Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hata Ubingwa wa Mwaka Huu Yanga kachukua baada ya pre season kucheza na KAIZER Chiefs so Yanga Bingwa mbona hamsemi😂 ?
Yanga wamealikwa na wanamahusiano na kaizer pia wanalipiwa kila kitu ila Tanzania tumejaa mashabiki maandazi hatuelewi kitu daaaaaaa
Kwa yanga hii inayo kuja, kunawatu wataumia sana, sikwa vikombe hivyo dah, TOYOTA wameikubari yanga badala ya .....😂
UTO wanacheza mechi moja tu mnaita kombe ingekuwa Simba ndio ancheza we.
Nafikiri huu ni wakati Yanga kupita CEO mtine kuwasiliana na makampuni mapya ya magari ya umeme ya China Kama BYD, ZEEKA, XPENG na mengineyo kuwashawishi kufanya nao kazi
Hata Ubingwa wa Mwaka Huu Yanga kachukua baada ya pre season kucheza na KAIZER Chiefs so Yanga Bingwa mbona hamsemi😂 ?
Yanga wamealikwa na wanamahusiano na kaizer pia wanalipiwa kila kitu ila Tanzania tumejaa mashabiki maandazi hatuelewi kitu daaaaaaa
Kwa yanga hii inayo kuja, kunawatu wataumia sana, sikwa vikombe hivyo dah, TOYOTA wameikubari yanga badala ya .....😂
UTO wanacheza mechi moja tu mnaita kombe ingekuwa Simba ndio ancheza we.
Nafikiri huu ni wakati Yanga kupita CEO mtine kuwasiliana na makampuni mapya ya magari ya umeme ya China Kama BYD, ZEEKA, XPENG na mengineyo kuwashawishi kufanya nao kazi