Yaani kelele nyingi pointless. Kimsingi wamevurugwa hawajui washike wapi. Wakishinda mechi mbili wanaongea nyodo, kusifia wachezaji wao na Gadiola wao mnene utadhani tayari wamebeba kombe mpaka wanasahau tatizo lao la msingi. Huwezi kuwasikia tena wakitaka viongozi wao wajiuzuru. Kibao kikigeuka ndo unawasikia wanaanza kuropka ropoka kama hivi. Kifupu hawa ni mbumbumbu wasiojua wanataka nini.
Kumbe ndio maana kocha Benchikha kasema hawa wachezaji hawafundishikii! Tunapoteza mechi au tunaingia mazoezini wachezaji wananengua viuno? Kweli? Tunataka Simba Mpya ikiwa na wachezaji Wapya wa viwango vya juu kabisa.
Jana tu hoja imebadirika tena sasa hivi sio Mgunda bonge la kocha ila wachezaji wanakatika miuno🤔. Hii timu inavurugwa na mashabiki wasio na akili wenye kutaka kuonekana wana uchungu kumbe akili ndogo. Yaani historia ya timu unaijua tangu 1936 lakini akili ya shule ukakosa hadi ukafoji vyeti vya ualimu🫢
Hajafoji vyeti alienda crash program kwa ajili ya kutosheleza ualimu katika shule za.secondary za kata magufuli alipoingia madarakani akafuta mpango huo pamoja wa.Na walimu wote aliwafukuza .
Washabiki wa simba wanao pelekewa maiki baada ya metch ndo wanao ipoteza team maana wa naongea Sana mpaka wanaboa Jana walikuja wanasema mgunda abaki Leo wachezaji wanasahau team haipo Sawa toka league inaanza saabu ya maneno Yao, yanawafanya wachezaji wasicheze kwa molali saabu Kuna mda wanakashifu Wana sababisha comments nyingi washabiki watukane acheni kuongea Sana mnaboa nyie ndo tatizo. Naacha kuwalaumu tff mnakomaa na wachezaji, alajiga kachezeshe metch 3 zote kubwa dhid ya simba na zote katoa penalty na kawanyima simba penalty, tff simba waemcheza ijumaa jpili anacheza Tena, yanga waemcheza alhamisi anacheza j3, ivi huoni kama Kuna team inabebwa na inatengenezewa matokeo,? Wasikilizeni wenzenu yanga wenyewe Wana dill na makosa ya tff sio wachezaji wao acheni makelele kuhusu wachezaji
We nawe hujielewi. Unasema Yanga anabebwa kwa ratiba yaani tayari umejisahaulisha Yanga alicheza mechi 8 mfululizo wakati nyie mnapewa likizo. Lengo ilikuwa ni kumfanya yanga atumie nguvu nyingi kwenye ligi halafu ashindwe kufanya vizuri kimataifa lakini kwakuwa Yanga ni wanajielewa wakajipanga na kufanya vizuri. Nyie watoto pendwa nguruwe fc mkalundikiwa viporo kibao kwenye ligi wakijua wanawasaidia sasa mnatakiwa kula viporo vyenu mfululizo mnaanza kupiga mayowe. Pambaneni na hali yenu tuliza nya. Swali unijibu, Je Mangungu na Tryagain wajiuzuru au wabaki? Je Mo awachie timu yenu au aendelee? Bila kutoa majibu ya maswali hayo mtaendelea kuteseka mpaka akili ziwakae. Simba hoyeeeeeeeee Simba nguvu moja japo hiyo nguvu ni ya kike.
HADI MSIMU IKIISHA GB64 MISHIPA YA SHINGO IPO HOI 😂😂😂😂😂😂
Yaani kelele nyingi pointless. Kimsingi wamevurugwa hawajui washike wapi.
Wakishinda mechi mbili wanaongea nyodo, kusifia wachezaji wao na Gadiola wao mnene utadhani tayari wamebeba kombe mpaka wanasahau tatizo lao la msingi. Huwezi kuwasikia tena wakitaka viongozi wao wajiuzuru.
Kibao kikigeuka ndo unawasikia wanaanza kuropka ropoka kama hivi. Kifupu hawa ni mbumbumbu wasiojua wanataka nini.
Mbona unabweka shekhe na kombe umebeba😅😅
We na bwana ako gb mbona mnabweka na mlishinda muungano au ndo ushasahau kichwa panzi🙄@@leonardmhagama5828
Gb 64 Simba hii daa inatutesa ila najua itakaa sawa
kolo linatumia nguvu mishipa imesimama mate kila kona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umepoteza uelekewe ww hakuna timu isio pitia nyakati kama hizo acha ushamba
Kweli kaka. Wachezaji hawana hawajitumi wana waza mishahara yao tu
HUYU NA KISUGU KUPIGA KELELE NDO WAAFIKIRI NDO KUONGEA POINT
We naye fala sasa mtu asi enjoy maisha yake!
Hayo ni maisha yake binafsi bn Gb all in all ❤❤❤
VIPI BADO MNATAKA KURUDIANA TIMU ZOTE MLIZOCHEZA NAZO WAKATI MGUNDA HAYUPO!?
Hunaakili wewe onanan anausikaje na ubovu was simba
Honest Yanga wamejipanga physical and mentality, huwez kushindana nao kiuhalisia.
😂😂😂😂😂😂 kisha kua chizi huyo jamaa
Saiv simba kuusu crub bingwaa basii tens tukubaliii jamn
Mbona mlikuwa mnamponda mkunde mala mlevi leo mnamkubali
Sio kucheza mziki tu wachezaji wote wasimba wanacheza mechi huku wanatafuna BIG G haya mambo gani
Azamu ana point 60 simba klabu bingwa bai,
Kumbe ndio maana kocha Benchikha kasema hawa wachezaji hawafundishikii!
Tunapoteza mechi au tunaingia mazoezini wachezaji wananengua viuno? Kweli?
Tunataka Simba Mpya ikiwa na wachezaji Wapya wa viwango vya juu kabisa.
ya Chelsea ulilala😂
Yani GB achaa jana wanarudisha goli kizembe kabisa wachezaji hawako serious kabisa, Waambie wanatukera mno
Mjinga ww pira limfanye mtu asicheze mziki kisa mpira hebu acha ww uchizi mshabiki mandazi ww acha ushamba usiwabane wachezaji wasipate burudani ya mziki
Jana tu hoja imebadirika tena sasa hivi sio Mgunda bonge la kocha ila wachezaji wanakatika miuno🤔. Hii timu inavurugwa na mashabiki wasio na akili wenye kutaka kuonekana wana uchungu kumbe akili ndogo. Yaani historia ya timu unaijua tangu 1936 lakini akili ya shule ukakosa hadi ukafoji vyeti vya ualimu🫢
Hajafoji vyeti alienda crash program kwa ajili ya kutosheleza ualimu katika shule za.secondary za kata magufuli alipoingia madarakani akafuta mpango huo pamoja wa.Na walimu wote aliwafukuza
.
Sasa ndio umeandika nn hapo umerahisisha lakini kujua wewe ni kopo la chooni na gb64 ninkikombe cha chai
We ndo choo kabisa kama sio lile tundu lenyewe la kutolea mavi mbwa wewe@@leonardmhagama5828
Ndo alivyokudanganya@@chidampiri1012
Hahaaa we ndo choo chenyewe kama sio tundu linalotolea mavi mbwa wewe@@leonardmhagama5828
Bado hamjasema,maji kupwa na kujaa.Je,Mgunda ni zaidi ya Benchika?
Mbona hamueleweki simba mnanini.endeleeni kujisifia maovu yenu na madomo yenu na bado kuku nyie
huyu anavuta bangi sibure shabiki matokeo hao😂 na ukiwa yabiki matokeo utateseka kila siku
Ko Joselu ni mtoto mdogo😅😅. Daah Aya bn
Washabiki wa simba wanao pelekewa maiki baada ya metch ndo wanao ipoteza team maana wa naongea Sana mpaka wanaboa Jana walikuja wanasema mgunda abaki Leo wachezaji wanasahau team haipo Sawa toka league inaanza saabu ya maneno Yao, yanawafanya wachezaji wasicheze kwa molali saabu Kuna mda wanakashifu Wana sababisha comments nyingi washabiki watukane acheni kuongea Sana mnaboa nyie ndo tatizo. Naacha kuwalaumu tff mnakomaa na wachezaji, alajiga kachezeshe metch 3 zote kubwa dhid ya simba na zote katoa penalty na kawanyima simba penalty, tff simba waemcheza ijumaa jpili anacheza Tena, yanga waemcheza alhamisi anacheza j3, ivi huoni kama Kuna team inabebwa na inatengenezewa matokeo,? Wasikilizeni wenzenu yanga wenyewe Wana dill na makosa ya tff sio wachezaji wao acheni makelele kuhusu wachezaji
We nawe hujielewi. Unasema Yanga anabebwa kwa ratiba yaani tayari umejisahaulisha Yanga alicheza mechi 8 mfululizo wakati nyie mnapewa likizo. Lengo ilikuwa ni kumfanya yanga atumie nguvu nyingi kwenye ligi halafu ashindwe kufanya vizuri kimataifa lakini kwakuwa Yanga ni wanajielewa wakajipanga na kufanya vizuri.
Nyie watoto pendwa nguruwe fc mkalundikiwa viporo kibao kwenye ligi wakijua wanawasaidia sasa mnatakiwa kula viporo vyenu mfululizo mnaanza kupiga mayowe.
Pambaneni na hali yenu tuliza nya.
Swali unijibu, Je Mangungu na Tryagain wajiuzuru au wabaki?
Je Mo awachie timu yenu au aendelee?
Bila kutoa majibu ya maswali hayo mtaendelea kuteseka mpaka akili ziwakae.
Simba hoyeeeeeeeee
Simba nguvu moja japo hiyo nguvu ni ya kike.
daah sema kaka sema toa nyongo 😅😅
daah sema kaka sema toa nyongo 😅😅
Kumbe shida ndo io
Wape elimu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥