HOUSE GIRL EP 26 | S3 | Love Story 💕💞

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • HOUSE GIRL SEASON 3

Комментарии • 559

  • @AgnessDama
    @AgnessDama 15 часов назад +193

    Rahma hongera sana kw maamz yko mazuri❤❤❤, like za Rahma pls

  • @GidoFuzz
    @GidoFuzz 15 часов назад +69

    Yani toka nianze kuangalia hii move sijawahi kucomment ila hongera sana rahma uko na roho nzuri❤❤❤

  • @BertinaCatitiAdamu
    @BertinaCatitiAdamu 15 часов назад +137

    Rayma kumbe anahuruma 😂😂😂 naombeni like anae amini mtu mwenye mdomo ndio sahihi

  • @sakina5550
    @sakina5550 15 часов назад +50

    Candy jamn kumbuka ni mama yako mzazi huyo acha roho mbaya hivo😢😢😢😢 Mr Tasha honger sana maua yako🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 9 часов назад +21

    Jamani leo humu nimefurahishwa na Tasha na Rahma. Hongera zenu. Pokeeni maua yenu.🌹🌹🌹🌹💖

  • @Milkah-x1r
    @Milkah-x1r 14 часов назад +40

    Jamani Tasha Ana busara nyingi wapi like zake❤❤❤ ashindwi na lolote leo tumenjoy mfululizo wa movie ya house girl

  • @sesiliahussein7774
    @sesiliahussein7774 22 часа назад +103

    Angalau rahma unaroho ya utu

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 15 часов назад +1

      Sana amejikaza sana Rahma mashaallaah

    • @LevinaMassawe
      @LevinaMassawe 12 часов назад +2

      Siku nimeona rahman ni mzuri ni leo ❤❤❤❤

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th 3 часа назад

      Wanaoamin rahma atabadilika na kuwa adui juu ya mimba tujuane😂😂

  • @JanetChisaga
    @JanetChisaga 14 часов назад +27

    Hongera bozeni kaboga kwakumkubali masozi na rahama pia umecheza hongera🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ZulfahNuhu
    @ZulfahNuhu 6 часов назад +17

    Duuuh chiko ulijiharibia kabisa kuanzia kwa wazaz wa zatiti maskin huwez mpata zatiti hata kwa dawa wanaoamini hivyo like

  • @saumJuma-q3e
    @saumJuma-q3e 15 часов назад +30

    Team zatiti tuko na tabasamu kama lote tujuane ❤🎉

  • @EverlinNamalwa-ml4oe
    @EverlinNamalwa-ml4oe 15 часов назад +26

    Rahma nilikua nakuchukia Lakini Kwa Sasa nmeanza kukupenda

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 15 часов назад +34

    Nimekupenda mnoo Rahim ❤❤❤❤❤❤❤ unaroho ya utu

  • @gracemakuja9876
    @gracemakuja9876 15 часов назад +30

    Jaman rahma nimekupa hongera sana .

  • @RosebellahNambiro-gf5ot
    @RosebellahNambiro-gf5ot 16 часов назад +204

    Tunao tazama tukiwa kitandani 😂😂😂piteni na likes tukisonga

  • @Hasnamhalif
    @Hasnamhalif 15 часов назад +70

    Mkilala kubukeni kuomba dua usiku kuna mambo mengi 😂

  • @Martina-lj7tg
    @Martina-lj7tg 15 часов назад +31

    Nikama dawa aliyopewa rahma imeisha nguvu kma unakubaliana na mm gonga like tukisonga😂😂

  • @neemakoi6635
    @neemakoi6635 14 часов назад +8

    Woooow mumeamua leo bus at basi daily ivi mutupee mbili si mtuzoeshe kwasiku part two then muache mutaniudhi sana🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @SanuraNamlola
    @SanuraNamlola 14 часов назад +9

    Mr Tasha umefaulu mtihani WA babamkwe meenzako halisema hali ulimbo na hafanani na kilimo congratulations 🎉🎉🎉zatiti kipenzi i hongera sana Kwa hukarimu wako ucheshi na kila mtu ❤❤❤❤

  • @SadaDjuma-e9b
    @SadaDjuma-e9b 14 часов назад +11

    Rahma nimekupenda bure mie, yni wew nimwanamke mwenye akili unae jua maumivu ya mwanamke mwenzio 😘😘😘, nimefurahia ilo jamani alafu mnapendeza saan Rahma na Masozi Mungu alinde Ndoa yenu iwe ya Kheri na Baraka Mungu adumishe Ndoa yenu izidi kua ya Furaha milele na milele. 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Fatuma-e7k
    @Fatuma-e7k 14 часов назад +16

    Nyie ndoa tuna ama hatuna Kwa sania na mganga na masozi na chisa weuweeee Aya ngombeni like plz kama pia nyinyi mwataka ndoa

  • @oswardjaphal-cd6np
    @oswardjaphal-cd6np 15 часов назад +14

    Masozi sina imani naye kwarahima. Ana marafiki wabaya.

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 14 часов назад +9

    Naomba Rahma uwe umeamua kutoka moyoni ila kama ni mtego...tutakuona,hongera lkn🎉🎉🎉

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 13 часов назад +8

    Nimesoma mingi kutoka house girl mzee mkoloni umenifurahisha sana pia biblia inasema mtoto wa kiume afundishwe na baba na wakike pia namama kwaivo ongera sana

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 13 часов назад +6

    Chiko kweli hakua mume mwema kwa zatiti angeacha tuu waendlee kupendana Tasha n zatiti ❤❤❤afu nmependa maelewano ya rahma na masozi bas masozi umepewa nafasi sije ukaleta uchawi kwa familia watu kua wapole❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 hongereni nmependa sana hii jamani

  • @Djanjeeroo
    @Djanjeeroo 13 часов назад +9

    Hii scene ya Candy inahitaji marekebisho. Mtoto huwa mkorofi kwa mzazi ila sio kwa kiwango hicho

    • @BornfaceMenza
      @BornfaceMenza Час назад +1

      Mmmm kabisa umeongea yeye tu ana ifanya hii movie isiwe nzuri ana chemsa hapo

  • @eshanjira6203
    @eshanjira6203 16 часов назад +16

    Rahma leo umeupiga mwingi🎉🎉❤

  • @Barakahtz41
    @Barakahtz41 10 часов назад +5

    Masozy namkubali kwa saundi tu yuko vizur,kamtongoza mwanamke mwenzie mpaka kakubali😂😂

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 9 часов назад +6

    Candy, Chiko na Sania. Nyie mnaendana tabia zenu. Sania mke wa mganga. Tunasubiri ktt cha kurithi kilinge cha Ngonde.😂😂😂😂😂

  • @JeniEmmah
    @JeniEmmah 15 часов назад +16

    Aaaasaaanteeee wap Like za mganga ngonde kimamula

  • @FatumaHamisi-mh9ln
    @FatumaHamisi-mh9ln 14 часов назад +12

    Huyu chiko jaman😂

  • @yasiniabdallah189
    @yasiniabdallah189 15 часов назад +13

    Five kwa Rahma kamecheza poa.

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 15 часов назад +5

    Zatiti nakupa hongera sana kwakufunga ndoa na tasha mi nimefurshia ndoa yenu hatakama ni ya mkeka ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 13 часов назад +6

    Yani ilipaswa chiko na candy waoane 😮😮😮😮 shetan na shetan wanapatana duuh tabia zao zafanana 😂

  • @protasdmassawe
    @protasdmassawe 14 часов назад +4

    Safi sana. Mr Tasha kutuwakilisha hata sisi wanaume wa mjini baadhi tunawezaaa!💪💪👍

  • @ASHANDEGWA
    @ASHANDEGWA 15 часов назад +17

    Ila Tasha ni mume bora jamani ,wanaume wote wangekuw ivi duniani tungetamba sisi wanawake😊😊😊

  • @AxsaDaniel
    @AxsaDaniel 14 часов назад +7

    Rahm naomba uje ñkupe pipi jamn una moyo mzur wew

  • @TeshNjeri
    @TeshNjeri 22 часа назад +13

    Wa kwanza😊nipewe like

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 15 часов назад +8

    Saniya mtaka vyote hukosa vyote pambana nayo hiyo mimba ya mganga sasa uzae mrithi wa ngonde 😂😂😂😂

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 13 часов назад

      😂😂😂😂sania atazaa msukule 😂😂 wa ngonde kimamula

  • @hamisichau8975
    @hamisichau8975 15 часов назад +13

    Hii house girl inamafundisho makubwa sana hongereni wote mlioshiliki ebu tuwape like jamanii ili waendelee kutuletea mafunzo zaidi

    • @sadickmashaka1726
      @sadickmashaka1726 15 часов назад +1

      Kwel namm nimeipenda

    • @FaisalAlrefai-u2y
      @FaisalAlrefai-u2y 15 часов назад +1

      Nakwambia dear iko na mafunzo sana mungu awabariki wote

    • @saumJuma-q3e
      @saumJuma-q3e 15 часов назад +2

      Sanaaaa yniiii nakuunga mkono

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 15 часов назад +1

      Sanaa hongera zao na mwenyezi Mungu azidi kumfanyia wepesi ishaallah

  • @CharoJohnson
    @CharoJohnson 9 часов назад +3

    Zatit hongera san umzid kua mrembo sana ulipta mume bora sannna hatimaye amani imerudi🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Beatrice-kp7uw
    @Beatrice-kp7uw 13 часов назад +5

    Keina ulimkosea kibendu yni umeharibu kabisa hii movi mpaka sinaraha

  • @rehemakihanga
    @rehemakihanga 7 часов назад +3

    Hii house girl imetisha saana jaman like zenu kiukweli imebamba saana Rahma ongera saana kwa kuwa na huruma pia moyo wa upendo

  • @Asma-hn1jk
    @Asma-hn1jk 12 часов назад +3

    Hongera sana Rahma Allah akuzidishie roho hio hio🎉🎉🎉❤❤

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 15 часов назад +5

    Hapo rahma umenifirahisha sana masozi kazi kwako mpendwa ❤❤❤❤❤

  • @AhmadaOmary
    @AhmadaOmary 13 часов назад +14

    Wanaopenda mchezo uwe kijijin mda wote tujuwane

  • @yuvinalishmasanya1526
    @yuvinalishmasanya1526 8 часов назад +2

    Pls Candy, watu wana roho ngumu jameni, I love this series much, Ina mafunzo chungu nzima

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 7 часов назад +2

    Baba zatiti yeye anakumbuka ubaya wachiko 😂😂😂lamma leo nimekupenda sana kumsamee mama sozi hongela.sana busati🎉🎉🎉

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 14 часов назад +2

    Rahma kwakweli uko na roho ya huruma uko na ulimi lakini wajali mtu dadaa ongera sana mpambanie mwenzako huo ndo uisilam watu wanavyo ishi dunia mamaa leo yeye kesho wewe madam kiukweli nimekubali Rahma uko na huruma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @joycemhina8293
    @joycemhina8293 4 часа назад +2

    Jamani Rahma na Masozi na Bozen Kaboga wametufundisha maisha ya mahusiano ni kusamehana kabisaaa, jamani house girl iendeleee jamani ni nzuri Sana yaani wasanii wote wa move hii ni wako vizuri kwenye kuigiza, Sana hongereni Kwa mafunzo mazuri tunawapenda Sana, big up unyama Sana

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 14 часов назад +3

    Hv chiko ulikua unajikuta nani kuongea na baba ako mkwe kama unaongea na hawara ako tasha ongera xana ukwen umeshakubaliwa

  • @MaryMaige-t1b
    @MaryMaige-t1b 16 часов назад +12

    leo nimewai naomben like

  • @JoyceMbaixi
    @JoyceMbaixi 14 часов назад +3

    Jamani mwenye ana duka apee Rahma soda kubwa kwa bill yangu jamani❤❤❤

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 13 часов назад

      😂😂😂😂😂apewe soda kubwa kisha ndefu kisha nene 😂😂😂🎉

  • @franktodory
    @franktodory 16 часов назад +14

    mganga usimuache uyo sania huku mtaan akiludi msumbufu sana

  • @Teresia-bg9dt
    @Teresia-bg9dt 14 часов назад +4

    Safi xn Rahma yaani nilikua nakuchukia ju ya mdomo 😂 lakini daaa nimeona uko roho Safi hongera mamaa❤🎉

  • @RamadhaniBeja
    @RamadhaniBeja 9 часов назад +2

    Kama ingelikua sio uigizaji ni katika hali ya uhalisia basi dadangu rahma pepo ya Allah ungelikua umeipata dadangu na endapo katika maisha yako litajitokeza jambo kama hili usijikoseshe fursa ya kuipata pepo ya Allah

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr 15 часов назад +8

    Candy nakucukia 😢iyomihera yako yikule ikiisha utakuja kukumbuka nyumbani nakwambia😢😢

  • @SophyNestor
    @SophyNestor 15 часов назад +9

    Tasha ananifraisha sana ukweni

  • @FatumaFeso
    @FatumaFeso 15 часов назад +3

    Rahma maua yko hayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 much love from kenya❤❤❤❤❤❤💋💋💋💋💋💋💋💓💓

  • @SamwelyRishady
    @SamwelyRishady 15 часов назад +6

    Jaman keina si umuonee huruma kibendu wawatu

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 14 часов назад +2

    ❤❤wow hongera sana rahma kwa maamuzi yko mazuri ❤❤❤🎉🎉🎉wenye mnafrahishwa n rahma kwa moyo w huruma mugonge like hpa

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 3 часа назад +1

    Rahma kumbe una hekima hongera Sasa masozi usije ukamgeuka mwenzako❤❤❤

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy 7 часов назад +1

    Rahma Leo umeongea hekim Mashallah Baraka llah fii Mungu awatangulie katika kz yenu bustan TV

  • @Roby-nw8sz
    @Roby-nw8sz 6 часов назад +1

    Waoooow jamaniiiii Mr Tasha ni mwanaume Bora kwa zatiti hongera saaan umenifurahisha❤❤

  • @SofiaSofia-nc9rw
    @SofiaSofia-nc9rw 15 часов назад +3

    Lahumah mawua yako Leo umeni furahisha sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 13 часов назад

      😮😮😂😂😂 Rahma sio lahuma 😊🤭🤭🤭🏃🏃🏃

  • @Leilajepmtu
    @Leilajepmtu 6 часов назад +1

    Tasha umepata jiko kaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu awatanguliye Kwa familiya yenyu Tasha

  • @JanepherBudodi
    @JanepherBudodi 2 часа назад +1

    Rahma hongera sana kwa maamuzi mazuri kwakumuoneo huruma mwanamke mwenzioo

  • @zainabusabas7421
    @zainabusabas7421 15 часов назад +6

    Kwaiyo huyu na kaka ake wote tasa 😂😂😂😂

  • @MariamuDaudi-h1t
    @MariamuDaudi-h1t 14 часов назад +2

    Nampa hongera sana ngode kimamula

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 6 часов назад +1

    Leo nimemupenda Rahma kiukweli kwakumpokea Masozi katika familia yako mauwa yako ayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unayastaili

  • @ALEXLOTAN
    @ALEXLOTAN 8 часов назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kumenoga nikiwa Mombasa mshomoroni mwana wa chuga ngaramtoni mamsa sity

  • @IbrahimMahenge-x4y
    @IbrahimMahenge-x4y Час назад

    Maaashaallaah maashaallah rahma umecheza vizuri wanawake wengine wajifunze hapo

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 22 часа назад +9

    Wapili Mimi nipeni like

  • @ChimammyMummy
    @ChimammyMummy 5 часов назад +1

    Haki rahima na masozii mnafunza watu uku inje thanks san be blessed

  • @SharonChepngeno-d7e
    @SharonChepngeno-d7e 22 часа назад +4

    Mimi wa tatu zania atakufa mapema juu ya tabia tu😂😂😂

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb 15 часов назад +4

    Piga kelele Kwa Rahma 😂😂😂😂❤🎉

  • @EvansiLibenty
    @EvansiLibenty 22 часа назад +8

    Nimekuwa wa pili

  • @Dorcaskw
    @Dorcaskw 16 часов назад +4

    Leo umenikosea my mother anyway this ok naombeni like zenu

  • @AnitheNdayikengurukiye
    @AnitheNdayikengurukiye 14 часов назад +1

    Hongela sana tasha umeigiza vizuri na zatiti nimependezwa na nyie

  • @KongoJefwa
    @KongoJefwa 7 часов назад +2

    Daa Rahma unakiti chako peponi 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤

  • @DorcasNasimiyu-g4e
    @DorcasNasimiyu-g4e 8 часов назад +1

    Kumbe rahama Ana roho nzuri hivi hongera dada 🎉🎉🎉

  • @AishaNibizi
    @AishaNibizi 6 часов назад +1

    Rahma nakupenda unaroho nzuri kiovo maua yako Ayo🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @ZeinabOmar-b8p
    @ZeinabOmar-b8p 5 часов назад +1

    Bozen kaboga utawezana kweli sijakuona kufanya kqzi😂

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 13 часов назад +3

    Rahmah unachamba somoyangu lakin unahuruma hongera dadaangu 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤😂

  • @SunatMiraj
    @SunatMiraj 4 часа назад

    Jamn rahman kanifurahish kwel kaonyesh moy w hurum jamn maua🎉🎉🎉🎉🎉 kwa mam tash alivyomlea mwanae kwa madili anayekubal ii gong like

  • @ZulfahNuhu
    @ZulfahNuhu 6 часов назад +1

    Rahma na maneno yako mengi kumbe una huruma kias hicho hongera mama uwe hivyo hivyo

  • @Khadija1-l4f
    @Khadija1-l4f 15 часов назад +4

    Jamani mbona naona ajabu kujikuta natoka wa 36 kweli nimewahi

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 7 часов назад +1

    337.popote ulipo Mr Tasha na baba mkwe.I love 😅😅😅😅😅

  • @JescaNicass
    @JescaNicass 3 часа назад

    Habar wana busat tv jaman toka nianze kufatilia hii move sjawah kucoment ila kipande cha 25 na 26 kwenye season3 imenibid nicoment kusema kweli hivi vipande viwili nimejifunza sana kitu Asantee sana na MUNGU awape nguvu muendelee kutuelemisha❤❤😊

  • @AminaMjeni-iz8uo
    @AminaMjeni-iz8uo 5 часов назад

    Wanaofurahishwa na wake wenza kukubaliana nipeni like basi Rahma hongera sana kwa uamuzi wako nakupenda sana 💗

  • @ngekewatv
    @ngekewatv 16 часов назад +4

    Jaman hii house girl itatuua man hatal ni yamotooo

  • @حليمهالبلوشي-ز5ث
    @حليمهالبلوشي-ز5ث 4 часа назад

    Ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote family ya mzee mkoloni nimeipenda sana naina nikumbusha mbalisana😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @Zeinabmea
    @Zeinabmea 16 часов назад +3

    Leo nimewahi like zangu🎉🎉

  • @Myboy_1032
    @Myboy_1032 48 минут назад

    Kumbe Rahma Una moyo wa utu ubarikiwe Sana my dear tunakupenda Sana from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 5 часов назад

    Rahma ubarikiwe kumbe unaroho ya ubinadam! Wanaoamini kaboga ni mjeur na anapenda kweli masoz tujuane hapa🎉🎉🎉🎉❤

  • @elizabethurassa9854
    @elizabethurassa9854 4 часа назад

    Yani mganga anampa rahma badala iharibu inamrekebisha yeye,like nyingi kwa ngonde

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 5 часов назад

    Rahman ni wewe kweli au mana siamini kwamba shetani 😈😈 hugeuka kuwa malaika Rahma Mungu akubariki Sana kwa uwamuzi huo....

  • @saidomar3291
    @saidomar3291 13 часов назад +1

    Masozi umenifundisha kitu. Mungu akubariki

  • @mesamesa3698
    @mesamesa3698 13 часов назад +1

    Nasubiri iishe nilale😂😂😂😂 naomba like 4

  • @ميريالشمري-ح9ب
    @ميريالشمري-ح9ب 15 часов назад +3

    Ila chiko unatabia mbaya ataukweniiii😢😢😢

  • @SharonMokeira-ij7iq
    @SharonMokeira-ij7iq 15 часов назад +4

    Rahma nimekupenda kwa kile ambacho umekifanya ❤❤