MASHABIKI SIMBA TUMEMSAJILI FEISAL MSIMU UJAO/FEISAL NDIYO MFUNGAJI BORA/ANATAKA KUCHEZA SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 май 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 41

  • @esmondleo3617
    @esmondleo3617 18 дней назад +1

    Mmeanza porojo kweli mashabiki njaaa

  • @gadisonmichael7805
    @gadisonmichael7805 24 дня назад +3

    uto wanaumia jamaa akimwaga inge.nge.😊

  • @mdheewatz1745
    @mdheewatz1745 19 дней назад +1

    Huyu jamaa apimwe akili

  • @esmondleo3617
    @esmondleo3617 18 дней назад +1

    Miraji tusiaajili kwa mdomo

  • @user-uf8ot1mq8c
    @user-uf8ot1mq8c 6 дней назад

    Huyu daktari wa kienyeji

  • @drallan6879
    @drallan6879 24 дня назад +2

    Acha hizo

  • @esmondleo3617
    @esmondleo3617 18 дней назад

    Porojo😊😊

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 22 дня назад +1

    anasumbuliwa Sana Na njaaa rofa huyo

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 23 дня назад +1

    Lakini mo asimamie mwenyewe

  • @methodpeter1323
    @methodpeter1323 22 дня назад +1

    Sasa unatoa Siri za Nin we muache aendeee

  • @SabangaOnline-uf3rl
    @SabangaOnline-uf3rl 9 дней назад

    Amekua kama mzazi Anaeumwa uchungu usie changanya

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 24 дня назад +1

    Ulikuwa ukitoa maneno mazuri lakini toka ulivoanza kuwa chawa ndipo ulipo anza kuharibu interview zako

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 24 дня назад

    Chama aende anatuhujumu na inonga wanatuhujumu waende na hao ndiyo anguko la simba

  • @husseinmillinga
    @husseinmillinga 24 дня назад +1

    Aka kajamaa nako kanahujumu team ni kanafiki eti Dr mo wawapi chawa Wa try again na mangungu

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 19 дней назад

    We mwanaume kweli unajisia kwa hela za mwsnaume mwenzio?

  • @IbrahimHassan-ex7sn
    @IbrahimHassan-ex7sn 24 дня назад

    Bado akili zao hazijakaa sawa nawahulumia wanasimba 😔😔😔 makolo poleni

  • @safiliMuhammad
    @safiliMuhammad 11 дней назад

    Kulala kwako kunaihusu nini Simba kesho. Utasema umelalaje na mkeo. Chagua yakusema yenye maana

  • @juniorjoshua2452
    @juniorjoshua2452 24 дня назад

    Ibenge simuafiki ibenge

  • @SalminMayila
    @SalminMayila 24 дня назад

    Cyo kweli huwezi kumleta fesal simba usimamizi wa viongozi wako hao try again, nitakunya hapa mpaka moro

  • @user-wq8kw7wb1n
    @user-wq8kw7wb1n 23 дня назад

    Aende ameshatusaidia sana

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz 24 дня назад

    Asiwape pesa Hao wazushi wakina mangungu

  • @bernardkabakama
    @bernardkabakama 24 дня назад

    Mo nilikuheshimu mwanzoni kumbe chawa wa kutupwa hivi unamjua mo bahiri sana na taperi mashamba ya mkonge na viwanda vya chai alivyochukua serkalini vyote vimekufa

  • @danielkajiru6017
    @danielkajiru6017 24 дня назад

    Huyu jamaa nilikuwa namuelewa sana ila nimegundua ana asili ya uchawa

  • @SabangaOnline-uf3rl
    @SabangaOnline-uf3rl 9 дней назад

    daah ila uyo jamaa ni mnafki sana amekua kigeu geu sana

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 23 дня назад

    Mtakufa vibaya Paccome Chama ? Pembeni Mpanzu pembeni Aziz Ki nyie mtaikimbia hyo timu

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 24 дня назад

    Unayemwambia muuza magodoro wanatumia jina tu, wakubwa ndio wanatoa hiyo pesa

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 23 дня назад

    Jifariji tu waishi kwa Ugali wa uchawa ulisoma lini na wapi mpka uwe Doctr kwahyo ww sio Simba n chawa wa Viongozi wa Simba na Yanga

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 23 дня назад

    Fuledi maiko wa nini Hana uwezo wa kuchezea simba

  • @elochoyakobo7809
    @elochoyakobo7809 24 дня назад +2

    Huyu Jamaa ni mgonjwa wa akili

    • @harrychuwa3180
      @harrychuwa3180 24 дня назад

      Acha ujinga Dr na wewe nani ana ugonjwa wa akili?? Hata form four hujafika. Funga mdomo mjinga mkubwa wewe.

    • @elochoyakobo7809
      @elochoyakobo7809 24 дня назад

      @@harrychuwa3180 😂😂

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 24 дня назад

      Mchezaji mpaka anazingue ujue kuna matatizo kwenye uongozi. Kwanini wachezaji wa Yanga hawajivunji,? Viongozi Simba badilikeni. Kuweni katibu na wachezaji. Inakuwaje wachezaji wetu wawe karibu na Yanga warubuniwe mnakuwa wapi???? Mbona sisi Simba haturubuno wachezaji wa Yanga??

    • @jamilachikupa96
      @jamilachikupa96 23 дня назад

      Pumbavu wewe angekua mgonjwa wa Akili asinge ongea na wahandi wa habari, ebu kakojowe ukalale kesho shule

    • @harrychuwa3180
      @harrychuwa3180 23 дня назад

      @@jamilachikupa96 😂😂😂😂

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 23 дня назад

    Ww n Dr wa wpi unayeishi kimakalio hivyo yani umeanzisha kombe la usajili kwan vp ligi imeisha

    • @user-mv1sj2tx4g
      @user-mv1sj2tx4g 17 дней назад

      Kwa ni ulay wanafanya usajiriy lig zimeish

  • @jumaMohammedi-rt2ys
    @jumaMohammedi-rt2ys 21 день назад

    Fij bov accha zak ww