KUSAH MTOTO SANA KWANGU / HANA LOLOTE - MOSE IYOBO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 165

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 3 года назад +4

    Watu wajisifia maendeleo ya kujijenga na mabiashara atii Yeye Ajisifia Passport nne Dah! 🤣🤣🤣🤣

    • @mariamsaid7076
      @mariamsaid7076 3 года назад +1

      Na sasa ,passport ndio mchongo wenyewe maana kila atakapoenda huaga dill nono sio burebure

  • @winfridapeter969
    @winfridapeter969 3 года назад +7

    Nimependa ghafla couple yao jamaniiiiiiiiiiiiii 🥰🥰🥰🥰

  • @khadijaabdullah6328
    @khadijaabdullah6328 3 года назад +16

    Ruby tulia hapo mwaya bonge la bwana sio yule sungura na tembo wake kizee🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mariammwendakazungu5783
      @mariammwendakazungu5783 3 года назад

      Mbn akiekwa n aunt yy ndo aonekana bi kizee mifupa mitupu

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 3 года назад

      @@mariammwendakazungu5783
      Kwani watu wote wanapenda unene ??
      Kuna wanaume wanapenda wembamba , wewe nenepeana tu .

    • @khadijaabdullah6328
      @khadijaabdullah6328 3 года назад +1

      @@mariammwendakazungu5783 mwanamke slim body babu weee inahusu kua na kono kama paja la nguruwe 😏abar ya mujini ni ruby na iyobo sio hao sungura na tembo 👌😂😂😂😂😂

    • @khadijaabdullah6328
      @khadijaabdullah6328 3 года назад +1

      @@chayogasperi9783 Hahahahahahah mwambieeeee jana mke zito likikaa kifo cha mende halienuki😂😂😂😂😂😂😂😂😂unazani kama sio uo mserereko uyo kusa angekaa😂

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 3 года назад +1

      @@khadijaabdullah6328
      Kwakwakwakwakwa , mwanamke hata hanyambuki , kono kono , mgongo mgongo hebu atupishe .
      Ruby anabebeka , varandani sawa , jikoni haya .

  • @uwitekamimy3431
    @uwitekamimy3431 3 года назад +8

    MOSE IYOBO 🤗😍 Wasi kufananishe na Kusah haki 😢

  • @doreenkiki6732
    @doreenkiki6732 3 года назад +5

    Iyobo I like her coz the way anajibu maswali ni mwanaume na nusu🥰🥰🥰🥰

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 3 года назад +25

    Sijawahi kumwona Mose Iyobo ana furaha hivi .

    • @msaleepita9791
      @msaleepita9791 3 года назад

      Hadi mm Leo ndo namuona akifurahi

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 3 года назад +2

      @@msaleepita9791
      Aunty alimwumiza sana , sasa hivi amepata pa kuondolea hasira zake ( kama ni kweli wanadate )

    • @saraphinasalila9202
      @saraphinasalila9202 3 года назад

      Kwel

  • @adinanamri8816
    @adinanamri8816 3 года назад

    Uyu demu simpendi kingereza chake sijui aangaliagi coment

  • @naimanuran2663
    @naimanuran2663 3 года назад +1

    😆😆😆😆ivi lkn mosse anajikuta nani🙆🏻‍♂️🙆🏻‍♂️😆🏃🏃🏃

  • @rokadigitalgroup0033
    @rokadigitalgroup0033 Год назад

    Huku kenya kusah tunamjua na kumtambua lkn uyu Mose nyobo mmmmmm ako na kisauti kama kitu ingine Hahaha

  • @allymkenda8651
    @allymkenda8651 3 года назад +2

    Yan uyu yobo kafanana na mchekeshaj fln nigaria....mchekeshaj had saut

  • @gaudenciakaweu3056
    @gaudenciakaweu3056 3 года назад +16

    He is so Happy 😊

  • @kiya0910
    @kiya0910 Год назад

    Bado Sana huyo ruby hamfikii aunty hata sekunde 5

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 3 года назад +5

    I like ruby anajielewa sana sio kama ....

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 3 года назад +7

    Iyobo angekuwa Msani bila video tungesema mwanamke kaimba😬😬😬

  • @mathiaskizito9780
    @mathiaskizito9780 3 года назад +1

    Afu we bibi unatamba san amepita kwenye mikono ako wap pka ww😀😀😀

  • @rokadigitalgroup0033
    @rokadigitalgroup0033 Год назад

    Mose iyobo ni nani kwa kusah

  • @peterwilliam8604
    @peterwilliam8604 3 года назад

    Jamaa vp uyoo mbn anakua Kama mtoto

  • @stallionog8919
    @stallionog8919 3 года назад +1

    Rubby anajua Sana yn kwa girls hapa Tanzania ni nomaaa sana

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 3 года назад +2

    Sasa sikibethen kusah ana nini mose mwambie

  • @noufalalfalahi6491
    @noufalalfalahi6491 3 года назад +1

    Jamani Mose Iyobo yupo full happy
    Age pia inachamgiya.kwenye mawasiliano. Pia kukilingana age.m
    Mambo hunoga...
    Hao Vijana kububurusha Watu wazima ni shida tu
    Ukenda kujifunza baadae hujiweka pahala pabaya.

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 3 года назад

    Nyie Wasafiii wajinga kweliii😆😆eti akikupa hata passport 2 nakufaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 3 года назад +8

    Haka Kajamaa Nimegundua Kwann Hakapendi Sana Interview....Sauti Yake Yeye Mwenyewe Anaionea Aibu😅😅😅😅

  • @gaudenciakaweu3056
    @gaudenciakaweu3056 3 года назад +6

    I like this guy...The Confidence lol and cute Too

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 3 года назад +15

    "HA HA HA MIMI NI MWANAUME NA NUSU" - iyobo voice😄😄

  • @amongodfrey7266
    @amongodfrey7266 3 года назад +2

    Mose sikuhiz amekuwa mjanja sana nimempenda bule

  • @juliarabie7024
    @juliarabie7024 3 года назад +1

    Passport nne kwani kuna passport aina ngapi jamani...nahitaji kueleweshwa kwakweli...

    • @lennympole5910
      @lennympole5910 3 года назад

      Military..... diplomatic....etc 😂😂😂😂

  • @jeniphermsaki2627
    @jeniphermsaki2627 3 года назад +4

    Diva huwa ana maswali ya uchonganishi afu anapenda kung'ang'ania maswali kujibiwa kwa lazima

  • @zamoyaniddy9992
    @zamoyaniddy9992 3 года назад +1

    Hakuna mapenzi hapo Bali nikutuliza machungu ya kutendwa

  • @rahmasaid762
    @rahmasaid762 3 года назад +6

    Hamlali 🤣🤣

    • @Myootz
      @Myootz 3 года назад

      Tutalala mchana

  • @tatubadi9010
    @tatubadi9010 3 года назад

    U shamba tu lione mishavu yake km mimba ya panya.. Sijaona sababu. Ya kujishau hapo ukajiona ndonmaisha umeyapatia.kwa paspot 4 ndo nn.. .

  • @floraundisa3688
    @floraundisa3688 3 года назад +8

    Nakupenda the way unajieleza, huyo Ezekiel musahahu kabisa

  • @ayushjhay1979
    @ayushjhay1979 3 года назад +6

    Huyu kaka ni pole mpaka saut yake.

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 2 года назад

    Mose namupendag gisi anaongea mose wa sikufananishe na kusah wew mukali san😍😍😍👌🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮

  • @enjoomaliya1399
    @enjoomaliya1399 3 года назад

    Hand some boy

  • @patriciamwenda5428
    @patriciamwenda5428 3 года назад +1

    Nakupenda sana mosse❤❤ uko happy, una confidence ya kujieleza pia ni bonge la Hb😘😘😘😘😘❤

    • @sanimoclassic1917
      @sanimoclassic1917 3 года назад

      Na ww Unataka kumpiku Rubby nn

    • @patriciamwenda5428
      @patriciamwenda5428 3 года назад

      🤣🤣😋😋yaan ikiwezekana ntampik muda so mrefu ngoja azubae aone

  • @mogenesebastien141
    @mogenesebastien141 3 года назад

    moses nice

  • @mapenzishindoshindo4939
    @mapenzishindoshindo4939 3 года назад +2

    Sisi tunajua aunty kapendezana na kusha...ndio maana wakazaa mtoto mzuri xana .a

  • @stellamwakatulile3202
    @stellamwakatulile3202 3 года назад +1

    Hongera sana sio wale wakuchomana moto

  • @joycengigwa7400
    @joycengigwa7400 2 года назад

    Good

  • @pepematuja9989
    @pepematuja9989 3 года назад

    Mose na ruby wanapendezana sana....and yes...they are a power couple.... Truth be said....wasonge tu na maisha yao....they deserve it....luv them both....

  • @fzafza6746
    @fzafza6746 3 года назад +2

    Achana na kusah wewe mtu wa T.A utamuwezea wapiii wewe 🤣🤣🤣🤣pole moze

  • @sofibaby1800
    @sofibaby1800 3 года назад

    Kusah akona akili maana wajitangaza sana ila mwanaume ajitangazi hivyo kwanza ebu jifikirie mose. Mwanaume koromeo kiwapa ulimwengu yako hujengi ila kama kweli utakosana jiulize

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 3 года назад

    Mose muongo hmpo zmn umeumia kusa alipomchukuwa Anty ezekiel

  • @rahmaqassim6660
    @rahmaqassim6660 3 года назад +20

    I never see him this happy

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 года назад +1

    Kussah hajawahi kukuongelea emb nyamaza we Iyobo Anty na Kussah wanaendana mbaya kabisa we pambana tu hali yako nakuona kama unapagawa hivi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @olivermfinanga1268
      @olivermfinanga1268 3 года назад

      Ishu sio kuendan ishu n mwanamke kulea mtoto na baba inachosha😀😀😀

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 года назад

    Duh sikwaraha hiyo jimwagemwage mtoto wa kiume

  • @nellyflo9736
    @nellyflo9736 3 года назад +2

    💞💞💞this guy.🤔

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 3 года назад +1

    😂😂😂

  • @siginganzi396
    @siginganzi396 3 года назад

    Diva we tanga ulizaliwa lini, ww nmhaya babaako mhaya pure, anaitwa jamar malinzi

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 3 года назад

    Tanga raha wap ruby kula mali hio mmaliziaji kila leo mmbay sasa timiza ubaya huoo

  • @alialijuma9610
    @alialijuma9610 3 года назад

    Lulu naomba niwe na wewe Kama hauto jali

  • @randx1158
    @randx1158 3 года назад

    Achana n maneno mengi we angalia maisha yako to

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 3 года назад +1

    Nakukubbal sna mose
    Mashallah

  • @cecilialeonard7100
    @cecilialeonard7100 3 года назад

    Sasa watoto wao sitayali ni ndugu au mi ndo sielew

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 3 года назад +1

    Amefurahi iyobo

  • @zuriathdasilver810
    @zuriathdasilver810 3 года назад +1

    Nomaaaa

  • @fanjosfaraja2354
    @fanjosfaraja2354 3 года назад

    auntie amemzalilisha sanaa moza na ww funguka ya moyoni baba

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar 3 года назад

    🤩🤩

  • @ngotimemwangasi4839
    @ngotimemwangasi4839 3 года назад

    Nakupenda mshikaji wangu we kiboko

  • @irinemonga4344
    @irinemonga4344 3 года назад

    Nakupenda San mpole San yob

  • @umidunia754
    @umidunia754 3 года назад +1

    Komaa achana na watuwazima

  • @khatibnassor4255
    @khatibnassor4255 3 года назад

    Mbona leo diva kawa mfupi

  • @mariammrope4420
    @mariammrope4420 3 года назад

    Una lazimisha fhuraa wakati hauna fhuraa moze

  • @piusjuma4864
    @piusjuma4864 3 года назад

    Me nikafikiri kondeboy wa simba

  • @aysherkhamis1803
    @aysherkhamis1803 3 года назад

    Aiseee jamaa ana furaha balaaa

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +1

    Jamani haya yanaitwaje kimombo ?🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ismailmasanilo7018
    @ismailmasanilo7018 3 года назад

    Jamaaa anafurahaa uyu kumpata ruby😁😁😁

  • @rashmcchiluz6916
    @rashmcchiluz6916 3 года назад

    Diva kila m2 umemlea

  • @modareal6787
    @modareal6787 3 года назад

    Sijawahi skiaga sauti yake 🥲🥲

  • @mapenzisorotanizimbazimba8742
    @mapenzisorotanizimbazimba8742 3 года назад

    Moze nakupenda bure mie

  • @henryurembo9980
    @henryurembo9980 3 года назад

    Diva ivi wewe una mtoto???

  • @neemambaule6032
    @neemambaule6032 3 года назад

    Wow ana furaha hadi raha

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 года назад

    Kweni huy sauti Yake ipo vipi

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini645 3 года назад

    Moze bana ayabana

  • @ajearamazani9058
    @ajearamazani9058 3 года назад

    Wana beef ya demu 🤣

  • @nicksonchesco233
    @nicksonchesco233 3 года назад

    Kwel tumepigwa

  • @hadijambwana9068
    @hadijambwana9068 3 года назад

    Safiii

  • @buyenzikibenga9028
    @buyenzikibenga9028 3 года назад +4

    Na sio prassport ni passport 🤣

  • @usiuzikeshabani4618
    @usiuzikeshabani4618 3 года назад +1

    Jamani watu hawalali mungu wangu

  • @khadijakheir9323
    @khadijakheir9323 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣walai hii zaidi ya movie

  • @chichi-gp4ss
    @chichi-gp4ss 3 года назад

    Mose anafurahaaaa uyooo....

  • @hadijambwana9068
    @hadijambwana9068 3 года назад

    Nakubali mose saf snaa

  • @zafarmohamedy3013
    @zafarmohamedy3013 3 года назад

    Jamaa mbona hasomeki mashauz kibao

  • @sarahlenard2997
    @sarahlenard2997 3 года назад +1

    Hapo inaonesha analipiza huyo ,,upendo bado upo Kwa aunt

  • @hawamatuta1905
    @hawamatuta1905 3 года назад

    Senge Iyobo nmecheka ur happy 😊 enjoy mzee baba

  • @dhadhirdhadhiroo71
    @dhadhirdhadhiroo71 3 года назад

    Kaza sauti wacha usenge

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 3 года назад

      We unafikili kila mtu anasauti ngumu Kama yako

    • @bahatihassan5413
      @bahatihassan5413 3 года назад

      @@emmanueljoseph2576 wambie wanataka wte wafanane hio ni sauti yamahabbah wamuache mtt wa watu

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 3 года назад

      @@bahatihassan5413 anafikri kila mtu anasauti ngumu Kama maisha yake

  • @abdulkhalim5564
    @abdulkhalim5564 3 года назад +1

    Diva wengi wamepita kwako bt hutaki kuitwa bibi .

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 3 года назад

    He"s handsome guy looks good

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 3 года назад

    🤣🤣🤣

  • @chibooofficial7798
    @chibooofficial7798 3 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @someonechivihis6282
    @someonechivihis6282 3 года назад +4

    Iyobo badman ♨️♨️♨️

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 3 года назад +2

    Ila mose shangingi 🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥

  • @syphroseshazala6854
    @syphroseshazala6854 3 года назад

    🤣🤣🤣

  • @salmaabdull9872
    @salmaabdull9872 3 года назад

    Musimpe sifa za kijinga sauti yake mwenyewe nikama msengeee

    • @MohammedAli-vq2dk
      @MohammedAli-vq2dk 3 года назад

      Kwan ww ndo muumbaji

    • @alexpiko1497
      @alexpiko1497 3 года назад +2

      Msimtukane Mungu,sauti ajajipea,kapewa na Mungu

    • @salmaabdull9872
      @salmaabdull9872 3 года назад

      @@MohammedAli-vq2dk mamako ndie mumbaji

    • @salmaabdull9872
      @salmaabdull9872 3 года назад

      @@alexpiko1497 fata lako ww

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 3 года назад

      Unapenda Sana wasenge siyo nainavyoonekana kwenu kuna msenge ndio maana unawajua Sana Kama siyo babaako Basi kakaako unajifanya unamdomo Sana Malaya wewe mtoto Wa kahaba

  • @chisaid3999
    @chisaid3999 3 года назад +4

    we subiri anty achomoe weakness zako msenge ww. U r nt even a gentleman.husiongelee vibaya mtu aliye kuzalia mtoto u hv 2 respect her.

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 3 года назад +1

      Msenge wewe mwenyewe kwan nan hamjui aunt

    • @magemgash511
      @magemgash511 3 года назад

      yaani nimeipenda hyo mwagika kibaba cha ruby

    • @chisaid3999
      @chisaid3999 3 года назад

      @@masalakulwa7601 u hv 2 get my point dear, co-parenting ndio kitu cha msingi

  • @nanangendakumana5632
    @nanangendakumana5632 3 года назад

    🤣🤣

  • @marynyabenda4414
    @marynyabenda4414 3 года назад +1

    Waaaaooooo

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 3 года назад

    Raha we we makaka😋🙏