JEMEDARI AUKUBALI MZIKI WA GAMONDI | "WATACHEZA NA KAIZER" | SIMBA HAWANA TIMU | KUMEKUCHA HUKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 5

  • @nsubisimwasandende-kl9vy
    @nsubisimwasandende-kl9vy 12 дней назад +4

    Hata Ubingwa wa Mwaka Huu Yanga kachukua baada ya pre season kucheza na KAIZER Chiefs so Yanga Bingwa mbona hamsemi😂 ?

  • @DeogratiusMponda
    @DeogratiusMponda 11 дней назад +2

    Yanga wamealikwa na wanamahusiano na kaizer pia wanalipiwa kila kitu ila Tanzania tumejaa mashabiki maandazi hatuelewi kitu daaaaaaa

  • @justinemathiasngwandu7715
    @justinemathiasngwandu7715 12 дней назад +2

    Kwa yanga hii inayo kuja, kunawatu wataumia sana, sikwa vikombe hivyo dah, TOYOTA wameikubari yanga badala ya .....😂

  • @user-ge1cu4bx3n
    @user-ge1cu4bx3n 10 дней назад +1

    UTO wanacheza mechi moja tu mnaita kombe ingekuwa Simba ndio ancheza we.

  • @255kessy5
    @255kessy5 9 дней назад

    Nafikiri huu ni wakati Yanga kupita CEO mtine kuwasiliana na makampuni mapya ya magari ya umeme ya China Kama BYD, ZEEKA, XPENG na mengineyo kuwashawishi kufanya nao kazi