 laki then akamwambia atafute 5 m ili amsaidie ,nikamwuliza huyo ni mtumishi au mganga akabaki anashangaa sana.

  • @sizyathom-qq5cx
    @sizyathom-qq5cx 2 месяца назад +1

    Mukeo ndiye alimwangusha nabii

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania6326 2 месяца назад +2

    Yule anaonekana tuu ni tapeli jaman 😂😂daah hela kala ,na mke kala

  • @ELGIUSKELAMIYE
    @ELGIUSKELAMIYE 2 месяца назад

    Wachungaji tukiwafundisha mnasema tunawaonea wivu..itabidi TU
    Muwe mnasadiki yakiwakuta namna hiyo..

  • @KibokoPrincess1011
    @KibokoPrincess1011 2 месяца назад

    Hata kama aliitisha pesa hakulazimisha mtu. Utoe au ukose.
    MUONGO WEWE

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    afunguliwe wakwenda aende kifuatacho kama nabii wa Kenya funga s bila kula uhai ukakoma wtz tuamke tumsujudien Alla ktk hak na kweli uponyaj mwamposa shida ya kiboko kujitapa na kudhalisha watu

  • @AzizaHamisi-ef3up
    @AzizaHamisi-ef3up 2 месяца назад

    Ni mwenywe dadai sh m.2😊

  • @TeddyPonera
    @TeddyPonera 2 месяца назад

    Kwann umekuja kuongelea mitandaoni kwani hakuna polisi siungeenda kustaki huko . Wacha kiherehere broh

  • @esterwambura
    @esterwambura 2 месяца назад

    Punguzeni tamaa kama Mungu alikusaidia ukawa umetunza milioni zako kadhaa ridhika na ulichonacho lkn ukitaka zaidi umepata sasa ulichotafuta tulia babae

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 2 месяца назад +2

    Uongo. Unless ni wahudumu wasaidizi. Kiboko hajamuibia mtu. Acheni kumchafua kwa sababu hayuko.

    • @Life10061
      @Life10061 2 месяца назад

      jamaa ni tapeli kama matapeli wengine

  • @ruthmwandoe3783
    @ruthmwandoe3783 2 месяца назад

    Sasa. Wewe tamaa ya. Pesa imekumaliza. Maana haukua watafuta. Mungu .ulikua. Watafuta pesa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 месяца назад

    NIMETIZAMA MKOI TV ONLINE KUNA DADA ANAMACHO YA ROO KAMUONA MCHUNGAJI KIBOKO YA WACHAWI YUPO UCHI MAZABAUNI KUTOA SILI KAMUUA KAMA AMUAMINI TIZAMENI MKOI TV 😢

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 2 месяца назад

    WAPO WENGI
    TU KAMA WACHUNGAJI LAKINI MATEPELI TU.

  • @StellaKileo
    @StellaKileo 2 месяца назад

    Sio kweli

  • @HalimaRamadhani-w8l
    @HalimaRamadhani-w8l 2 месяца назад

    Wewe na uyo mkeo ni mafara tu usimlaumu mtumishi kwendraaaa.

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Mh, mule ofisn Kuna chuma ulete siyo Hali ya kawaida kiboko umeumiza watu tunarud Kwa waganga wa kienyeji au tutulie kwenye dini yetu ya haki

  • @nassornurdin1290
    @nassornurdin1290 2 месяца назад

    Fala huyo njaa zakupewa pesa nang'ombe wenzake aje amuongelee vibaya mwenzake

  • @WinifridaNshunju
    @WinifridaNshunju 2 месяца назад +6

    Cmpendi huyo mchungaji kwanza amrudie mungu ahacha kuongopea watu

  • @AnnaJulius-r5k
    @AnnaJulius-r5k 2 месяца назад

    Sio muongo mbona watu wengi wametapeliwa na awajasema wamenyamaza

  • @HawaOman
    @HawaOman 2 месяца назад

    Acha usenge wew

  • @FistonBampe
    @FistonBampe 2 месяца назад

    Ujuwi ata ku dangania unataka umahrufu Kwa jina la kiboko ya wachawi.

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 2 месяца назад

    Yule hakuwa mcgungsji bali alikuwa kiboko ya wachawi

  • @bernadndalimo3866
    @bernadndalimo3866 2 месяца назад

    wee unaesema aende kongo mshamba mkubwa mbona ww hujarud kijijini kwenu eti mkongo kwani hajaumbwa namungu

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 2 месяца назад

    Mbona alishasema yeye hawezi hubili utakatifu kwasababu alisema washilika wote wanamichepuko. Kwa hiyo mlikua mnashangilia
    Mjinga yule mwizi yule maraya yule poleni sana
    Alisema akiona chupi ya mwanake anaenderea kuangalia tu

  • @AlfredMtandi
    @AlfredMtandi 2 месяца назад

    Wewe hiyo milioni Tano uliupata wapi, unafanyakazi gani, wewe na huyo mwandishi wako endeleeni naupuuzi wenu Leo useme hayo, Hauoni Aibu

  • @justinethadey
    @justinethadey 2 месяца назад

    Mdai mkeo pesa zako

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 2 месяца назад

    SASA IKIWA MLIKUBALIANA AENDELEE KUZIBARIKI SI NDIO ANAENDELEA KUZIBARIKI NA KUZIOMBEA SAWASAWA NA MAKUBALIANO YENU? Je kuziombea unadhani inatakiwa ichukue muda gani?

  • @MonikaSaimoni
    @MonikaSaimoni 2 месяца назад

    Mnamuoneq tu kiboko ya wachawi kwan alikufos siww mwenyewee ulitaman

  • @JaneMashaka
    @JaneMashaka 2 месяца назад

    Huyu jamaa hajui lolote kuhusu Neno la Mungu anataja warumi 14:5 lakini anachotamka ni kingine kabisa. Ndio maana katapeliwa mke na fedha amevuna alichopanda

  • @GraceKazi-z8d
    @GraceKazi-z8d 2 месяца назад

    Mmmmmm vingine vya uongo jmn! Khaaaaaa

  • @DIEUDONNEAMISI-ex4dl
    @DIEUDONNEAMISI-ex4dl 2 месяца назад

    muongo huyu hapa mfate congo

  • @NoelKomba-s9d
    @NoelKomba-s9d 2 месяца назад

    Aende congo kuiombea nchi yake vita viishe

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 2 месяца назад

    UNAWEZA UKAFANYIWE UJAMBAZI HALAFU UKASEMA KUWA simdai chochote Jambazi ?

  • @pilichambo1107
    @pilichambo1107 2 месяца назад

    Ulilazimishwa? Kwanini huku sema siku zote hizo?

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Mimi niliambiwa naota ndoto za nyoka JB nasumbuliwa na kilnge Cha uchaw Bora Mimi lak mbili

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Siku ya mkesha yule mama alikuwa na bint anaanhguka kifafa mbele kabisa aliomba million nne Kwa kuona na kusikia atengeneze kilinge Cha uganga serkali ndy itaamua kongo hakunaardh afungue kanisa

  • @justinethadey
    @justinethadey 2 месяца назад

    Acha uonge mkeo adonolewe na pasta mh

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Kiboko ya wachawi ni kama Des kuvuna na kupanda

  • @AGNESSIMBA-b1f
    @AGNESSIMBA-b1f Месяц назад

    We'weunae muojimwe nzionimchawi naweweunae ojiwanimchawi

  • @RamadhaniKptkpt
    @RamadhaniKptkpt Месяц назад

    Sasa atachukuaje mke wakati yeye ana mke wake mzee ???

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 2 месяца назад

    Anakutisha ndan kwako naona Kuna jeneza ,nabii huyo naona unvuka Barbara utagongwa katkat ya utumbo utumbo wote utoke nje ufe hapohapo hata Mimi nimechoka kabisa manabii serikal msiwape vibali jaman

  • @JumaaMutinda
    @JumaaMutinda 2 месяца назад +1

    Ww nimuongo

  • @IsmaliRachidi
    @IsmaliRachidi 2 месяца назад

    Muongo kweli unataka Kiki tu Fala weww

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 2 месяца назад

    Huyu mzee mjinga😂😂😂 pesa unazo unataka nyingi siufrmason😢

    • @sophiaadson1498
      @sophiaadson1498 2 месяца назад

      Unasubutu kumsemea uongo kweli mfazili mbuz utamla nyama binadamu atakuuzi

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 2 месяца назад

    Hiyo pesa yako aliipata wapi? Kwani alikuja nyumbani au ulipelekea mwenyewe kwa ujinga wako. Wewe hujatapeliwa umekwenda mwenyeweee. Ushaliwa wewe na mkeo keshaliwa kakojoe ukalale

  • @FistonBampe
    @FistonBampe 2 месяца назад

    Jinsi Una viongea ww muhogo

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 2 месяца назад

    Waumini ,mnatetea ujinga pole

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 2 месяца назад

    HUYU JAMAA YUKO SAWA KABISA WALA ASILAUMIWE.

  • @AlfredMtandi
    @AlfredMtandi 2 месяца назад

    Wewe aliyekuma mwambie acha uongo wewe muongo

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 2 месяца назад

    Mkome mnakimbilia miujiza , kala,mke ,napesa ,koma nyie