KUSAH MTOTO SANA KWANGU / HANA LOLOTE - MOSE IYOBO
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Watu wajisifia maendeleo ya kujijenga na mabiashara atii Yeye Ajisifia Passport nne Dah! 🤣🤣🤣🤣
Na sasa ,passport ndio mchongo wenyewe maana kila atakapoenda huaga dill nono sio burebure
Nimependa ghafla couple yao jamaniiiiiiiiiiiiii 🥰🥰🥰🥰
Ruby tulia hapo mwaya bonge la bwana sio yule sungura na tembo wake kizee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbn akiekwa n aunt yy ndo aonekana bi kizee mifupa mitupu
@@mariammwendakazungu5783
Kwani watu wote wanapenda unene ??
Kuna wanaume wanapenda wembamba , wewe nenepeana tu .
@@mariammwendakazungu5783 mwanamke slim body babu weee inahusu kua na kono kama paja la nguruwe 😏abar ya mujini ni ruby na iyobo sio hao sungura na tembo 👌😂😂😂😂😂
@@chayogasperi9783 Hahahahahahah mwambieeeee jana mke zito likikaa kifo cha mende halienuki😂😂😂😂😂😂😂😂😂unazani kama sio uo mserereko uyo kusa angekaa😂
@@khadijaabdullah6328
Kwakwakwakwakwa , mwanamke hata hanyambuki , kono kono , mgongo mgongo hebu atupishe .
Ruby anabebeka , varandani sawa , jikoni haya .
MOSE IYOBO 🤗😍 Wasi kufananishe na Kusah haki 😢
Iyobo I like her coz the way anajibu maswali ni mwanaume na nusu🥰🥰🥰🥰
Sijawahi kumwona Mose Iyobo ana furaha hivi .
Hadi mm Leo ndo namuona akifurahi
@@msaleepita9791
Aunty alimwumiza sana , sasa hivi amepata pa kuondolea hasira zake ( kama ni kweli wanadate )
Kwel
Uyu demu simpendi kingereza chake sijui aangaliagi coment
😆😆😆😆ivi lkn mosse anajikuta nani🙆🏻♂️🙆🏻♂️😆🏃🏃🏃
Huku kenya kusah tunamjua na kumtambua lkn uyu Mose nyobo mmmmmm ako na kisauti kama kitu ingine Hahaha
Yan uyu yobo kafanana na mchekeshaj fln nigaria....mchekeshaj had saut
He is so Happy 😊
Bado Sana huyo ruby hamfikii aunty hata sekunde 5
I like ruby anajielewa sana sio kama ....
Iyobo angekuwa Msani bila video tungesema mwanamke kaimba😬😬😬
Afu we bibi unatamba san amepita kwenye mikono ako wap pka ww😀😀😀
Mose iyobo ni nani kwa kusah
Jamaa vp uyoo mbn anakua Kama mtoto
Rubby anajua Sana yn kwa girls hapa Tanzania ni nomaaa sana
Sasa sikibethen kusah ana nini mose mwambie
Jamani Mose Iyobo yupo full happy
Age pia inachamgiya.kwenye mawasiliano. Pia kukilingana age.m
Mambo hunoga...
Hao Vijana kububurusha Watu wazima ni shida tu
Ukenda kujifunza baadae hujiweka pahala pabaya.
Nyie Wasafiii wajinga kweliii😆😆eti akikupa hata passport 2 nakufaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Haka Kajamaa Nimegundua Kwann Hakapendi Sana Interview....Sauti Yake Yeye Mwenyewe Anaionea Aibu😅😅😅😅
Wivu huo anasauti ya mahaba hadi raha
@@teclamastone7098 😂😂
Kumbuka ha hajajiumba
I like this guy...The Confidence lol and cute Too
"HA HA HA MIMI NI MWANAUME NA NUSU" - iyobo voice😄😄
😂😂😂😂
😂😂
Mose sikuhiz amekuwa mjanja sana nimempenda bule
Passport nne kwani kuna passport aina ngapi jamani...nahitaji kueleweshwa kwakweli...
Military..... diplomatic....etc 😂😂😂😂
Diva huwa ana maswali ya uchonganishi afu anapenda kung'ang'ania maswali kujibiwa kwa lazima
Sana
Umeonaee...atakuja kuleta taharuki siku moja
Hakuna mapenzi hapo Bali nikutuliza machungu ya kutendwa
Hamlali 🤣🤣
Tutalala mchana
U shamba tu lione mishavu yake km mimba ya panya.. Sijaona sababu. Ya kujishau hapo ukajiona ndonmaisha umeyapatia.kwa paspot 4 ndo nn.. .
Nakupenda the way unajieleza, huyo Ezekiel musahahu kabisa
Huyu kaka ni pole mpaka saut yake.
Saaan yani siyo mtu wamanen mengi
Mi sauti yake2 naipenda
Mose namupendag gisi anaongea mose wa sikufananishe na kusah wew mukali san😍😍😍👌🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮
Hand some boy
Nakupenda sana mosse❤❤ uko happy, una confidence ya kujieleza pia ni bonge la Hb😘😘😘😘😘❤
Na ww Unataka kumpiku Rubby nn
🤣🤣😋😋yaan ikiwezekana ntampik muda so mrefu ngoja azubae aone
moses nice
Sisi tunajua aunty kapendezana na kusha...ndio maana wakazaa mtoto mzuri xana .a
Hongera sana sio wale wakuchomana moto
Good
Mose na ruby wanapendezana sana....and yes...they are a power couple.... Truth be said....wasonge tu na maisha yao....they deserve it....luv them both....
Achana na kusah wewe mtu wa T.A utamuwezea wapiii wewe 🤣🤣🤣🤣pole moze
Kusah akona akili maana wajitangaza sana ila mwanaume ajitangazi hivyo kwanza ebu jifikirie mose. Mwanaume koromeo kiwapa ulimwengu yako hujengi ila kama kweli utakosana jiulize
Mose muongo hmpo zmn umeumia kusa alipomchukuwa Anty ezekiel
I never see him this happy
But he's girlish.
@@jacklinengozi2794 Ndio maumbile yake bt yupo sawa tu
Ni kweli
Kussah hajawahi kukuongelea emb nyamaza we Iyobo Anty na Kussah wanaendana mbaya kabisa we pambana tu hali yako nakuona kama unapagawa hivi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ishu sio kuendan ishu n mwanamke kulea mtoto na baba inachosha😀😀😀
Duh sikwaraha hiyo jimwagemwage mtoto wa kiume
💞💞💞this guy.🤔
😂😂😂
Diva we tanga ulizaliwa lini, ww nmhaya babaako mhaya pure, anaitwa jamar malinzi
😂mchane Ana sifa ka nini
Tanga raha wap ruby kula mali hio mmaliziaji kila leo mmbay sasa timiza ubaya huoo
Lulu naomba niwe na wewe Kama hauto jali
Achana n maneno mengi we angalia maisha yako to
Nakukubbal sna mose
Mashallah
Sasa watoto wao sitayali ni ndugu au mi ndo sielew
Amefurahi iyobo
Nomaaaa
auntie amemzalilisha sanaa moza na ww funguka ya moyoni baba
🤩🤩
Nakupenda mshikaji wangu we kiboko
Nakupenda San mpole San yob
Komaa achana na watuwazima
Iyobooooooo nakubali saaanaaaaa
Mbona leo diva kawa mfupi
Una lazimisha fhuraa wakati hauna fhuraa moze
Me nikafikiri kondeboy wa simba
Aiseee jamaa ana furaha balaaa
Jamani haya yanaitwaje kimombo ?🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha
Mafrekeshenga
Jamaaa anafurahaa uyu kumpata ruby😁😁😁
Diva kila m2 umemlea
Sijawahi skiaga sauti yake 🥲🥲
Moze nakupenda bure mie
Diva ivi wewe una mtoto???
Wow ana furaha hadi raha
Kweni huy sauti Yake ipo vipi
Moze bana ayabana
Wana beef ya demu 🤣
Kwel tumepigwa
Safiii
Na sio prassport ni passport 🤣
Jamani watu hawalali mungu wangu
🤣🤣🤣🤣🤣walai hii zaidi ya movie
Mose anafurahaaaa uyooo....
Nakubali mose saf snaa
Jamaa mbona hasomeki mashauz kibao
Ndo alivyo unataka kumbadilisha
Hapo inaonesha analipiza huyo ,,upendo bado upo Kwa aunt
Senge Iyobo nmecheka ur happy 😊 enjoy mzee baba
Kaza sauti wacha usenge
We unafikili kila mtu anasauti ngumu Kama yako
@@emmanueljoseph2576 wambie wanataka wte wafanane hio ni sauti yamahabbah wamuache mtt wa watu
@@bahatihassan5413 anafikri kila mtu anasauti ngumu Kama maisha yake
Diva wengi wamepita kwako bt hutaki kuitwa bibi .
😂😂😂😂😂
He"s handsome guy looks good
really.
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
Iyobo badman ♨️♨️♨️
Ila mose shangingi 🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥
Shangingi na nusu🤣🤣🤣
Hhahaaa balaaa
🤣🤣🤣
Musimpe sifa za kijinga sauti yake mwenyewe nikama msengeee
Kwan ww ndo muumbaji
Msimtukane Mungu,sauti ajajipea,kapewa na Mungu
@@MohammedAli-vq2dk mamako ndie mumbaji
@@alexpiko1497 fata lako ww
Unapenda Sana wasenge siyo nainavyoonekana kwenu kuna msenge ndio maana unawajua Sana Kama siyo babaako Basi kakaako unajifanya unamdomo Sana Malaya wewe mtoto Wa kahaba
we subiri anty achomoe weakness zako msenge ww. U r nt even a gentleman.husiongelee vibaya mtu aliye kuzalia mtoto u hv 2 respect her.
Msenge wewe mwenyewe kwan nan hamjui aunt
yaani nimeipenda hyo mwagika kibaba cha ruby
@@masalakulwa7601 u hv 2 get my point dear, co-parenting ndio kitu cha msingi
🤣🤣
Waaaaooooo
Raha we we makaka😋🙏