GB 64 AWAKA KWA HASIRA CHAMA AKIONDOKA SIMBA NAACHA KUSHABIKIA SIMBA, MIQUISSONE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 май 2024
  • Mashabiki wa simba
  • СпортСпорт

Комментарии • 33

  • @SarafinaNaheka-cs6ws
    @SarafinaNaheka-cs6ws Месяц назад

    Uko sawa brother chama sio sahihi kumuacha

  • @user-vw2ux5sh4x
    @user-vw2ux5sh4x Месяц назад +2

    Chamaaaaa oyeeeeee GB64 upo sawa sana

  • @christopherlugalala9828
    @christopherlugalala9828 Месяц назад +2

    Ni kweli mwamba huyo chama baba lao

  • @user-vm8pg4yj6u
    @user-vm8pg4yj6u Месяц назад +1

    Chamaamaa azeeke simba

  • @vicentstephenjr4766
    @vicentstephenjr4766 Месяц назад

    Wew GB tulikupenda ila unasema upuuzi, Chama, Saido, Jobe, Luise, Onana na Ayub wote waomdoke, tunataka mabadiliko

  • @stellamboya8673
    @stellamboya8673 Месяц назад

    Acha ujinga Leo ndio umeongea pumba aswaa chama muache aende

  • @KaizerEdwin
    @KaizerEdwin 8 дней назад

    Kwahy una taka chama afie simba we mshambaa nn

  • @mamu-ji4wl
    @mamu-ji4wl Месяц назад

    Ila father huu kichwaa namkubali san

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 Месяц назад

    Huyu GB nashindwa kumuelewa kama ingekuwa hivyo,Yanga asinge waacha Yaniki bangala,Shabani juma Kisinda walikuwa na mchango mkubwa pale yanga,wasingeachwa,lakini Yanga waliwaacha.Sasa hiki ndiyo kumjengea kiburi yanga.

  • @user-pr6ng3zu9c
    @user-pr6ng3zu9c 12 дней назад

    Kaka auna akili kwani chama ni mungu was simb

  • @GodfreyLupinda
    @GodfreyLupinda Месяц назад

    Huyu anakoelekea abaki yeye na chama

  • @jescaisack8676
    @jescaisack8676 Месяц назад

    Wewe uko simba kwa ajili ya chama acha ujinga mwache aende

  • @maguosenior7809
    @maguosenior7809 Месяц назад +1

    Wewe mwanachama wa wachezaji ondoka na mchezaji wako.wameppita wachezaji wazuri kuliko chama.

  • @ishe_ngo8926
    @ishe_ngo8926 Месяц назад

    Wewe kama unataka kwenda Yanga na Chama wako nenda tu husituzingue

  • @jescaisack8676
    @jescaisack8676 Месяц назад

    Kwani ukiacha kushabikia wewe aitaitwa simba acha aondoke chama kazeeka uyo anabahatisha mda mwingine mbona tumetolewa na mashujaa na chama alikuwepo

  • @GaspaMwamlima
    @GaspaMwamlima Месяц назад

    Kweliiiii kabisaaaaaa

  • @user-rg4vd9fu8s
    @user-rg4vd9fu8s Месяц назад

    😂😂😂👏👏👏

  • @vicentstephenjr4766
    @vicentstephenjr4766 Месяц назад

    Acha kushabikia, kwani wew nani

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 2 дня назад

    Wachambuzi mtafuteni huyu jamaa

  • @dstaroficial
    @dstaroficial Месяц назад +1

    Acha ushamba ww mpira wakisasa hauend kwa mchzaj kama chama

    • @user-vw2ux5sh4x
      @user-vw2ux5sh4x Месяц назад

      Mshamba wewe ila chama baba lao chama oyeeeeee

    • @safiliMuhammad
      @safiliMuhammad Месяц назад

      Kuna. Mambo nakukubali kwa manufaa ya Simba kwa hili hapana na ndio maana avimba kichwa anajiona mkubwa kuliko simba

    • @user-vw2ux5sh4x
      @user-vw2ux5sh4x Месяц назад

      @@safiliMuhammad kuna watu wanapewa majina hayaendani mbona husemi wakina Fredy fungafunga anakufhnga kitu kwa chama apewe mxua yake atavyojiona simba na ajione ila sifayake ampe hata mm nakuamini chama

  • @user-pr6ng3zu9c
    @user-pr6ng3zu9c 12 дней назад

    Kaka acha ujinga

  • @fadhilishomari133
    @fadhilishomari133 Месяц назад

    Huyu jamaa sas hivi anaropoka haongei facts, yani yeye anashangilia simba kwa ajili ya Chama

    • @rabinmarco3782
      @rabinmarco3782 Месяц назад

      Anasema ukwel ndo inavyo takiwa watu waamke huko walpo lala viongoz wa Simba

    • @fadhilishomari133
      @fadhilishomari133 Месяц назад

      @@rabinmarco3782 Yani kwamba shabiki anayesema mchezaji fulani ambaye unaona kabisa kila msimu ukikaribia kuisha anafanya visa kisa kajua anapendwa sana na amefanya mengi basi na wew ndio unahama? HUYO HAWEZI KUWA SHABIKI WA KWELI

  • @nellykira7812
    @nellykira7812 Месяц назад

    Acha tu

  • @safiliMuhammad
    @safiliMuhammad Месяц назад

    Acha. Ujinga Simba ipo. Kabla wewe na chama hamjazaliwa

  • @madenge731
    @madenge731 Месяц назад

    ....eti mchambuzi ana miaka 24 halafu anachambua mpira, je huo mpira kaucheza ana miaka mingapi??? 🤣🤣🤣🤣