Mo nilikuheshimu mwanzoni kumbe chawa wa kutupwa hivi unamjua mo bahiri sana na taperi mashamba ya mkonge na viwanda vya chai alivyochukua serkalini vyote vimekufa
Mchezaji mpaka anazingue ujue kuna matatizo kwenye uongozi. Kwanini wachezaji wa Yanga hawajivunji,? Viongozi Simba badilikeni. Kuweni katibu na wachezaji. Inakuwaje wachezaji wetu wawe karibu na Yanga warubuniwe mnakuwa wapi???? Mbona sisi Simba haturubuno wachezaji wa Yanga??
Mmeanza porojo kweli mashabiki njaaa
uto wanaumia jamaa akimwaga inge.nge.😊
Huyu jamaa apimwe akili
Miraji tusiaajili kwa mdomo
Huyu daktari wa kienyeji
Acha hizo
Porojo😊😊
anasumbuliwa Sana Na njaaa rofa huyo
Lakini mo asimamie mwenyewe
Sasa unatoa Siri za Nin we muache aendeee
Amekua kama mzazi Anaeumwa uchungu usie changanya
Ulikuwa ukitoa maneno mazuri lakini toka ulivoanza kuwa chawa ndipo ulipo anza kuharibu interview zako
Chama aende anatuhujumu na inonga wanatuhujumu waende na hao ndiyo anguko la simba
Aka kajamaa nako kanahujumu team ni kanafiki eti Dr mo wawapi chawa Wa try again na mangungu
We mwanaume kweli unajisia kwa hela za mwsnaume mwenzio?
Bado akili zao hazijakaa sawa nawahulumia wanasimba 😔😔😔 makolo poleni
Kulala kwako kunaihusu nini Simba kesho. Utasema umelalaje na mkeo. Chagua yakusema yenye maana
Ibenge simuafiki ibenge
Cyo kweli huwezi kumleta fesal simba usimamizi wa viongozi wako hao try again, nitakunya hapa mpaka moro
Aende ameshatusaidia sana
Asiwape pesa Hao wazushi wakina mangungu
Mo nilikuheshimu mwanzoni kumbe chawa wa kutupwa hivi unamjua mo bahiri sana na taperi mashamba ya mkonge na viwanda vya chai alivyochukua serkalini vyote vimekufa
Huyu jamaa nilikuwa namuelewa sana ila nimegundua ana asili ya uchawa
daah ila uyo jamaa ni mnafki sana amekua kigeu geu sana
Mtakufa vibaya Paccome Chama ? Pembeni Mpanzu pembeni Aziz Ki nyie mtaikimbia hyo timu
Unayemwambia muuza magodoro wanatumia jina tu, wakubwa ndio wanatoa hiyo pesa
Jifariji tu waishi kwa Ugali wa uchawa ulisoma lini na wapi mpka uwe Doctr kwahyo ww sio Simba n chawa wa Viongozi wa Simba na Yanga
Fuledi maiko wa nini Hana uwezo wa kuchezea simba
Huyu Jamaa ni mgonjwa wa akili
Acha ujinga Dr na wewe nani ana ugonjwa wa akili?? Hata form four hujafika. Funga mdomo mjinga mkubwa wewe.
@@harrychuwa3180 😂😂
Mchezaji mpaka anazingue ujue kuna matatizo kwenye uongozi. Kwanini wachezaji wa Yanga hawajivunji,? Viongozi Simba badilikeni. Kuweni katibu na wachezaji. Inakuwaje wachezaji wetu wawe karibu na Yanga warubuniwe mnakuwa wapi???? Mbona sisi Simba haturubuno wachezaji wa Yanga??
Pumbavu wewe angekua mgonjwa wa Akili asinge ongea na wahandi wa habari, ebu kakojowe ukalale kesho shule
@@jamilachikupa96 😂😂😂😂
Ww n Dr wa wpi unayeishi kimakalio hivyo yani umeanzisha kombe la usajili kwan vp ligi imeisha
Kwa ni ulay wanafanya usajiriy lig zimeish
Fij bov accha zak ww